RAIS SAMIA ASHUHUDIA MAKOMANDO WAKIPIGANA MMOJA ABURUZWA NA GARI

  Рет қаралды 175,252

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 144
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Ай бұрын
Muungano wa nchi mbili kuwa nchi moja ndio muungano wa kweli. Haya maigizo mnayoleta ni fedheha kwa taifa linalojitambua.
@user-es3kb5ou6r
@user-es3kb5ou6r Ай бұрын
Allah mlinde rais wetu Mama yetu lipe nguvu na uadilifu jeshi letu JWT
@jeniphatemu2937
@jeniphatemu2937 Ай бұрын
I love you mumy, you are a true mother taking care all Tanzanians as your kids. May God Almighty give you long and peacerful life. Amina
@rashidkapile
@rashidkapile Ай бұрын
Wananikumbusha mbali sana
@WasswaMajegere
@WasswaMajegere Ай бұрын
So amazing.for me.Tz come en help our East Africa generations
@fabiogomieiro4131
@fabiogomieiro4131 14 күн бұрын
E dizer que a maioria dos dirigentes e oficiais desses países estudaram na Grã Bretanha.
@ofwonoleviticusfavour6527
@ofwonoleviticusfavour6527 21 күн бұрын
Love from Uganda
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale Ай бұрын
Vichanel vya kisengeeee
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Ай бұрын
Hakuna kipya ni yale yale tu kila mwaka , innovation zero
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Ай бұрын
Nenda wewe katuonyeshe mapya yako😎
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Ай бұрын
@@aishafrancis7714 Hamna haja ya kwenda njoo wewe nikuoneshe mapua kwenye hill Kuma lako Nazani utaona mapya
@janerosejohn8373
@janerosejohn8373 Ай бұрын
Kudos for the 5M subs. Keep the hard work.
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Ай бұрын
Kubadilisha magazini kwa ajili ya kuwalinda walioko madarakani ili wasin'gatuke
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 Ай бұрын
Huo ndio ukweli mchungu
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt Ай бұрын
Adui anakupiga nae Yuko hukooo Alabama, Nyie mnatuonesha maonesho ya miaka ya 1300 BC
@israelifissoo2141
@israelifissoo2141 Ай бұрын
haha sasa iyo balistic ata tz tunayo kama ujui
@JumanneMwita
@JumanneMwita Ай бұрын
Mbona kenya maonesho yao ya kisasa hapa kama ya zamani sana
@user-go3du6or5v
@user-go3du6or5v Ай бұрын
Ndo nini?sasa
@user-zy6vq6lz7z
@user-zy6vq6lz7z Ай бұрын
Uhame bongo uende wapi
@geofreywayesu5638
@geofreywayesu5638 Ай бұрын
Askri wako vzr sana ninawapongeza sana
@lolodaprincess7411
@lolodaprincess7411 Ай бұрын
Najivunia Utanzania♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💕💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@DonardNzogera
@DonardNzogera Ай бұрын
Tanzania We are the top
@hamissnjumba302
@hamissnjumba302 Ай бұрын
nakpenda saana mama SAMIA lakini nakuomba uyakumbuke majeshi Yako yoote
@jewelmabhenga4742
@jewelmabhenga4742 Ай бұрын
Tuongeze budget ya kununua ndege zisizo na rubani na mifumo ya anga kujilinda.
@user-qv7kq5ps5h
@user-qv7kq5ps5h Ай бұрын
congraturation for 5M millardayo team
@rizionemajura4707
@rizionemajura4707 Ай бұрын
Hivi huwa ni mm tu ebu mnipe tofauti kati ya commando na mwanajeshi
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 Ай бұрын
Tofaut ipo kubwa sana, kwanza comando anamaliza koz ya JW zen anaenda kusoma koz tena ya commando, na co kla mwanajesh n commando ila kila commando n jw
@pavlotz8084
@pavlotz8084 Ай бұрын
Mafunzo yao ni tofaut kabsa,mafynzo ya komndo mmoja jisawa na ya wanajeshi miamoja
@RajabuKhatibu-nl4uk
@RajabuKhatibu-nl4uk Ай бұрын
Asanteni sana
@turkoglu2145
@turkoglu2145 11 күн бұрын
2000 yıllık düzenli ordu geleneği olan ve dünyanın en güçlü orduları arasinda yer alan Türkiye'den askeri açıdan teçhizat ve eğitim almanızı öneririm..
