Santee maalimu mungu akujalie kwa kila jambo mimi nimejifunza huwa nafaa bila maarifa🙏🙏 Natamani siku moja nikuone insha'Allah
@halipipi11754 ай бұрын
Shukulan sana maalim masomo yako nisahihisana hakika tunajifunza vituvikubwa sana kutoka kwako. Allah akupeumli mlefu ilitupate kujifunza zaidi na mafundisho haya insha'allah🙏🙏🙏
@user-ix3gv5ry6i4 ай бұрын
Mwalimu a salaam aleykum, nashukuru darasa Lako, jina langu Ramadhan Teikwa, nyota yangu ni ipi, na ninapaswa kuvaa madini gani, natanguliza shukrani
@mustafasuleiman35384 ай бұрын
Ahsante maalim , nimekuelewa binafsi nahitaji Pete nianzie wp?