Kuwa Makini Nani Unamuoa | Kuuweza Wakati Ujao | Pastor Tony Kapola

  Рет қаралды 90,218

Pastor Tony Kapola

4 ай бұрын

Je, unamfahamu mtu unaetarajia kumuoa au unaenda tu na maisha? Tega sikio upate neno kuhusu hili swala.
Connect with Pastor Tony Osborn Ministries:
Facebook: pastortonykapola/
Instagram: pastortonyosborn
Contacts (Mawasiliano): +255 713 702 187
Offerings (Sadaka): +255 762 153 539 (ANTHONY KAPOLA)

Пікірлер: 224
@shadrackmballah80
@shadrackmballah80 4 күн бұрын
I think huyu Pastor, ni moja kati ya watumishi bora hapa Tanzania. Mungu akubariki sana mtumishi.🙏
@KELVINKUBINGWA
@KELVINKUBINGWA 3 ай бұрын
Congratulations kwako mtumishi Umenibadilisha sehem kubwa sana ya maisha yangu
@eliasiravuga7539
@eliasiravuga7539 3 ай бұрын
A tired mind can't make a good decision,,, 📖💯🇨🇩
@mobilebeats3086
@mobilebeats3086 4 ай бұрын
Pastor una watu wengi wanakufuatilia niwa nchi yako pia weka mkalimani unatumia sana lugha ya kingereza na kwa wengine hawaelew japo wengine tunaelewa ila wengine wanatamani kusikia nini unahibiri lakin kwahajili ya lugha ya kingereza wanapata shida
@robertmaximilian3264
@robertmaximilian3264 4 ай бұрын
Asante sana umesema nilichotaka kusema 🙏🙏🙏
@lodricklazaro1013
@lodricklazaro1013 4 ай бұрын
Kweli kabisa hapo
@vickydan2869
@vickydan2869 3 ай бұрын
Naomba uongee kwa sauti😢😢😢😢😢😢 jamani😢😢😢mpaka clipu zake nimekua navuka😢😢😢😢😢😢
@JescahMnanka
@JescahMnanka 5 күн бұрын
MUNGU akuweke sana mtumishi wa MUNGU unatutoa gizani mnoo much blessed
@babyjacob3122
@babyjacob3122 4 ай бұрын
Jamani huyu baba ANAFUNDISHA 🙌🙌Tushindwe tu kubadilika ila PT Baba kwenye mafundisho tu UUNATUFUNDISHA❤❤
@Dominant97
@Dominant97 3 ай бұрын
Exactly
@user-zp5oo9gf1r
@user-zp5oo9gf1r 2 ай бұрын
Someni biblia😂😂😂 nd mtajua ukweli yesu aliotak ufundishwe hawafundishi bali mnapenda life experiences
@otarurosie
@otarurosie Ай бұрын
Sana
@joycenanjala2262
@joycenanjala2262 4 ай бұрын
Asante YESU kwa mafindisho kazuri, hakika PT bwana Mungu na akuzidishie Neema pamoja na familia yako
@emmanuelmogela5871
@emmanuelmogela5871 3 ай бұрын
Ila kiongozi ila kwa sisi ambao atujapata neema naaka kalugha tunateseka alafu chakula kitamu kweli weka kabint kakutafsiri utumie kiswahili ndugu, Mungu tusaidie ombi letu lifike
@haikananyaro285
@haikananyaro285 4 ай бұрын
I just can't stop listening to you..... you always walk along my life mystery❤❤❤be blessed for such preaching
@Zena-eu6tr
@Zena-eu6tr Ай бұрын
Pastor,,am grateful at least you made me learn how to forgive,my heart isn't heavy,,
@daudlazaro8276
@daudlazaro8276 4 ай бұрын
Yaaani mifano yote ni mm, everything was for me 😮 then I WILL PRAY SIR
@user-xe8fn7gt6w
@user-xe8fn7gt6w 4 ай бұрын
Kweli kabisa kingereza kingi basi bola Uwe na mkaliman kama unapenda kuongea lugha ngeni
@agneselias-po4fq
@agneselias-po4fq 3 ай бұрын
Pastor your the best 💖 🥰 MAFUNDISHO yako yamenibadilisha nimepiga hatua na naendelea kujifunza Please Glory to God who bring you to this world 🌍🙏🙏💯
@user-pj1is6lw8m
@user-pj1is6lw8m 3 ай бұрын
Thank you very much Pastor Tony Kapola due to your message to us be blessed pastor Amen.
