@@ibrahimabadi6498unaelewa maana ya neno gaidi!!?
@nassorkhamis62337 ай бұрын
Vibaraka wa mayahudi hawa
@nassorkhamis62337 ай бұрын
Usalafi alikua nao sheikh ilungu n.k...
@ahmedjuma26742 жыл бұрын
Na tumeelwa vizuri Allah alinde na pia awalinde masheikh wa hii dawaah
@salummohammed30752 жыл бұрын
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
@user-bj6yz7gy1v2 ай бұрын
dkta sule kasema inafaa kufuga majini kafanya kazi kubwa mfateni na ujinga wenu
@user-yb3gg2gt7o2 ай бұрын
sawa wew shekhe umesilimisha watu wangapiii
@Abuyusuf134 Жыл бұрын
Kweli Shekhe. Mazinge aliongea hivyo. Alifanya makosa mazinge kuongea hivyo. Ni kukejeli Aya ya Quran. Katika suratul Jumuaa
@saidizidadukanyida88752 жыл бұрын
Ni mwendo wa raaaadiii mbaka matago poli yajulikane
@MidoEast3 ай бұрын
Wewe n sheikh lakin allh ajakupa ufahamu muombe mungu akupe fahamu na elimu
@YussufmohdHamad3 ай бұрын
Usisahau kumuomba Allah na ww akupe akili ili uanze kusoma
@allylassuh4947 Жыл бұрын
Dah kila ukisoma naona ndo unazidi kua mpungufu wa elimu shekh ALLAH akuongoze yani kazi aloifanya mazinge hata akifa leo ukae tena miaka 50 ww huwez hata kuonesha mfano wake hehehehehe yani dah wote ni wivu huu inamaana hutaki watu wasilimishwe sio unataka waachwe na ukafiri wao dah innaalillaah
@omarbawazir3705 Жыл бұрын
Ukiona mtu anajiona yupo sawa kuliko yoyote mpumbavu huyooo MBWAAAA
@momadeali-bn5cf9 ай бұрын
wewe unaonekana ni mtu ambaye ukuka darasani
@kessylukombe18112 жыл бұрын
Mashekhe nyie kila siku kazi yenu kuraddi wenzenu tu makafiri wakimtukana mtume hamsemi pumbavu kabisa
@fadhiljuma-du4et Жыл бұрын
Soma kaka ,ukisoma ndo utakuja kujua haki na batwili hufanana? Bado upo matopeni na ktk usingizi mzigo na ujahili wako
@AMINISINGANO-rc5xf Жыл бұрын
Kijana kuwa Na adabu
@allyhassan9318 Жыл бұрын
Duh muombe allah msamaha n nenda kasome nn maana radd ktk dini
@allyhassan9318 Жыл бұрын
Usifwate mkumbo w watu
@MuhidiniNassor6 ай бұрын
@@allyhassan9318Hajakufuru Wala hajatukana na ujahil wako huo
@abuuzwiin18762 жыл бұрын
we mzushi
@user-lx2wg4je3t3 ай бұрын
Mtu kama kakisea bora umfate umwambie sio kumuongelea kwwnye mitandao hii sio mzur kwa waislaam tatizo letu waislaamu tunawaiga wasio waislaamu sisi mashehe wote tunawapenda na tubawasikiliza kama umeona sheh mwenzako kakosea mfuate umuelimishe
@user-bj6yz7gy1v2 ай бұрын
dalili ya haki kuona watu wengi wanaipinga
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
MWAKA HUU RADI NYINGI KWELI BILA MVUA MINAZI YOTE IMEKAUKA UKAME UMEZIDI NA BALAA HILI 😂
@moddyhh2 жыл бұрын
😂🤣😂
@allyhassan9318 Жыл бұрын
N akili haifanyi kazi au had unaleta istihzaa kweny dini y allah
@mohamedhillow2523 Жыл бұрын
هداكم الله إلى الطريق الحق
@harounmohammed56723 ай бұрын
Yaani waislam tunapigana vita wenyewe kwa wenyewe innalillah wainna ilayhi raajiun
@FridayMwassa3 ай бұрын
Kwaani wale wanaovaa mabomu na kujilipua si ndugu zenu
@rashidmwaita51632 жыл бұрын
Mazinge akiwacha hio shuhuli nyinyi hamuezi hata mmoja wenu.mbwa nyinyi..
