RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MAKONDA IKULU - ''MPAKA APITE WANANCHI WALIE? FANYENI KAZI''...

  Рет қаралды 135,074

Global TV  Online

Global TV Online

4 ай бұрын

RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MAKONDA IKULU - ''MPAKA APITE WANANCHI WALIE? FANYENI KAZI''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 173
@globaltv_online
@globaltv_online 4 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 4 ай бұрын
Wakuu wa mikoa hawakusaidii rais Samia,, wakurungenzi watumbuliwe wote,
@edithafrancis847
@edithafrancis847 4 ай бұрын
Safi sana mama, hujawa mnafiki hapo kwa makonda umelamba dume ktk Serikali yako yaani tungepata wakuu wa mikoa 20 km Makonda hii nchi ingekuwa Tamu sana, Makondo kula tano toka kwa Mwanchi mzalendo,🌹🌹🌹🌹👊👊
@user-fy3cy5fe6q
@user-fy3cy5fe6q 4 ай бұрын
Mama hao wakuu wa mikoa waambie watetee wananchi waache kupokea bahasha za watu
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 4 ай бұрын
Tatizo ndo hili, kulea na kulea na kulea, oky tutafika kwa kuleana, Ahsante mama kwa malezi, ndi maana maendeleo yanasonga, hongera sana mama
@user-yg8yo3ul8h
@user-yg8yo3ul8h 4 ай бұрын
Nikwer kabisa mama umesema. Mambo mazur sana hawaji kutusikiliza huku chini mpka litokee jambo gumu kweli jaman Asante kuwapa taarifa waje huku mitaani
@pilotmadata5791
@pilotmadata5791 4 ай бұрын
Nimejifunza kitu kuhusiana na masawala mazima ya uongozi, short and clear, alie chini ndie msaidizi wake alie juu
@highvoltages4169
@highvoltages4169 4 ай бұрын
Ndio ipo hivyo, upo sahihi kabisa
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 4 ай бұрын
Hii nchi tungempa tu makonda ndo anaiweza hawa wengine ngojera nyingi kuleana kwengi kulinda kwasana wananchi tunateseka sana nahawa viongozi wabovu
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 ай бұрын
Makonda hata hafai zaidi ya kuhemka na kutumiwa kwa vile anaweza kufanya lolote ilimradi apate tonge.
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 3 ай бұрын
@@nkwazigatsha wewe ndo unaemwona hivyo lkn makonda ndo mwanasiasa marufu Tanzania kuliko yeyote na ndo mtu sahihi wa kuiongaza nchi anasifa zote nimchapa kazi sana nimtu jasiri asieogopa mtu asiejua kujipendekeza Kwa mtu hata rais wake haoni ndani Kwa makonda kwasaizi ndo anaekubarika sana Tanzania sema watu Kama ninyi hamuwezi kumpenda makonda
@user-bt3wt6nt4z
@user-bt3wt6nt4z 3 ай бұрын
Elewa weweeeee​@@nkwazigatsha
@user-xq8nq9he3u
@user-xq8nq9he3u 4 ай бұрын
Mnacheza sana na akili za watanzania nyie
@joelmwalukasa
@joelmwalukasa 4 ай бұрын
Tupo pamoja mama yetu mungu akulinde
@beatusmajumbi7125
@beatusmajumbi7125 4 ай бұрын
Ubunifu pia ni mdogo sana kwa viongozi wetu
@stellalagwelagwe5539
@stellalagwelagwe5539 4 ай бұрын
Mama nakuomba mrudishe Ali Hapi naye akasikilize kero kama Makonda nazani wananchi watapata Mtetezi na maovu ya viongozi utayajua vizuri sana
@asiasued3655
@asiasued3655 4 ай бұрын
Makonda ni mtu na nusu mungu akuepushe na husda saida wanyonge sisi
@dubigutv2957
@dubigutv2957 3 ай бұрын
Usimamizi wa serikali hatuuoni ndio maana kila siku wanabadilisha viongozi❤❤