@suzanajilala2871
@suzanajilala2871 4 ай бұрын
Fundishaa kingereza au Kiswahil mtu wa Mungu fanya kama Roho mtakatifu anavyokuongoza na kukutumia Ni hivyo kama kuna mtu hajui lugha anapaswa kujifunza kwa maana huyu mtumishi anaongea kingereza na anatafsiri hapohapo sikiliza kwa utulivu utamwelewa mtumishi wa Mungu... Muache kukosoa watumishi wa Mungu kama unaongea na mtu wa kawaida. Sio sahihi unapaswa kutoa maoni wala sio kama kila mtu atakavyo Ila kwa hekima ya Mungu kama huelewi haya pita hiviiii......
@petermanala6138
@petermanala6138 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kumbe na wewe umetumia majibu ya hekima😢😢😢😢
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 3 ай бұрын
Wewe mwenyewe una hekima yeyote mpumbavu tu😂
@user-xq6le2nu6h
@user-xq6le2nu6h 3 ай бұрын
Haaaaa pumbavuten daa😂😂​@@FrankMushi-cs5js
@theresiaambroce7280
@theresiaambroce7280 4 ай бұрын
Hallelujah! Ahsante Mungu kwa kukupa kibali hiki kikubwa namna hiii unasaidia wengi
@evalynependo3824
@evalynependo3824 4 ай бұрын
Mungu nisaidie kisha unipeleke nguvu za maombi ili nimuombee mwanaume huyu, kama yupo sahihi,kwa jina la yesu ameeeeeeeennnnnn
@ramadhanimtiba834
@ramadhanimtiba834 4 ай бұрын
Mambo
@evalynependo3824
@evalynependo3824 4 ай бұрын
Poa sana vip zaleo ​@@ramadhanimtiba834
@user-dr2cs2zw4p
@user-dr2cs2zw4p 4 ай бұрын
Amen
@GladnessSanare
@GladnessSanare 3 ай бұрын
Amen mm pia na iwe hivyo kwang🙏
@ashercinematic7080
@ashercinematic7080 4 ай бұрын
Masomo yako mazuri sana, na natufundisha mambo ya vizazi kabisa, ila nakuomba utumie kiswahili, tunapata shida maneno mengine kuyaelewa
@GloryPeter-xc4ph
@GloryPeter-xc4ph 4 ай бұрын
Mungu nisaidie kweli kweli nipate ubavu wangu sahihi
@barakaedom3828
@barakaedom3828 4 ай бұрын
Amen
@paulsylvester7877
@paulsylvester7877 4 ай бұрын
Endelea kusali
@barakafifi1607
@barakafifi1607 4 ай бұрын
G uko peke yako
@williamreuben4866
@williamreuben4866 2 ай бұрын
Okey
@work24onme
@work24onme 4 ай бұрын
Holy Spirit of God Amen 🙏🏼. PT, hata sisi wanawake tuwe makini nani anatuoa. PANDE ZOTE MBILI KUWA MWILI 1 na Vizazi hivi vya Kidigital na sio Analog, Shidaleee , cheche ndani zitaripuwa nyumba, 🤔. Eee Mwenyezi Mungu, Neema yako, Amen 🙏🏼
@MaboyiSimba
@MaboyiSimba 3 ай бұрын
Uko sahihi mtumishi kuhusu swala la lugha mbona liko sawa kuchanyanga lugha sio shida !! Mtumishi endelea kutoka madini
@Bushman000
@Bushman000 4 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki sana Pastor, kwa kuitumia vyema talanta aliyokupaa.
