#SAUTDIGITAL l #HABARI l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates#ibrahim
Пікірлер: 71
@rashadally68717 күн бұрын
Mungu amlinde huyu mwamba
@samwelshepa84437 күн бұрын
Kwa kweli Hawa wamepata Thomas Sankara! MUNGU ajalie nasi Tukipata Magufuli mwingine na sisi tutang'ara kama wao!
@abubakarimussa91316 күн бұрын
Magufuri nipigo kubwa sana kwetu Mimi kwasasa hakuna ninae muamini
@user-fl3fb5gh6b6 күн бұрын
Tulikuwa na moja tu Tanzania,Dr john magufuli
@leahmgunda41542 күн бұрын
Huyu ni zaidi ya Magufuli.Hataki magari ya Kalahari, anasisitiza upatikanaji chakula kwa kuwawezesha wananchi nk
@EmmanuelGabriel-zm6nv3 күн бұрын
Africa inahitaji viongozi aina ya Ibrahim traore
@issamushi63892 күн бұрын
May God bless him,am Writing in english this to show the these evils of western country that we bless Ibrahim because we want Africa to be free and they have to leave us and our resorces,enough is enough
@user-bx3kl4hn6j7 күн бұрын
Baada ya Gaddafi Africa ndio kapatikana uyu mwamba hapa anamambo mengi
@aloycesamba9986 күн бұрын
Huyu mwamba Mimi huwa namwelewa sana
@lucasbatano3337 күн бұрын
Rais wa afrika
@aboudasilver65417 күн бұрын
Huyu mwamba ni kiongozi hasa
@issamushi63892 күн бұрын
Ingekuwa bongo hyu cjui kma angweza
@issamushi63892 күн бұрын
Amewekeza dola milioni 8 kwenye kilomètres sisi dola millions 20 naa,kwenye vx na hku watu maji umeme shida,anachukua asilimia 30 kutoka kwenye uwekezaji wa dhahabu sisi ni asilimia 16 zisizojulikana zinafnya nn maana dawa shida maji sida umeme shida kila kitu shida😢
@shabanbisaki5 күн бұрын
Namukubali sana
@simontamba12854 күн бұрын
Ibrahim Traoreeeeee Ubarikiweeee bababbaa
@damaspmtz10185 күн бұрын
Mwamba wa tunakukubari sisi waafrika ambao tunaona nchi zetu zilivyo na unyanyasaji wa rasilimari zetu za Kitaifa ambanzo Mwenyezi Mungu wew JPM. Nakuombea Brother Ibrahim Thraole utupe nafasi sisi vijana wa Afrika tufike uko kwako
@DansonMtambi-fq2ff4 күн бұрын
Huku kwetu tuna mama anaoupiga mwingi😂😂😂😂😂
@simontamba12854 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-og9jt3mg4c4 күн бұрын
Nampenda sana huyu Raisi Traole
@gauchogaucho75837 күн бұрын
Hiii chanelii safii sanaa
@MasanjaLucas-jf9cg3 күн бұрын
Watu weusi wanakoswa tu kiongozi mwenye kuwa upande wao,,lkn wapo tayar kutawaliwa na mtu mzalendo 1 tu Africa
Rais anaependwa na watu kwa mioyo yaooo..kama alivyopendwa Magufuri na wanainchi....sio Rais anaefatwa na watu kwa upambeee kama huyu tulienae sasa....hatuna hamuuu kabisaaa
@abubakarimussa91316 күн бұрын
Weacha tu tunaumia ila sasa wapi tutasemeea tuvumilie tu ila tumemchoka wengi
@salehkhalfan73456 күн бұрын
Kwa mbaali nimeona na Bendera ya Urusi ikipepea
@athumaniamani99056 күн бұрын
Mwamba huyo hapo
@seifusengondo91703 күн бұрын
viva afrika
@lucasngalawa88266 күн бұрын
Huyu sasa ndo Mwamba
@gonanzaro55807 күн бұрын
Ruto must go
@user-fs3uy2tl6hКүн бұрын
Shenzi sanaa . He is going no where
@mamohamed125217 сағат бұрын
Samahani jitahidi matamshi sahihi na majina. Kwa kweli unashida
@AlexNikola-ky2dm2 күн бұрын
Wewe rais na kukubari sana endelea na mwendo huohuo
@NicoleMakaveli-wr6mm16 сағат бұрын
Raisi akitembea kwa mguu ni inakuwa ni tarifa??
@davidmalogo71002 күн бұрын
Yani nikiskia au kumwona iblahim taole nikama namuona jpm mana nasisi watanganyika tulitamba sana tulijiona tuna laisi gaflatu jamaa wakafanya Yao tukaingia au tukaludi msoga , Leo nizam ya BURKINAFASO nao wamepata jpm wao naomba mungu alinde huyu jpm wabukinafaso ipo siku ataludi wakwetu
@issamushi63892 күн бұрын
Wee Acha tu mungu amlaze pema leo tunachukua asilimia 16 kwenye dhahabu Ibrahim wa juzi t anachukua asilimia 30,sijui ss mwisho wetu nn
@samiramawby12574 күн бұрын
What i like about Traore he is so BISHOO,,he cant shake hands he only give 5,,,No corona hahahaa young presidents suits the world
@simontamba12854 күн бұрын
Fact said madam respect to you Us is shetawn
@user-rc6tc6dp5x3 күн бұрын
You want him to be poisoned through handshek !!??
@josepheriah59776 күн бұрын
Chiz
@maase20237 күн бұрын
Utawala wa mabavu umepitwa na wakati na hautakiwi hivo lazima aondolewe traore na nchi ufanyike uchaguzi mpya wa kihalali
@abubakarimussa91316 күн бұрын
Tulia huwenda wewe ni ccm maana ndio mawazoyenu mgando
@abubakarimussa91316 күн бұрын
Uliwahi kuona wanannchi wakiandamana kiongozi abaki madarakani ama unaropoka jifunze siasa wala ajalazimisha kubaki wanannchi wote hawataki aondoke hata ingelikua ni tz yangu Mimi ngemuunga mkono
@maase20236 күн бұрын
@@abubakarimussa9131 ufanye maandamano burkina faso hujui kufa nn? Yule ni muuaji ww sio kama ruto msomi na mpole wa tabia! Traore anatembea na bastola 4 sasa ww huoni kama ni muuaji huyo
@maase20236 күн бұрын
@@abubakarimussa9131 huyu traore hamna kitu ataondolewa muda wowote
@nizarrama2256 күн бұрын
umekula kande uende ukanye sasa huna akili hata moja