@user-bl3wg8bx5u
@user-bl3wg8bx5u 3 ай бұрын
Siku zote atendae aki mungu yupo pamoja nae ongela mama kwakazi nzuri
@yussufhaji3335
@yussufhaji3335 4 ай бұрын
Mama yupo vizuri lkn watendaji wako wanakuangusha ila mungu atakupa mwisho mwema mama yetu amiiin
@saimonjohn7420
@saimonjohn7420 4 ай бұрын
Mama ❤ napenda sana makonda awe mbunge afu awe waziri mkuu wewe mama ubaki kua mkuu wa inchi afu mambo yataenda vzuri sana mbona tutanyoka
@saidimdoe5246
@saidimdoe5246 4 ай бұрын
hapo wanasikiliza ukimaliza wanaacha hapohapo
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 4 ай бұрын
sasa walichukue nini cha maana hapo cha kuleana ndio wachukue si ujinga tu huo
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 4 ай бұрын
Mama hao wakuu wa mikoa hawana kazi makonda anatosha nchi nzima atakusaidia muongezee ulinzi
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 4 ай бұрын
Nakunga mkono
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 4 ай бұрын
Mama akimaliza anapaswa amkabidhi nchi hii makonda
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 4 ай бұрын
Unadhani anafaa humjui vizuri yule ana roho ya dhulma na utapeli 2ulize sisi
@SurprisedBoomBox-yq2pt
@SurprisedBoomBox-yq2pt 4 ай бұрын
Nchi inahitaji roho hiyo Kwa Sasa...
@CHIIZATV-hl4zu
@CHIIZATV-hl4zu 3 ай бұрын
​@@SurprisedBoomBox-yq2pt😂😂😂
@juliusdonard933
@juliusdonard933 4 ай бұрын
Makonda aandaliwe awe raisi
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 4 ай бұрын
Wewe acha utani WEWE. Awe raisi wa nani. Mpeleke kwako akakutawale.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 4 ай бұрын
@@Mundi-oz7os Sie tunamtaka
@muhammadshaka8414
@muhammadshaka8414 4 ай бұрын
peke yako ​@@sonnyr1899
@user-en3bt2io7y
@user-en3bt2io7y 3 ай бұрын
Namtaka makonda🎉
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 4 ай бұрын
Ndio mutajua Kua CCM na Makonda Lao moja 😂😂😂😂😂😂😂
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 4 ай бұрын
Haswaaa
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 4 ай бұрын
Kwani makonda siyo CCM?
@sonnyr1899
@sonnyr1899 4 ай бұрын
Kwani Chadema na Mbowe lao tofauti?
@KulwaKisansa
@KulwaKisansa 4 ай бұрын
Mkienda ofisini muanze na kule nida na uhamiaji mana uhamiaji wanaona Kama hii nchi ni yao hasa pale kigoma
@flavianfrank6256
@flavianfrank6256 4 ай бұрын
Mungu akusimamie rais wetu
@fatmaaliomar9733
@fatmaaliomar9733 4 ай бұрын
Wakuu wa mikoa nawatakia kazi njema na mujitahidi kufata maelekezo aliyokupeni Muheshimiwa Rais na mujitahidi kuwasaidia wananchi na mujitahidi kutatuwa changa moto zao ahsante.Kazi iendelee.
@hamiskambi6578
@hamiskambi6578 4 ай бұрын
Mungu akubariki Sana mama naomba huyu Mama ulie mpa mkoa singida Afike Hadi Kipera.
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 ай бұрын
Rahis hapa unapotsha. Huenda sijui. Rais hauchaguliwa japo wewe hukuchaguliwa. Hivyo, ni afisa mkuu wa tafai. Wakuu wa mikoa wala wilaya si. rais wa yeyyote bali mapandikizi yasiyo na umuhimu nchini. Laiti mngekuwa hamlali, nchi isingekuwa ya hovyo kama ilivyo kwa sasa dada yangu.