@fadhiljuma-du4et Жыл бұрын
ALLAH AKBAR, ALLAH akuongoze ktk kher akhy Rashid, mashekh wa haki na wakweli unawaita Mbwa, SUBHANALLAH,Mche ALLAH,hivi huogopi warith wa mitume kuwaita Mbwa,ww jahil akhy,
@sadarashid Жыл бұрын
Kijn huna mipaka
@husseinihassani3541 Жыл бұрын
Tatizo chuki na husda nenda kafanye kwa hiyo njia unayoiona ni sahihi
@allyhassan9318 Жыл бұрын
Eeh wew sindio wale ambao akili zimetekwa hujui lolot khs uyo mzinge alaf mwombe allah msamaha kuwatusi waislam makosa
@zanlec7357 Жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Allah akusamehe san kiijan utaangmia ww. Usitoe matus dhidi ya Maheikh
@kandindimkuranga8792 жыл бұрын
Ifike steji muwe na heshimu basi hivi munajua kazi yamazinge nikubwa kuliko we mpuuzi unae ongea humu kwakutaka kiki mazinge anakaanawatu anawasilinisha we mpuuzi umeshasilimisha wangapi kwamaneno Yako haya
@saidhassansaid514010 ай бұрын
Huelewi kilichozungumzwa nakuuliza ko wafurahi mola wako au Quran kuchezewa!!!?
@user-il5te5xd5y25 күн бұрын
aaaah shekhe ubwabwa chagua mada za kuzungumza bwana unaongea majungu tu
@abuuintisaar2104 Жыл бұрын
Me nilisema haw wametumw kuj kufarakanish watu
@kombomakame95419 ай бұрын
Wewe Makafiri wawajua au wawasikia TU. Makafiri wanamaswali ya kijijnga wewe huwezi kujibu Hata siku Moja utaishia kutukana TU.
@peteryukunda92392 жыл бұрын
Mazinge na Mwaipopo! Wafukuzeni ndo chanzo cha ugomvi wenu! Kila cku kuwasema Wakristo,hawana cha kuhubiri,Wakristo Wakristo.
@khalidmuhidin2795 Жыл бұрын
hatuwafukuzi utakufa kwa chuki zako
@Abuusaad-uy5cx6 ай бұрын
😏😏😏
@saidibuye88592 жыл бұрын
Kwani hakuna masomo ya kufundisha mpaka uwangalie alichokosea mwenzio ndio uje ukifindishe
@mohamedabshir61422 жыл бұрын
Sasa kama anafundisha upotoshaji asiambiwe
@ramadhanirama66362 жыл бұрын
@@mohamedabshir6142 Hakunaga dini km hyo
@abdalhasaid84082 жыл бұрын
Linganieni makafiri Muna choyo kwa sababu elimuyenu ndogo mpaka baadhi ya mashekhe wameshakufa mnao et salafi salafi sio nyinyi nihao walopita na walopita ndio tunao wafata sote msijidai hamna lolote zaidi wivu na sikuhizi ndio mmezidi muogoeni mungu
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
WANAO ELIMU YA KUJUA MUNGU WAO ANA MIGUU NA MIKONO YESU KRISTO WA TAWHEED TATU, MUNGU BABA, MUNGU MAMA NA ROHO MTAKATIFU. 😂😂😂.
Masalafy mnipe jibu kama kweli mnafanya haqqi. Je ninyi kwa ninyi hamtakiwi kupigana raddi? Sijawah sikia raddi ikitoka kwa salafy kwenda kwa salafy.
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
Wao Mtume wao mmoja Muhammad ibn Abdul wahabi 😂😂😂
@isiakamfugale36212 жыл бұрын
@@hilalkhalfan1452 Na Qassim Mafuta hehehe.. mana huyo bhana ndo mkuu wao kwa Tanzania.
