Hapo kwa conboi nakuunga mkono Bro P 🙏 jamaa anajua sana Rap
@Igweezysirleem8 ай бұрын
P mawenge ni mambo byaaad kwa kuflow🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪 repin
@ayrunyjtayruny2798 ай бұрын
Gosto das suas músicas p Mawenge e o meu favorito é GROUP ADMIN
@mokayaayomah52588 ай бұрын
P Mawange ,reminds me of Ngwair,easy lyrical master.big up!from Nairobi respect.
@kiatu8 ай бұрын
Observation nzuri-hip-hopers wengi-wao wana elimu ya juu zaidi kuliko bongoflavians . Kuna sababu nyingi mojawapo wamezaliwa kwenye “middle or high class families” sio vijana ambao wana hasira sana ya maisha, mziki kwao ni kama hobby fulani. Hapa naongelea %. Upande mwingine mziki ni njia pekee ya kujitoa kwenye umaskini ndio maana unaona tofauti. Mtazamo wangu.
@baredwamane54878 ай бұрын
Yeap
@user-nd5jq9um5q8 ай бұрын
True broo
@chenge32238 ай бұрын
ni kweli yan ni watu ambao hawajatoka dhiki saana afuu hawa mind mambo ya mauzo
@jobuish8 ай бұрын
MAWENGE MAZAAA KALAPAKAAA 🔥🔥🔥🔥BEAT LA CHID UMELILAWITI VIBAYAAA MNOOO CHALIII WE MBAYAAAA MAN💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🎶
@user-fj7ox6hh8r7 ай бұрын
Huyu jamaa namkubari xana p mawenge Namuona Albert mangwear 100
@salimmwabundu9588 ай бұрын
Sahiii pindi la planet linakimbiza sanaaa...welldone Lesa
@yascomdoe56868 ай бұрын
Uyo mdada ni mnoma sana anajua kupresent❤
@juliusngowi9528 ай бұрын
P the MC..P MAWENGE is genius
@michaelthobias99677 ай бұрын
Huyo dogo mwandishi mwenye 🧢 ana maswali ya kindezi
@richardmloha17628 ай бұрын
Mawengeee🔥🔥🔥🔥
@ibraaahmwanyello62338 ай бұрын
Baaaabek Aloooo P ni mtuuu na nusu.......Saloote boss
@demask34238 ай бұрын
Lessa uko vizuri madam. Nakukubali sana. Haujui kukosea..
@user-vi8se2hh7x8 ай бұрын
Mawengee. Waueeeeeee
@msolidwagalilaya60948 ай бұрын
Kwa sasa tangu aondoke Dullah.... Huyu dada anafanya vizuri sana aiseee ni bonge la presenter aiseee ana confidence sana
@rajabuomy4878 ай бұрын
Mwenyew nakubal sanaaa
@rogatusmeleki16608 ай бұрын
P mawenge my hero wa sasa after Zizi
@realdondee8 ай бұрын
Appreciated
@elishaelishaedward94548 ай бұрын
BomBrax Baby unajua
@youngsoldier87758 ай бұрын
Oyeeeeh
@khalidgugu49648 ай бұрын
🎉🎉Kiwalani Kid Bway
@NsajigwaV38 ай бұрын
Safi sana kaka
@user-zi3uj9yk6i8 ай бұрын
Noma sana😂
@Faustine_Charles7 ай бұрын
Jamaa kuuliza kuhusu lunya kapuyanga ni maswali ya kuprovoke pumbavu.
@mussayohana44498 ай бұрын
Surely
@Wauswazi_Ke8 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪mnyama Mawenge
@gastonerobert20268 ай бұрын
🔥🔥🔥
@moseskaiza44488 ай бұрын
Huyu Jamaa ni Hatari Sanaa.Im ur No. 1 Fan Bro.👊👊👊
@josephkibeya25348 ай бұрын
J Cole wa bongo
@hassanihussein27318 ай бұрын
Uyu mtoto anamwali yakiwaki sana sasa uyo mbuzi anaingiaje kwenye interview ya p
@DavalsonMarlony8 ай бұрын
con boi ni mnoma nkwere,engezene mike chombo kkbwa ich bana
@chenge32238 ай бұрын
oya p unajua mkali
@AbdulNgolle8 ай бұрын
Cannabino Ghost
@raphaelkaswahili3238 ай бұрын
Haya ndio mahojiano ambayo msanii anapwaswa kuhojiwa watangzaji mkihoji kuhusu mziki aisee tutaenda mbaliiii. ......sio kukomaa kuhoji ety Wewe Baraka huna nidhamu nyambafuuu
@VitusEmmanuel-pe3yi8 ай бұрын
Hiyo Haina ubixhi Conboi ni rapa mkal ila hawamuon
@flova70228 ай бұрын
P fundi xn
@jastinarts8 ай бұрын
Unaongea vyema boy
@user-cg3cm4qv4q8 ай бұрын
Wenge tunasubir collaboration na Dizasta
@zainabmaulid96378 ай бұрын
P kwel mkali lakini bado Sana huwezi kuimba na dizasta vina unapenda Sana kujisifia mwenyewe mkali dizasta anaimba vitu vya kwenye jamii yetu sio kujisifia mkali
@user-cg3cm4qv4q8 ай бұрын
P,. Mwandish pia, acha umama
@raphaelchuche62818 ай бұрын
@@zainabmaulid9637sasa waimbe mara ngapi au ndo ufatiliii rap
@user-po5mm5vk6d8 ай бұрын
Cannabhino
@jacksonimwasoni25108 ай бұрын
Fundiii
@saidtembele30708 ай бұрын
Asee naomba anayekumbuka hiyo beat aliyoanza kuichania P ni ya ngoma Gani?
@bakarimikito41998 ай бұрын
Hiyo ni ngoma ya chid benz inaitwa mmenisoma
@saleheabdallah54618 ай бұрын
Chid benz-Jiachie
@davidwalalason76308 ай бұрын
Achana na mawenge wewe
@tracejeezy89178 ай бұрын
STUPIDITY INTERVIEW: JABIR SALEH atawakimbiza sana. Imagine Msanii anakula Muda Mwingi anaulizwa: U'king Kiwalani. Hujakaa sawa kidogo unapelekwa kwenye Story za Ndoa na Sanaa.
@josephjackson49238 ай бұрын
Yaani Watanzania mna uvivu wa kufikiria sana, by the way Ungeandika heading ya Comment yako kiswahili tuu maana kiingereza chenyewe ni broken....Acha chuki za kipuuzi mbona interview nzuri tu cause interviewers tried to touch every angle of artist's life including those questions...