Rehema Simfukwe - Chanzo (Official Music Video) SKIZA CODE - *812*786#

  Рет қаралды 13,324,843

Rehema Simfukwe

Rehema Simfukwe

3 жыл бұрын

Najua kudhiliwa, tena najua kufanikiwa; katika hali yo yote, na katika mambo yo yote, nimefundishwa kushiba na kuona njaa, kuwa na vingi na kupungukiwa.Wafilipi 4:12
Nilipita kwenye nyakati za furaha, nilipita kwenye nyakati za kupendwa, kufanikiwa, kuwa na vingi ila kuna nyakati nilipita kwenye nyakati za giza nene. Nyakati za kukataliwa, kukosa, lakini katika kila HALI Mungu alinifundisha kuwa yeye bado atabaki kuwa ni MUNGU tena ndio CHANZO cha UHAI wangu na atabaki kuwa Mungu wa kuabudiwa. Ni maombi yangu Mungu akamrudishe kila mmoja wetu kwenye kiini/CHANZO halisi cha UHAI wetu hata kama tutapitia nyakati ngumu kiasi gani ila tubaki kumpenda,kumuishia na kumuabudu daima maana yeye ni Mungu wa nyakati zote.
Live recorded at: Shillo Studios
Audio captured by: S&M Entertainment
Mixed/Mastered by : Samuel
Video captured by : Upendo Media
Video Edited by: Fredrick Stephano
Video Directed by : Huruma Charles
Music Directed by; Samuel Yonah
Musicians & Vocals:
Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
#RehemaSimfukwe#Chanzo#GospelVideo

Пікірлер: 4 500
@nancyjohnson6620
@nancyjohnson6620 6 ай бұрын
2024 Bado ukiisiliziza unaskia uwepo wa MUNGU ndan yko😢 halleluyaa
@boazdanken
@boazdanken 3 жыл бұрын
MUNGU Akubariki Sana Mtu wa MUNGU umenibaliki Sana Glory to Jesus
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
Amen Amen my kaka
@furahaminde673
@furahaminde673 3 жыл бұрын
UMENIBARIKI SANA GLORY To GOD
@sundaykasyupa2430
@sundaykasyupa2430 3 жыл бұрын
Napenda unyenyekevu wako Boaz Danken. Mungu uwainua wanyenyekevu, Mungu uwapinga wenye kiburi. I love you my brother
@happychonde3451
@happychonde3451 3 жыл бұрын
Boaz you are blessing to our generation
@nuruchandi4134
@nuruchandi4134 3 жыл бұрын
Hallelujah
@Epimack_s
@Epimack_s 5 ай бұрын
Philippians 4:12-13 12 I know what it is to be in need, and I know what it is to have plenty. I have learned the secret of being content in any and every situation, whether well fed or hungry, whether living in plenty or in want. 13 I can do all this through him who gives me strength. AMEN
@EmmanuelZenda-ji5gc
@EmmanuelZenda-ji5gc Ай бұрын
Kila nikipitia Magumu basi hii nyimbo unifariji mana Mungu ndio chanzo cha uhai wangu na anajua kwanini alinileta duniani,Being into hard times and trauma lately as I quit my university studies due to insufficient money to pay for my fee,But I believe in God I'll soon get back.
@joycewangeshi6202
@joycewangeshi6202 3 жыл бұрын
May everyone listening to this song never lack favour before God's eyes.🙏
@mercymtitu3444
@mercymtitu3444 3 жыл бұрын
AMINA MPENDWA..THIS SONG BLESSES AND HEALS THE SOUL.
@florahangel1718
@florahangel1718 3 жыл бұрын
Amen and Amen. Same to you
@joynyassy972
@joynyassy972 3 жыл бұрын
Amen. this song is pure unadulterated worship sweet melody to our heavenly father hallelujah!
@geofreybonyo9762
@geofreybonyo9762 3 жыл бұрын
Amen and Amen
@faithkirui8350
@faithkirui8350 3 жыл бұрын
Amen
@Gikonyoea
@Gikonyoea 2 жыл бұрын
I've never admitted this to anyone but this is the only worship song that moves me to tears, and every morning at work because I'm always the first person to arrive...I put this song on full blast and I loose myself in God's presence...I end up crying my heart out singing this song and God did come through for me by surrendering myself completely to Him and from being a laughing stock for family members, to being unappreciated and underpaid at work God has opened the door for me to fly outside the country and work there during the world cup next year...truly Matthew 6:33 works, never loose hope, never go back to the world, God will come through for you!