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
@@isiakamfugale3621 😂ehee kama ulikuwepo. Ni kama ugomvi wa kaka na Dada tu huo. Lkn wanajuana. Kwasababu mawahabi hawana adabu Sasa ni kawaida kwao akiota mbawa ni kutukana yoyote hata Mwalimu wake😂
Hakuna salafi atakae toa mkiristo Kwa dini take akaingia Kwa uwislaamu.wao KAZI yao ni kukosoa waislaamu wenzao
@shafikakrabi84902 жыл бұрын
Shekhe mazinge ni bora kuliko wewe mnafik. Umesilimisha watu wangapi hadi sasahivi.
@hamzamwaya46310 ай бұрын
Kwani kusilimu ndio nini? Ulisilimu kwa nia ipi? Ulisilimu kwa ajili ya Allah au dunia? Kwa sabab ukisilimu kwa ajil ya mke, utalipwa mfano wake au ukisilim kwa lengo la kupata radhi ya waislam uliowakuta mahala ulipofikia yaan pengne uridhiwe na hao watu wa bidaa, ktk bidaa zao za kushiriki maulid, matanga na mfano wake, haya huyu atakuwa amesilimu kwa ajil ya Allah na mtume wake? Hivyo, msilimishe mtu na mlinganie ktk haki na mwenendo sahihi wa mtume s.a.w. Au ukisilim ukawa hujui chochote ktk dini hii, yaan ukawa unayafanya yaleyale mfano Ukawa mshirikina wa kumshirikisha Allah, Ukawa mzinifu, Mla riba, Mcheza kamari, Ukawa mchawi, Ukawa mlevi na mfano wake Je, Kusilimu kwako kutakufaa kitu? Au muislam mshirikina na Kafiri wakifa na hali hizo watatofautiana daraja ya moto wa jahannam sio! Kwa hiyo lengo si kusilimu tu
@saidhassansaid514010 ай бұрын
😂mtu anaechezea quran ni Bora subhallah😢 watarakuka qaima na wew unasem ni mtu Bora
@fikafikan848411 ай бұрын
Na ww pia huko katika suna ya mtume s a w mtu akikosea yuwamfuata na kumueleza ww iweje watoa mskosa ya mtu hadharani ulipata wapi hayo na mtume s a w alisema kutakuja watu wakiwatusi wanazuoni wake wakijiona wao wanailimu kumbe mwapotosha moja ni ww wale wanao msifu mtume s a w hata quran huwawezi
@zahirmahir69652 жыл бұрын
salafi ni wanafiki wakubwa na ni ugonjwa ulowakumba uisilamu ukiwaona unasema waislamu lkn vitendo vyao bora makafirii
@hamid66562 жыл бұрын
Salafy ndo daawa ya haq
@ibrahimabadi6498 Жыл бұрын
@@hamid6656 masalafi ni magaidi tu
@hassanmohdally52175 ай бұрын
Unajuwaa lazimaaq muelewwe kitu kimojaa watu huwaa wanajibu hojaaa kulinganaaa na sehemu waliopo sio mnalaumu tu nakuwaonaa watu wapumbavu anakujaa mtu anaulizaa mtume katumaa simu mbonaa wewwe unatumiaa huyuu uramjibu nn kamaa hukutumiaa kiasi kwq mudaa huo sio mnakurupukaa tu kuwalaaumu watu inategemea na sehemu alipo na watu anaongea nao kazi ya mazinge wewe hufanyi hataa nusu na umemzungumziaa marehemu omary basheer huyoo mtu nikatikaa mashekhe wakubwaa sanaq
@aishathabit37322 жыл бұрын
Kwahiyo wewe si mjinga? Na kinyume cha mjinga3 ni Aalim kwahiyo wewe ni Aalimu? Sasa Yusuf Abdi alipo Jintao Aaalimu na mkamkosoa ndio nini?
