Rais Samia Awashukia Wazee wa Vikokotoo: 'Tunafanya Uzembe, Mzigo Tunaushusha Kwa Wafanyakazi'

  Рет қаралды 26,828

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Akizungumza leo Juni 11,2024, kwenye shughuli ya kupokea gawio kutoka kwenye taasisi na makampuni, Rais Samia ameutaka mfuko wa PSSSF kujitathmini hasa kutokana na kuwa na hali mbaya katika vitabu vyake.

Пікірлер: 142
@CHRISTOPHERKATOTO-dl1vl
@CHRISTOPHERKATOTO-dl1vl 2 ай бұрын
Mungu akubariki mama kwa kuliona tatizo la kikokotoo!!
@neddon5822
@neddon5822 2 ай бұрын
Ahsante Sana Mh.Raisi Kwa kuwajali wafanyakazi na kutambua madhaifu ya mifuko hii ya jamii
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 ай бұрын
Mifuko inasimamiwa na nani? Serikali na huo uwekezaji nani aliubariki? Seeikali!! Sasa hapa mfanyakazi amejaliwaje?
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 2 ай бұрын
Wajinga amuishi 😢😅😅😅
@MajiiIfande
@MajiiIfande 2 ай бұрын
Namshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa kutoa kauli hiyo ya ukweli. Chukua hatua zaidi usiishie kuongea
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 2 ай бұрын
Mazingaumbwe hao anajuwa kila kitu
@abuujihad8411
@abuujihad8411 2 ай бұрын
Hajasema kitu wafanyakazi wanataka kifutwe kiondoshwe
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Acidophilus hatua, ungekuwa sana na bore.
@lazaromalambugi4163
@lazaromalambugi4163 2 ай бұрын
Tunashukuru Mh. Rais hao lazima waelezwe ukweli ili mambo yaende.
@user-vl5tz6xt2m
@user-vl5tz6xt2m 2 ай бұрын
Kikokotoo hicho ni dhuluma, Mh Rais tunaomba kifutwe haraka
@ReginaldLema
@ReginaldLema 2 ай бұрын
Mama Asante sana kwa kuzungumzia mifuko ya jamii.Mungu akulinde mama yetu.Mitano tena bila ubishi.Barikiwa sana
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Mi 5 ya nini? Kama 4 tu tumeumizwa.
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 2 ай бұрын
Umewasema vizuri watu wa vikokotoo 5:52
@MATHAYOMUHULU-jt9sq
@MATHAYOMUHULU-jt9sq 2 ай бұрын
Hongera sana mh Rais kwa kuitambua shida ya wastaafu kutolipwa jasho lao,simamia walipwe mafao yao yote . hongera kwa kina Kasalali, Msukuma na Bulaya kwa kuwatetea wastaafu .mama kura ni zako tu nawabunge wote wanaowatetea watanzania wenye tabu Mungu akubariki
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 2 ай бұрын
Tafadhali Mh Rais hiki kikokotoo ni kidogo sna, naomba angalau msitaafu alipwe kwa mkupuo 75% kwani hilo ni jasho lake Halali. Natanguliza shukurani
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Tulione kama zamani. Tunaomba kitu ambacho ni haki yetu! Serikali nikakope watu walipe haki zao. Kila mwezi unakatwa mshahara.
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 2 ай бұрын
Mama unarikiwe sana kwa ishu ya kikokotoo, bt kipekee nampongeza sana Mh Ester Bulaya maana amelipigia kelele mno hili jambo
@leinaamos
@leinaamos 2 ай бұрын
Hapa mimi mama Asante ❤
@MagrethMadila-nz4vo
@MagrethMadila-nz4vo 2 ай бұрын
Mama asante kutuonea imani tunaumizwa saaana wasitaafu
@edwinndyamukama8918
@edwinndyamukama8918 2 ай бұрын
Kikokotoo Ni dhuluma kubwa Sana kwa wazee wetu. Huwezi kuwadhulumu wazee ukabaki salama. Wote waliobuni kikokotoo Cha 33% Machozi ya wazee hayatawaacha salama. Hongera Sana mhe Rais kwa kuliona Hilo,lifanyie kazi MAPEMA iwezekanavyo!