@jmtvgospel2642
@jmtvgospel2642 2 жыл бұрын
Wow i love this
@MoN_KaDO
@MoN_KaDO 2 жыл бұрын
I'm get a power to keep gone even there cross wind ahead May God let me to be safe,not only me but with my family. Thanks My Lord Jesus Christ for the gift give to me 🙏🙏🙏
@pastorsallytv2024
@pastorsallytv2024 2 жыл бұрын
Powerful testimony Alvin
@praxykiki2091
@praxykiki2091 2 жыл бұрын
Congratulations bro,keep going Glory to God ,Glory to God.
@jerushanjiru3927
@jerushanjiru3927 2 жыл бұрын
Woooow this is awesome God our source of life!!! Blessings to you!
@mtoto_wa_Mfalme12
@mtoto_wa_Mfalme12 Жыл бұрын
10 Million Viewers 06/06/2023 Hawa watu wote Million 10 umewabariki kwa Wimbo huu. Mungu AKUBARIKI Mtumishi 🙌
@alexojeto5658
@alexojeto5658 2 жыл бұрын
My son wasnt feeling okay last night and i and him hardly slept,today morning when i boarded a bus to work,this was the first song that was playing in the bus. I reached the office and quickly searched the song title and cried to God sababu yeye ndio chanzo cha uhai wake,some hours later i called the nanny to know how hes doing and was happy to hear that hes better and just playing around. Lord my heart is full,i will always praise you Jehovah even in the midst of darkness. Holy is your name
@FredGDangote
@FredGDangote 2 жыл бұрын
amen.bro.We praise God.
@NkathaP
@NkathaP 2 жыл бұрын
We bless God...
@FredGDangote
@FredGDangote 2 жыл бұрын
@@NkathaP true.
@mugodaniel1753
@mugodaniel1753 Жыл бұрын
Amen
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 Жыл бұрын
Praise be to God
@azizamuhali5531
@azizamuhali5531 3 жыл бұрын
Nikikumbuka vile nililala na njaa, nikadharauliwa, nikakataliwa, nikasemwa namengine mengi huu wimbo unaniingia akilin mpk moyoni 😢 Mungu ni mwema sana hata sasa ameniheshimisha 😇😇
@wardanyambura.4499
@wardanyambura.4499 3 жыл бұрын
Mimi hapa pia.
@priscaanthony1067
@priscaanthony1067 3 жыл бұрын
Tupo wengi
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@piussimon2722
@piussimon2722 3 жыл бұрын
Amen
@milliybiu9204
@milliybiu9204 3 жыл бұрын
I can't get enough of this song, so powerful
@WorshipHubwithChama
@WorshipHubwithChama 3 жыл бұрын
My neighbor just woke me up, with some loud music, instead of being angry, I had to search this song, What a song!.. what a song to wake me up.
@gwarawara887
@gwarawara887 3 жыл бұрын
Mungu ana njia nyingi
@JBB875
@JBB875 3 жыл бұрын
Glory to GOD
@emilyadhiambo7199
@emilyadhiambo7199 3 жыл бұрын
Me too, i forgot to close the television,this song woke me up,
@penelopestanley7021
@penelopestanley7021 3 жыл бұрын
Me too this song wake me up I heard it from my sister's phone.
@alphashila6957
@alphashila6957 3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@boazwambua387
@boazwambua387 9 ай бұрын
I remember the first time heard this song I was arrested by the Holy Spirit and I cried like a child right in front of my wife and children..... The kids were like Daddy are you crying?... I couldn't control myself. Barikiwa sana Rehema Mungu azidi kukuinua... This is just a glimpse of how things will be in Heaven .... Just worshipping the KING OF KINGS, THE LORD OF LORDS, THE ONE WHO TELLS THE SEA THAT THIS IS THE FAR YOU CAN GO.