@ObediMeyan
@ObediMeyan Ай бұрын
Ni noma sana
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs Ай бұрын
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Hao makomandoo wako vizuri ni bora wapelekwe DRC Congo wakaonyeshe ukomandoo wao wa kupigana na M23.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@DubaiRolla-rx9nz
@DubaiRolla-rx9nz Ай бұрын
😂😂😂😢
@JamesDakki
@JamesDakki Ай бұрын
Tuombe vita ya kirafiki na M23😂😂
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Ай бұрын
Waende mara ngapi?
@mohammedally9466
@mohammedally9466 Ай бұрын
The only thing that makes this vedio looks amazing is the rainy weather.....
@LUBAINAMOHDRAJAB
@LUBAINAMOHDRAJAB Ай бұрын
Vita vya uso kwa uso hakuna skuiz kuna vita kila mtu anapigana akiwa kwake km huna ulinzi wa kuzuia makombora angani utachafuliwa na nchi kuwa magofu. Hamuoni urusi na Ukrain. Israel na Iran
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu Ай бұрын
Sio kwamba hakuna.. Hivyo vipo kwenye special operations, mfano ulipuaji au kuharibu silaha za air defense unatumia watu wanaojua za uso Kwa uso kuzaifisha hizo system wanapokutana na ulinzi wa watu, 2. Hata ukipiga bomu makazi ya Hamas, au ubalozi wa Iran, ukimaliza unatuma watu wa uso Kwa uso kufagia waliobaki, na hawakai mbali na target.... Na tatu kwenye uso Kwa uso hamna camera
@NeemaJuma-xn9nw
@NeemaJuma-xn9nw Ай бұрын
​@@JifunzeNenoLaMunguyote kwa yote bado tupo nyuma
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu Ай бұрын
@@NeemaJuma-xn9nw Jeshi linaakisi uchumi, laa sivyo ufilisi nchi zaidi uwe imara kijeshi, wakati watu hawana maendeleo... Vita zetu ni alshabab na waasi kama wa congo... Nchi zilizotuzunguka hakuna mwenye ulinzi wa kama Israel au uwezo wa kurusha makombora 300 Kwa wakati mmoja bila kufilisi nchi... Tuko na maskini wenzetu tu wa uso Kwa uso...
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w Ай бұрын
Mzee umesema Urusi na Ukraine si ndio huoni Kuna wanaoingia kwenye combat au unafikili Yale maloli huwa yanabeba nini?? Hata hao Urusi na Russia wana makomando pia na pia unajua jukumu la makomando ni kufanya operation kama unajua maana ya operation za kikomando utanielewa
@JafetiKanyala
@JafetiKanyala Ай бұрын
Mie natoa maoni jeshi Sasa ivi lijikite kwenye vifaa vya kisasa Sasa ivi watu wanapigana ukiwa kwako akuna vita Kama Ile ya idi Amin ayo nimaonesho tu akuna komando Bado tupo kizamani
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz Ай бұрын
Hamn kitu Robort mmoja tu anawamaliza wote
@bestscenes955
@bestscenes955 Ай бұрын
In a war how can the whole platoon withdraw living only two colleagues covering fire??? Si watachapwa na adui! Ama washikwa na mkono!!!
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 Ай бұрын
Acheni uongo kumdanganya mama mvalishe yeboyebo ndio abuluzwe😂😂😂
@IddyAmir-gq1jr
@IddyAmir-gq1jr Ай бұрын
Kavae wewe kama vile uburuzwe tuone
@rejobu9723
@rejobu9723 Ай бұрын
Khaaa wewe ni muuaji aisee 😂😂😂
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w Ай бұрын
Huna akili ww
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
Uyo mamaako nae chenga2 unamuonaje?