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 2 ай бұрын
Mama UPO VIZURI KWELI WEWE NI MSEMA KWELI,MITANO TENA
@symonmhoja3102
@symonmhoja3102 2 ай бұрын
Tupo na Samia❤❤
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 2 ай бұрын
GENGE la WEZI
@abelchacha5977
@abelchacha5977 2 ай бұрын
Bora mngetoa mikopo kwa wafanyakai kwa asalimia ndogo.
@bahatilyimo659
@bahatilyimo659 2 ай бұрын
Mungu akutunze na kukulinda Mama kipenzi. Futa Kikokotoo kabisa
@melejisekeyan9492
@melejisekeyan9492 2 ай бұрын
Mama amejaribu, japo suala la kikokotoo kwa wafanyakazi bado ni kandamizi, asulimia Saba iliyoongezwa ni sawa na ongezeko la milioni Saba.
@marisangaelifadhili3166
@marisangaelifadhili3166 2 ай бұрын
Wewe uwe raise wa maisha
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 2 ай бұрын
Nakupenda sana mama. Umeeongea kweli tupu❤
@Worldunite
@Worldunite 2 ай бұрын
Kuhusu hili la mifuko kuwa hali mbaya nakuunga mkono
@rashidsalehsalum6462
@rashidsalehsalum6462 2 ай бұрын
Napita tu mimi 🎉
@nicolausminja689
@nicolausminja689 2 ай бұрын
Ukisimamia utekelezaji wa hili.Mitano mingine kwa watumishi unastahili ✅✅✅✅
@edwinnyale6265
@edwinnyale6265 2 ай бұрын
Uko vizuri Rais wangu wenye kusikia watekeleza na kuyaishi maelekezo yako
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 2 ай бұрын
Mama mimi hapa nilipo naumwa nimelala kitandani sina hata mia ya kujitibia nimewaandikia nssf barua wanilipe hela yangu nikaambatanisha na barua ya matibabu natakiwa nifanyiwe nilijibiwa una degree huwezi lipwa mafao .Nimechoka nimechoka
@matinyahaule792
@matinyahaule792 2 ай бұрын
Nssf .Mama tusaidie Sheria zilizopo zinzumiza. Mfano mtu ame achishwa KAZI TOKA 2000 na kuambiwa umesoma tafta KAZI . Ni HAKI kweli. Nisipopata KAZI je?Hela ambayo ingetumika kama mtaji inakuwa maumivu
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u Ай бұрын
Mama yetu rais tusaidie tunanyanyaswa kwenye mikopo ya mitandaoni hasa kampuni ya kisasi pamoja na mkopo faster ni zaidi ya kausha damu twafa
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 2 ай бұрын
Kikokotoo Cha Sasa ni dhuluma tupu. Ni vema na Haki Kulipa asilimia 50 Kwa Kikokotoo Cha awali 1 Kwa 540 siyo ya Sasa 1 Kwa 580 mtatuua mapema.
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Unachota Pesa unalipia madeni na posho za safar😂😂nani hajui
@julianadaudi8541
@julianadaudi8541 2 ай бұрын
Mama ubarikuwe Sana kiondoe kikokotoo,umesema kweli!
@theclanyoni4438
@theclanyoni4438 2 ай бұрын
Mama mamaa Mungu akubariki sana❤ umesema ukweli
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 2 ай бұрын
Usiishie kuongea tu wawajibishe.Wamezoea vibaya.
@gellangi9694
@gellangi9694 2 ай бұрын
Rudisha mafao kama yalivyojuwa awali kabla ya kuanzisha Kikokotoo dhalimu.Serikali iweke fedha kwenye mifuko ya Hifadhi ya Jamii haraka kuziba udhaifu wa mifumo mliyoiunda wenyewe.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Hilo neno. Achukue hatua Swahili.
