RAIS MWINYI ATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 26 ZANZIBAR, MMOJA NI RAIA WA KIGENI

  Рет қаралды 49,901

Wasafi Media

Wasafi Media

6 ай бұрын

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 112
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 5 ай бұрын
Safi sana ila mbona ni kidogo sana hao maana wengi wao wapo humo kwa makosa ya kusingiziwa na kubambikiziwa tu
@intissarslemalial-abry9062
@intissarslemalial-abry9062 5 ай бұрын
Mtafuteni mrusi mufanye interview ana stori yake nzuri na ita hit sana
@sonnyr1899
@sonnyr1899 5 ай бұрын
Mrusi anaongea kiswahili kizuri kuliko Aristote
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 5 ай бұрын
Mbona wadogo wamesamehewa ,huku bara km wanasamehewa wengi mpk wanafika elfu na zaid sijui kwasababu ya magereza yapo mengi au.ila sihaba . ilikuwa rizk yao inshallah 🙏 tunamshukuru rasi wa znz kwa upendo wake
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 5 ай бұрын
Ukiona hivyo huko wafungwa sio wengi kama huku bara na hata wakazi wake sio wengi kama huku, wananchi wa visiwani hawazidi hata milioni kumi ila huku ni zaidi ya milioni hamsini. Bara watu ni wengi zaidi ya visiwani na ndiyo maana hata wanaofanya makosa na kufungwa pia lazima na wao wawe wengi. Kwa hiyo hilo ni jambo la kawaida.
@omarissamashaallahpresiden2920
@omarissamashaallahpresiden2920 5 ай бұрын
Tunashukuru kwa kupanda kwa sukari 4000 1kg
@shishisia1878
@shishisia1878 5 ай бұрын
Njoo kwet elf tatu ​@@omarissamashaallahpresiden2920
@richytarimo4656
@richytarimo4656 5 ай бұрын
utafananinisha bara na visiwan,,,. bara ni kubwa. mzeee,,,
@omarissamashaallahpresiden2920
@omarissamashaallahpresiden2920 5 ай бұрын
@@richytarimo4656 akili Maji kujibu comments hujui tafuta mtu akufundishe unamjibu mtu mwengine hajahusu na suala Hilo sugar 1
@WATUWAMJUEMUNGU
@WATUWAMJUEMUNGU 5 ай бұрын
Wanafunzi ni jina zuri sana hakika wamepitia mafunzo mengi sana.
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 5 ай бұрын
Kweli hamukukosea kuwaita wanafunz dah mrusi kajua kiswahili tena cha kipemba dah🙆‍♂️
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 5 ай бұрын
Mle ndani sio poa pasikie tu
@muhammednassor690
@muhammednassor690 5 ай бұрын
Thank you
@msaznz
@msaznz 5 ай бұрын
ikiwa kuna jela , kuna na qaburi pia, tumuogopeni Allah
@zainabmaulid9637
@zainabmaulid9637 5 ай бұрын
Uhuru uhuru uhuru uza nyumba upate uhuru
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm 5 ай бұрын
Hao wanafunzi waliochiwa ni kidogo sana, na hamna mwanamke hata mmoja inaonesha
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 5 ай бұрын
Jielumishe kwanza vigezo vya msamaha vikoje, havitolewi kwa kuwa flani ni jinsia fulani, na magereza hawachanganywi na jinsia, wanaume kivyao na kuna wanawake kivyao
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm 5 ай бұрын
@@jasonwatz7457 Haya, sasa wewe tuelimishe hivyo vigezo, kisha tuone kuwa wanawake haviwahusu
@richytarimo4656
@richytarimo4656 5 ай бұрын
hata hvo asilimia kubwa ya waharifu ni wanaume,,, wanawake wako wachache
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 5 ай бұрын
Masheikh wetu kimya tunamshukuru Samia na Chama cha upinzani Zanzibar ACT wazalendo
