RAIS SAMIA AMSHANGAA MWEKEZAJI MCHINA AKICHAPA KISWAHILI SAFI | TUTACHAPA KAZI HAPA USIKU NA MCHANA

  Рет қаралды 32,908

RAI TV

RAI TV

Ай бұрын

Пікірлер: 70
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 29 күн бұрын
Mchina umejitahidi kuzungumza kiswahili. mashaallah.
@barakambasile2651
@barakambasile2651 Ай бұрын
Asante jpm kukitangaza klswahili
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv Ай бұрын
Hahaha kiswahili lilijulikana kabla ya magufuli
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 25 күн бұрын
Acha ufala, kiswahili kimezungumzwa before the deceased
@Mumewangu
@Mumewangu 23 күн бұрын
@@Kim19onlinetv huyo chizi magufuli kaingiaje apo
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 10 күн бұрын
Magufuli mwenyew kiswahili hajui anaongea kiswahili Cha kisukuma
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 Ай бұрын
Safi Sana Mama Samia ooyeee 🙌
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 Ай бұрын
Hongera kwako Muwekezaji toka China
@shaban6644
@shaban6644 Ай бұрын
Mchina Yuko Vizuri, Hongera Mama.
@ayoubbenta4499
@ayoubbenta4499 Ай бұрын
Hi china,asante sana kwa kukuza ,kuendeleza,kusimamia na kuongea kiswahili hongera sana hongereni sana watu wa china’watanzania na east africa, na africa kwa ujumla tunawaomba tukikuze kiswahili
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 Ай бұрын
Asante mama Samia Asante Sanaa DK. JP Magufuri
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Ай бұрын
Magufuriii
@enosFrank-r8f
@enosFrank-r8f Ай бұрын
Hongera sn dada
@allywilson4155
@allywilson4155 Ай бұрын
Yupo vizuri sana
@meshacksabuni7541
@meshacksabuni7541 Ай бұрын
Kweli wenzetu wako serious na mambo yao. Mbali na matamushi yake kuathiriwa kidogo na lugha ya kichina, sarufi yake iko vizuri.
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 24 күн бұрын
Hongera.. shunshaaaa
@kavakurejeanBaptist-nk7jz
@kavakurejeanBaptist-nk7jz Ай бұрын
Safi sana
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Umejitahidi kwakweli 😅❤
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 20 күн бұрын
Me too I'm speaking Chinese ❤❤❤❤from 🇨🇳 kwa sasa ila nimezaliwa Tanzania 🇹🇿
@IssaAbushehe
@IssaAbushehe 16 күн бұрын
Good
@khamiskhamis9947
@khamiskhamis9947 15 күн бұрын
Really???
@emanuermbata8745
@emanuermbata8745 7 күн бұрын
Vizuri, ila kunanafasi ilikwepo bomba la mafuta walitaka m2 jama ww
@alexolelaba6118
@alexolelaba6118 24 күн бұрын
Waoo congratulations
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Ай бұрын
Safi sana,sasa nasi tujifunze kuwa Kiswahili kinapendwa ,China na Japani wanaongea luga zao lakini unasikia raha sana kusikia wageni kama hawa wakiongea ruga ❤❤❤❤
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 23 күн бұрын
Lugha na sio ruga au luga hapana ni lugha.
@Halphan-cw3de
@Halphan-cw3de Ай бұрын
Huyu mchina anafurahisha na kiswahili chake😂
@adamhashim3352
@adamhashim3352 24 күн бұрын
Halafu ss tukikosea kiswahili tunachekana
@dotolinos3750
@dotolinos3750 Ай бұрын
wanao msifia wote bumbavu zenu. Mrundi akiongea Kiswahili namuna hiyo mnamcheka.
@isaacvtv547
@isaacvtv547 Ай бұрын
Ukute kuna mtanzania hawezi kuisoma hata lugha yake. Ila natambuwa si wote wamepata bahati ya kupita primary school.
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 Ай бұрын
Tizama wenzetu wanavopenda lugha yetu lkn ss tunakidharau kiswahili
@Mumewangu
@Mumewangu 23 күн бұрын
Ana jambo lake tu analitaka. Pia kwao ukienda utazungumza lugha gani
@Missionary_work
@Missionary_work Ай бұрын
Mmh
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Ай бұрын
Tupende Watoto Wetu kuongea..Kiswahili lugha zingine ni Ziada tu..tusijivunie watoto wetu kuongea lugha za kigeni.
@barakamanga5502
@barakamanga5502 Ай бұрын
Safisana mchina
@user-rs1bo1ic7j
@user-rs1bo1ic7j 24 күн бұрын
Tres bien madame ❤❤❤❤
@jacksonmbonea7411
@jacksonmbonea7411 Ай бұрын
Safi sana😢
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk Ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🌹👏
@HappnessYohanaRohongo
@HappnessYohanaRohongo Ай бұрын
❤❤🎉🎉
@smstore5535
@smstore5535 Ай бұрын
😂❤
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Ай бұрын
We don't need chains lnvestor in Tanzania why chains are selfish want to seal everything in Africa not even giving Africa technology to lnvested at list Africa benefits even machine of creat spoon or stick of clean teeth chains can't creat here in Africa chaina want to hold every single thing in Africa disappointed our africa leader asepty such move tunaimia sana ktk mataifa yetu ya kiafrica mpaka nchiti za kiberiti machine itoke china viberiti vitoke china miti yetu wenyewe aibu toileti papar machine china Sasa hii ni aibu kwa mataifa yetu ya kiafrica jee lini Wana sayansi wetu watskwenda kuongeza ujuzi wao ktk nchi zilizoendelea waje kuwa Creator ktk mataifa yetu ya kiafrica km vile lran