@rosena_-yw6tq
@rosena_-yw6tq 3 ай бұрын
thanks I would love to also listen​@Follow_JesusDaily
@fredrickmakori8037
@fredrickmakori8037 Жыл бұрын
Wewe ni chanzo cha uhai wangu kweli
@kambua
@kambua 3 жыл бұрын
What a powerful song woman of God 🙌🏾
@marygaitaa
@marygaitaa 3 жыл бұрын
Very powerful song
@dianaauma6559
@dianaauma6559 3 жыл бұрын
Yes
@joyousjunebosire2176
@joyousjunebosire2176 3 жыл бұрын
@RehemaSimfukwe you and Kambua may God bless you for blessing us
@hildahkageha668
@hildahkageha668 3 жыл бұрын
Amen
@raelvuguza3815
@raelvuguza3815 3 жыл бұрын
😢 nice song
@adeladavis1876
@adeladavis1876 3 жыл бұрын
Yaani nilivyosikia huu mwimbo , nikaanza kulia maana nimepitia mambo mengi ila Bado Yesu ananipigania 😢😭😭😭 kuna muda nakataa tamaa kuendelea ila 🙏🏼
@upendosanga7044
@upendosanga7044 3 жыл бұрын
Usikate tamaa Mungu yupo nawe hayo yote ametaka upitie kwa kusudi kabisa na kwa utukufu wake
@JBB875
@JBB875 3 жыл бұрын
Usikate tamaa mpendwa, MUNGU yupo nawe, MUNGU Ni mkuu na ni mwaminifu sana
@nuruelmada9570
@nuruelmada9570 3 жыл бұрын
@@upendosanga7044 amina
@anthonyfahami5183
@anthonyfahami5183 3 жыл бұрын
Barikiwa sana dada
@anthonyfahami5183
@anthonyfahami5183 3 жыл бұрын
Barikiwa sana dada
@IscaAtieno
@IscaAtieno Жыл бұрын
Right now am not in my right state of mind but i really don't want to complain coz i know God is helping someone else who needs Him more than me i know it's going to be fine 🙏🙏
@sheilamabera2578
@sheilamabera2578 Жыл бұрын
Spiritual revelation to all those who have faced rejection and experience hardships in life
@Ambmercymasika
@Ambmercymasika 3 жыл бұрын
Beautiful and powerful 🙌
@merie8265
@merie8265 3 жыл бұрын
Eeh nimekulike wa Kwanza mercy nipee like hahaha
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
Ooh my dear Thank you so much... God bless you so so much ..keep the fire burning in you too sis
@kelvinkijo7500
@kelvinkijo7500 3 жыл бұрын
Baraka sana watumishi wa BWANA
@stevebiko2289
@stevebiko2289 3 жыл бұрын
The two of you can do a piece together that could light up the world with worship
@brendamshai5394
@brendamshai5394 3 жыл бұрын
Glory to Jesus. Kweli wewe Yesu ndio chanzo cha uhai wangu. Kama sio wewe ningekuwa nimezikwa nikasahaulika. Asante Yesu kwa kunishika mkono wakati wa majaribu na kunipa ushindi.
@marynyakunga9575
@marynyakunga9575 3 жыл бұрын
Nasikiliza kila siku hii nyimbo nikiwa nalia na kumwambia Mungu yeye ni CHANZO CHA UHAI WANGU
@gracenyae001
@gracenyae001 Жыл бұрын
Nitamsifu mungu mpaka kufa kwangu 🙏🙏🤞bila yeye ningekuwa nimekufa
@graceriziki-bk8sc
@graceriziki-bk8sc 7 ай бұрын
Na mimi nita musifu munga hadi siku ya pumuzi zangu za mwisho apa chini ya jua ame ni rudishia uwai wakati nili kua nime jua nime pata magonjwa ya moyo
@Emilianamfoi
@Emilianamfoi 3 ай бұрын
Wimbo huu umenifanya nitoe macho zi sababu ya kipindi kigumu ninachopitia, ahsante MUNGU kwa kuwa ww ni chanzo cha uhai wangu.