@bigmanfish63462 ай бұрын
Nyie ndio mnachanganya watu. Afadhali wao wanasilimisha mamia ya watu wewe una nini?? Unatia fitna wewe. Mvunjifu. Kama unagata kweli dini hungrwaaibisha wenzako
@user-yb3gg2gt7o2 ай бұрын
unalingania watu una wasema watu wafuate walipo acha porojo
@rashidihemed54872 жыл бұрын
Hawana hoja Hawa kazi zao mitandao na kukosa hoja wanaishi kwenye mitandao tu wao Ivi nikuulize kabla nyie hamupo watu walikula wanaswali kablia na baadaia na wanafunga SIta na wanafunga jumatatu na Alhamisi na dhukha na vitu vingi vya Sunna sasa ni nini mulifundisha wakati vyote tulikua tunavifanya
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
Wamekuja kuwa punguzia ibada😂. Kila ufanyalo saivi wao wanasema usifanye😂. Wameleta dini mtelezo
@rashidihemed54872 жыл бұрын
@@hilalkhalfan1452 sasa mpaka chooni ruksa kutia udhu na mikojo huko chooni kibao
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
@@rashidihemed5487 hio unasema weye. Kwani Hilo hukufunzwa mpaka walipokuja hawa mawahabi au?
@rashidihemed54872 жыл бұрын
@@hilalkhalfan1452 ndio nashangaa sisi watu wa Sunna Kila kitu kwao bidaa mpaka nguzo za misikitini hazifai sasa mtihani huu
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
@@rashidihemed5487 nguo za msikitini ukikaa na mawahabi basi iwe kwenye magoti ili ukisujudu nanhilia ionekane😂😂😂. Mtihani uwahabia, Allah sw atusitiri na vuzazi vyetu
@kautharsalim5025 Жыл бұрын
Masalafy kazi yenu kukosoa wenzenu siku zote hamuna mapungufu nyie mpo kamil wenzenu ndyo wakosefu ndoa zenu ni moto ndani hamna lolote pumbav zenu
@hamzayusuf1894 Жыл бұрын
Dawa salafiya ni kuvuta bangi tu hamna lingine
@kautharsalim5025 Жыл бұрын
Kuna masalafy tunao huku wasomi wazur lakin adabu hawana wala khof za mola wao kukaa na wake kwa wema hawajui ujinga tu mlionao mnajua kumtaja tu muhammad lakn siyo kumfuata
@ahmedrage966410 ай бұрын
Wewe ni muongoo,,, mpumbaavu
@kombomakame95419 ай бұрын
Sasa kama KAFIRI kawambia umuoneshe Mr. Luka ktk Qurani ilionekane haikuacha kitu, utamjibu vipi?. Wacheni Ubwege.
@mohdkharousy70410 ай бұрын
Alykum salafi tatizo lao ni aqidaa yao mbovu ndomana wana kua ivo na ukiwambia,ukweli wana pandisha matempa
@fikafikan848411 ай бұрын
Nyinyi mahasidi na wawaonea wivu wenzenu
@yusuphibrahim-yq9mv2 ай бұрын
Hamna lolote nyie nendeni huko
@kombomakame95419 ай бұрын
Sasa hivyo unavyo zungumzia ndio utamwambia KAFIRI akuelewe.
@kombomakame95419 ай бұрын
Mabwege. Sasa kama wewe swali aliloulizwa mazinge ungalijibu vipi? Basi Mazinge hatolingania tena atakuachia wewe ukahubirie hao Makafiri.
@ramadhanirama66362 жыл бұрын
Salaf salaf salaf? Nimewaita ?Mara3 hiv hata km omar bashir alikosea ndio anapigwa rad akiwa kaburini?? Kwel ndio usalaf huo??? Na hadith ya mtume alipo sema udhkur mahaasina mautaakum?? Jamani hii dini tunaipeleka wap???
@brmtvtibaasili82892 жыл бұрын
Ikiwa mtu amefanya da'wa ya upotofu na watu waka mfata anapigwa rad mbaka watu waache kupotoka kupia mtu huyo na hiyo ndio din rad nikatika dini
@ramadhanirama66362 жыл бұрын
@@brmtvtibaasili8289 Mfate mtume usiwafate mashekh! Mtume Muhammad kakataza kutaja aibu za watu halaf wew unakurupuka tu kwan mashekh wakisalafi ndio wameiijua sana dini kuliko mtume wamungu??? Hzo itikad zitawafikisha wap??
@MuhidiniNassor6 ай бұрын
@@brmtvtibaasili8289una Aya au hadithi raddi ni katika dini
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
USIKU WAKE SAWA NA MCHANA WAKE ☝️NI AYA GANI HIOO?.
