Acha ufala, kiswahili kimezungumzwa before the deceased
@Mumewangu23 күн бұрын
@@Kim19onlinetv huyo chizi magufuli kaingiaje apo
@JamesJastin-bg1rx10 күн бұрын
Magufuli mwenyew kiswahili hajui anaongea kiswahili Cha kisukuma
@saidkipalo4427Ай бұрын
Safi Sana Mama Samia ooyeee 🙌
@josephmathayo5139Ай бұрын
Hongera kwako Muwekezaji toka China
@shaban6644Ай бұрын
Mchina Yuko Vizuri, Hongera Mama.
@ayoubbenta4499Ай бұрын
Hi china,asante sana kwa kukuza ,kuendeleza,kusimamia na kuongea kiswahili hongera sana hongereni sana watu wa china’watanzania na east africa, na africa kwa ujumla tunawaomba tukikuze kiswahili
@mathiasmichael9915Ай бұрын
Asante mama Samia Asante Sanaa DK. JP Magufuri
@allyhasani3750Ай бұрын
Magufuriii
@enosFrank-r8fАй бұрын
Hongera sn dada
@allywilson4155Ай бұрын
Yupo vizuri sana
@meshacksabuni7541Ай бұрын
Kweli wenzetu wako serious na mambo yao. Mbali na matamushi yake kuathiriwa kidogo na lugha ya kichina, sarufi yake iko vizuri.
@fakihdarusi438524 күн бұрын
Hongera.. shunshaaaa
@kavakurejeanBaptist-nk7jzАй бұрын
Safi sana
@user-xk7vy4gb6gАй бұрын
Umejitahidi kwakweli 😅❤
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
Me too I'm speaking Chinese ❤❤❤❤from 🇨🇳 kwa sasa ila nimezaliwa Tanzania 🇹🇿
@IssaAbushehe16 күн бұрын
Good
@khamiskhamis994715 күн бұрын
Really???
@emanuermbata87457 күн бұрын
Vizuri, ila kunanafasi ilikwepo bomba la mafuta walitaka m2 jama ww
@alexolelaba611824 күн бұрын
Waoo congratulations
@Optionxll_Playz1Ай бұрын
Safi sana,sasa nasi tujifunze kuwa Kiswahili kinapendwa ,China na Japani wanaongea luga zao lakini unasikia raha sana kusikia wageni kama hawa wakiongea ruga ❤❤❤❤
@MrishoMindu-zq7mz23 күн бұрын
Lugha na sio ruga au luga hapana ni lugha.
@Halphan-cw3deАй бұрын
Huyu mchina anafurahisha na kiswahili chake😂
@adamhashim335224 күн бұрын
Halafu ss tukikosea kiswahili tunachekana
@dotolinos3750Ай бұрын
wanao msifia wote bumbavu zenu. Mrundi akiongea Kiswahili namuna hiyo mnamcheka.
@isaacvtv547Ай бұрын
Ukute kuna mtanzania hawezi kuisoma hata lugha yake. Ila natambuwa si wote wamepata bahati ya kupita primary school.
@fatmamsiliwa8485Ай бұрын
Tizama wenzetu wanavopenda lugha yetu lkn ss tunakidharau kiswahili
@Mumewangu23 күн бұрын
Ana jambo lake tu analitaka. Pia kwao ukienda utazungumza lugha gani
@Missionary_workАй бұрын
Mmh
@charlesmwambinga4355Ай бұрын
Tupende Watoto Wetu kuongea..Kiswahili lugha zingine ni Ziada tu..tusijivunie watoto wetu kuongea lugha za kigeni.