@DERICKMARTON
@DERICKMARTON 3 жыл бұрын
Ila niwaambie ukweli jamani Mungu ametubariki saana AFRICA hongera saana dada yangu so proud of you🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥
@happychonde3451
@happychonde3451 3 жыл бұрын
Revival
@sylviakisanga7507
@sylviakisanga7507 3 жыл бұрын
yep
@bgal7773
@bgal7773 3 жыл бұрын
@@sylviakisanga7507 dy Hkk O
@jabezjedidiah1429
@jabezjedidiah1429 2 ай бұрын
To God Almighty be glory and honor and thanks
@EmilianKatubayemo
@EmilianKatubayemo 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana dada yangu wimbo huu ni wambinguni hakika
@doricasedward9601
@doricasedward9601 3 жыл бұрын
AMEN
@evarlightpaul3740
@evarlightpaul3740 3 жыл бұрын
Hakika Mtumishii 🙏
@user-bv6gh2ve2g
@user-bv6gh2ve2g 2 ай бұрын
🙏katika yote wewe bado ni Mungu.
@langsondavid8123
@langsondavid8123 Жыл бұрын
Naitwa langson David nkwamu wa Sumbawanga Rukwa Tanzania.Napenda uimbaji huu.nikisikiliza wimbo nabubujikwa na machozi.Mungu awabariki Dana.real touched
@amonidafa9665
@amonidafa9665 4 ай бұрын
Endelea kuufurahia uzuri wa Yesu
@henrickmruma
@henrickmruma 3 жыл бұрын
I am addicted to this song. God has revealed great things to me through this song. I pray that it touch a lot of lives and generations. You are always blessed rehema.
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
Thank you so much my brother im humbled
@abiyamashaka5716
@abiyamashaka5716 3 жыл бұрын
it will do so brother,its a song with too much anointing
@isaacmutai1677
@isaacmutai1677 3 жыл бұрын
AM TOO ADDICTED TOO,WHAT A BLESSING..
@nickodemsimchimba594
@nickodemsimchimba594 3 жыл бұрын
@@rehemasimfukwe dada wew ni kabila gani? I'm so sorry where is your originality?.... I'm so blessed with your anointed and powerful song
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
@@nickodemsimchimba594Mbeya,Mbozi, Kamsamba
@lameckvlad5672
@lameckvlad5672 3 жыл бұрын
Nikisikiliza huu wimbo kuna namna naona vile Mungu akishughulika na mambo yangu. Glory to God 🙏
@magrethstanl5891
@magrethstanl5891 3 жыл бұрын
kumbe tuko weng hata mim Ni hvyo kbsa
@meriothm2856
@meriothm2856 3 жыл бұрын
A loudest amen
@esthernjogu9683
@esthernjogu9683 3 жыл бұрын
Alishughulikia???
@lameckvlad5672
@lameckvlad5672 3 жыл бұрын
Acha upepo nao uvumu Mimi nitakwabudu wewe Blessed blessed 🙏🙏🧎‍♂️🧎‍♂️
@elimastevo3466
@elimastevo3466 3 жыл бұрын
Amen
@JanethJanethjackson2024
@JanethJanethjackson2024 2 ай бұрын
Ninajua kushiba na kuona njaa katika yote wew bado upo 😓😭
@irenemrua1350
@irenemrua1350 Жыл бұрын
Miaka miwili sichoki kuusikiliza huu wimbo. Mungu wa mbinguni kupitia wimbo huu naomba Usinipite Mungu wangu, naomba ukanitendee makubwa ndani ya mwaka huu 2023 angalau nifanye hata kidgo ya matarajio😭😭😭🙏🙏🙏🙏NAKUINUA MUNGU WANGU
@popemunala3705
@popemunala3705 Жыл бұрын
P
@albertnyaluke5487
@albertnyaluke5487 Жыл бұрын
Amina mungu awe katikati yetu katika mafundisho ya wimbo huu
@mwlelishamathayo6528
@mwlelishamathayo6528 3 жыл бұрын
Nyimbo kama hizi sio za kuandika ni direct kutoka kwa Roho Mtakatifu mwenyewe.....MUNGU akupe kuliishi kusudi lake na kuufikia utimilifu wa wito wako ....
@sarahchaggu7073
@sarahchaggu7073 3 жыл бұрын
Exactly.
@barakaephraim8367
@barakaephraim8367 3 жыл бұрын
Wewe wasema stay connected!
@anordalex7571
@anordalex7571 3 жыл бұрын
Yes nakubali, yani ni uhimbaji ulotukuka saana, unaoweza kumwinua Mungu kwenye kiti cha enzi akasema kweli duniani kuna watu.