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u Ай бұрын
Mheshimiwa rais sisi watu wa chini tunaokopa kwenye kwenye app mitandaoni tunalipishwa mara saba zaidi hasa kampuni ya kisasi na mkopo faster tusaidie
@emmanuelmush6732
@emmanuelmush6732 2 ай бұрын
The most incremental successful people in the world is the one which is driven by a sense of puepose Today is monday change
@reneebill3742
@reneebill3742 2 ай бұрын
Wisdom
@matinyahaule792
@matinyahaule792 2 ай бұрын
Tunakishukuru mheshimiwa Rahisi .BADO Nssf.,dhuruma ipo pia. Mifuko hii inatengeneza taratibu ngumu kuumiza wafanyakazi
@Nehe100Kilindu
@Nehe100Kilindu 2 ай бұрын
Hongera
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 2 ай бұрын
Tumechoka maneno Kila siku,Nchi hii Ina maneno mengi.wafanyakazi wanaongelewa leo.muongo anajua
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
MAGU ALIMIAMBIA VYUMA VIMEKAZA 😢😢😢😢😢
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Tusubiri mpaka 25. Usiwe maneño bila kitendo. Utaumizwa sana
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
@@monicamwita7865 SIASA HAINA ADUI WALA RAFIKI MY DEAR 🤩🤩🤩🤩🤩🤩
@edosha3137
@edosha3137 2 ай бұрын
Magari ya mawaziri
@ibrahimtesha2733
@ibrahimtesha2733 2 ай бұрын
Mama Samia nakupenda kabisa! Umesema vema mno. Ujue NSSSF wamuturudisha nyuma sana kimapato tukistaafu. Hatukufanya kosa lolote la kustahili kupunguziwa mafao ya kustaafu kijanjajanja: kikokotoo kimetutafunia pato, pato la mkupuo wametufyeka, umriwa kuishi baada ya kustaafu umepungua ili kupunguza tena pato, halafu wanatuambia eti wamejumuisha wasiochangia walipwe pensheni - ili tu tulioonewa tusiungwe mkono kudai haki ya pato kulingana na patano tulipoajiriwa! Mama, tutetee!
@marthaswai1185
@marthaswai1185 2 ай бұрын
Yaani Uishi miaka mingi sana.Umemwaga ukweli
@hamisiizadini3938
@hamisiizadini3938 2 ай бұрын
Mh tifutie hii dhulma adhwiiim
@emmanuelmush6732
@emmanuelmush6732 2 ай бұрын
Tunatakiwa tufikirie njia za kuwasaidie watanzania kama samia
@CalmBaseballStadium-up6uj
@CalmBaseballStadium-up6uj 2 ай бұрын
Aaahhh magufuli lala salama uliko Leo wanabembelezwa hivi
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 2 ай бұрын
Kuhusu mifuko ya jamii pssf sio uongee tu kama ungekutana na wahusika uwasikie vile wanamatatizo utashangaa kuongea tu haitoshi!
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 2 ай бұрын
safi sana mama
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 2 ай бұрын
Kwa kweli kiasi cha 33 1/3% tunacholipwa wastaafu ni kidogo kwa kipimo chochote kile. Kiwango cha theluthi moja kimekadiriwa na watu ambao wao wanapokea mishahara mikubwa kuliko tuliyokuwa tunalipwa sisi bila kujali sasa sisi tuliokuwa tunapata mishahara midogo sasa hatuna hata huo mshahara mdogo. Jamani Mwenyezi Mungu anawaona.
@kalumangachannel4760
@kalumangachannel4760 2 ай бұрын
10 mingine na mama.