@user-gf6zt9nu5b
@user-gf6zt9nu5b 3 ай бұрын
Wilaya ya Kigamboni hatujawahi kupata mkuu wa wila mzur wala mkurugenzi
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 4 ай бұрын
Makonda ni mtu wa maana kabisa
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 4 ай бұрын
Alokwambia nani
@JosephJon-wk6il
@JosephJon-wk6il 4 ай бұрын
Mama kwaushauli wangu mluhusu makanda atumbue wamezidi zalau
@SaadEbrahim
@SaadEbrahim 4 ай бұрын
Ni kweli Mheshimiwa Rais Mama samia Wananchi hawasikilizwe na hao UliowachaguwaWakuu Wa Mikoa. Kazi yao kubwa Wakuu waMikoa kutembea na Magari ya Serikali ya kifahari mijini wakuu wamikoa hawaendi Vijijini kuwatembelea Wananchi na kujuwa shida zao.
@wilhardvawunge-ns2ks
@wilhardvawunge-ns2ks 4 ай бұрын
JamaniRais wetu ajui maeneo take aaaashh
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 4 ай бұрын
Mama MUNGU yupo nawe hujakosea kumteua Makonda. Makonda ubarikiwe sana umetenda haki huna upendeleo kwaajili ya vyeo.❤
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 4 ай бұрын
Mama yetu oyeee .Makonda Oyeee Jembe letu Magu Oyeee
@EvarimAdrian-xl5jq
@EvarimAdrian-xl5jq 4 ай бұрын
Rais wa nchi hajui mipaka ya nchi yake inaonesha nchi haijui kabisa daah
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 4 ай бұрын
GOD BLESS MAMA NAPENDAGA UNAVYO KUWA NA MAAMUZ YA UTULIV NA BUSARA S MTU WA KUKURUPUKIA MAMBO
@fedhamipango2758
@fedhamipango2758 3 ай бұрын
Aya mama na iamani kuwa hao ni watu sahihi kwa taifa letu
@ndolepeter2770
@ndolepeter2770 4 ай бұрын
Makonda hongera kwa Mungu 2 kwa wazazi wako maana mama ko angetoa mimba kama wa mama wengine, mh angepoteza kipenzi cha watanzania kiukweli 3 hongera mama Samia kwakumuona Makonda hongera sana mama wanch hatua unafki tukioenda tunapenda kweli hasa tukipata kiongozi mtenda haki.
@DavidMakvok
@DavidMakvok 4 ай бұрын
Hapo Rais kaeleza vizuri , tena kwa umakini, wateule wake na watumishi wengine wote kazi yao ni kuhakikisha mambo yana kwenda vizuri kwa wananchi , kama wewe una mwakirisha Rais inakuwaje wanainchi wanapata taabu hawashughlikiwi malalamiko yao? Unasubili nini na huku umepewa machinery zote at your disposal? Mtendeeni Rais haki na litendeeni taifa lenu haki na watendeeni watu haki.
@robertmwandu1854
@robertmwandu1854 4 ай бұрын
Asante Sana Mheshiwa Rais Kwa Hotuba nzuri. Tupo pamoja. Mungu akutangulie Kwa Kila jambo.
@user-fd5pb1dt4j
@user-fd5pb1dt4j 3 ай бұрын
Mama uwishi maisha malefu
@msomaliwilliam
@msomaliwilliam 4 ай бұрын
Mama samia tunaomba utusaidie tulipwe fidia yetu tuhame kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa dar es salaam. Hatujalipwa waziri mwiguru nchemba kila mara anasema pesa zipo tunalipwa lakini bado mpaka Leo miaka 24 ameaidi mara Kwa mara mbuge tunatese mama wananchi wa ukonga kipunguni dar es salaam mwenyekiti wa mtaa amekatazwa kufanya mkutano wowote na wananchi. Tunaomba mama utusaidie
@Namtumbo
@Namtumbo 4 ай бұрын
Karibu Ruvuma tutakupenda
@patrickakitanda7709
@patrickakitanda7709 4 ай бұрын
Kasema hakuna shida kabisaaa labda kwa mbaaali Tunduru 🙏🙏🙏💪💪
@danielwankyo4979
@danielwankyo4979 4 ай бұрын
2:40 kazi zetu zile....za kuiba kura
@abdillahhozza
@abdillahhozza 3 ай бұрын
Mama Kuna mijitu hapo unaongea inatamani umalize tu hawana uchungu ulionao,,,,siku amua uweke watu ambao hawajawategemea kabisa rudi Kwa walimu,madaftari,mabwana shamba,askari polisi teua watu huko waliopitia shida uone kaz ikipigwa hao royal families hawajali.
