RAIS Ibrahim Traore NOMA Akacha Gari la kifahari atembea kwa miguu, Wananchi wapagawa kwa furaha.

  Рет қаралды 30,059

SAUT DIGITAL

SAUT DIGITAL

9 күн бұрын

#SAUTDIGITAL l #HABARI l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates#ibrahim

Пікірлер: 71
@rashadally6871
@rashadally6871 7 күн бұрын
Mungu amlinde huyu mwamba
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 7 күн бұрын
Kwa kweli Hawa wamepata Thomas Sankara! MUNGU ajalie nasi Tukipata Magufuli mwingine na sisi tutang'ara kama wao!
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 6 күн бұрын
Magufuri nipigo kubwa sana kwetu Mimi kwasasa hakuna ninae muamini
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b 6 күн бұрын
Tulikuwa na moja tu Tanzania,Dr john magufuli
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 2 күн бұрын
Huyu ni zaidi ya Magufuli.Hataki magari ya Kalahari, anasisitiza upatikanaji chakula kwa kuwawezesha wananchi nk
@EmmanuelGabriel-zm6nv
@EmmanuelGabriel-zm6nv 3 күн бұрын
Africa inahitaji viongozi aina ya Ibrahim traore
@issamushi6389
@issamushi6389 2 күн бұрын
May God bless him,am Writing in english this to show the these evils of western country that we bless Ibrahim because we want Africa to be free and they have to leave us and our resorces,enough is enough
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 7 күн бұрын
Baada ya Gaddafi Africa ndio kapatikana uyu mwamba hapa anamambo mengi
@aloycesamba998
@aloycesamba998 6 күн бұрын
Huyu mwamba Mimi huwa namwelewa sana
@lucasbatano333
@lucasbatano333 7 күн бұрын
Rais wa afrika
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 7 күн бұрын
Huyu mwamba ni kiongozi hasa
@issamushi6389
@issamushi6389 2 күн бұрын
Ingekuwa bongo hyu cjui kma angweza
@issamushi6389
@issamushi6389 2 күн бұрын
Amewekeza dola milioni 8 kwenye kilomètres sisi dola millions 20 naa,kwenye vx na hku watu maji umeme shida,anachukua asilimia 30 kutoka kwenye uwekezaji wa dhahabu sisi ni asilimia 16 zisizojulikana zinafnya nn maana dawa shida maji sida umeme shida kila kitu shida😢
@shabanbisaki
@shabanbisaki 5 күн бұрын
Namukubali sana
@simontamba1285
@simontamba1285 4 күн бұрын
Ibrahim Traoreeeeee Ubarikiweeee bababbaa
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 5 күн бұрын
Mwamba wa tunakukubari sisi waafrika ambao tunaona nchi zetu zilivyo na unyanyasaji wa rasilimari zetu za Kitaifa ambanzo Mwenyezi Mungu wew JPM. Nakuombea Brother Ibrahim Thraole utupe nafasi sisi vijana wa Afrika tufike uko kwako
@DansonMtambi-fq2ff
@DansonMtambi-fq2ff 4 күн бұрын
Huku kwetu tuna mama anaoupiga mwingi😂😂😂😂😂
@simontamba1285
@simontamba1285 4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-og9jt3mg4c
@user-og9jt3mg4c 4 күн бұрын
Nampenda sana huyu Raisi Traole
@gauchogaucho7583
@gauchogaucho7583 7 күн бұрын
Hiii chanelii safii sanaa
@MasanjaLucas-jf9cg
@MasanjaLucas-jf9cg 3 күн бұрын
Watu weusi wanakoswa tu kiongozi mwenye kuwa upande wao,,lkn wapo tayar kutawaliwa na mtu mzalendo 1 tu Africa
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij 3 күн бұрын
🎉🎉🎉mungo ❤❤❤inusuru 🎉🎉🎉 África kupitiya viyongzi hawaaa.
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 2 күн бұрын
Yani mpaka laha
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 7 күн бұрын