@user-ou1ls6oj2f
@user-ou1ls6oj2f 2 ай бұрын
Kweli wanalala na kusubiri kula pesa za watumishi na kukopeshana wakati huku chini tumeshikiwa chini tumefungwa mikono ndiyo maana wafanyakazi tunakufa haraka tumekuwa watumwa tu Mh rais maanisha unachowaambia maana watendaji Huwa wanatuangusha nk nk
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 ай бұрын
Wastaafu wanaumizwa na mbogamboga
@goodlucknnko5493
@goodlucknnko5493 2 ай бұрын
MAMA UMEONGEA LWA HUSARA SANA
@MathewsSikazwe-up4qd
@MathewsSikazwe-up4qd 2 ай бұрын
mdaumekaribia kauri za uchaguzi wa tz amkeni, uo usingozi mpaka lini?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
PIGA KAZI MAMA HII NDIO REALITY CHECK HAKUNA MIUJIZA
@marthaswai1185
@marthaswai1185 2 ай бұрын
Yaani Mheshimiwa Rais pokea maua yako.Mstaafu anaumizwa sana akistaafu
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Maura ya nini? Mpe najua akishaondoa2 KIKOKOTOO.
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 2 ай бұрын
Mama hapo nimekupenda naomba vikokotoo hivyo vifutwe kabisa wafanya kazi wakistaafu wapewe pesa zao zote
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Aondoke ndipo kumpenda.
@ibrahimtesha2733
@ibrahimtesha2733 2 ай бұрын
Mama Samia tizama na kodi kubwa tunayotozwa kama PAYE kwenye mishahara, hii inafanya mtumishi kuona tu namba kubwa ya pato lakini akishakatwa hadi 35% kiuhalisia anabaki tu masikini! Nyerere alikusudia kutuwezesha kupambana na umasikini. Bora wenye kipato wote tutozwe kwa asilimia ile ile! Mfano kama 9% kwa mwenye pato zaidi atatoa kingi kulingana na pato lake kubwa. Tusikomoane kwa kuweka kwamba eti anayezidi pato fulani kinachozidi kinakamuliwa karibia chote! Hii nchi kila mtu afaidi uwezo wake au cheo kinachomhalalishia pato! Asante mummy!
@mcmambo8774
@mcmambo8774 2 ай бұрын
KAMA UNAMUUNGA MKONO MAMA KUWA ADHABU WANAPEWA WATU WA CHINI YAANI WASTAAFU SEMA HAPO CHINI MAMA 2025 MITANO TENA
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Ya nini. Kama 4 th watu tumechoka. CCM kama so goli la mkono wamegoma ñamba
@richardnyarugenda9769
@richardnyarugenda9769 2 ай бұрын
Sisi Wananchi tunataka 1 Katiba mpya 2 Tume huru ya uchsguzi 3 Wakurugenzi wasisimamie uchaguzi 4. Tunataka Tanganyika yetu. 5 .Tunataka tumiliki ardhi Zanzibar 6. Gharama za maisha ziko juu
@jocktanngailo5824
@jocktanngailo5824 2 ай бұрын
Jamani, kazi kweli. Sheria hupindishwa na watu sio katiba wala tume. Kikokotoo si kina sheria na mikataba ya kudumu? Mbona kimebadilishwa. Na katiba ipo. Sheria nzuri ipo. Inaongea nini wewe.
@user-zy4rr9iv3m
@user-zy4rr9iv3m 2 ай бұрын
Watanzania mungu anawaona
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 2 ай бұрын
Ahajjahahaaaaa kivp sasa
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 ай бұрын
"....ni menejiment na pengine serikali..."!! Anajua anachokisema kwamba serikali ilikuwa ikidaiwa michango yake almost matrilion na hiyo nyingine...!
@user-le2ep5nq8c
@user-le2ep5nq8c 2 ай бұрын
Mama FUTA kabisa kikokotoo
@JoshuaKamusiara
@JoshuaKamusiara 2 ай бұрын
Mama samia umechoka sana inabidii uwachiee lisu inchi yetu maana uwezani na kazi zetu kazi yako kama rais una usa inchi yetu kwa ndugu zako warabu
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 ай бұрын
Lisu ni mwanaharakati kazi yake ni KUBWEKA hana leadership skills yeye na mbowe wale RUZUKU 😢😢😢😢😢😢😢
@BIGCHENDREADLOCKS
@BIGCHENDREADLOCKS 2 ай бұрын
Lisu oyee
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Tupate matokeo siyo kusema tu,pesa za wastaafu wslipwe bila masharti yote. Waliozikopa eazirudishe.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Kila siku anaongea vitendo hakuna.
