Wa kwanza ku toka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ni mimi naombeni like zangu
@saleemsuleiman2220Ай бұрын
Omba hela siku nyingine 😅
@mustafamasudi8093Ай бұрын
Wakongo nyie mbona washamba sana wa kwanza nd nn
@Kujason12Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@sonnyr1899Ай бұрын
Kuna watu humu wanatowa ajira mara nyingine omba vitu vya maana humu
@MursalLusindeАй бұрын
Hakuna mkongo mwenye muda wa kuja kukoment ktk media za bongo hta ukisoma coment zao ktk media za huko hua hawaombi like 😂😂 😂😂 😂😂😂
@KilimbikeHaji-iy2fmАй бұрын
Mwenyezi mungu azidi kuwapa nguvu na ushindi zipi ya wamarekani na washilika waoo
@CheloDangoteАй бұрын
Wa Kwanza from DRC 🇨🇩🇨🇩
@aediayumgo8546Ай бұрын
Hawa mbona Wana Afya mzuri nchi nzuri Safi vikwazo Na wanaishi vizuri😊
@kwisa4899Ай бұрын
wanapewa chakula na Russia
@barakashaban9698Ай бұрын
@@kwisa4899acha uongo
@shukurumsebaloliАй бұрын
@@kwisa4899 Kakudanganya nani?
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
Tunapewaga taarifa tofauti na BBC dunia ipo uchi sasaivi viungo vyote vinaonekana
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
@@shukurumsebalolikalia hayohayo na viongozi wako wakoma
@josephfrank4446Ай бұрын
❤❤❤noma sns Hawa ndo watu sahihi achana na mashoga wengne Hawa ni wanaume kweli 🎉
@kalengashoppingcenter1108Ай бұрын
😂😂😂😂😂 Karibu Putin hawa jamaa ni noma sana Nawapenda sana
@MirajiWaziri-hl2hcАй бұрын
Mungu awape nguvu muwamalize mangaribi inshalah
@isdorchuvu6280Ай бұрын
Acha uchoko wewe Vita Kama Ni nzuri nenda ukapigane..
@KS-iw7qvАй бұрын
Go go go brothers MASHOGA tumewachoka
@user-qq6mv6vh3eАй бұрын
Kabisa
@jotafungo4622Ай бұрын
Safi sana magangwe
@sleifikhajjir262Ай бұрын
Nimegundua kwa DRC wanaipenda sana SnS ❤❤🎉
@ChidaАй бұрын
Congratulations to you guys. It's a great job gooooooooooo
@jayomarion8183Ай бұрын
Sasa Kuna jitu jeusi lililopigiwa kura na wananchi maskini linalosapoti wamarekani..
@EmanuelMkongwiАй бұрын
Na sisi tunasema kalibu 🇹🇿 Tanzanian 🇹🇿
@edchrisbeatz8976Ай бұрын
😂😂😂 tatizo letu hatunaga msimamo hilo ndo linatuponzaga always
@nasibugunda7927Ай бұрын
😀😀 Nyie mnaushirikiano wa kisiri siri na kiduku
@HenryNuhuАй бұрын
daaah Umenfrahisha sana aseeh
@geoufo2858Ай бұрын
Nimefray kwakweli.🔥🔥🔥🔥
@rashidsaid6015Ай бұрын
Hawa jamaa kwel wagumu mimi naamini kabisa wote English wanajua ila wanazungumza kupitia wakalimani hawatak kbs kumtukuza mzungu na upuuzi wake
@saidyramadhani9874Ай бұрын
Wamesoma marekani wote hao
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
Viongozi waadilifu allah awaongoze mshinde aamiin
@mayungarichard7443Ай бұрын
Wababe wa dunia viva Putin 💪
@msukumamnywamaziwa2785Ай бұрын
❤❤❤Pongenzi kwa miambA hawa khakika Dunia wana ishepu vinzuri.🎉
@SAYMOEKARIMАй бұрын
hii Ndo Korea tulioambia masikini duh Marekani na ulaya bwana 😅😅😅😅😅😅 duh
@saidirakozi1809Ай бұрын
Wapotevu sana
@kaayakitomary1233Ай бұрын
Imeenda iko vizur sana
@jkifutu7936Ай бұрын
More blessings
@Gulfnas1Ай бұрын
Karibu Dar pia mwamba!!
@bacarcasanova5705Ай бұрын
The powerful leaders in the world✊✊✊
@selemancokker4994Ай бұрын
M/mungu azidi kuwacmamia viongozi hawa
@danielamosi6871Ай бұрын
Safi sana
@ValencechachalyricsАй бұрын
Safi sana hii 💪🏾
@ZiyandaMhlanaАй бұрын
Nice story big up
@paschalfausitine7108Ай бұрын
Nawakubari sana wakubwa
@MS.independent8934Ай бұрын
Nimependa sn mapokezi yake🎉🎉
@msafirisaimoni9561Ай бұрын
Marekan ana miaka 5 ya kujipanga tofauti na hapo amekwisha
@RuttaJames-kh5jxАй бұрын
Dj sma huko wapi sauti hatusikki mkuu
@musaakida9951Ай бұрын
Hawa ndio wanaume
@user-rt9qr3ie9gАй бұрын
SAFIII
@FaustineLuandaАй бұрын
Nimefurai sana
@user-ql6hg7fy9pАй бұрын
Ziara ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin Korea kasikazini ni ya kuiangamiza Nato ikiongozwa na Marekani, Mungu ambariki Putin na wananchi wa Urusi na Mungu ambariki Kim na wananchi wa Korea Kasikazini.
@ZiyandaMhlanaАй бұрын
Nice story
@user-xl9so6jg1eАй бұрын
Kichekesho chako kizur sana
@nizarrama225Ай бұрын
wewe huna akili unadanganywa na Hollywood movie😂😂, huyo mmarekani wako anawashindwa Houthis😂😂😂@@user-xl9so6jg1e
@selemancokker4994Ай бұрын
Amini kiongozi magharibu wana2nyanyasa sana
@zuricakes6817Ай бұрын
@@selemancokker4994 UMEWAHIKUSIKIA WAKIMBIZI WA KIVITA, NJAA AU SHIDA YOYOTE WANAKIMBILIA NA KUHIFADHIWA NA URUSI AU KOREA kASKAZINI?
@samwelynzaly1175Ай бұрын
Nice 🎉
@chusseboywcb2808Ай бұрын
Nawapenda Sanaa hawa watu 🙏🙏🙏🙏💥🔥
@user-by3di4jb3kАй бұрын
❤
@mohamedabdulkadir7996Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@joshuason557Ай бұрын
Watu wa maana sana 🫡
@johnmike6059Ай бұрын
Good moment ...Putin.x.kim
@Bama959Ай бұрын
Alipo putin Kuna Amani
@JeanvierLuwelaАй бұрын
❤❤
@elidiustudoy2640Ай бұрын
😂😂😂 izi nchi naona zinaogopeka dunian kote ivi sasa kama unamini kam mm gonga like apa✍️✍️
@eddechriss2664Ай бұрын
Hii ndio timu ya ushindi bhana
@zuricakes6817Ай бұрын
Bado sana!
@emmanuelkanyela275Ай бұрын
miamba hiyo hatari sana
@Visionofeagle9689Ай бұрын
Hapa nilipo ninatabasamu tu kwa ajili ya miamba hawa.😊
@nellymtambo8432Ай бұрын
Haya mambo naonaga kwenye movie tuuuu saivi dunia ndio tunayo yaishi😂❤
@stevkaliona4107Ай бұрын
Kimenuka jamaniiiiiii uwiiiiiiiiiii Leo n leo😂😂😂😂 like zenu wa kwanza kulike❤
@GeorgeMpwetoАй бұрын
Mimi natokeya USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲 mungu atu saidiya sisi wajawake na awa samehe makosa yawo
@suleimanali5681Ай бұрын
Kwn ile gari ambayo kapewa or ilitanguliza kwajili ya usafiri wk?