@sylviakisanga7507
@sylviakisanga7507 3 жыл бұрын
yes
@joynyassy972
@joynyassy972 3 жыл бұрын
Amina, na apewe sifa Mungu mkuu
@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL
@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL 3 жыл бұрын
Na huu ndio wakati wako uliokubalika machoni pa bwana keep up we are together,nice song
@happinesswilliam2948
@happinesswilliam2948 3 жыл бұрын
Napenda nyimbo zako itwao leo nasikiliza
@davymtui5854
@davymtui5854 3 жыл бұрын
Blessing
@cia_asila
@cia_asila 3 жыл бұрын
Amen
@agneskyalo2363
@agneskyalo2363 3 жыл бұрын
Amen I love this...
@kelvinkijo7500
@kelvinkijo7500 3 жыл бұрын
Tupo pamoja
@user-bw7db5un3q
@user-bw7db5un3q 3 ай бұрын
wewe ni chanzo Cha uhai wangu Mungu yupo atakuwepo Wimbo unainua sana kiimaniii😢❤
@petermuisraeli254
@petermuisraeli254 Жыл бұрын
Who is here tonight? January, 2023 What a wow ... Huu wimbo umenibariki sanaaa
@epaphraslugendo8790
@epaphraslugendo8790 6 ай бұрын
Am here, and still touched
@epaphraslugendo8790
@epaphraslugendo8790 6 ай бұрын
January 2024
@ndindamuthini9865
@ndindamuthini9865 3 жыл бұрын
She's the Tasha cobbs of Africa💯💯
@karistachusi4874
@karistachusi4874 3 жыл бұрын
Yes dear and jekalyn karr their voices resembles
@lucymukiri2134
@lucymukiri2134 3 жыл бұрын
@ed4Jesus
@ed4Jesus 3 жыл бұрын
in every single way n form,
@fencilatemesi3341
@fencilatemesi3341 3 жыл бұрын
Wow may God bless you this is so touching my sister,, kwa kweli yeye n chanzo
@eyvezale7357
@eyvezale7357 3 жыл бұрын
Tears😭😭😭😭😭😭😭😭😭 I just heard this song from our church worship team Karura Community Chapel, Nairobi🇰🇪🇰🇪 and since then I can't stop thinking about it
@JanethJanethjackson2024
@JanethJanethjackson2024 2 ай бұрын
Maisha yangu bila Mungu sizani kama ninaweza 😭😭😭
@isiongongaira7920
@isiongongaira7920 Жыл бұрын
Tangu siku ile niliskiza huu wimbo,kipindi kile nilikua nayapitia magumu sana ila nilipata utulivu,muumba wetu hawezi akatuacha tukateseke,mwenyezi mungu akuzidishie mengi Rehema (wengi wanapata kupona kupitia huu wimbo pata kubarikiwa nawe)
@Lydiamaheli-uj7ok
@Lydiamaheli-uj7ok 10 ай бұрын
Amen, ubarikiwe pia
@aliceo9529
@aliceo9529 2 жыл бұрын
After facing rejection and hatred from the, family from the church, this is where I got my solace..for someone who has experienced pure hatred, I found love in this song 🎵 ❤thank you
@mbarikiwaamina5885
@mbarikiwaamina5885 2 жыл бұрын
Jesus is there for you...he realy love you and his love is sufficient
@anyubangu4148
@anyubangu4148 2 жыл бұрын
I read your message, it builds up my spiritual muscles. Thank you.