@drsumatz7539
@drsumatz7539 2 ай бұрын
Mh Rais kuongelea tu kikokotoo kisiasa half sera bado ileile sioni kama tunabadilisha kitu ............... Kusema ukweli kikokotoo ni janga la aibu sanaaaa ni Bora kifutwe half kodi iongezwe kidgo Kwa wafanyakaz ... Bora mara sabini
@lugendondayanse4910
@lugendondayanse4910 2 ай бұрын
KWAKWELI NINGEKUWA NA UWEZA AU KATIBA INGEKUWA NA UWEZO,,. NINGEAMURU RAIS WETU, MAMA YETU DR SAMIA ASISUMBUKE KUZUNGUKA MWAKANI KUOMBA KURA,, APITE BILA KUPINGWA,, MI 5 MINGINE TUFANYE TU KWA WABUNGE NA MADIWANI ILI WAZEMBE WAPUMZISHWE KAZI.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Pumbavu. Chawa mkubwa na mnafiki usiyeyejitambua
@stevensteve7519
@stevensteve7519 2 ай бұрын
Mheshimiwa Rais utaratibu wa kikokotoo kwa wastaafu nikibaya na ni dhuluma. Mtu ametumikia taifa anastaafu badala ya kumpa stahiki yake eti mnamwekea, kwanini wabunge wao hamuwawekei mnawapa stahiki zao zote? Hii siyo sawa. Mmeua mifuko halafu solution nikuwadhulumu watumishi. Hii siyo sawa hata kidogo
@daltonmunguatosha1197
@daltonmunguatosha1197 2 ай бұрын
Mheshmiwa Rais ungesema tu tulipwe hela zetu 100%. Na hao wasiokua na vision weka pembeni.
@andersonsamuel9214
@andersonsamuel9214 2 ай бұрын
Mama umeongea vyema sana, inatukera na inauma sana. ananipangiaje na hela yangu? kufika kustaafu ni neema tu. Bado unipe stress na changu?
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Halafu kazi ipo pale palè.
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 ай бұрын
Kikokotoo wakokotoe wabunge wenye mishahara kidunchu walalahoi achana nao
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 2 ай бұрын
Sasa unajua pesa zinafichwa we unachukua hatua gani?ukiishia kusema tu na wao wanachukulia poa na wanazipiga kwelikweli
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Shida iko hapo. Yeye pia phenylalamika. No vizuri wote wanaosababisha tatizo hilo wachukuliwe hatua.
@pilindauka2492
@pilindauka2492 2 ай бұрын
Yeye amekuta tatizo, kama unakumbuka na mwenda zake aliwaambia waziwazi, mama nae ameendelea kupigilia msumari, mbona LAPF hakukuwa na tatizo hili? Wanaanzishaje miradi mingine wakati iliyopo haijaleta tija?Mimi nashauri kuwe na bodi ya wawakilishi wa mfuko itakayojumuisha wastaafu na wastaafu watarajiwa ili kiwe chombo Cha kufuatilia mwendo wa mfuko huu, na kuwe na uwazi wa mapato na matumizi kama ambavyo tumeona katika mashirika mbalimbali yakifedha yanavyofanya.Asante sana mama kwa kutetea wastaafu na kukemea ubadhilifu huu.h
@geofreyrwezimula6039
@geofreyrwezimula6039 2 ай бұрын
Mama watendaji wako wanakuangusha. Hiki kikokotoo ni hatari😢
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 2 ай бұрын
Mazingaumbwe
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Tatizo wananitoa sana badala ya kueleza ukweli
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 2 ай бұрын
Mama fuatilia pia mapoto yanayotokana na miradi ya hii mifuko wastaafu wanafaidikaje maana ni hela za wastaafu ziliwekezwa😱
@minazsaid2470
@minazsaid2470 2 ай бұрын
Tanzania inahitaji rais kma magufuli mwenye maamuzi magumu.
@shabaniramadhani8026
@shabaniramadhani8026 2 ай бұрын
Mpe mstaafu pesa yake yote. Mnapata dhambi wote. Unampa kidogo kidogo mungu yupo tuu.
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 ай бұрын
Umeongea madini sana mama inakuwaje uwezo mdogo wa kuendesha mifuko igeuke adhabu kwa wachangiaji?.warudishe fedha za watu kama wameshindwa au wawape bank wazizalishe wasianzishe miradi isiyo na tija au wakajenge nyumba za kupangisha wanafunzi
@hashimbakari4670
@hashimbakari4670 2 ай бұрын
Hivi mnajua kikokotoo kimebuniwa na nani? Kwa sababu gani? Serikali kujitoa kwenye maamuzi haya ya dhuluma si sahibi. Madeni ya fedha zilizokopwa na serikali yote yalirejeshwa kwenye mfuko? Nani amewaruhusu watumishi kutumia michango ya watumishi kuwekeza ktk miradi?
@wanguwangu34
@wanguwangu34 2 ай бұрын
Ungekuwa unakubali ushauli ungemwindoa mwigulu wizara ya fedha ukamweka Hata Jerry Skaaa maana amesababisha uchumi kufa na pesa yetu kushuka Kila siku, nimetafuta Dollar 5,000. niende Rwanda nimetembea bank kama saba zote hakuna labda tukuelemeze Kwa bei ya 3000. Kwa Dollar wakati mabango yameandikwa 2630.kwa dollar, hii bei hupati Hata ukilia.majanga ya mwigulu.
@WilbertMalula-vv7ml
@WilbertMalula-vv7ml 2 ай бұрын
ASANTE LISSU MAMA KASIKIA
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Hili jembe. Nawashangaa wanaomkejeli.
@davidgeorge9324
@davidgeorge9324 2 ай бұрын
Mama selikar yako inafer Kila sehem wakurugenz wanasumbua kuripa pesa zawazabun ukiuliaza wanasema serikar Haina hela
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 2 ай бұрын
Ww mama huna sifa ya uongoz hufatilii unasemaj tu mambo hayaendi Kwan mtanguliz wako hukujifunza kwake unakaz ya kubembeleza wez mm staki hata kukusikia kwaza jiuzul kbsa
@user-fd7ul7pq9s
@user-fd7ul7pq9s 2 ай бұрын
Mh. Rais. basi. madeni. ya. WASTAAFU. wayalipe
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 2 ай бұрын
Mzembe Wa kwanza ni yy coz ameshindwa kusimamia nchi kama mkuu wa nchi
@JamesChrizestome
@JamesChrizestome 2 ай бұрын
Mama tunasubiri hekima yako maana Kuna idara zingine zinahumia kupita kiasi hatuna pa kusemea tu hivi milioni 17 na umefanya kazi miaka 34 na una mkopo wa nyumba na ulitegemea ulipe kwa kiinua mgongo au hujajenga unategemea kujenga kwa hicho kiinua mgongo tutafika kweli au ndiyo unasogezwa karibu na kaburi tutakufa na kuacha familia zetu zikiteseka, tuondolewe hicho kikokotoo
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 2 ай бұрын
WATANGANYIKA WANAIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE🤣🤣🤣👁️👁️
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 2 ай бұрын
Nchi hii kila mtu analalamika hakuna mwenye majibu
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Mpaka mama naye phenylalamika!
@michaelnzowa
@michaelnzowa 2 ай бұрын
Msajili akalifanyie kazi wapi? Ilitakiwa utoe tamko la kufuta kikokotoo sio maneno tu.