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq Ай бұрын
Tunaupenda Muungano na Muungano uendelee Kudumu Nampongeza Rais SAMIA, Makamu wa Rais Philip Mpango na Wazirimkuu KASIMU MAJALIWA na Wengine mliokutanahapo Kwa ajili ya kuuenzi Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar🙏🇹🇿👍
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt Ай бұрын
Badoo sanaaa
@francenipala
@francenipala Ай бұрын
Kwahy ndio kakazen hao
@drcezzane3630
@drcezzane3630 Ай бұрын
Kwani Hawa Wanakaa Wapi? 😅😅😅😅😅😅
@Neemacitizenepisode
@Neemacitizenepisode Ай бұрын
Ule ujinga uko Tanzania
@kipkorirprotus9573
@kipkorirprotus9573 Ай бұрын
Hapo sasa
@binrashid8671
@binrashid8671 Ай бұрын
Ni mtz ila kwa hili hapana
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k Ай бұрын
Kaumia ilo Kofi imeanguk
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 Ай бұрын
😂😂😂😂
@neemaevance80
@neemaevance80 Ай бұрын
Safi ❤❤❤🙏
@ShabaniRamadhani-jb6wy
@ShabaniRamadhani-jb6wy Ай бұрын
Waziri akiogea juu ya buge hili
@ABBASIKANDULU-kl8zc
@ABBASIKANDULU-kl8zc Ай бұрын
Tanzania chanel ya vichekesho huko mbinguni 😅😅
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
Napenda kazi kama hizi?
@frankmahenge5943
@frankmahenge5943 Ай бұрын
Bado sanaa
@sunwizy608
@sunwizy608 Ай бұрын
hahaha😂😂😂😂😂 vitan awawez pigana ivyo ila nawaamin
@SirmeDon
@SirmeDon Ай бұрын
Upuzi ..hii kenya nlinafanywa na nys
@OmaryMgoss
@OmaryMgoss Ай бұрын
Asa umeambiwa hapa ni Kenyan acheni izo , nchi Kenya raisi Kenyatta mna tofauti gani angalia nchi yako🔩
@Nashohaule
@Nashohaule Ай бұрын
Je?yahamuumii kwel Tanzania Mungu ametu ark
@SharonGodwill
@SharonGodwill Ай бұрын
ivi ukiacha iyo miguu katikati ya njia unadhani uyo Samia atakuelewa upande wa matibabu
@rasvegas8991
@rasvegas8991 Ай бұрын
Achenii utaniii hayo mafunzo mazur km wanatupiga sisi raia sawa lkin km n boko harama noooo
@salyali7807
@salyali7807 Ай бұрын
🤣🤣🤣
@DevotaIjumba
@DevotaIjumba Ай бұрын
Mungu awalinde😂😂😂😂😂😂
@ramxonforex772
@ramxonforex772 Ай бұрын
nchi yetu bana
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Ай бұрын
Umeme wa mgao , rushwa. Imekithiri
@RichardElias-km9ql
@RichardElias-km9ql Ай бұрын
Amna kitu apo
@zackhisa955
@zackhisa955 Ай бұрын
5M subscribers si unigawie tu 500k only😂😂please
@TibaTito
@TibaTito Ай бұрын
Putin akijikuna tu wote wanaishaaaaaa
@raymondmilanzi
@raymondmilanzi Ай бұрын
Acha kuwaza mabaya
@user-zs7eq8up5s
@user-zs7eq8up5s Ай бұрын
Komando mbona hata watoto mtaan kwetu wanaweza zaid ya hivyo
@manasehi
@manasehi Ай бұрын
Happy Union day, Hongera kwa jeshi letu, muwe wazalendo mtulinde raia. Mtulindie pia na rasilimali zetu, wazungu wananufaika sana kuliko sisi. Nachukia sana kuona wanakusanya trilions za pesa kwenye mali zetu ambazo tungenufaika wote kama wananchi.
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
Hiv wanatuonyesha vichekesho kilasiku😂 jeshi kwa sasa ni technolojia kama huna ndio tuone mazingaombwe kama haya yakutunisha misuli bila kutumia akili.
@anoldpotentin2446
@anoldpotentin2446 Ай бұрын
America wanavikosi vya makomando kama Green baret, Delta force, Navy seals, Army Rangers. Russia wanakikosi cha makomando kinaitwa Spertnaz, sasa kwanini wasifute vikosi vyao vya makomandoo wakawekeza kwenye technology tu? Mtaalam wa maswala ya kijeshi? Je kwanini America na Russia wanawekeza kwenye majeshi ya ardhini sana?