@chivatasabihi
@chivatasabihi 4 ай бұрын
Ningekuwa na Mamlaka ya uteuzi ningemteua Makonda Makonda kuwa Mbunge then angekuwa Naibu PM na Biteko abaki kuwa waziri wa Nishati na Comrade Nape angerudi kuwa Katibu Mwenezi CCM akakutane na Baba/ Mjomba Comrade Kinana.....
@user-kf9pu3cl9g
@user-kf9pu3cl9g 4 ай бұрын
Hongera saana mama, yaani unaweza saana. Unahitaji watu wachapa kazi na wazalendo kwa nchi yaani mbona utatimiza ahadi zote kwa asilimia zote. Mungu akulinde mendwa wetu wasaidizi wote.
@ElishadaiSam-rq3hl
@ElishadaiSam-rq3hl 3 ай бұрын
Mama umenisahau , nasubiria jina langu.
@user-cm1bu8qb7d
@user-cm1bu8qb7d 4 ай бұрын
Hapo uko sahihi sana mheshimiwaRais point muhimu sana
@piusmaduka
@piusmaduka 4 ай бұрын
asante mama hujawa mnafiki Kwa makonda kama yeye asivyo mnafiki kwako mama
@stanleymanya438
@stanleymanya438 4 ай бұрын
Kweli mama tuna shida, washuke wasikilize na zikiwa ndani ya uezo wazitatue
@mhangwacastory8765
@mhangwacastory8765 4 ай бұрын
Mama km kweli unachokisema watafuata wakuu wetu wa mkoa kiukweli watakusaidia sana! Wa Tabora ninaomba akija tu nikamsalie
@idrissaissa5607
@idrissaissa5607 3 ай бұрын
Kweri mama umekumbuka fadhira mungu akujalie mama
@musasaanane9275
@musasaanane9275 4 ай бұрын
Mama nakutakia kila laheri uwendapo uwapo Allah akubariki tena sana
@myself4128
@myself4128 3 ай бұрын
nchi imejaa viongozi wanawake tuu na hawana uwezo wa kuongoza zaidi mama anajitengezea mazingira ya Kuingia Ikulu tuu na kuwa salama sababu iyo Misukule anayoichagua haiwezi kumkosoa hata akivurunda
@user-yo4mt8cv6w
@user-yo4mt8cv6w 4 ай бұрын
Mama leo umegusa moyo wangu kwa maneno yako ya hekima Mungu akubaruki
@daudimichael7338
@daudimichael7338 4 ай бұрын
Ziara ya makonda imeanza kujibu
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 4 ай бұрын
Tufunze watu wetu kusimamia faida kwenye mashirika yetu na tuwe na viwanda na makampuni ya ujenzi ya umma faida yake ndio itakayotajirisha nchi badala ya kutegemea Kodi pekee pia nikipimo Cha maendeleo pale wasomi wetu serikali inakuwa na mifumo na nguvu ya kuwasimamia watakavyotumika kazalisha faida ya nchi badala ya kwenda kutumika kuzalisha faida kwa wawekezaji na pravite sector. Tutengenaze state capitalist country tupunguze tatizo la ajira tuepukane na wanyonyaji wakutumia mitaji
@janethtimotheobisekwa8328
@janethtimotheobisekwa8328 4 ай бұрын
Umeongea point Mama yetu mzuri, MUNGU akutunzee
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 4 ай бұрын
Mama Nchi Hii Ina Mambo Yakushangaza Sana Namba Zote Za Viongozi Na Bado Uku Chin Sisi Tunaumia
@fredrickjohnson2692
@fredrickjohnson2692 3 ай бұрын
Mama umefeli,unewasikiliza hao matapeli na Wala haki za watu kumtoa makonda.