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Ni jambo jema sana Masheikh wetu kuachiwa lakini chama cha upinzani kilitowa msaada gani? Wakati wanakamatwa kinyume na utaratibu Mhe. Othman Masoud ndie alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Katiba na Sheria alikuwa Marehemu Abubakar Khamis Bakari kutoka CUF na hawakuchukuwa hatua yoyote
@AliAli-lw9bj
@AliAli-lw9bj 5 ай бұрын
​@hajihassan5433 Othmani Masoud Mwanasheia Mkuu alishasema aliposikia mashehe, wamepelekwa bara alikwenda kwa Dr Sheni, Rais wa Zanzibar na akamueleza kuwa sio katika utaratibu, pili Othmani Masoud akiwa, muendesha mashtaka alisimamia kurejeshwa zanzibar kwa wazee Wakipemba waliodai kujitenga. Lakini Yeye ni mshauri Dr Amani alikubali na kuamuru wapemba warudi na wakarudi, Lakini Dr, Sheni na CCM wanzake akina Seif Idi walikuwa na Lao. Pia Abuu bakar akiwa cuf hao masheikh walikuwa wanakwendana na sera zao hasa kwenye Mikutano ya Muamsho. Leo akawatie ndani wakati walikuwa na msaada kwenye kuwapasha CCM na Serikali zao hasa suala la muungano. Kila mtu Zanzibar anajuwa waliwekwa na nani na kwanini so please stop your nonsense.
@omarissamashaallahpresiden2920
@omarissamashaallahpresiden2920 5 ай бұрын
​@@hajihassan5433ww punguwani
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 5 ай бұрын
​@@hajihassan5433usiongee usilolijua
@swahiliforex
@swahiliforex 5 ай бұрын
Nimeingia Jela mrusi nimetoka Mpemba😂
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 ай бұрын
😅😅😅
@fatimaussene1010
@fatimaussene1010 5 ай бұрын
Atafutwe mrusi ata kuwa na story nzuri sana jamani
@user-mo1ui4qm7x
@user-mo1ui4qm7x 5 ай бұрын
Safi sana
@ussihadji2248
@ussihadji2248 5 ай бұрын
kiongoz imara, ❤
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 5 ай бұрын
Hadi mrusi kajua kiswahili Allah amjalie awe mwema na km ataenda kwao basi iwe kheri kwake
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 5 ай бұрын
Duh uyo mrusi wa mda sana alikua na mwenziwe ndani alifariki
@user-qb3nr6gl1z
@user-qb3nr6gl1z 5 ай бұрын
😭😭😭😭🙆‍♂️😭
@hassankhatib1783
@hassankhatib1783 5 ай бұрын
Wanawake wako wapi
@hatibbaraka3956
@hatibbaraka3956 5 ай бұрын
Huyo raia wa Urusi ataenda kupata hifadhi wapi au angesaidiwa na serikali kusafirishwa hadi kwao itakua tumemsaidia sana. Hata na mimi naona kama 26 kidogo vile angalau 60 kwa Unguja na Pemba ingekua poa sana.
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
mrusi kajua kiswahili😂😂jela ni shule naona huyo alosalimika kunyongwa mpaka kukaa maisha jela 😂😂mtihani
@jamesmapoya7329
@jamesmapoya7329 5 ай бұрын
Ndio 26 😳 kheeee
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Kweli hiyo mrusi mngempeleka ubalozi w urusi ili mumfanyie safari y kurudi kwao sasa atafanya nini znz asijekupata tabu ya mazingira tena
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 5 ай бұрын
Mbona kidogo sana bora wangekua japo 200
@MohdAli-cx7bc
@MohdAli-cx7bc 5 ай бұрын
Hhahahaha apo kwenye anaonesha unaujali ndio tatizo😂😂😂
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
Mie hata kama wakwangu kama linatabia mbaya nalifie mbali huko
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 5 ай бұрын
Ba zungu anaongea kiswahili kama babu wa donge anazungumza kizanzibari sana.safi sana.
