Mmh hongera Sana mh rais wetu kweli tupende wote usitubague nimefurah Sanaa mh rais
@f.a60432 жыл бұрын
Mh.Rais well spoken 👏🏽👏🏽👏🏽🤝🏼🤝🏼🤝🏼
@rockzenamtui62962 жыл бұрын
Hongera sana Rais Wetu rudisha matumaini kwetu wananchi haki itendeke na demokrasia iangaliwe
@franklinassey66002 жыл бұрын
Tanzania yetu raha sana
@stefanokileo12942 жыл бұрын
Kweli kbs kutukuzwa sio maisha
@magdarlynmutheumusembi7742 жыл бұрын
Mama yetu you are so humble. Hongera sana
@happynessbakuju94122 жыл бұрын
Sijasikia Salam Leo sijui kasalimiaje anatusalimia kwa kwa jamuhuri ya muungano wa Tanzania na kazi iendelee kazi aiwezi kuendelea bila kuanza na Mungu
@eliamwankenja70872 жыл бұрын
Hongera raisi
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
"Kutunza amani ya nyoyo za wengi" maneno ya hekima.
@AhmedAli-gh1lm2 жыл бұрын
Watoa comments wengi gapa wanampongeza Mh. Rais kwa hekima na busara zake, upendo na heshima kwa raia. Ukweli ni kwamba pamoja na maneno take mazuri bado anatesa watesi wake wa kisiasa waliojaa magerezani kwa kesi za uongo na kubambikiziwa ilimradi wakae ndani kuwafunga midomo. Huu si upendo bali ni unyama na dhulma. Ushuri wangu mama ubadilike, kuwa mstaarabu na muadilifu
@efraimrichard64402 жыл бұрын
Mmmmh Aya bhana
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Mama... Tatizo Ni wasaka tonge... Huwatukuza Marais kwa cheo na kuwapamba kwa sifa kede kede wasizokuwa nazo na nyingine zilizo pekee na Mola Mwenyezi Mungu MUUMBAJI TU..... Ukiwasikia wazuie... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@boscomfundo79532 жыл бұрын
Aache kusingizia kesi, Kesi ya Mbowe n aibu kwake
@imeldasamwel5392 жыл бұрын
Na unatukuzwa kwer kwer hata Mambo ya ajab ww ni kupoñgezwa askof yupo sahihi
@rejobu97232 жыл бұрын
Umeona Kaka yaana Kuna mitanzania utazani ni mizwazwa yaani hata kwenye jambo baya siku hizi wanapiga makofi yaani 😴😴
@kimambobaraka92842 жыл бұрын
Good
@mamulucas91692 жыл бұрын
Huyu rais mmmmmh
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Mchambe hasaa tena kizenji vidole juu atuliye
@ahz69072 жыл бұрын
Tena akome kama alivyokoma ziwa la mamae.
@epifaniamilinga28482 жыл бұрын
Umemjibu vema kabisa.inawezekana mtu hapendi.lakini anatokea mtu kwa sababu zake anakupa sifa zisizostahili .
@kassimfatak53012 жыл бұрын
11
@ramadhanchenga46062 жыл бұрын
Kwa hekima kidogo ww unastarabu kuliko yule mwingine
@fredykitaly80102 жыл бұрын
Mwachie mbowe so gaidi
@kefamwakipesile2752 жыл бұрын
Uwe na sikio la kusikia yanayo semwa na wengine lakini naomba uwe makini na yanayo semwa na makamba j na wengine watu wa aina yake ,ila mikopo punguza mama
@emmanuelyjohn60872 жыл бұрын
We nn mmemuua mzee nyie mtanue haina shida mungu anawaona
@stevenmwenda30052 жыл бұрын
Tusizungumze mambo bila kuwa na uhakika ukitafutwa unaweza kutoa ushahidi anayosema kifo kila mtu amepangiwa siku yake kwani wewe unatakakuishi miaka mingapi duniani
@AzainTv2 жыл бұрын
@@stevenmwenda3005 kweli kabisa bro kuna watu wanachukua mambo juu juu bila kuchunguza
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Una ushahidi?
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Magufuli ameuliwa na wazungu siyo watu wa z africa hapa
@issahgweme89332 жыл бұрын
kwahyoo ulitaka aishii milele au mbona watu wengine wanakufanya usemi kituuh kufa anakopanga munguu
@Bayothomusic2 жыл бұрын
Angalia hii. Its a new gospel. Subscribe, like, comment na share tafadhali. Bonyeza hapa 👇 kzfaq.info/get/bejne/arR6n9yA0q_Qm2g.html