@fatimaussene1010
@fatimaussene1010 Ай бұрын
Haya tumekubali
@dicksonmlibwa3661
@dicksonmlibwa3661 Ай бұрын
Inatishaaa ama kwel jeshi letu n imara
@salehegiza3305
@salehegiza3305 Ай бұрын
Kama vip tuombeni mechi za kirafiki tuone kama tupo sawa kweli😅😂
@isaachayes9783
@isaachayes9783 Ай бұрын
SWALI LANGU LINAKUJA,MBONA HAWA KOMANDO HAMKUWALETA SIKU ILE ASKARI WA KAWAIDA WALIPOCHUKUA TAKRIBAN MASAA 4 KUKABILIANA NA HAMZA PALE UBALOZI WA UFARANSA!? Kwa jinsi walivyo wangeweza kumkamata akiwa hai.
@geuzasilvester1715
@geuzasilvester1715 Ай бұрын
Yan na wew hamza ndio ilikua anahitaj komando?
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 Ай бұрын
😂😂😂 yani kweli waletwe makomando kumkamata hamza we acha utani
@kennedyariembi5545
@kennedyariembi5545 Ай бұрын
😂😂😂si east Africa tukona upuzi mob😂😂😂
@amossimon1095
@amossimon1095 Ай бұрын
haha hatar
@GbpAud_King
@GbpAud_King Ай бұрын
Mnadhan M23 wanapigana na vimti izo🤣
@mtaanasanaa6557
@mtaanasanaa6557 Ай бұрын
Hujui Maana ya maonesho???
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NeemaJuma-xn9nw
@NeemaJuma-xn9nw Ай бұрын
​@@mtaanasanaa6557jibwa
@kisrahcogar8538
@kisrahcogar8538 Ай бұрын
Wanaletwa marehem kila kukicha 😂😂😂
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 Ай бұрын
Kufa vitani nijambo la kawaida kwao hatauwe mjuzi kiasi gani usicheze na vita
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
Mhm😂😂
@DotiVirtuoso
@DotiVirtuoso Ай бұрын
sasa hi ninini? tutawai fikia wakenya lini wanaTZ wenzangu? wakenya wako mbele sana ama namna gani wenzangu?😃😄😆😋😛😜🤩😂🤣
@abubakaryabdallah4708
@abubakaryabdallah4708 Ай бұрын
Kumbe nikikaza kidogo naweza kua komando
@esthermugoli4527
@esthermugoli4527 Ай бұрын
Maybe 😂😂😂
@kevinatinda2242
@kevinatinda2242 Ай бұрын
This is more of comedy;;
@user-it5ks1jo1v
@user-it5ks1jo1v 21 күн бұрын
Упражнения 19 - века
@ssaa7495
@ssaa7495 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kandaboy3026
@kandaboy3026 Ай бұрын
Bure kabisa
@AwaziRajab
@AwaziRajab Ай бұрын
Tuwapende Asikali Wetu Tukumbuke Kibiti Laiya Mbio Amboni Tanga Laiya Mbio Lakini Asikali Awajakimbia Walienda Kumaliza Utata Utakuta Mtu Anazalau Asikali Lakini Kwake Wakipta Panya Rodi Wanaingia Mivunguni Mazoezi Sio Vita Bali Ni Maonesho2
@davidnamu6374
@davidnamu6374 Ай бұрын
😂😂😂
@user-wv1ls4oh4l
@user-wv1ls4oh4l Ай бұрын
Mseplasi uo ungekua lati iyo yamtipoli usingevunjika mala1 naukiona wanavunja tofali ujue mfuko1 wasiment walitoa tofali100 nchi ya tz niyaujanja ujanja tuu adiwanajeshi waongo😂😂
@johnnyhandoko1849
@johnnyhandoko1849 2 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@anrelyltv3757
@anrelyltv3757 Ай бұрын
😂
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 Ай бұрын
Kwa Dunia ya sasa, haya siyo mambo ya kuwaonyesha watz wenye akili zao, oky hongera sana Kwa haya, AMBAYO ni sawa kwenu🤔
@binrashid8671
@binrashid8671 Ай бұрын
Yaaani 😢😢 majirani watatucheka sana
@almahdialmahdi5545
@almahdialmahdi5545 Ай бұрын
ياشباب ياكومندو عدوكم هو الدولار الأمريكي!!!فهل أعددتم له عدة لمواجهته في السر والعلن فإنه يشق الصدور ويملك القلوب وتخضع له الرقاب ؟ ؟ ؟/نيامي عاصمة النيجر
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Inabidi kuwapeleka gaza awamakomando
@clementsabuni1918
@clementsabuni1918 Ай бұрын
Wapelekwe gaza ili tuone ukomandoo wao.