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 5 ай бұрын
Kidogo mbona
@saidseif1860
@saidseif1860 5 ай бұрын
Kule wanaitwa wanafunzi waweza changanyikia kwanza gereza laitwa chuo cha mwafunzo
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
akaaa mbona kidogoo hee 26 tuu
@edgersimtowe5858
@edgersimtowe5858 5 ай бұрын
Naungana na wafunzi kushukuru Rais Mwinyi sana, japo walimu hawajataja hata fani moja wanafunzi walio toka nayo. Nasikiaga chuo cha mafunzo na nilifikiri mfano wa mwinzi anapotoka hapo, anakuwa na taaluma ya kufanya kazi fulani? Ili asirudi kuiba tena kuku mtaani
@eunicefalex4403
@eunicefalex4403 5 ай бұрын
Ni wanafunzi au niwafungwa na wametoka gerezani yani urekebidhaji
@BUDUU666
@BUDUU666 5 ай бұрын
Kifungo cha kunyongwa kasamehewa kafungwa maisha ndo kupunguziwa kifungo😅😅😅.. sasa hapo ndo kupuziwa nini😅😅😅😅
@binzubeirnasheed4088
@binzubeirnasheed4088 5 ай бұрын
Kidogo sana hao wange wapa japo 200
@user-zi1lr8wk3w
@user-zi1lr8wk3w 5 ай бұрын
Kidogo sana
@DadialiDadi
@DadialiDadi 5 ай бұрын
Sasa kunyongwaa na kukaa maishaa vpp apoooo lakn kulaa ipooo ya uhakikaaaaa😅😅😅😅😅
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 5 ай бұрын
Mmoja namuona anaenda mbio alipo toka getini 😂 anaogopa kuja kuitwa arudii😂😂
@hamidissa1807
@hamidissa1807 5 ай бұрын
😂😂 ta mie ningezipiga mbio mpk niondoke ukanda uo
@user-or8xv5bp1b
@user-or8xv5bp1b 5 ай бұрын
😂
@user-ni1lm2md1c
@user-ni1lm2md1c 5 ай бұрын
Mrusi arejesshwe kwao
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
Ikiendeleza uhalifu mlalamike sudia tu ndio haitaki utani sijui kufungwa sijui msamaha haina hiyo
@XPOSED255
@XPOSED255 5 ай бұрын
safi sana raisi wetu una utu na mwenyzei mungu anaona hilo
@allykinyaga6060
@allykinyaga6060 5 ай бұрын
Wazanzibar wanatuharibia kiswahili tu!, Wafugwa= Wanafunzi, Maji ya bombani=Maji ya mfarejini, Ugali=Sembe, Rula=Mstari, Kiroba=Kiporo, Kufiwa=Kufiliwa nk
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 5 ай бұрын
Kila sehem ina matumizi yake yanlugha mbina nyie wa bara kwenye l mnaweka r alaf hii wafungwa kuwaita wanafunzi nitafute chemba nikupe sababu zake za ndani zaidi ila kwa haraka haraka ni just tu kuwapunguzia ukali wa matamshi yaani kuwafanya na wao wajisikie tu kwamba bado ni binaadam ndio mana wanaitwa wanfunzi ila huku uraiani tuna waita wafungwa kama kawaida
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 5 ай бұрын
Ilpendezesha waachiwe wengi zaidi. Jela si kuzuri.
@robertphilip385
@robertphilip385 5 ай бұрын
Watu 26 niwachache sana angewachia kama 500
@ahmadmohd3771
@ahmadmohd3771 5 ай бұрын
Sasa we unataka magereza wafanye kazi gani
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 ай бұрын
​@@ahmadmohd3771 kwahiyo jela ni kwajili ya watu wapate ajira?
@shishisia1878
@shishisia1878 5 ай бұрын
Ao 500 c nd itkua wanemlz wot n bd msamh utadai wat
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
Mashekhe nao lini
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 5 ай бұрын
Kwan walikosea nini Hawa wanafunzi? 🤔
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt 5 ай бұрын
Mbona sielewi wafungwa na wanafunzi ni sawa?
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 5 ай бұрын
Maskini mzungu 😊sasa mnamsafirisha kwao ama?