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 2 ай бұрын
SUBIRA HUVUTA HERI,KAMA HUJAELEWA HIYO HOTUBA NENO KWA NENO HUTAELEWA
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 2 ай бұрын
Mbona Hawa wanaopitisha. Dhuluma hizi wao Kila miaka mitano wanajilipa zakwao. Tena. Nyimgi ajabu huu ni unyama. Waliochezea. Mifuko. Wapi walipe. Kwani pesa wamechukuwa halafu wanaleta stori. Warudishe. Wale zakwao ha Mheshimiwa .Raisi itakuwa umewafundisha kitu..kwani hawajui hasara Wala faida.
@user-fd7ul7pq9s
@user-fd7ul7pq9s 2 ай бұрын
Mh. Rais. ni. kweli. kabisa. wanaoingusha. mifuko. ni. watumishi. wa. mifuko. na. wakuu. wao. wanajinufaisha. wenyewe. dawa. nikuwatimua. na. warudishe. fedha. zetu. walizoziiba. wachukuliwe. hatua. wanahusika
@harunamtiko117
@harunamtiko117 2 ай бұрын
Tumechoka maneno kila cku tunataka vitendo.
@giftkalenge418
@giftkalenge418 2 ай бұрын
kama utafuta Sheria ya kikokotoo we Hadi 2030
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Akifute sasa. Hatua 40 bado no dhuluma kubwa
@clickway..
@clickway.. 2 ай бұрын
Miradi isiyokuwa na tija IUZWE, na Fao la kujitoa LIRUDISWE pesa ni za mfanyakazi, makosa ni yenu serikali.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Hawana hata aibu
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 2 ай бұрын
Wabunge wanajionaje?!! Wapiga kura hivi mnajua wajibu wenu?!!
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Bunge la CCM hivyo sana. Hawawajali watu wao. Wanajua wao ni wa kupita kwani goli la MKONO ndilo nguzo yao.
@michaellorri2275
@michaellorri2275 2 ай бұрын
Nani wa kubebeshwa lawama? Aliyefilisi mfuko? (ujue hapo sio uongozi wa mfuko) si siri kali? Hayo maagizo ya mhe rais yanamlenga nani?
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Serikali unajua vizuri na imehusika asilimia 100. Mama kakake huko nje ili watu wakwe haki zao.
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 2 ай бұрын
HII .MIFUKO WASISIMAMIEVIJANA WAMAUMIZA WAZEEHAWA AKINA PATROBASI KATAMBI UMRI HUU NI TATIZO
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 2 ай бұрын
AKINA PATROBASI KATAMBI WANATETEA KANUNI KANDAMIZI WAJITATHIMINI
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 ай бұрын
Sheria zinasema kwamba wewe Samia ndiye ulisaini kikokotoo Sasa Luka mkojo
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 2 ай бұрын
Alisaini baba yenu aliyeenda kuongoza malaika.Acha upumbavu.Ndio maana alikufa.Mnafiki mkubwa
@furahamwakalukwa
@furahamwakalukwa 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa Rais wetu mpendwa unachokisema ila kuna baadhi ya wasaidizi wako hasa huko mikoani wapo busy na maslai binafsi na siyo kuwasaidia wananchi kama ulivyowatuma.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Mawaziri wake, hasa fedha.
@user-rj2kt5qg5y
@user-rj2kt5qg5y 2 ай бұрын
Sawasawa watendaji wetu jitafakalini jamani mnachelewesha maendeleo
@user-fw6xu8gn2q
@user-fw6xu8gn2q 2 ай бұрын
Mh rais Kwa heshima naomba toa kauli thabiti kikokotoo kifutwe wewe ndio ulie bariki na wabunge wako acheni kutesa waastafu jamani mnaenda makanisani misikitini kusali kweli?
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 2 ай бұрын
Kililetwa na kilibarikiwa na magufuli.Acha kumsingizia huyu mama.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 ай бұрын
Wanafiki wakubwa
"MZEE WA SUKUMA NDANI"  AJA NA MAPYA MBELE YA RAIS
4:53
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 47 М.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 160 МЛН
Tim Walz: FULL SPEECH
18:55
FOX 7 Austin
Рет қаралды 231 М.