@clementsabuni1918
@clementsabuni1918 Ай бұрын
Siku hizi ni vita vya teknolojia kama huna ulinzi wa anga unakuwa majivu unalengwa kutoka angani hata kama umejificha wapi.
@clementsabuni1918
@clementsabuni1918 Ай бұрын
Ukomandoo ni mazoezi tuu ila tz tuna mbinu za kijeshi tunaweza kupambana na maadui hata tukienda gaza tunaweza kusurvive.
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws Ай бұрын
​@@clementsabuni1918🙄🙄🙄🙄🙄
@clementsabuni1918
@clementsabuni1918 Ай бұрын
@@FeisalDoctor-wr8ws mbona unashangaa mkuu feisal hata wenzetu walianza taratibu inatakiwa tujivunie tulichonacho tusijivunje moyo kwasababu maneno yanaumba ukikubali kushindwa na kweli unashindwa, afrika ni imara ndo maana wazungu wanaogopa sana mwafrika siku akizinduka wamekwisha maana ataanza kuwa na. viwanda vyake vya teknolojia.
@WinfridaFabian
@WinfridaFabian Ай бұрын
Kwa mazoez haya tunaweza kupigana na Rwanda kweli?au tunaweza kupiga wakina lissu tuu
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 Ай бұрын
Nasikitika sana,wako hapo kuwalinda Watawala na sio wananchi.
@Jal210
@Jal210 Ай бұрын
Acha ujinga wewe
@godfreydavid6996
@godfreydavid6996 Ай бұрын
@@Jal210 Haikuhusu man,kama na wewe ni mmoja wa watawala enjoy tu.
@babawamtaa8538
@babawamtaa8538 Ай бұрын
Kwakweli nimeupenda uwezo wao nashauri tuombe vita ya kirafiki na urudi
@queenlutufyo1792
@queenlutufyo1792 Ай бұрын
Hujui usemalo
@kipkorirprotus9573
@kipkorirprotus9573 Ай бұрын
Hapo hakuna kitu, mbona sasa haqaitwi kwenye majukumu ya ulinzi katika mataifa mengine inje ya afrika? Izo mbwembwe tu
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI Ай бұрын
Nendeni mkwasaidie wapalesrina😢😢😢
@fredducaunt
@fredducaunt Ай бұрын
😂😂
@saidimussa8128
@saidimussa8128 Ай бұрын
Duh sasa mbna sion maajabu sas Duh !
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale Ай бұрын
Ujingaaaaaaa
@Uhuru351
@Uhuru351 Ай бұрын
Raia wenzangu tuache ujuaji na movie tunazo angalia naona comment nyingi ziko kimchongo😂😂😂😂 ASKARI WETU WAKO VIZURI SANAA
@justice607
@justice607 Ай бұрын
Canteen is good😅😅
@mylasadick5189
@mylasadick5189 Ай бұрын
Jeshi la znz ndo nnalolitaka 😂
@user-pm7pj6zi6q
@user-pm7pj6zi6q Ай бұрын
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. Ай бұрын
Na hatuwahi ona wakipelekwa nchi zingine kusaidia usalama Kama waganda,wakenya na waburundi,hako tu nyimbani kuonyesha vituko 😂😂
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz Ай бұрын
Hakuna maonyesho hayo siku hizi watu wana ndege hazina hata Rubani wala musijaribu kuchokoza watu mbona hampigi ya usoo
@ahmadmohd3771
@ahmadmohd3771 Ай бұрын
😂😂😂
@saidijuma5424
@saidijuma5424 Ай бұрын
Makomando wa TZ wakionyesha uwezo, waruka kwenye gari
35:41
Millard Ayo
Рет қаралды 2 МЛН
New Gadgets! Bycycle 4.0 🚲 #shorts
00:14
BongBee Family
Рет қаралды 17 МЛН
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 36 МЛН
$10,000 Every Day You Survive In The Wilderness
26:44
MrBeast
Рет қаралды 131 МЛН
MICHEZO YA HATARI MAKOMANDO WA JWTZ| WABAKI VINYWA WAZI
5:59
JEMEDARI TV
Рет қаралды 4 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 547 М.
ASKARI WA ZAMANI WAMVUNJA MBAVU RAIS SAMIA ASHINDWA KUJIZUIA
11:59
New Gadgets! Bycycle 4.0 🚲 #shorts
00:14
BongBee Family
Рет қаралды 17 МЛН