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 5 ай бұрын
Kwao wanaenda kumuua huyu mzungu walikua wawili walimuua mrusi mwenzao na yyle mwenziwe walio fungwa wote alifariki akiwa jela
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 5 ай бұрын
@@user-ip4ie7pt6i maskin💔😔
@user-xb6tc4bb3z
@user-xb6tc4bb3z 5 ай бұрын
President putin is typing.......
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 5 ай бұрын
Kwa nn mwalim wangu mwalim hamadi asiachiwe huru
@KhalidMohammed-mq3km
@KhalidMohammed-mq3km 5 ай бұрын
Maalim hamadi nae inshallah mungu amjalie mwakani nae awemo kwenye msamaha
@catherinemanuel8808
@catherinemanuel8808 5 ай бұрын
Inamana Hilo gereza halina wanawake mbona wameachiwa wanaume tu
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 5 ай бұрын
Kama India mpaka ujue kihindi😅
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 5 ай бұрын
Huyo mrusi alifanya nini?
@Filamumaridhawa
@Filamumaridhawa 5 ай бұрын
26 sihaba ao
@hassan12ali56
@hassan12ali56 5 ай бұрын
Kuna mmoja amemsahau mpka raisi duh
@CheerfulBubbleTea-iy5sd
@CheerfulBubbleTea-iy5sd 5 ай бұрын
😊😅😊😊😊
@user-ni1lm2md1c
@user-ni1lm2md1c 5 ай бұрын
Ushauri wangu kwa huyo mrusi aangaliwe macho mawili na apelekwe kwao kwani warusi si wa kuaminika.
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 5 ай бұрын
Mrusi kwao wataenda kumuua kwa sababu yeye na mwenzake ambae alifia jela waliua mrusi mwenzai mitaa yabkwa mchina huko na nikasikia ndugu zake marehem wana msubiria nae wamuue
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j 5 ай бұрын
Sasa mwandishi unanifadhaisha unapowataja kama wanafunzi ili ghali ni wafungwa..
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 5 ай бұрын
Wsmeenda kufunzwa hao. Washajua kazi nyingi tu. Mungu awajaalie kheri. Amin
@ahmadhaji9293
@ahmadhaji9293 5 ай бұрын
Zanzibar hakuna jela bali kuna chuo cha mafunzo
@zenaal-baalawy1953
@zenaal-baalawy1953 5 ай бұрын
Shemegi Khamis Bakar
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
Siigekaa tu hukohuko mijitu inamikosa eti inatolewa
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
Sigekufia tu huko hukonipisheni mie
@KhalidMohammed-mq3km
@KhalidMohammed-mq3km 5 ай бұрын
We matako unasiko yako utaingia jela
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
@@KhalidMohammed-mq3km sasa kumbe wewe huna matako mtu mwenyewe unaonekana hatabando huna msg tangu juzi unasusua kujibu sasa sikia matako niyamamaako sw
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 5 ай бұрын
Eti wanafunzi😂😂😂😂
@abdulkadir-sn1kx
@abdulkadir-sn1kx 5 ай бұрын
Q😊😊😊😊😊
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 5 ай бұрын
Mzungu nenda urus ukapigane vitaa
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 5 ай бұрын
Uyoo wa urus kafanya nn tena😢
@nahyanmohamed2409
@nahyanmohamed2409 5 ай бұрын
Aliua tangu 1997 alimchoma moto mzungu mwenzake
@CROWNMEDIAKE
@CROWNMEDIAKE 5 ай бұрын
Jamaa aanatfta kuraa kweli
@mwanangusana
@mwanangusana 5 ай бұрын
Ni utaratibu mbona Kila inapofika siku za sherehe za mapinduzi kwa Zanzibar na sherehe za uhuru kwa tz bara Marais hutoa misamaha kwa wafungwa kwa Tanzania bara na wanafunzi wa chuo Cha mafunzo kwa Zanzibar . Ila mh rais mwinyi anajitahid Sana kwenye suala Zima la maendeleo hususani kwenye ujenzi wa miundo mbinu pamoja na kujali maslahi ya wastaafu na wazee .. Zanzibar penchen ya wastaafu imeongezeka kwa asilimia mia halafu Kuna penchen kwa ajili ya watu wazima ( wazee Zanzibar wanalipwa japo sio kikubwa Sana ila Kila mwezi 50,000/= ni jambo zuri Sana . Maana jambo la kulipa wazee sio rahisi nchi nyingi zinashindwa kulitekeleza jambo hili kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo idadi ya watu , issue za kiuchumi , mipango na sera .