Neno salaf katika upande wa kilugha huwa inamaana ya wale waliomtangulia mtu katika jambo fulani Kwa mfano salaf wa mtu huwa ni wazazi wake, au Babu zake, au mfano wa hao katika watu walio mtangulia mtu katika jambo fulani yaani maana ya salaf kilugha ni watangulizi. Ukija katika upande wa kisheria huwa inamaana ya maswahaba wa mtume swalallahu alaih wasalam na katika istilahi hii wanaingia na tabiin wanafunzi wa maswahaba na pia wanaingia na at bau tabiin wanafunzi wa wa hao tabiin, kwahiyo inapozungumzwa salaf katika upande wa kisheria ya kiislamu huwa inamaana ya wale waliokuwa katika Karne 3 bora ambao mtume swalallahu alaih wasalam amewashuhudia ubora. pale aliposema mtume swalallahu alaih wasalam katika Hadith ya abdillah ibn masuod خير نس قرن ثم لذن يلعون هم ثم لذن يلعون هم maana yake watu walio bora ni watu wa Karne yangu, akimaanisha Karne yake yeye na maswaba Kisha wale walio wafuatia akimaanisha tabiin. Kisha wale waliowafuatia akimaanisha at bau tabiin. Kwa ufupi utakuwa umenielewa inshaa'allah. Sasa niwajibu kuwafuata wao maswahaba katika mambo yote ya dini kwasababu wao wameichukua dini kutoka Kwa mtume swalallahu alaih wasalam aliyakuwa ikiwa dini safi haina kuflu yoyote wa bidaa. Ndio mtume kasema tujifunze na tufuate usalaf Kwa sababu yy ndio salaf Alie mbora wa umma huu. Pale aliposema mtume swalallahu alaih wasalam تلقتم عل مهخت البعضاي لا ءله منها ل يزغ أنه ال غلق maana yake nimekuacheni katika viwanja vyeupe usiku wake nikamavile mchana wake atopotea miongoni mwenu isipokuwa ataangamia. Mtume swalallahu alaih wasalam alikuwa anamaanisha katika Hadith hii tushikamane na mafunzo Yale aliokujanayo yeye ambae ndio salaf wa umma huu. Asalam aleykum warhmatullah wabarakat.
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
@@Abuuabdillah259 BADO ULIVYOJIBU SIO SUALI NILILOULIZA. SUALI LIPO HIVI. LINI MTUME SAW ALISEMA TUFUATE DAAWA SALAFIYA?. kama hujafahamu suali Sema nitauliza Tena kuliko kuleta porojo lako. Nataka hadithi ya Mtume saw na sio porojo lako. Dini ipo wazi na mchana kama usiku wake kweupeeee. Sasa hadithi nyeupe nahitaji, wapi Mtume saw aliposema tufanye daawa SALAFIYA?. MIMI PIA NAYO SHEREHE YA SALAFIYA ILA PIA TOFAUTI NA YAKO. SALAF ni waliotutangulia ikiwa kafiri au muislamu waliotutangulia wote ni SALAF. SALAF SWALEH NI WALE WANACHUONI WA MWANZO MWANZO BAADA YA KUONDOKA MASWAHABA YAANI WANACHUONI KATIKA TABIINA NA TABII TABIINA. AMA MTUME SAW BASI ANATAMBULIKA NI MTUME KAMA ALIVYOTAJWA KWENYE QURAN NA MASWAHABA HUTAMBULIKA NI MASWAHABA KAMA ALIVYOTUTAMBULISHA MTUME SAW. NA MASWAHABA HAWAITWI SALAF SWALEH KWASABABU PIA KUNA MASWAHABA WANAFIKI NA WEMA KWAIO UMESEMA UONGO KATIKA MAELEZO YAKO. WALA HAKUNA AYA WALA HADITHI INAYOSEMA KUWA MTUME SAW NI SALAF SWALEH. HIZO PROPAGANDA ZENU ZA KIWAHABIA PELEKENI UYAHUDI KWENU. USIWADANGANYE WATU MJINGA WEWE.