@user-nn3is3hr8u
@user-nn3is3hr8u 4 ай бұрын
MAGUFULI TUNAKUKUMBUKA, HAKUNA CHA KULEA MAFISADI NA WAZEMBE.
@andrewmalamsha3042
@andrewmalamsha3042 4 ай бұрын
Kwann mama hatupi kaz sisi ukuu wa wilaya tu nimpigie kazi wilaya iyanyooka why!?
@paulludwig7132
@paulludwig7132 3 ай бұрын
Bado Sabaya Mama nakuaminia
@user-ub7fs2pe9b
@user-ub7fs2pe9b 3 ай бұрын
Kweli mh.Rais viongoz hawashuki kusikiluza KERO za wananchi.mfano hai uko ktk familia yeti mbeya mjin eneo la Soweto Kuna bwana mmoja anajiita molex ametupora kiwanja chetu Zaid ya miaka kumi sasa.amehonga wanasheria na kuchukua ardhi yetu.duuuuuuu inahuzunisha
@atanasiokalikumbi6783
@atanasiokalikumbi6783 4 ай бұрын
Mama, mama, mama nalia na kibaha mkoa wa pwani kwa ujumla hatuna viongozi, maji na Barabara ni kero wananchi wako tunaumia
@tztanzania2262
@tztanzania2262 4 ай бұрын
Body guard warais amefanana sana na Rais Samia
@alexdukes5547
@alexdukes5547 4 ай бұрын
Alie leta wazo la kura ni mhaini wa taifa na Wananchi wake,wajibu wa watawala sio kuwatumikia Wananchi,Hadi kumbe huruma ya kuwapa Kura,Sina neno mama umemalizaa..
@sophiamoses431
@sophiamoses431 4 ай бұрын
Tena wilaya ya Masasi kumesahaulika sanaaaa watu wana vilio vya ardhi
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 4 ай бұрын
Shida viongozi hao uliowataja wengine hawajui kuwa wako kwa ajili ya kuwatumikia wananchi....
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 4 ай бұрын
Mama umeme sukari wanauza tofauti na bei elekezi tamka neno labda watasikia
@Namtumbo
@Namtumbo 4 ай бұрын
Haujawahi feli mama
@franklinjr996
@franklinjr996 4 ай бұрын
God Continue to guide our President 🙏🏻
@myself4128
@myself4128 3 ай бұрын
wanabadilishana Ofisi tuu wala hakuna anaefukuzwa kazi ni Serikali poa shamba la Bibi,,viongozi wale wale Mafisadi yani inasikitisha!
@NoelChambo
@NoelChambo 3 ай бұрын
Huu ni mkakati kwaajili ya uchaguzi mkuu.
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 4 ай бұрын
MAMA WAKUUU WA MIKOA WENGI WAO NI VICHWA MAJI MAMA WANA KUCHOSHA MAMAANGU WAKISHAKAA MAOFISINI KWAKO NI SHIDA TU
@josemalley1691
@josemalley1691 4 ай бұрын
Mamaa nakukubali saaana natamani wangetufanyia km unavyowaelekeza
@gasperseky6916
@gasperseky6916 4 ай бұрын
Kiukweli mama samia wewe ni mama unayajuwa mengi kama mama ananyomjuwa mtoto wake
@YusuphMuna-nm4lc
@YusuphMuna-nm4lc 3 ай бұрын
Hawo wanaishi mahofisi tu mama
@user-bb9fz6jx4o
@user-bb9fz6jx4o 4 ай бұрын
Big up Makonda keep up what you do 💯
@hajijuma1761
@hajijuma1761 4 ай бұрын
Well done Mama Allah akuhifadhi sana sana
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
RC WENGINE WANAFQNYQ MAIGIZO. WANAJUFANYQ KUSIKIKIZA KERO KUMBE ANASANISIFU
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 4 ай бұрын
Mamaaaaa🎉makonda kakubalika🎉
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 4 ай бұрын
Mama samia.tuletee batllda burhani arusha tunampenda sana huku ni kichwa huyo mama yetu samia
@amosafrica2350
@amosafrica2350 4 ай бұрын
Mama Rushwa na Ufisadi ndo Cancer ya nchi hii. Usiposimika mguu hapo utaendelea kutoa maagizo tu kwa lugha hizo hizo
@jamilaabdallah9866
@jamilaabdallah9866 3 ай бұрын
Yani ! Kama kazi haiwezi si hampe makonda yani yeye kuongea ongea tuu! Vitendo hakuna IRP Maguri
@emmanuelonyangoochola9228
@emmanuelonyangoochola9228 3 ай бұрын
Safi sana
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 ай бұрын
Makonda ndio kiboko kazi'hao kazi yao kupokea bahasha za watu tu.Hakuna lolote.