@FreddyElengabo-kn3ks
@FreddyElengabo-kn3ks 5 ай бұрын
Wafungwa ao wanafunzi
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
wanafunzi🙄🙄😬
@ZaynabMsury
@ZaynabMsury 5 ай бұрын
Walivyosem wanafunz walinichangany kumbwa wafungwa zanzimba bhn hongren
@ahmadhaji9293
@ahmadhaji9293 5 ай бұрын
Zanzibar hakuna jela bali kuna chuo cha mafunzo
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
Mnawatoa Ijekutukera
@mwanangusana
@mwanangusana 5 ай бұрын
Kuna sababu nyingi Sana zinazopelekea mtu kutumikia chuo Cha mafunzo sio wote wamefanya vitendo vya ukatili kiasi kwamba wasiweze kusamehewa na kurudi kwenye maisha ya kawaida ... Vile vile Kuna vigezo , kanuni ili kukidhi matakwa ya kupata huo msamaha ikiwemo nidhamu, uadilifu , tabia njema , umri , afya ,matendo na mienendo yako , historic background pia mambo mengi yanazingatiwa kwakweli .
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
@@mwanangusana mbona wewe hujatumikia bwanawe asokosa hatumikii ukiona mtu kafika huko makosa yapo
@mwanangusana
@mwanangusana 5 ай бұрын
@@sofitanzanian955 ndugu yangu kusema ukwel sio Kila anaenda kule ukadhan amefanya makosa ... Tuishie hapo Kuna visa mbali mbali vipo ambayo vimepelekea watu kutumikia kifungo Bila ya hatia . ... Ndo maana Kuna viapo vya uadilifu majaji na mahakimu pia kwakua sababu mbali mbali iwe kwa kwa kudhamiria au kutodhamiria akatoa hukum kwa mtu asiyestahiki kuhukumiwa . Sio sahihi kusema walitumikia vifungo kuwa ni wahalifu wametenda makosa ndugu yangu .... nakumbuka zaman kidogo unawez kutwa unatoka kazini usiku ukapewa kesi ya uzururajii na ukafungwa miaka 2 ... So ni hivyo ndugu yangu ila unawez bakia na mcmamo wako unao uamini .
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
Mjitu ukute imeuwa imetolewa
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 5 ай бұрын
Una uhakika ?
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
@@yasminjuma9146 ndio nawewe alikuwemo hawara yko nini alifungwa
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
@@yasminjuma9146 ndio nnauhakika sasa unasemaje mbuzi mweusi we halafu mjilize lizeuhalifu uhalifu kwenda huko
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
@@yasminjuma9146 ndio nnauhakika nguruwe mijitu inatolewa yanini isokufa huko huko kuja kufanya ufisadi tu mijitu inabaka inauwa inatolewa au halijakufika ndio unaleta mdomo mrefu kama matako yko
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
@@yasminjuma9146 kelele wewe mbwa we
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 5 ай бұрын
Mnawatowa waje kufanya uhalifu
@KhalidMohammed-mq3km
@KhalidMohammed-mq3km 5 ай бұрын
Urampoingia jela ndio utajua nini thamani ya uhuru
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 46 МЛН
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 55 М.
HAWA NDIO WATUHUMIWA SUGU WA MADAWA YA KULEVYA ZANZIBAR
7:16
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 9 М.
MKE WA RAIS MWINYI ALIVYOONGOZA MAZOEZI MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
3:24
HOW DID HE WIN? 😱
0:33
Topper Guild
Рет қаралды 31 МЛН
Не трогайте эту ВОЛОСАТУЮ ШТУКУ! 😱
0:24
Взрывная История
Рет қаралды 3,4 МЛН
Мальчик помог мужчине спастись 🤯
0:50
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 1,7 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
0:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН