nakpenda saana mama SAMIA lakini nakuomba uyakumbuke majeshi Yako yoote
@jewelmabhenga4742Ай бұрын
Tuongeze budget ya kununua ndege zisizo na rubani na mifumo ya anga kujilinda.
@user-qv7kq5ps5hАй бұрын
congraturation for 5M millardayo team
@rizionemajura4707Ай бұрын
Hivi huwa ni mm tu ebu mnipe tofauti kati ya commando na mwanajeshi
@ashrafadam4629Ай бұрын
Tofaut ipo kubwa sana, kwanza comando anamaliza koz ya JW zen anaenda kusoma koz tena ya commando, na co kla mwanajesh n commando ila kila commando n jw
@pavlotz8084Ай бұрын
Mafunzo yao ni tofaut kabsa,mafynzo ya komndo mmoja jisawa na ya wanajeshi miamoja
@RajabuKhatibu-nl4ukАй бұрын
Asanteni sana
@turkoglu214511 күн бұрын
2000 yıllık düzenli ordu geleneği olan ve dünyanın en güçlü orduları arasinda yer alan Türkiye'den askeri açıdan teçhizat ve eğitim almanızı öneririm..
@ObediMeyanАй бұрын
Ni noma sana
@AMINASAIDI-mx7rsАй бұрын
❤
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
Hao makomandoo wako vizuri ni bora wapelekwe DRC Congo wakaonyeshe ukomandoo wao wa kupigana na M23.
@MiriamAbdallahАй бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@DubaiRolla-rx9nzАй бұрын
😂😂😂😢
@JamesDakkiАй бұрын
Tuombe vita ya kirafiki na M23😂😂
@aishafrancis7714Ай бұрын
Waende mara ngapi?
@mohammedally9466Ай бұрын
The only thing that makes this vedio looks amazing is the rainy weather.....
@LUBAINAMOHDRAJABАй бұрын
Vita vya uso kwa uso hakuna skuiz kuna vita kila mtu anapigana akiwa kwake km huna ulinzi wa kuzuia makombora angani utachafuliwa na nchi kuwa magofu. Hamuoni urusi na Ukrain. Israel na Iran
@JifunzeNenoLaMunguАй бұрын
Sio kwamba hakuna.. Hivyo vipo kwenye special operations, mfano ulipuaji au kuharibu silaha za air defense unatumia watu wanaojua za uso Kwa uso kuzaifisha hizo system wanapokutana na ulinzi wa watu, 2. Hata ukipiga bomu makazi ya Hamas, au ubalozi wa Iran, ukimaliza unatuma watu wa uso Kwa uso kufagia waliobaki, na hawakai mbali na target.... Na tatu kwenye uso Kwa uso hamna camera
@NeemaJuma-xn9nwАй бұрын
@@JifunzeNenoLaMunguyote kwa yote bado tupo nyuma
@JifunzeNenoLaMunguАй бұрын
@@NeemaJuma-xn9nw Jeshi linaakisi uchumi, laa sivyo ufilisi nchi zaidi uwe imara kijeshi, wakati watu hawana maendeleo... Vita zetu ni alshabab na waasi kama wa congo... Nchi zilizotuzunguka hakuna mwenye ulinzi wa kama Israel au uwezo wa kurusha makombora 300 Kwa wakati mmoja bila kufilisi nchi... Tuko na maskini wenzetu tu wa uso Kwa uso...
@user-cn9br7en7wАй бұрын
Mzee umesema Urusi na Ukraine si ndio huoni Kuna wanaoingia kwenye combat au unafikili Yale maloli huwa yanabeba nini?? Hata hao Urusi na Russia wana makomando pia na pia unajua jukumu la makomando ni kufanya operation kama unajua maana ya operation za kikomando utanielewa
@JafetiKanyalaАй бұрын
Mie natoa maoni jeshi Sasa ivi lijikite kwenye vifaa vya kisasa Sasa ivi watu wanapigana ukiwa kwako akuna vita Kama Ile ya idi Amin ayo nimaonesho tu akuna komando Bado tupo kizamani
@nassormessi-zk5czАй бұрын
Hamn kitu Robort mmoja tu anawamaliza wote
@bestscenes955Ай бұрын
In a war how can the whole platoon withdraw living only two colleagues covering fire??? Si watachapwa na adui! Ama washikwa na mkono!!!
@jamesjahasa3348Ай бұрын
Acheni uongo kumdanganya mama mvalishe yeboyebo ndio abuluzwe😂😂😂
@IddyAmir-gq1jrАй бұрын
Kavae wewe kama vile uburuzwe tuone
@rejobu9723Ай бұрын
Khaaa wewe ni muuaji aisee 😂😂😂
@user-cn9br7en7wАй бұрын
Huna akili ww
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Uyo mamaako nae chenga2 unamuonaje?
@YusufLubangula-yn6tqАй бұрын
Tunaupenda Muungano na Muungano uendelee Kudumu Nampongeza Rais SAMIA, Makamu wa Rais Philip Mpango na Wazirimkuu KASIMU MAJALIWA na Wengine mliokutanahapo Kwa ajili ya kuuenzi Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar🙏🇹🇿👍
@HassanHassan-si2rtАй бұрын
Badoo sanaaa
@francenipalaАй бұрын
Kwahy ndio kakazen hao
@drcezzane3630Ай бұрын
Kwani Hawa Wanakaa Wapi? 😅😅😅😅😅😅
@NeemacitizenepisodeАй бұрын
Ule ujinga uko Tanzania
@kipkorirprotus9573Ай бұрын
Hapo sasa
@binrashid8671Ай бұрын
Ni mtz ila kwa hili hapana
@user-se9no4rg3kАй бұрын
Kaumia ilo Kofi imeanguk
@fatmafatu1128Ай бұрын
😂😂😂😂
@neemaevance80Ай бұрын
Safi ❤❤❤🙏
@ShabaniRamadhani-jb6wyАй бұрын
Waziri akiogea juu ya buge hili
@ABBASIKANDULU-kl8zcАй бұрын
Tanzania chanel ya vichekesho huko mbinguni 😅😅
@itanzaniaASАй бұрын
Napenda kazi kama hizi?
@frankmahenge5943Ай бұрын
Bado sanaa
@sunwizy608Ай бұрын
hahaha😂😂😂😂😂 vitan awawez pigana ivyo ila nawaamin
@SirmeDonАй бұрын
Upuzi ..hii kenya nlinafanywa na nys
@OmaryMgossАй бұрын
Asa umeambiwa hapa ni Kenyan acheni izo , nchi Kenya raisi Kenyatta mna tofauti gani angalia nchi yako🔩
@SharonGodwillАй бұрын
ivi ukiacha iyo miguu katikati ya njia unadhani uyo Samia atakuelewa upande wa matibabu
@NashohauleАй бұрын
Je?yahamuumii kwel Tanzania Mungu ametu ark
@rasvegas8991Ай бұрын
Achenii utaniii hayo mafunzo mazur km wanatupiga sisi raia sawa lkin km n boko harama noooo
@salyali7807Ай бұрын
🤣🤣🤣
@DevotaIjumbaАй бұрын
Mungu awalinde😂😂😂😂😂😂
@ramxonforex772Ай бұрын
nchi yetu bana
@whatisthetruth.8793Ай бұрын
Umeme wa mgao , rushwa. Imekithiri
@RichardElias-km9qlАй бұрын
Amna kitu apo
@zackhisa955Ай бұрын
5M subscribers si unigawie tu 500k only😂😂please
@TibaTitoАй бұрын
Putin akijikuna tu wote wanaishaaaaaa
@raymondmilanziАй бұрын
Acha kuwaza mabaya
@user-zs7eq8up5sАй бұрын
Komando mbona hata watoto mtaan kwetu wanaweza zaid ya hivyo
@manasehiАй бұрын
Happy Union day, Hongera kwa jeshi letu, muwe wazalendo mtulinde raia. Mtulindie pia na rasilimali zetu, wazungu wananufaika sana kuliko sisi. Nachukia sana kuona wanakusanya trilions za pesa kwenye mali zetu ambazo tungenufaika wote kama wananchi.
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Hiv wanatuonyesha vichekesho kilasiku😂 jeshi kwa sasa ni technolojia kama huna ndio tuone mazingaombwe kama haya yakutunisha misuli bila kutumia akili.
@anoldpotentin2446Ай бұрын
America wanavikosi vya makomando kama Green baret, Delta force, Navy seals, Army Rangers. Russia wanakikosi cha makomando kinaitwa Spertnaz, sasa kwanini wasifute vikosi vyao vya makomandoo wakawekeza kwenye technology tu? Mtaalam wa maswala ya kijeshi? Je kwanini America na Russia wanawekeza kwenye majeshi ya ardhini sana?
@fatimaussene1010Ай бұрын
Haya tumekubali
@dicksonmlibwa3661Ай бұрын
Inatishaaa ama kwel jeshi letu n imara
@salehegiza3305Ай бұрын
Kama vip tuombeni mechi za kirafiki tuone kama tupo sawa kweli😅😂
@isaachayes9783Ай бұрын
SWALI LANGU LINAKUJA,MBONA HAWA KOMANDO HAMKUWALETA SIKU ILE ASKARI WA KAWAIDA WALIPOCHUKUA TAKRIBAN MASAA 4 KUKABILIANA NA HAMZA PALE UBALOZI WA UFARANSA!? Kwa jinsi walivyo wangeweza kumkamata akiwa hai.
@geuzasilvester1715Ай бұрын
Yan na wew hamza ndio ilikua anahitaj komando?
@joycemkeka3769Ай бұрын
😂😂😂 yani kweli waletwe makomando kumkamata hamza we acha utani
@kennedyariembi5545Ай бұрын
😂😂😂si east Africa tukona upuzi mob😂😂😂
@amossimon1095Ай бұрын
haha hatar
@GbpAud_KingАй бұрын
Mnadhan M23 wanapigana na vimti izo🤣
@mtaanasanaa6557Ай бұрын
Hujui Maana ya maonesho???
@MiriamAbdallahАй бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NeemaJuma-xn9nwАй бұрын
@@mtaanasanaa6557jibwa
@kisrahcogar8538Ай бұрын
Wanaletwa marehem kila kukicha 😂😂😂
@joycemkeka3769Ай бұрын
Kufa vitani nijambo la kawaida kwao hatauwe mjuzi kiasi gani usicheze na vita
@itanzaniaASАй бұрын
Mhm😂😂
@DotiVirtuosoАй бұрын
sasa hi ninini? tutawai fikia wakenya lini wanaTZ wenzangu? wakenya wako mbele sana ama namna gani wenzangu?😃😄😆😋😛😜🤩😂🤣
@abubakaryabdallah4708Ай бұрын
Kumbe nikikaza kidogo naweza kua komando
@esthermugoli4527Ай бұрын
Maybe 😂😂😂
@kevinatinda2242Ай бұрын
This is more of comedy;;
@user-it5ks1jo1v21 күн бұрын
Упражнения 19 - века
@ssaa7495Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kandaboy3026Ай бұрын
Bure kabisa
@AwaziRajabАй бұрын
Tuwapende Asikali Wetu Tukumbuke Kibiti Laiya Mbio Amboni Tanga Laiya Mbio Lakini Asikali Awajakimbia Walienda Kumaliza Utata Utakuta Mtu Anazalau Asikali Lakini Kwake Wakipta Panya Rodi Wanaingia Mivunguni Mazoezi Sio Vita Bali Ni Maonesho2
@davidnamu6374Ай бұрын
😂😂😂
@user-wv1ls4oh4lАй бұрын
Mseplasi uo ungekua lati iyo yamtipoli usingevunjika mala1 naukiona wanavunja tofali ujue mfuko1 wasiment walitoa tofali100 nchi ya tz niyaujanja ujanja tuu adiwanajeshi waongo😂😂
@johnnyhandoko18492 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@anrelyltv3757Ай бұрын
😂
@prosperjohn2047Ай бұрын
Kwa Dunia ya sasa, haya siyo mambo ya kuwaonyesha watz wenye akili zao, oky hongera sana Kwa haya, AMBAYO ni sawa kwenu🤔
@binrashid8671Ай бұрын
Yaaani 😢😢 majirani watatucheka sana
@almahdialmahdi5545Ай бұрын
ياشباب ياكومندو عدوكم هو الدولار الأمريكي!!!فهل أعددتم له عدة لمواجهته في السر والعلن فإنه يشق الصدور ويملك القلوب وتخضع له الرقاب ؟ ؟ ؟/نيامي عاصمة النيجر
@user-tq4lx9si1nАй бұрын
Inabidi kuwapeleka gaza awamakomando
@clementsabuni1918Ай бұрын
Wapelekwe gaza ili tuone ukomandoo wao.
@clementsabuni1918Ай бұрын
Siku hizi ni vita vya teknolojia kama huna ulinzi wa anga unakuwa majivu unalengwa kutoka angani hata kama umejificha wapi.
@clementsabuni1918Ай бұрын
Ukomandoo ni mazoezi tuu ila tz tuna mbinu za kijeshi tunaweza kupambana na maadui hata tukienda gaza tunaweza kusurvive.
@FeisalDoctor-wr8wsАй бұрын
@@clementsabuni1918🙄🙄🙄🙄🙄
@clementsabuni1918Ай бұрын
@@FeisalDoctor-wr8ws mbona unashangaa mkuu feisal hata wenzetu walianza taratibu inatakiwa tujivunie tulichonacho tusijivunje moyo kwasababu maneno yanaumba ukikubali kushindwa na kweli unashindwa, afrika ni imara ndo maana wazungu wanaogopa sana mwafrika siku akizinduka wamekwisha maana ataanza kuwa na. viwanda vyake vya teknolojia.
@WinfridaFabianАй бұрын
Kwa mazoez haya tunaweza kupigana na Rwanda kweli?au tunaweza kupiga wakina lissu tuu
@godfreydavid6996Ай бұрын
Nasikitika sana,wako hapo kuwalinda Watawala na sio wananchi.
@Jal210Ай бұрын
Acha ujinga wewe
@godfreydavid6996Ай бұрын
@@Jal210 Haikuhusu man,kama na wewe ni mmoja wa watawala enjoy tu.
@babawamtaa8538Ай бұрын
Kwakweli nimeupenda uwezo wao nashauri tuombe vita ya kirafiki na urudi
@queenlutufyo1792Ай бұрын
Hujui usemalo
@kipkorirprotus9573Ай бұрын
Hapo hakuna kitu, mbona sasa haqaitwi kwenye majukumu ya ulinzi katika mataifa mengine inje ya afrika? Izo mbwembwe tu
@KHAMIS_SHILINGIАй бұрын
Nendeni mkwasaidie wapalesrina😢😢😢
@fredducauntАй бұрын
😂😂
@saidimussa8128Ай бұрын
Duh sasa mbna sion maajabu sas Duh !
@FIDELISMfugaleАй бұрын
Ujingaaaaaaa
@Uhuru351Ай бұрын
Raia wenzangu tuache ujuaji na movie tunazo angalia naona comment nyingi ziko kimchongo😂😂😂😂 ASKARI WETU WAKO VIZURI SANAA
@justice607Ай бұрын
Canteen is good😅😅
@mylasadick5189Ай бұрын
Jeshi la znz ndo nnalolitaka 😂
@user-pm7pj6zi6qАй бұрын
❤
@Dymitri-Babushka.Ай бұрын
Na hatuwahi ona wakipelekwa nchi zingine kusaidia usalama Kama waganda,wakenya na waburundi,hako tu nyimbani kuonyesha vituko 😂😂
@nassormessi-zk5czАй бұрын
Hakuna maonyesho hayo siku hizi watu wana ndege hazina hata Rubani wala musijaribu kuchokoza watu mbona hampigi ya usoo