@billskeez92Ай бұрын
Shabiki kindaki @Billskeez to pande za🇧🇮 tuna GPS kuhusu huyo msafara
@husseinhemedi9314Ай бұрын
Mbabe wa kivita
@jkifutu7936Ай бұрын
Kaz hipo miaka hiii
@Nyanda506Ай бұрын
Huwa wanasema eti korea kuna maisha magumu ..Ni uongo tu na propaganda
@user-cj2kl7cd9kАй бұрын
Nenda ukaishi ili ujihakikishie zaidi 😅
@omarybakunda2554Ай бұрын
Bora waungane.
@nellymtambo8432Ай бұрын
Mmarecan kapata maaadui yajayo yanafurahisha😂❤
@geraldgogadi7054Ай бұрын
Vyuma hivyo
@Moviesclip6actionАй бұрын
natamani kuona vita za nyuklia
@jassonnelly3445Ай бұрын
Marekani kayatimba
@nathanasige806Ай бұрын
May God protect Putin as he goes back to moscow
@gynae8407Ай бұрын
Oioioioiiiii..... hawa ndomiamba imesalia duniani nimefurahi kinyama wangerusha hata bomu Moja kwanza Leo US
@zuricakes6817Ай бұрын
Hawana Jeuri hiyo😀
@josepheriah5977Ай бұрын
Wote maskin
@sonnyr1899Ай бұрын
Vidume 2 kudadadeki waze wa kazi.
@AFRICA_D669Ай бұрын
Keta mapinduzi makubwa ndani ya hii dunia, bila kuisahau africa hatujaona mabadiliko toka tutawaliwe na magharibi tofaut na ushoga na kuchuma lasilimali zetu
@Oldskulgemini9991Ай бұрын
Kwa akili Yako unadhani Russia akiikamata dunia atakupa uhuru?😅 Hapo ndo tunapokesea Sana, hakuna mtu mweupe anaependa Africa weka akilini mwako hiyo
@AFRICA_D669Ай бұрын
@@Oldskulgemini9991 sawa wacha nisibishane
@HajiKlein-so1rkАй бұрын
🇷🇺🇷🇺🇰🇵🇰🇵🇹🇿🇹🇿👏
@catherinejohon1282Ай бұрын
Hiii ni shoo ya kibabe kabisaa🎉🎉🎉🎉
@user-qk7bn8dj4zАй бұрын
Kwanza wanaafya
@zuricakes6817Ай бұрын
Sky inaonekana hili umefuraishwa nalo sana. Unatangaza kwa raha sana hii news!😀 Una ndoto za kuhamia Urusi nini? Utakuwa kw kwanza Bongo mwenye ndoto hizi.
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Wanaume wawili wa shoka .
@hassangaddafi2347Ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸
@user-fl1xz3ln3cАй бұрын
Wanaume wenye misimamo hao
@davidndaha9607Ай бұрын
Mimi sijaona Raisi wa Korea anacheka ila akikutana na Putin hata meno yote unayaona kweli urafiki mzuri ni raha.
@shabanibussara8454Ай бұрын
Putin ndani ya mjamaa halisi
@Papi.Al.PacinoАй бұрын
Kweli DRC wanaipenda sana SNS kulko hata wabongo😂🙌
@husseinkonz5192Ай бұрын
Tutaheshimiana tuu
@RashidShinzaАй бұрын
Jpm
@khamisikhamisi7225Ай бұрын
Wababe ulmwengne!!??
@radjabusuleiman6486Ай бұрын
THE WEST EMPIRE IS COMING.
@user-hb7mq8lg9eАй бұрын
WEST,EAST?..
