No video

🔴

  Рет қаралды 5,114

PMTV TANZANIA

PMTV TANZANIA

Күн бұрын

JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz/en...
NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA TOYOTA HARRIER NA NISSAN X-TRAIL
TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE KZfaq CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtvtz
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv

Пікірлер: 10
@user-ec3iz6pg2i
@user-ec3iz6pg2i Ай бұрын
Huyu mjinga sana
@mohamedikassimu7016
@mohamedikassimu7016 Ай бұрын
Wanangu ninyi wa maana kabisa.Sema kuna muda kutokana na upenzi wa timu tunawaona kama mnaisakama simba. All in all nmewaelew sana. Simba this time hawatakiwi ku focus na mambo haya yatapoteza muda na tention
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
unaharibu reputation ya TV yenu
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 Ай бұрын
Simba walimwachia Kajula kufanya kazi zake bila kumwingilia. Sema Kajula ni Mtendaji mzuri kiuchumi na kibiashara lakini hakuzoea kazi zenye presha hasa kutoka kwa Mashabiki na Wanachama. Kwa mfano timu ilipofanya vibaya naye alikuwa anamtukana kama na yeye kusababisha timu kufanya vibaya. Sasa mambo kama haya kwa mtu kistaarabu hawezi kuvumilia.
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Ай бұрын
Kesi nyingi za soka zinatengenezea na TFF yenyewe kwa faida ya upande wanaoushabikia waonkama TFF. Kuna matumixi mabaya ya madaraka huko TFF Na maamuzi mengi yanalenga kuwanufaisha wale wa upande ule ambao wao wanashabikia.
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 Ай бұрын
Sasa kama Azam wanamtaka Manula kwanini wasvunje mkataba kule Simba ili wamchukue? Hili nalo ni la kuwalaumu Simba? Simba hawajasema kuwa hawamtaki. Ni Manula mwenyewe kaamua kajitenga. Yeye avunje tu mkataba awe huru au aamua kubaki Simba asugue benchi kwani siyo siri kiwango chake kimeshuka. Hawezi kupata namba mbele ya Lakred.
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 Ай бұрын
Huyu mjinga anasema ati Simba waconcetrate na ujenzi wa timu wamwachie Chama aendelee na maisha yake. Je umewauliza Simba kwanini hawajatoa release letter au unafikiria tu kichwani kwako. Huo ni uvivu wa kufikiri. Simba si wajinga lazima wanasababu. Usiwawekee maneno mdomoni. Nenda kawahoji ndiyo uje kwenye media.
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr Ай бұрын
HAPO MNAJADILI NN ? MKATABA SIMBA ALIPEWA SIKU NA TAREHE ZA KUMALIZA DENI MUDA UMEISHA DENI SIMBA AIKULIPA KWA HIYO HAPO MKATABA UNAKUWA USHAKUFA SIJUI SIMBA WANADA NN ?
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
wacha uyanga wako Simba Wana points pesa ilichukuliwa
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
nyie ni tff?MSI prejudge simba
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 39 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 196 МЛН
UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?
14:01
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 39 МЛН