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
@@Abuuabdillah259 kwa kuku engeza Ata abuu jehel ni salafy kwako. JEE WAPI MTUME SAW AMESEMA TUFANYE DAAWA SALAFIYA?. AMESEMA MTUME SAW "KULLU BIDAA TU DHWALALA WAKULLU DHWALALATU FINNAR" KILA BIDAA NI UPOTEVU NA KILA UPOTEVU NI MOTONI. WAPI MTUME SAW AMEWEKA HIKI KIKUNDI CHA SALAFIYA KIFANYE DAAWA YA SALAFIYA?
@nabahanishela7447 Жыл бұрын
Hiyo yoote ni husdastu hamna loloote nyie mnaojiita salaf ni Ujinga upumbavu umewajaa ktk nafsi zenu
@husseinihassani3541 Жыл бұрын
Mtu anasilimisha makafiri wewe umeshiba dona lako na uono et amepotea wewe ulieongoka haya kawasilimishe kwakukosa hekima kama hujakufa kabla ya muda wako
Nyinyi Mashekh,hasa munachokitafuta ni nini? Mbona amueleweki, kutiana kosoro kila kukicha ili iweje? Basi kama kweli ni mwana suna mfate umuambie ukweli. Wajinga wakubwa nyinyi,.
@karimdaud3993 Жыл бұрын
Wewe kwa nini usiwaite ukawakanya mpaka useme kwa mitamdao na kuleta fitna kwa waisalam wewe si mkamikifu. Kuana busara za kuongea
@prochesernest54392 жыл бұрын
Sawa sawa hao ni machokolaa wa kisilam heti dokita sule heti mazinge professor wajinga sana waongo kuliko ibilisi
@fazirachafimamisse90792 жыл бұрын
Wewe unavyoonekana si mwislamu na inaonyesha kwamba una chuki tangu zamani
@saidibuye88592 жыл бұрын
Hao wachungaji zako wanashindwa jibu hoja za hao watu uliowataja hapo, yaani nyie mnaojiita wakristo, cjui hamnaga masikio ya kusikia au macho yakuona maandiko
@prochesernest54392 жыл бұрын
@@saidibuye8859 unatusema atuoni maandiko wakati nyie Quruan yenu inasema aliyetelemsha Quruan kwa Muhammad ni adui wa jibiri na mashetani au majini ni ndugu zenu wakati sisi wakristo tunaamini shetani na majini watatupwa jehanamu ya moto na wanaofata wanaoamini ni majini kuwa ni wezao Kama nyie waislamu njoo Kwa Yesu uko ni kubaya yakimbie majini ni mapepo wachafu
@prochesernest54392 жыл бұрын
@@saidibuye8859 wachungaji awaluisiwi kujibizana na majini au mapepo atunaushirika nayo makanisa nyie majini misikitni ni kwao funguka akili Yako jehanamu hipo
@prochesernest54392 жыл бұрын
@@fazirachafimamisse9079 chuki wapi bwana kaelewa Yesu kristo ni mwokozi Muhammad ni janjanjanja nawe Toka huko njoo Kwa Yesu upone jehanamu hipo
@bacteria51842 жыл бұрын
Wakina mazinge wamefanya kazi kubwa na kama wakikosea mfuate mwambie.wwe sema unaleta roho mbaya ya kisalafi
@hamid66562 жыл бұрын
Huelewi kitu ww shik kitabu na usome
@bacteria51842 жыл бұрын
@@hamid6656 maslafy wenyewe hata nahwi cha rawdha hamjui alaf mnaiga sauti ya mesheikh mkidhan mnaelimu.kwanza kasomeni na mwache sifa na kibri
@makacharatv42572 жыл бұрын
Salafi wanafiki hao motoni ao Mtume wao kasim mafuta... usalama wa taifa.
@mimishaidu58122 жыл бұрын
Kwa hiyo wewe ni mtakatifu sana,,acha ukinga bwana ivi unajua maana halis ya mnafiki
@husnamohamed94482 жыл бұрын
Bado masomo kidogo tu amalize apawe utume huyu kassim mafuta
@habilumussa25992 жыл бұрын
Njaa hizo tu shekh mazinge anaongea hadharan mbn ww unatumia audio toa ya kwako daawa tukusikilize acha kiki