@radjabusuleiman6486Ай бұрын
@@user-hb7mq8lg9e wanapigana na west apo nimemaanisha west wanarudi vitani tena maana myaka mingi hawajapigana vita na wababe wenye kulingana nguvu.
@user-qq6mv6vh3eАй бұрын
Weeee wa gangi hao umoja ni nguvu
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Kaka sky gps news iko wap...lusha basi tutazame nawasubilia kwa hamu kwajili yakuwasikiliza
@SimuliziNaSautiАй бұрын
GPS mpya ni hadi Jumatatu
@jamilaathumani5481Ай бұрын
@@SimuliziNaSauti sawa kaka sky mim nishabiki yako mkubwa Sana sijawahi kupitwa nakipindi chako nahabar zenu za sns or gps hata mala moja..siku yake namim unipe sharauti kwamana ni shabiki yenu namba moja kabisa kabisa sijawahi pitwa na habar zenu..nasiachi kukoment..nakipenda Sana gps na timu yako yote
@BillySmart-tk1wuАй бұрын
The western people are so jealous bcoz of this is happening in #northkorea... Napenda Sanaa hayo mapenzi itawale DUNIANI #africa #diaspora #carribean .. AFRICA government muko wapi na KUJIPENDEKEZA kwa watu wa magharibi wasio tupenda nakutuletea ushoga....... 😢😢😢
@muksinimbaruku1233Ай бұрын
Africa ni winafsi sana wanajali matumbo yao na wala sio raia na future ya generations zao.
@nasibugunda7927Ай бұрын
KOSA kubwa la mmarekani ni kurusu hawa jamaa kuungana
@Sidrasidra636Ай бұрын
Asiwe anatangaza safari zake wasije wakamtungua😢
@happymrema7487Ай бұрын
Ulinz wake ni hatar Sana Yana kweny anga kunakuwa na ulinz wa hatar ni ngum wanajua kwamba anawez kufunguliwa lakin wajipange Sana
@daprince7545Ай бұрын
Viongozi wawili wanao kosesha usingizi muungano wa NATO kwa mda huu. Intelligence ya NATO iko mbioni kujua ziara ya mwamba putin ndani ya korea.
@saidyramadhani9874Ай бұрын
Soviet la familia
@shijandobehe4953Ай бұрын
Viva Putin vs kiduku🎉🎉
@Abuqayyim157Ай бұрын
Vichwaa vya bangi vimekutana
@salummohamedi5562Ай бұрын
alicho kisema huyu jamaa kua atazipa siraha nchi hasimu na marekani naona Sasa anakitekeleza naiona Vita 3 ya dunia ipo usoni
@TheBossOdhisАй бұрын
Long live Putin
@isaacklazaro3780Ай бұрын
Viva Putin
@MagabiMwikwabeАй бұрын
Saf putin
@KizitoAnthony-tv3flАй бұрын
kumbe MAREKAN mbabe 😂😂😂
@RehaniKharidi-st4oeАй бұрын
Si walisemaga hasafiri putin sasa si huyo 😂😂😂😂
@RuttaJames-kh5jxАй бұрын
Putin tuna kuombea
@missp1814Ай бұрын
hata mie ningekuwa Korea mfano,ningekuwa hapo kushangilia mpaka sauti ingekauka😂😂😂M.mungu awalinde hawa viongozi maana hao ndo wameamua kusimama kupambana wengine wapo kujikomba kwa marekani akati wanakandamizwa wao wanajichekesha kwakupewa vitu vidogo wanaona wanapendwa
@chancesholdan342Ай бұрын
Dunia imekutana North Korea.... HIzi Pumbavu kina NATO wajipange mamae zao
@korossocharles419Ай бұрын
Russia nikubwa sisi wa Africa ilitakiwa tuwaunge Russia
@yohanalembuguni3171Ай бұрын
Father Putin fanya kutest mitambo kidogo tz maana wamezidi maneno insta