@barakamanga5502Ай бұрын
Safisana mchina
@user-rs1bo1ic7j24 күн бұрын
Tres bien madame ❤❤❤❤
@jacksonmbonea7411Ай бұрын
Safi sana😢
@HajiKlein-so1rkАй бұрын
🇹🇿🇹🇿🌹👏
@HappnessYohanaRohongoАй бұрын
❤❤🎉🎉
@smstore5535Ай бұрын
😂❤
@abdalahgunda1319Ай бұрын
We don't need chains lnvestor in Tanzania why chains are selfish want to seal everything in Africa not even giving Africa technology to lnvested at list Africa benefits even machine of creat spoon or stick of clean teeth chains can't creat here in Africa chaina want to hold every single thing in Africa disappointed our africa leader asepty such move tunaimia sana ktk mataifa yetu ya kiafrica mpaka nchiti za kiberiti machine itoke china viberiti vitoke china miti yetu wenyewe aibu toileti papar machine china Sasa hii ni aibu kwa mataifa yetu ya kiafrica jee lini Wana sayansi wetu watskwenda kuongeza ujuzi wao ktk nchi zilizoendelea waje kuwa Creator ktk mataifa yetu ya kiafrica km vile lran
@johnshayo9635Ай бұрын
Tusipende sifa sana
@renatusblandes113129 күн бұрын
Tumpe ubarozi wa kiswahili pale Ubungo kwenye kituo Cha uwekezaji
@Mumewangu23 күн бұрын
Kachina ana kasura kazuri sana hasa kajicho chake
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂haya sasa
@yohanemwitumba371124 күн бұрын
Mnashanga kiswahili wanakuja tuu kutuibia ao
@BJMKANGALA1Ай бұрын
Halafu baadhi ya watanzania hawapendi kiswahili! Bila sababu ya msingi mzungumzaji anachanganya kiswahili na lugha ya kiingereza hasa wachambuzi wa habari kwa dhana kwamba kwa kufanya "ulimbukeni" huo wataonekana wameelimika sana! Kwa bahati mbaya mpaka viongozi wetu wakuu nao ni mchanganyo wa lugha. Majuzi kati nimemsikia kiongozi mmoja wa enzi hizo akisema "kiongozi wako wa juu akikosea basi wewe wa chini haraka sana unamkava" akimaanisha neno la kiingereza "cover" Nikachoka kabisa! Watanzania tuipe thamani lugha yetu ya kiswahili. Wahenga wamesema kipende chako na mdharau kwao ni mtumwa!
@LiisaMaisha-is1hiАй бұрын
Umesema ukweli inanikera mtu akichanganya kingereza na kiswahili.tuvunie lugha yetu inayotuanganisha watanzania wote.
@BJMKANGALA1Ай бұрын
@@LiisaMaisha-is1hi asante Mkuu tusaidiane kupaza sauti kupigania lugha yetu ya kiswahili itumike kiufasaha kama kiunganishi cha Taifa. Mimi na wewe na yule tukiungana tunaweza kuwabadilisha tabia hawa "matapeli" wa lugha!
@hajihassan5433Ай бұрын
@BJMKANGALA1 Ni kweli lakini na hao wanaojiita Wataalam wa Kiswahili wanatuharibia lugha hii mfano" Komputa" kuita kidadavuzi mpakato. Kwangu mimi bora hao wanaochanganya na Kiingereza. Kiswahili kwao ni pwani hasa Zanzibar.Kila mtu kutaka eti awe mtaalam wa Kiswahili wanakiharibu sana.
@jjjhhb4300Ай бұрын
😂
@kavakurejeanBaptist-nk7jzАй бұрын
😂,😂😂😂😂
@Mumewangu23 күн бұрын
Tanzania yote wanaozungumza kiswahili ni asilimia 45 tu. Lugha ilobakia niza makabila. Sasa kwa nini tusizungumze kishwahi sote
@yohanemwitumba371124 күн бұрын
Awa wawekezaji wote wamejua wakija hapa Tanzania wakiongea kiswahili tuu mnawapa kipaumbele kwahiyo wanakuja na propaganda za kiswahili Ili msaini nikataba Yao 😂😂😂😂😂
@user-rt3jo1ij3s23 күн бұрын
Vp huyo mchina kaolewa
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
😂😂😂😂😂ndio ameolewa anamtoto mmoja tena wakiume mimi namfahamu nipo huku 🇨🇳
@user-il5pk2dr5nАй бұрын
Kumbe anasoma
@hajihassan5433Ай бұрын
Na wewe tukikuandikia Kichina utasoma?
@baloz8974Ай бұрын
Akili zako haziko sawa ,kila hotuba ya kikao baina ya wawekezaji na serikali lazima iandikwe
@allymnyenye810929 күн бұрын
Achana na kenge huyo@@hajihassan5433
@suleimanikirassahassan9711Ай бұрын
Kiswahili gani wakati ameandikiwa anasoma
@hajihassan5433Ай бұрын
Na wewe tukikuandikia kwa Kichina utaweza kutusomea? Usiwe mgumu kutoa pongezi!
@baloz8974Ай бұрын
😂😂😂@@hajihassan5433 swali zuri
@baloz8974Ай бұрын
Hotuba zote watu huandikiwa ijulikane ni nini agenda ya kikao. Sasa wawashwa wapi .?
@isaacvtv547Ай бұрын
Hivi wakikuandika ki china usome kama yeye utaweza?