Sifa Tano Za Mtu Kutorogeka / Wale Wanaosema Mtume Hasifiwi Wanamkosea Mungu / Sheikh Walid Alhad

  Рет қаралды 26,785

DARSA TV

DARSA TV

2 жыл бұрын

Sifa Tano Za Mtu Kutorogeka / Wale Wanaosema Mtume Hasifiwi Wanamkosea Mungu / Sheikh Walid Alhad
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wali ya juu kabisa juu sifa tano za mtu kutorogeka / wale wanaosema mtume hasifiwi wanamkosea Mungu tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks

Пікірлер: 50
@cheka480
@cheka480 Жыл бұрын
Mashallah Allah subhanah wataala amuweke Sheikh na sijutii wallah thumma wallahi kukuombea dua kila swala nnaoswali namuomba Allah amuweke kwenye hiki cheo aweze kuokoa ummah wa Dar es salam na Tanzania kwa ujumla
@allywaziry7489
@allywaziry7489 Жыл бұрын
Shekh Walid M/Mungu amjalie,,shekh anaelezea vizuri Sana hata Kama uelewa wako ni mdogo utaelewa tu
@ramaaman9173
@ramaaman9173 2 жыл бұрын
Da,unafafanuavizurisana Shekh wala huna haraka katika kuelewsha mashallah
@hawaamohammed6687
@hawaamohammed6687 2 жыл бұрын
Hakika anajitahidi waumini watoke nakitu si warudi majumbani kama walivyoingia : MashaAllah
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Allahumma swalli wasallim. Wabarik alayhi❤❤❤😍😭allah atujaslie nuru ndani ya nyoyo zetu tuwe wapole na kuhurumiana kama kiongozi wetu yaarsbbi amiin
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 2 жыл бұрын
Ameen yaraab alamiin
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Shukran ya sheykh jazakallahu khayran
@ashalaurent2465
@ashalaurent2465 2 жыл бұрын
Mash Allah mwenzi mungu akujaza kheri shekh letu kipenzi
@bentybenty2343
@bentybenty2343 2 жыл бұрын
Masha ALLAH. Rehma na amani zimshukie mtume wetu kipenz pamoja na maswahaba zake..
@omarijuma6692
@omarijuma6692 2 жыл бұрын
Allah akupe kila lakheri sheikh letu akupe pia umri mrefu ili tuendelee kufaidika na wewe inshallah
@jamilanassor1135
@jamilanassor1135 Жыл бұрын
Allah azidi kukuhifadhi Sheikh Walid
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 2 жыл бұрын
Sheikh Walid MaashaaAllah. Ahsante, darsa nzito. Allahumma swalli wasallim alayh
@AbdullahAlZaabi-on4tb
@AbdullahAlZaabi-on4tb 4 ай бұрын
Allah.akuhifadhi.shekhe.wetu
@ffed1876
@ffed1876 Жыл бұрын
Shukran sheikh wajazaakumu Llahu khayra
@user-ih4ew6tq3z
@user-ih4ew6tq3z 26 күн бұрын
Mashallah mwenyez mungu akupeshifaa amina
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 2 жыл бұрын
Allahumma ammeen yarrab
@mariammohamed6762
@mariammohamed6762 Жыл бұрын
Mashallah shekh ndo maana Allah amekuchagua kuwa shekh wa mkoa Allah akuongoze uzidi kutupa imma wa kiislam nasi atuwezeshe kuyafuata nakuyafanyia kazi
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 2 жыл бұрын
Maa shaa Allwah
@smartpass7928
@smartpass7928 Жыл бұрын
MashaAllah yarabbi atujaliye nyoyo zetu tuwe watu wenye kuhurumiana kama kiongozi wetu rabbin alemian.
@nabiljumbe
@nabiljumbe 2 жыл бұрын
Mashaallah
@abdallahjoe8015
@abdallahjoe8015 2 жыл бұрын
Allah akuweke amina
@balyyusuf7394
@balyyusuf7394 2 жыл бұрын
Mashallah
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 18 күн бұрын
Shukran ❤❤
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 2 жыл бұрын
Shukraan 🙏
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y 7 ай бұрын
Tuyafanyieni kazi hayo mambo matano.
@dungayusufu1954
@dungayusufu1954 Жыл бұрын
mashaalah allah akulipe kwa ghelim shekh walid ishaalah
@abubakarswaleh5667
@abubakarswaleh5667 2 жыл бұрын
Mashaallah Sheikh Walid
@abdulrazaktayeb
@abdulrazaktayeb 5 ай бұрын
Mashallah Jazakallah
@eshasalim5496
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Kheir
@heyumi2340
@heyumi2340 Жыл бұрын
maashaallah shekhe wetu
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 2 жыл бұрын
