Jamani tuwe tunaagalia na watu wa kuwa nao kwenye mahusiano kwa mfano huyo kaka aliemtumbukiza mpenzi wake kwenye maji, huyo ni tahira Kabisa tena chizi
@EstherMulindwa-fp3ml2 ай бұрын
Mungu akulinde Sana ❤❤ nakufatiliya toka Congo ninzuri❤❤
@BiubwaMuhammed-un3dtАй бұрын
Hii sio kazi mwisho watu watakuuwa tafta kazi kaka
@ShaelKimaroАй бұрын
Kazi nzuri tu kikubwa atumie utulivu wakati wa mahojiano atulize akili tu kaziiii nzuriiii mno wanafki wajulikane
@yustakipenyakipenya9117Ай бұрын
Hii kazi nzuri sana sema watu sio waelewa
@angelinagabriel19442 ай бұрын
Duuh hiv wanawake we zangu mnapataga wapi nguvu za kuninulia hawa wanaume vp jaman khaaa ebu tubadilike nazani kama iyo pessa angemtumia mama yake angeshukuru sana aisee kama hakuwa na mama basi amsaidie mtu wakumsaidie duuuh aisee inasikitisha sana wadada wenzetu hawa wanaume sio wenzetu badilikeni bhna wadada
@Daniella2494 ай бұрын
Mungu naomba na mm unijalie huo moyo wakumnunulia huyo mtto wa mama mkwe Iphone 15 au nitoe2 pesa yangu n mpe yan kwa matumizi ya nyumbn Amen 😂😂😂😂 Maana kila nikijaribu natetema mikono yangu
endelea na kazi ,wanaume wamezidi kudanganya .Kwani si alijua kuwa ana mwanamke mwingine? angekataa kutoa simu
@user-sy6fo8cb5v4 ай бұрын
haha hzo nguvu za ku mnunulia mwanaume simu inatoka wap
@julianapeason62544 ай бұрын
@@user-sy6fo8cb5v yaani huyu kaka mwenye marasta angegoma kutoa simu kwa mr uky, huyu dada badala anunue mafuta apake usoni mashavu yasiungue na jua yeye anamnunulia mhuni simu
@najmasalim-rg6ow4 ай бұрын
@@user-sy6fo8cb5vyaan mi hiyo leso ya buku tu siezi
@jesckamolel56933 ай бұрын
Kuna siku utakula chuma cha kichwa wew kua makin na hiz inteviw zitakuja kukuumiza
@user-xl4cj5zk4e4 ай бұрын
Pole jmn Mr Uky ila usiache kazi bhn
@user-pg2bz3et1o2 ай бұрын
Aise mmeleta hii video tena😂😂😂😂😂ntapasuka mbavu jamani mimi hahahaaaa 😅😅😅😅
@AgnesMakono-yg3lv2 ай бұрын
Pole sana
@user-vy9pz7sk4z2 ай бұрын
Endelen nakaz nzur kunalakujifunza apo ila tafuten bod gad
@LindaLinda-r8kАй бұрын
Jaman kua makin sasa maana mmmh lakn dada pole
@MonicaCyprian4 ай бұрын
I mhhh 😂pole
@aziza90933 ай бұрын
Hakuna kazi isiyo nachangamoto
@henrickiula52864 ай бұрын
Umzgua sana ndgu iv ugekua ww ugfanya nin. Au ndio kusema ww ndio smart boy. Tena ningkua mm ata vtsa ugechezea tu
@kandacrazyTZ2554 ай бұрын
Wewe una akili mbovu
@Humanity212164 ай бұрын
😂😂😂 unaifata simu ulipoitupa
@jasminsadick55572 ай бұрын
Mbn cpati part 2 jmn za hiz video
@godfreyhaule83313 ай бұрын
Kweli mwamba yupo makini nakubali
@jamilaathumani54812 ай бұрын
Wewe imezidi Sana mana unawafanya wenzio kama wajinga wakati wabongo wengi sio waaminifu iyo ndo shida
@glorytarimo83212 ай бұрын
Jaman ivi hiyo nguvu ya kumnunulia cm mwanaume mnaipatwa wapi jaman hamuogopi wewe??😂😂😂😂 🙌🙌🙌
@ShaelKimaroАй бұрын
Yaaani mpk mapafu yanakufa jmn mm siwezi mpa mwanaume kitu yani labda babangu hawa manina hawaaaaa kwanza ela za mwanaume ndio za kula
@glorytarimo8321Ай бұрын
@@ShaelKimaro 🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝
@Floracharles-kh3cg4 ай бұрын
❤❤
@JosephineJacob-zo8sq2 ай бұрын
Tatizo magonjwa mjombaa
@henrickiula52864 ай бұрын
Umezgua ww acha kjielza sana
@user-ix2jt3kf6x4 ай бұрын
Duh hatari 😢
@user-cm6om2iv1w2 ай бұрын
Iyo zawadi jmn daaaaaaah ad uruma jmn
@EligiaMligo2 ай бұрын
Mbona uongo sasa baharini au sweeming pool
@batistkatumbi7824 ай бұрын
Et baharin hp nibaharin
@LindaLinda-r8kАй бұрын
Kufatilia mtu moyo wenyewe ndo huu😂😂😂
@QueenAssenga22 күн бұрын
Wakwako yupo wapiii😂😂
@AyishaOman-cw4xs2 ай бұрын
❤❤❤
@najmasalim-rg6ow4 ай бұрын
Usiesuka ukamnunulie mwanaume sim😏
@user-lh2ul3nb6h4 ай бұрын
Nashangaaaa yani Mungu aniepushe na hilo janga la kumlea mwanaumr kwa pesa zangu
@user-lh2ul3nb6h4 ай бұрын
Yani nitamlea kwa pesa zake
@nancyg86644 ай бұрын
@@user-lh2ul3nb6h😂😂😂umeona ee
@henrickiula52864 ай бұрын
Kweli ww mtoto wakiume ila co mwanaume ndio mahna unafanya ayo mambo co