@angieblessed
@angieblessed 2 жыл бұрын
Amen
@karentabitha12
@karentabitha12 2 жыл бұрын
This message is one of the quoted verses Paul wrote , kindly read you will see this message. I think it's the book of Luke tht says woe to those tht are loved by the world but you who is not loved by the world is loved by God. Jiwe waliokataa waashi Sasa n jiwe la pembeni... When people reject you know tht God will never reject you n you are highly favoured . I have faced through tht but i learnt to keep God first in everything and i have gained favour infront of him and he brought the right connections so don't mind who is not for you focus on God only if you focus on man you will loose focus on God those tht reject you now are not true people they are fake. B blessed
@vivianjasphet113
@vivianjasphet113 Жыл бұрын
You are blessed dear❤️
@hellenpascal9605
@hellenpascal9605 3 жыл бұрын
This is time Tanzania will rise and Worship God who is the source of everything 😭😭😭😭😭
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 3 жыл бұрын
Bless u
@elegoodness6267
@elegoodness6267 7 ай бұрын
I'm from Nigeria. And i heard this song to the glory of God. I don't even know the country singing,but i just want to worship with you and say that, Jesus Christ is the source of my life too. I love this God that created so many languages in the world. This one is too super. God bless you my sister Rehema
@elegoodness6267
@elegoodness6267 7 ай бұрын
Which language are they singing with please
@fravianmwizarubi4426
@fravianmwizarubi4426 7 ай бұрын
Kiswahili from East Africa
@magrethlyimo24
@magrethlyimo24 5 ай бұрын
This song from Tanzania, Kiswahili language
@casmiraugust6853
@casmiraugust6853 4 ай бұрын
​@@elegoodness6267Swahili..Tanzania
@mercymeriy7851
@mercymeriy7851 2 жыл бұрын
The song always reminds me of Apostle PAUL in the bible...
@barbiemuzira6051
@barbiemuzira6051 2 жыл бұрын
The first day I listened to this song I cried more than I have ever cried in my life remaindering me where God got me from ,my childhood was not easy I grew up like a grown up woman struggled in everything and i realized that God was the source of my life,be blessed more than you think
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 2 жыл бұрын
Halleluya Glory to God
@editafabian8877
@editafabian8877 Жыл бұрын
@@rehemasimfukwe Glory to GOD
@eveotiato2210
@eveotiato2210 2 жыл бұрын
In the month of may, God saw me through all I was going through as a house help in Thome estate. He elevated me From a house help to a credit officer This was the song God bless you Rehema
@sheizzybaby6923
@sheizzybaby6923 2 жыл бұрын
Wow!! Congratulations & God Bless You!!
@tomyumguzz
@tomyumguzz 2 жыл бұрын
9:00 - 10:30
@tomyumguzz
@tomyumguzz 2 жыл бұрын
God is faithful, Amen Amen. Never forget the experience you encountered in this deep soaking worship, welkam to Citam Thika Rd, on every Wednesday for prayers and on Sundays for our services start
@user-ki4ii4fx6u
@user-ki4ii4fx6u 3 ай бұрын
Amen
@user-lf2zr3fj9g
@user-lf2zr3fj9g Ай бұрын
Daaah! Jaman kila ninapo isikiliza hii nyimbo lazima nilie machoz kwasabb nakumbuka magumu mengi sana niliyo yapitia katika maisha yangu😢 ila acha Mungu ubaki tu kuwa Mungu maana umenitoa mbali sana mimi na wanangu...hakika wewe ni chanzo cha uhai wangu na wewe ni chanzo cha mafanikio yangu na pia wewe ni chanzo cha kila jema linalotokea katika maisha yangu.😢 I worship you Dear Lord❤🙏😭😭😭
@user-lf2zr3fj9g
@user-lf2zr3fj9g Ай бұрын
Dada Regema Mwenyez Mungu azidi kukupa kibali cha kuendelea kuifanya kazi yake, Mungu azidi kukupa kipawa cha kuifanya kazi yake, nakupenda sana dada angu na Mungu akubariki na azidi kukutia nguvu❤
@user-cr2gd4rc8w
@user-cr2gd4rc8w 5 ай бұрын
Nyimbo imenibariki sana kipindi ambacho nilihisi mungu ayupo lkn bada ya kusikia hii nyimbo kua mungu ni chanzo cha uhai wangu nimepata tumaini upya ahsante mtumishi kwa kazi nzuri
@brownangeldancers9563
@brownangeldancers9563 2 жыл бұрын
I played this song again and again at a point when my fiance dropped me just like that ...I was on a travel..receiving this trebled heart break text and block..any minute I lost sleep at night.i would play it and cry like never before my mouth wild open full of pains.but I give glory to GOD.this song opened a new door for me.a greater proposal with two great wishes of a man with his own house and a wish to add a second kid.i found all these two.Glory be to God.God bless u siz for such a powerful song.am blessed. Mostly this part of..wacha upepo na uvume.with my wedding cloths in my cupboard..kuna Mungu...God bless u siz..thnks alot
@erenestawanjiru1935
@erenestawanjiru1935 2 жыл бұрын
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaawsome Testimony....What A Mighty God We Serve.