@abuuthauran9933
@abuuthauran9933 4 ай бұрын
Hao wakuu wa mikoa wamekaa 2 ofcn nakufikiria upigaji
@user-fy3cy5fe6q
@user-fy3cy5fe6q 4 ай бұрын
Huyu wa Arusha hamna kitu Mama
@kabwelerywamwatumu5078
@kabwelerywamwatumu5078 4 ай бұрын
😂😂
@user-fk6mt5ib6g
@user-fk6mt5ib6g 4 ай бұрын
Na mnatupuuza sana. Kiasi kwamba mnatuona maboya.
@donaldbenedict5761
@donaldbenedict5761 4 ай бұрын
Ges tunayo tunasubiri nini mpaka mwaka 2030? Aya bhana hii ndio CCM
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 4 ай бұрын
Makonda anajua sana. Mama muongezee ulinzi.
@UsambaraMombo
@UsambaraMombo 4 ай бұрын
Kanyaga twende mama haina kufeli
@muddyausi8470
@muddyausi8470 4 ай бұрын
Mkuu wa mkoa wa Morogoro uje Lukobe usikilinze wananchi tuna kelo zetu
@jumamnumbwa9483
@jumamnumbwa9483 4 ай бұрын
Mama kashaanza kuwamwaga ripoti ya makonda yaanza kuwatafuna jamani mama yupo serious
@godsonndamgoba8053
@godsonndamgoba8053 4 ай бұрын
Msaidieni mama,watu wana shida huko chini.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 ай бұрын
Mhe. Rais unawapotosha Ma RC, mteule yoyote wa Rais anakuwakilisha kwa mamlaka moja tu. RC ni muwakilishi wa Rais upande wa Serikali. Ukiwambia Ma RC ni marais ni UPOTOSHAJI MKUBWA!
@yussufhaji3335
@yussufhaji3335 4 ай бұрын
Mama mimi nilalamikia watendaji wako wa serekalini Wanatoa kazi zakusapply vitu tunazifanya halafu hawatulipi Ela hawajali kabisa nasisi wengine bado mitaji yetu midogo huko sikurudishana nyuma ,mama nakuomba utusaidie kwahilo .hali yangu mbaya na sijalipwa wanasumbua sana miezi 7 sasa mama wanajua hatuna pakushtaki
@ElipokeaLema
@ElipokeaLema 3 ай бұрын
Namkubalii sanaaa
@BakaryChombo-vu1wn
@BakaryChombo-vu1wn 4 ай бұрын
Tunaimani na mama CCM Ooooooyee
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 ай бұрын
Rais nchi yako mwisho wa mpaka jina Ulijui talatibu present wetu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@jamilaabdallah9866
@jamilaabdallah9866 3 ай бұрын
Yeye anaapajua uraya tuu!😅😅
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 35 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 14 МЛН
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
CHEKA UONGEZE AFYA-VUNJA MBAVU, AFYA COMEDY
16:36
AFYA COMEDY
Рет қаралды 507 М.