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.
@tumajunior6080
@tumajunior6080 Жыл бұрын
Shukran jazzakallah khairan
@shamisfahiye9628
@shamisfahiye9628 10 ай бұрын
🎉
@josephmasika3854
@josephmasika3854 Жыл бұрын
Alhamdulillahi
@khalidiswala2505
@khalidiswala2505 2 жыл бұрын
Qiraa😍😍
@khalidiswala2505
@khalidiswala2505 2 жыл бұрын
Kimaro tuache banaaa
@abdallahshariff2983
@abdallahshariff2983 25 күн бұрын
Hakika na sadikisha mambo yake,sheikh unayaongea ni ukweli mtupu.
@jolinkimaro9939
@jolinkimaro9939 2 жыл бұрын
kama mtu muhammad alilogwa wewe unafundisha haya mafundisho unatoa wapi shekh. alilogwa mpaka akachanganyikiwa akawa anaota mara amawaingilia wakeze kumbe bado. lakini pia mtume mmefanya kuwa mtukufu wakati yeye mwenyewe anajijua. waislam pendeni kusoma bila kasumba wacheni kukaa hapo mdanganywe na mashekh wanajua kabisa mtu si chochote ila ni chifu tu wa makoreshi. hapasi kisifiwa kiungu isipokuwa hodari wa giza
@shamisahmed1425
@shamisahmed1425 2 жыл бұрын
PERISH IN YOUR RAGE!!
@waleedalhad4844
@waleedalhad4844 2 жыл бұрын
Yeye alirogwa mola akamfundisha dawa akapona lkn yesu alisulubiwa baba yake hakuwa na uwezo wa kumtetea wala kumnusuru akafia pale pale na kuozea msalabani zinduka mpumbavu weeee kisha unabeba hiyo silaha (msalaba) ulimuua unauenzi duuuh kweli umechelewa mjinga mkubwa weeeee fala
@jolinkimaro9939
@jolinkimaro9939 2 жыл бұрын
@@waleedalhad4844 leta ushahidi wapi alipona. hakuna sehemu yoyote alipona wacha kudanganya watu. muhammad alikuwa na shetani toka kuzaliwa. na unakimbia kwa yesu unadhani itapindua ukweli kuwa mud alilogwa. alafu leo eti njia ya kufanya usilogwe. mkamfundishe kwanza mtume aijue.
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 2 жыл бұрын
Usilolijua Litakupa tabu. Kama Haujui waulize Wenye Kujua. Yesu Amekufa Msabani Kwaajili Yadhambi Zenu Nabado Nyie Ambao Dhambi Zimechukuliwa Nayesu mnatenda dhambi Namnasamehewa Nawakati Mnajua fila kasurubiwa Msabani Kwaajili Yenu. Ungejitahidi Kusoma vizuri Nakuibadilisha hali kamahii. Kuliko kuyaingilia mambo usiyoyajua. Kwavitendo Chako chakuvamia mambo yawatu Kwalugha yamtaani kinaitwa umepanda Treni kwambele. Waswahili Wanasema Ukitaka Kutoa kibanzi mwenzio kitoe chakwako kwanza.
@jolinkimaro9939
@jolinkimaro9939 2 жыл бұрын
@@nurdinmfamau3493 shekh. hiyo haiondoi muhammad alilogwa. kipi sijui. muhammad alilogwa alafu wewe unajidanganya eti njia za kuepuka usilogwe. shetani amewadanganya kama alivyomdanganya muhamad na nyie anawapepeta hovyo. amewapa mizigo mizito mpaka kuingia chooni jinsi ya kulala jinsi ya kusali ili allah awasikie. shekh mnapepetwa kwa kuwa mnaibishi kama huu ubaobishana hapa. mtume amelogwa mpaka anakufa hakuna ishahidi uchawi ulimwacha kama unaushahidi leta. utaniambia eti ni sura za mwisho zilishuka ili uchawi umwache. yaani shetani amshushie mtu aya za kumtoa yeye? funguka macho ya kiroho shekh. fikiri jambo hilo unayozungumza kuhusu yesu mzigo kwako hili la wazi kuwa mtume kalogwa huoni kabisa na watu wamekaa wanakusikiza majitu mazima midevu kama nyuzi
Kisa cha Habari ya Panya na Ngamia - Sheikh Walid Alhad
49:56
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
MOJA YA SABABU ZINAZOSABABISHA MAPENZI  KUISHA HARAKA KWA WANANDOA
16:32
SHEIKH WALID ALHAD TV
Рет қаралды 15 М.
TAFSIR SURAT YASSIN (PART 1)
54:51
SHEIKH WALID ALHAD TV
Рет қаралды 5 М.
WEWE MSELA WA MELI GANI ACHA UJINGA- SHEIKH NYUNDO
19:42
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 6 М.
PAZIA LA KUJIKINGA NA MISUKOSUKO YA MAISHA - SHEIKH WALID ALHAD
37:29
ZAINAB ONLINE TV
Рет қаралды 75 М.
С топором нельзя #ссср #история
1:00
MOTIVATION
Рет қаралды 2,2 МЛН
It worked for me)
0:19
F&T Team
Рет қаралды 21 МЛН
IQ Level: 10000
0:10
Younes Zarou
Рет қаралды 4 МЛН