Rais anaependwa na watu kwa mioyo yaooo..kama alivyopendwa Magufuri na wanainchi....sio Rais anaefatwa na watu kwa upambeee kama huyu tulienae sasa....hatuna hamuuu kabisaaa
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 6 күн бұрын
Weacha tu tunaumia ila sasa wapi tutasemeea tuvumilie tu ila tumemchoka wengi
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 6 күн бұрын
Kwa mbaali nimeona na Bendera ya Urusi ikipepea
@athumaniamani9905
@athumaniamani9905 6 күн бұрын
Mwamba huyo hapo
@seifusengondo9170
@seifusengondo9170 3 күн бұрын
viva afrika
@lucasngalawa8826
@lucasngalawa8826 6 күн бұрын
Huyu sasa ndo Mwamba
@gonanzaro5580
@gonanzaro5580 7 күн бұрын
Ruto must go
@user-fs3uy2tl6h
@user-fs3uy2tl6h Күн бұрын
Shenzi sanaa . He is going no where
@mamohamed1252
@mamohamed1252 17 сағат бұрын
Samahani jitahidi matamshi sahihi na majina. Kwa kweli unashida
@AlexNikola-ky2dm
@AlexNikola-ky2dm 2 күн бұрын
Wewe rais na kukubari sana endelea na mwendo huohuo
@NicoleMakaveli-wr6mm
@NicoleMakaveli-wr6mm 16 сағат бұрын
Raisi akitembea kwa mguu ni inakuwa ni tarifa??
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 2 күн бұрын
Yani nikiskia au kumwona iblahim taole nikama namuona jpm mana nasisi watanganyika tulitamba sana tulijiona tuna laisi gaflatu jamaa wakafanya Yao tukaingia au tukaludi msoga , Leo nizam ya BURKINAFASO nao wamepata jpm wao naomba mungu alinde huyu jpm wabukinafaso ipo siku ataludi wakwetu
@issamushi6389
@issamushi6389 2 күн бұрын
Wee Acha tu mungu amlaze pema leo tunachukua asilimia 16 kwenye dhahabu Ibrahim wa juzi t anachukua asilimia 30,sijui ss mwisho wetu nn
@samiramawby1257
@samiramawby1257 4 күн бұрын
What i like about Traore he is so BISHOO,,he cant shake hands he only give 5,,,No corona hahahaa young presidents suits the world
@simontamba1285
@simontamba1285 4 күн бұрын
Fact said madam respect to you Us is shetawn
@user-rc6tc6dp5x
@user-rc6tc6dp5x 3 күн бұрын
You want him to be poisoned through handshek !!??
@josepheriah5977
@josepheriah5977 6 күн бұрын
Chiz
@maase2023
@maase2023 7 күн бұрын
Utawala wa mabavu umepitwa na wakati na hautakiwi hivo lazima aondolewe traore na nchi ufanyike uchaguzi mpya wa kihalali
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 6 күн бұрын
Tulia huwenda wewe ni ccm maana ndio mawazoyenu mgando
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 6 күн бұрын
Uliwahi kuona wanannchi wakiandamana kiongozi abaki madarakani ama unaropoka jifunze siasa wala ajalazimisha kubaki wanannchi wote hawataki aondoke hata ingelikua ni tz yangu Mimi ngemuunga mkono
@maase2023
@maase2023 6 күн бұрын
@@abubakarimussa9131 ufanye maandamano burkina faso hujui kufa nn? Yule ni muuaji ww sio kama ruto msomi na mpole wa tabia! Traore anatembea na bastola 4 sasa ww huoni kama ni muuaji huyo
@maase2023
@maase2023 6 күн бұрын
@@abubakarimussa9131 huyu traore hamna kitu ataondolewa muda wowote
@nizarrama225
@nizarrama225 6 күн бұрын
umekula kande uende ukanye sasa huna akili hata moja
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 142 МЛН
'HIZBOLLAH OO WACAD KU MARAY INAY  FALASTIIN U AARGUDIDOONAAN'
21:48
BRIT SOMALI TV
Рет қаралды 4,9 М.
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
Best Revenge 😱❤️👻 #shorts
1:00
BETER BÖCÜK
Рет қаралды 1,6 МЛН
Ishowspeed vs Ronaldo vs Messi Disguise Challenge
0:29
KSCORE
Рет қаралды 3,5 МЛН
Роналду исполнил мечту девочки 🥳
0:24
КИК Шорт!
Рет қаралды 2,1 МЛН