@johnshayo9635
@johnshayo9635 Ай бұрын
Tusipende sifa sana
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 29 күн бұрын
Tumpe ubarozi wa kiswahili pale Ubungo kwenye kituo Cha uwekezaji
@Mumewangu
@Mumewangu 23 күн бұрын
Kachina ana kasura kazuri sana hasa kajicho chake
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂haya sasa
@yohanemwitumba3711
@yohanemwitumba3711 24 күн бұрын
Mnashanga kiswahili wanakuja tuu kutuibia ao
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 Ай бұрын
Halafu baadhi ya watanzania hawapendi kiswahili! Bila sababu ya msingi mzungumzaji anachanganya kiswahili na lugha ya kiingereza hasa wachambuzi wa habari kwa dhana kwamba kwa kufanya "ulimbukeni" huo wataonekana wameelimika sana! Kwa bahati mbaya mpaka viongozi wetu wakuu nao ni mchanganyo wa lugha. Majuzi kati nimemsikia kiongozi mmoja wa enzi hizo akisema "kiongozi wako wa juu akikosea basi wewe wa chini haraka sana unamkava" akimaanisha neno la kiingereza "cover" Nikachoka kabisa! Watanzania tuipe thamani lugha yetu ya kiswahili. Wahenga wamesema kipende chako na mdharau kwao ni mtumwa!
@LiisaMaisha-is1hi
@LiisaMaisha-is1hi Ай бұрын
Umesema ukweli inanikera mtu akichanganya kingereza na kiswahili.tuvunie lugha yetu inayotuanganisha watanzania wote.
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 Ай бұрын
@@LiisaMaisha-is1hi asante Mkuu tusaidiane kupaza sauti kupigania lugha yetu ya kiswahili itumike kiufasaha kama kiunganishi cha Taifa. Mimi na wewe na yule tukiungana tunaweza kuwabadilisha tabia hawa "matapeli" wa lugha!
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
​@BJMKANGALA1 Ni kweli lakini na hao wanaojiita Wataalam wa Kiswahili wanatuharibia lugha hii mfano" Komputa" kuita kidadavuzi mpakato. Kwangu mimi bora hao wanaochanganya na Kiingereza. Kiswahili kwao ni pwani hasa Zanzibar.Kila mtu kutaka eti awe mtaalam wa Kiswahili wanakiharibu sana.
@jjjhhb4300
@jjjhhb4300 Ай бұрын
😂
@kavakurejeanBaptist-nk7jz
@kavakurejeanBaptist-nk7jz Ай бұрын
😂,😂😂😂😂
@Mumewangu
@Mumewangu 23 күн бұрын
Tanzania yote wanaozungumza kiswahili ni asilimia 45 tu. Lugha ilobakia niza makabila. Sasa kwa nini tusizungumze kishwahi sote
@yohanemwitumba3711
@yohanemwitumba3711 24 күн бұрын
Awa wawekezaji wote wamejua wakija hapa Tanzania wakiongea kiswahili tuu mnawapa kipaumbele kwahiyo wanakuja na propaganda za kiswahili Ili msaini nikataba Yao 😂😂😂😂😂
@user-rt3jo1ij3s
@user-rt3jo1ij3s 23 күн бұрын
Vp huyo mchina kaolewa
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂ndio ameolewa anamtoto mmoja tena wakiume mimi namfahamu nipo huku 🇨🇳
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n Ай бұрын
Kumbe anasoma
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Na wewe tukikuandikia Kichina utasoma?
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Akili zako haziko sawa ,kila hotuba ya kikao baina ya wawekezaji na serikali lazima iandikwe
@allymnyenye8109
@allymnyenye8109 29 күн бұрын
Achana na kenge huyo​@@hajihassan5433
@suleimanikirassahassan9711
@suleimanikirassahassan9711 Ай бұрын
Kiswahili gani wakati ameandikiwa anasoma
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Na wewe tukikuandikia kwa Kichina utaweza kutusomea? Usiwe mgumu kutoa pongezi!
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
😂😂😂​@@hajihassan5433 swali zuri
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Hotuba zote watu huandikiwa ijulikane ni nini agenda ya kikao. Sasa wawashwa wapi .?
@isaacvtv547
@isaacvtv547 Ай бұрын
Hivi wakikuandika ki china usome kama yeye utaweza?
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 Ай бұрын
Ukiandikiwa kichina utaweza 😂😂
@Missionary_work
@Missionary_work Ай бұрын
Mmh
@user-pj8cj7ps5b
@user-pj8cj7ps5b Ай бұрын
Uko vizuri mchina safi sana tuko pamoja
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 33 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 7 МЛН
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 30 МЛН
KARIBU GPSA SIMIYU
1:29
GPSA Tanzania
Рет қаралды 77
tom with Jerry 😱 #funny
0:12
Nemi Shorts
Рет қаралды 21 МЛН
УДИВИЛА ПАРНЯ🤯👏
0:20
Бутылочка
Рет қаралды 6 МЛН
Гаджеты вредно!!! ☎️😳😡 #funny #comedy
0:26
Fast Family LIFE
Рет қаралды 2,5 МЛН
😇 or 🔥 ? #shorts
0:43
A4
Рет қаралды 6 МЛН
ЖЕСТКИЙ ШАПАЛАК👋
0:33
RFC Fighting Championship
Рет қаралды 231 М.
Невероятный челлендж
0:51
TanobobaShorts
Рет қаралды 2,2 МЛН