@AshaAmosi
@AshaAmosi 29 күн бұрын
Asha amosi mtumishi unafundisha sana rakini punguza kigereza maana watu wengene hawajui kigereza unafundisha vizuri watoto wetu mungu akubariki sana
@eliasiravuga7539
@eliasiravuga7539 4 ай бұрын
Amen Amen Amen, Ubarikiwe sana Pastor TK,, iyo ni kweli kabisa,, maombi, malombi,,, 📖🕊️❤️
@zedkaz001
@zedkaz001 4 ай бұрын
You have saved one soul today, amen
@user-nl3qo3sp7y
@user-nl3qo3sp7y 4 ай бұрын
I will pray for it for my future family my God help me and make fulfill my purpose
@meikoking
@meikoking 4 ай бұрын
Mungu akuweke sana uendelee kutufundisha hii mambo ❤❤❤❤❤❤ Mtumish wa Bwana Ahsante
@hellynabrie5286
@hellynabrie5286 4 ай бұрын
Nikweli kila mtumishi amepewa watu wakuongea nao lkn uyu pastor kingereza kingi Sana watu wanatamn kumskliza lkn daah 😢English tupu
@Rosetemba97
@Rosetemba97 4 ай бұрын
Ni kwasababu dunia nzima inamsikiliza ....ndo maana anachanganya kuna watu pia hawajui kiswahili
@lilasuliman552
@lilasuliman552 4 ай бұрын
Alafu wanaomsikiliza nahisi wote ni wasomi
@neemaryan9947
@neemaryan9947 4 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi naomba uweke mkalmani ili Neema hii iwafikie watu wengi zaidi ulimwenguni Ubarikiwe na Bwana
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 4 ай бұрын
Yuko kimataifa zaidi sio tu tz
@FaridaMuhamed-is6xg
@FaridaMuhamed-is6xg 3 ай бұрын
Ama kwa hakika Mimi nimebarikiwa kuwa na PT Kama wewe najiona ni mwenye bahati mnooooo mafundisho yako yananiongoza na kunifanyia nijue ninapo kwenda barikiwa Sana
@sophiamarwa4067
@sophiamarwa4067 4 ай бұрын
Asante pastor 🙏
@trickeredbayaza7901
@trickeredbayaza7901 4 ай бұрын
Announced man of God always listening in from Kenya
@erickgulayi2089
@erickgulayi2089 4 ай бұрын
Natamani mtumishi ungelikuwa unatumia maneno ya kiingereza kwa nchi zinazo zungumza lugha hiyo, watu tunashindwa kukuelewa mzee. Tafadhali atukupangii lugha ya kutumia ila ni vyema unaongea na watu wa taifa gani. Asante!
@jovenatusstephen5958
@jovenatusstephen5958 4 ай бұрын
Ukiona huelewi Maana yake hakuitwa kwa ajili yako
@jamesmwafongo1295
@jamesmwafongo1295 4 ай бұрын
Lakin ametoa ushaur mzuri wew umejibu kwa kejeli hekima ni bora sanaaa
@user-dq4ws5ip9r
@user-dq4ws5ip9r 4 ай бұрын
Kweli babisa aongee luga ya kwetu
@carolinederi5690
@carolinederi5690 4 ай бұрын
You mean kue na translator au?
@robertmaximilian3264
@robertmaximilian3264 4 ай бұрын
Kweli kaka bora angeweka mkaliman siyo wote wanaomfatilia manajua iyo lugha
@jastinnkya
@jastinnkya 4 ай бұрын
Amin sana mtumishi wa mungu akubariki sana
@Magdalena-tz7uk
@Magdalena-tz7uk 4 ай бұрын
Mungu alibariki sana tumbo ulilotoka
@ShazymRahim
@ShazymRahim 14 күн бұрын
Ubarikiwe baba
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 4 ай бұрын
TRUTH TO BE TOLD ❤...STRAIGHT FORWARD
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 4 ай бұрын
😅Kama Kingereza Kinamzingua Mswahili wa Gezaulole Wekeni Mkalimani. Roho Mtakatifu aliye Ndani ya Huyu Pastor anaflow English.
@user-vl3fv8du1r
@user-vl3fv8du1r Ай бұрын
Umetisha
@dorcaskaka2085
@dorcaskaka2085 4 ай бұрын
Glory to God 🎉🎉🎉🎉
@inosensiaologa5946
@inosensiaologa5946 2 ай бұрын
may God protect you pastor..🙏 for lessons
@evalynependo3824
@evalynependo3824 4 ай бұрын
Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@Brightnessyohana
@Brightnessyohana 4 ай бұрын
Hallelujah 🙏🏿
@KadengeKazungu-pf6yi
@KadengeKazungu-pf6yi 4 ай бұрын
Congratulations Pastor you talk the truth
@MagrethErnest-ge2yq
@MagrethErnest-ge2yq 4 ай бұрын
Barikiwa sana pastor
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 4 ай бұрын
Tunakuelewa vzur sn
@EmmanuelBurton-kt1wk
@EmmanuelBurton-kt1wk 2 ай бұрын
Mafundisho ni mazur sana shida ni lugha jitahidi kutumia Kiswahili na sisi tukuelewe vizur
@godfreycosmas604
@godfreycosmas604 4 ай бұрын
Thank pastor Tony I understand you what am tooking so appreciate you
@dorcasmukami7032
@dorcasmukami7032 2 ай бұрын
Napenda mafundizo yako ....barikiwa mtumishi wa mungu
@user-fp1gd4lf8b
@user-fp1gd4lf8b 3 ай бұрын
My sister was living him lakini kwa ajili ya vingereza mingi anaanzaga vuka publications zake.
@haikaellyngajilo7768
@haikaellyngajilo7768 3 ай бұрын
Alway on my pray ..Mungu akutunze pastor 😇
@user-mf9uy1gk5c
@user-mf9uy1gk5c Ай бұрын
Sois abondement béni 🙏🏼!
@bikoolaizer2737
@bikoolaizer2737 4 ай бұрын
Amen amen amen
@hellynabrie5286
@hellynabrie5286 4 ай бұрын
Uyu pastor apelekwe nchi nyingne sasa kingereza tupu jaman
@heavenlight5084
@heavenlight5084 4 ай бұрын
😂😂😂
@makenakiki946
@makenakiki946 4 ай бұрын
God has increased his audience, pray for him and the message.
@PeterSimbeya-hd7gs
@PeterSimbeya-hd7gs 2 ай бұрын
Power wisdom ever heard
@user-nm9mk7fz1l
@user-nm9mk7fz1l 3 ай бұрын
Naomba upunguze kingereza pls paster
@kizitowalukwe1501
@kizitowalukwe1501 4 ай бұрын
Pastor please am going through a family curse that has ruined my life and am struggling right now pls pray 4me am from Kenya
@dorcasmukami7032
@dorcasmukami7032 2 ай бұрын
Pia Niko Kenya...Je unaeza Kua wajua jinsi ya kutumia hizo number zao?
@SenteuNaserian
@SenteuNaserian 2 ай бұрын
Wow Really love your sermon......... Thank you so much Pastor
@bplugins81
@bplugins81 3 ай бұрын
Kingereza kingi Aisee
@ernestnoely848
@ernestnoely848 3 ай бұрын
Powerfully word
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 4 ай бұрын
Barikiwa sana
@Davidgeorge-xq8me
@Davidgeorge-xq8me 3 ай бұрын
Pastor jamani anafundisha,abarikiwe na MUNGU Halafu wanaodadai anaongea kiingereza sana ni vizuri ili wajifunzie humohumo.
@user-jd1yo1ve6u
@user-jd1yo1ve6u 3 ай бұрын
Yan napenda sana mafundish yako san
@jumarajab5316
@jumarajab5316 4 ай бұрын
hivi hawa inamaaana mambo yao yamenyooka hawanaga changamoto
@jamesmwashinga
@jamesmwashinga 3 ай бұрын
Sifa na utukufu apewe BWANA YESU
@rosemarykimario2880
@rosemarykimario2880 4 ай бұрын
Ahsante baba Mungu anisaidie nipate mwanaume sahihi kwenye maisha yangu
@thomastomas9730
@thomastomas9730 3 ай бұрын
amen
@VeronicaNtabo-ol3xd
@VeronicaNtabo-ol3xd 4 ай бұрын
Amen
@MinisterRaphaelMwamu
@MinisterRaphaelMwamu Ай бұрын
Hapo kasema Mtumishi
@PytchenMbala-yz8qn
@PytchenMbala-yz8qn 4 ай бұрын
Baba pastor punguza kingereza sisi wengine hatujasoma,lakin tuna haki ya kupaata mafundisho
@user-dr2cs2zw4p
@user-dr2cs2zw4p 4 ай бұрын
😂😂😂😂 si babaako alikuwambia nenda shule ukaona madaftari mazitoo? Ukaenda misele yako saii unamlaum tony
@gracemkami1343
@gracemkami1343 4 ай бұрын
Mungut akubaliki msomi na wanao pia wasome sana ili uje kujua Nini maana ya DUNIA​@@user-dr2cs2zw4p
@happynescostat7420
@happynescostat7420 4 ай бұрын
Kama tungesoma wote Nani angelima? Vidole avilingani,🎉
@robertmaximilian3264
@robertmaximilian3264 4 ай бұрын
Nimeona watu wengi wanabeza watu tunaolalamika kingereza kingi siyo kwamba atujuhi kuongea ila tunaangalia na watu wengne wasiyo ijua iyo lugha basi kama anaoushauli wetu siyo sahihi basi aweke mkaliman ili watu wengne pia wapate neema ya kuskiliza
@petermanala6138
@petermanala6138 3 ай бұрын
​@@happynescostat7420😂😂😂😂😂Asante Kwa jibu Hilo ukute hata yy haelew lugha
@yusuphmipawa6340
@yusuphmipawa6340 4 ай бұрын
Kafundishe wazungu
@genzisolutions9104
@genzisolutions9104 4 ай бұрын
Ameen
@adrianokubila8374
@adrianokubila8374 2 ай бұрын
Mtumishi tumia kiswahili mi kingereza sikijui
@user-ss8mn8wu5r
@user-ss8mn8wu5r 4 ай бұрын
Napenda mahibiri lakini lugha ya kiingereza si ndo mtihani
@getrudaleonard8323
@getrudaleonard8323 4 ай бұрын
Kaka kaka kaka naimani ntafika mbali kukufwatilia we unaukweli mkubwa na Akili kubwa unayo,,,Tk
@seraphineally9739
@seraphineally9739 4 ай бұрын
Mungu nisaidie nipate mume sahihi
@ZOMBIE-bf6yg
@ZOMBIE-bf6yg Ай бұрын
Ndio mm mungu amenituma kwako😂
@floramakwi-vg4en
@floramakwi-vg4en 4 ай бұрын
Amina
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 4 ай бұрын
Don't say jump, say skip
@edwardisingo3286
@edwardisingo3286 4 ай бұрын
Nimependa biti❤
@georgedavid8358
@georgedavid8358 4 ай бұрын
😂
@sammychansa1797
@sammychansa1797 4 ай бұрын
Unahubir Kwl kbs ila lugha itakushusha baba
@abelharris6175
@abelharris6175 3 ай бұрын
Haitamshusha.
@davidmutinda952
@davidmutinda952 3 ай бұрын
Hii Kali wow
@Selfia-ru4wu
@Selfia-ru4wu 3 ай бұрын
Aki pastor please pray for us to get the right partner 🙏
@user-ul4cv4vy2z
@user-ul4cv4vy2z 3 ай бұрын
Mtumishi bwana akuongezee neema kubwa. Kwa mafundisho yako.
@user-ul4cv4vy2z
@user-ul4cv4vy2z 3 ай бұрын
Barikiwa sana
@victoriskiwango6770
@victoriskiwango6770 2 ай бұрын
Imeingia hiyoo had kweny Moyo
@chimgegeema5533
@chimgegeema5533 3 ай бұрын
Kweli pasta weka na mkalimani natamani kukusikliza sielewi kabisa
@bonychitanda6410
@bonychitanda6410 3 ай бұрын
Hivi huyu mchungaji wateja wake ni wanajua kingereza sana au.
@frankstarstz470
@frankstarstz470 6 күн бұрын
Ngeli kaka langueg tatizo
@brayankimambo5125
@brayankimambo5125 4 ай бұрын
Pasta tunapenda sana mafundisho yako lakini wengine hatuelewi kingereza hivyo tunaomba ufundishe kwa lugha ya kiswahili
@user-jg3ry4wb7i
@user-jg3ry4wb7i 3 ай бұрын
Umande wengi mliukimbia asee
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 4 ай бұрын
Hahahahaaa kuzimia tenaaaa nimevunjika mbavu
@EssauChauya
@EssauChauya 4 ай бұрын
Mchungaji nakuelewa sana mafundisho yako tena napenda mnoo kukufatilia,,,, lakini sasa KINGELEZA KINGI MNOO UNAWEKA ,,, MANENO MENGI YANANIPITA NAKUWA NI MTU WA KUUNGAUNGA MANENO ILI NIPATE SENTESI NA NIIPATIE MAANA.
@vickydan2869
@vickydan2869 3 ай бұрын
😢😢😢😢😢 jamani mimi😢😢😢mwambieni jamani😢😢😢😢
@nkwabison
@nkwabison 4 ай бұрын
☑️🔝
@analupia
@analupia 4 ай бұрын
Mtumishi daaaa hata.mm.nilimwota.mume.wangu ananikimbia.kumbe.sio sahihi kwangu..maana.hata.nguo.za.watoto.hanunui
@georgedavid8358
@georgedavid8358 4 ай бұрын
😂😂
@oprahpelle2531
@oprahpelle2531 3 ай бұрын
OMBA MAMBO MENGINE NIYEYE AMEFUNGWA AU WEWE UMEFUNGWA ILI USIHUDUMIWE AU KUTHAMINIWA
@salima2658
@salima2658 4 ай бұрын
Kingeleza sasa ungekiacha
@KareenSojo-ue1db
@KareenSojo-ue1db 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂kuzimia peke yako😂😂😂 pastor umetuwezaa
@user-gh3zf4ow4c
@user-gh3zf4ow4c Ай бұрын
Kiswahili na kingereza
@erickjohnglobal1536
@erickjohnglobal1536 2 ай бұрын
✍️😇
@erickleonard8162
@erickleonard8162 4 ай бұрын
Ni ukweli mtupu.
@AnnaAyubu-cm9mv
@AnnaAyubu-cm9mv 3 ай бұрын
Tumia lugha ya Taifa letu kama unahudumia wa Tanzania
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 3 ай бұрын
Au ndo tumesha PATA elaa tumesaau luga yetuuu
@abelharris6175
@abelharris6175 3 ай бұрын
Hupati hata point moja kwa anachoongea? Lugha sio issue. Issue ni content unayoipata kwenye fundisho.
@casto_iq9632
@casto_iq9632 4 ай бұрын
Pastor punguza kingereza plz
@rithaferdinand3738
@rithaferdinand3738 4 ай бұрын
Kingereza chako kinanifurahishaga sn et every time I see big chest i am vurugward😂😂😂😂na your mind is tawanyward😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaah napenda sn kukuckiliza we mchungaji 🙌🙌🙌
@user-rw6iz6dc7s
@user-rw6iz6dc7s 4 ай бұрын
Ndugu kiswahili ni mhimu wengine hatuelewi baba mchungaji samahani
@abelharris6175
@abelharris6175 3 ай бұрын
Hauna nyimbo za kiingereza kwa simu? Chukua content anayotoa Pastor. Mafundisho yanajieleza
@vitusvedastus3781
@vitusvedastus3781 4 ай бұрын
Uko vzur sana bro but ENGLISH Nyigi sana wengine ni ngum kkuelewa
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 31 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 68 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 207 МЛН
Kenjebek Nurdolday & Baller - sokpe#сокпе#сөкпе
3:10
Kenjebek Nurdolday
Рет қаралды 99 М.
지민 (Jimin) 'Who' Official MV
3:28
HYBE LABELS
Рет қаралды 27 МЛН
Sadraddin - Taxi | Official Music Video
3:10
SADRADDIN
Рет қаралды 530 М.
Jaloliddin Ahmadaliyev - Kuydurgi (Official Music Video)
4:49
NevoMusic
Рет қаралды 10 МЛН
Nurmuhammed Jaqyp  - Nasini el donya (cover)
2:57
Nurmuhammed Jaqyp
Рет қаралды 595 М.
Duman - мен болмасам кім? (Mood Video)
2:35
Duman Marat
Рет қаралды 139 М.
Alisher Konysbaev - Suie ala ma? | Official Music Video
2:24
Alisher Konysbaev
Рет қаралды 1,2 МЛН