@daisyeunice8772
@daisyeunice8772 2 жыл бұрын
Might have taken you through hell
@daisyeunice8772
@daisyeunice8772 2 жыл бұрын
We serve a living God, He wanted to separate you from the previous relationship which
@linnmoraanash
@linnmoraanash 2 жыл бұрын
God was preparing a way for you after all cries now you can smile
@loraynwyali9746
@loraynwyali9746 2 жыл бұрын
How did u manage to get over I'm going through the same thing n it hurts so much
@mamabyela18
@mamabyela18 2 жыл бұрын
I heard this song for the first time during my cousin sister's funeral, right there I realised that nothing realy matters in this world except worshiping the author and finisher of my life, Jehova Jireh
@lucimueni9746
@lucimueni9746 2 жыл бұрын
What a nice vibe Mama....imagine this is not our home we are just passing by But we need to thank God that He gave us an opportunity to live on this world.Glory be to God our Father.
@larinaawino2542
@larinaawino2542 2 жыл бұрын
God have mercy on me🙏🏽 I can't stop crying because of this song.🙏🏽🙏🏽
@gildachris9953
@gildachris9953 2 жыл бұрын
@@lucimueni9746 dbnmczx ex
@costasmsumba4525
@costasmsumba4525 2 жыл бұрын
Thank you Jesus
@esthermwangi1559
@esthermwangi1559 Жыл бұрын
Ameeeeeen
@jasmenmeru2330
@jasmenmeru2330 3 ай бұрын
Barikiwa mama, Mungu akuinue Mimi niko Kasulu -KIGOMA -Tanzania Tunapita katika mapitio magumu sana Ila MUNGU atutete
@talentplug7794
@talentplug7794 Жыл бұрын
After being abandoned and rejected at birth, God was not done with me. Every day I am reminded that He had a plan and a purpose for me despite my hurtful past. Kweli yeye ndiye chanzo cha uhai na maisha yangu. Wonderful song, makes me remember all the good God has done in my life. All glory to Jesus!
@josphineakinyi2750
@josphineakinyi2750 Жыл бұрын
Amen 🙏I see God's faithfulness in this song.
@apansiamushi6115
@apansiamushi6115 Жыл бұрын
Grory to God 🥰
@veronicatilia7846
@veronicatilia7846 Жыл бұрын
GLORY to God
@norahnosh
@norahnosh Жыл бұрын
he really is GOD
@Lydiamaheli-uj7ok
@Lydiamaheli-uj7ok 10 ай бұрын
Glory be to God
@estherthea8180
@estherthea8180 3 жыл бұрын
Phillipians 4:12 I rejoiced greatly in the Lord that at last you renewed your concern for me. Indeed, you were concerned, but you had no opportunity to show it. I am not saying this because I am in need, for I have learned to be content whatever the circumstances. I know what it is to be in need, and I know what it is to have plenty. I have learned the secret of being content in any and every situation, whether well fed or hungry, whether living in plenty or in want. I can do all this through Him who gives me strength.
@prettysunshine7537
@prettysunshine7537 2 жыл бұрын
I Listened to this song when I was at the verge of giving up due to lack of school fees...and it reminded me that he's the source of my life😭😭😭😭😭dear lord am greatful🙏🙏....keep on touching souls minister of God
@user-ki4ii4fx6u
@user-ki4ii4fx6u 3 ай бұрын
Amen He is a faithful God, he'll do it in time
@moreenkamadi7474
@moreenkamadi7474 Жыл бұрын
Am going through alot silently, l always pray to God to see me through,,, today l dreamt l was singing this song. Woke to search for it. I have really cried. I feel God in my way. Jesus is real
@monicakiwia5649
@monicakiwia5649 2 ай бұрын
Hope everything went well with you dear one ❤❤
@SamwelShao
@SamwelShao 20 күн бұрын
❤❤
@zuhuramohamed3424
@zuhuramohamed3424 Жыл бұрын
I hope GOD will hear my prayers one day, inshallah!
@veronicah5602
@veronicah5602 5 ай бұрын
Did God heat your prayers
@veronicah5602
@veronicah5602 5 ай бұрын
Hear
@zoravoofficial607
@zoravoofficial607 3 жыл бұрын
...too much anointing in your ministry my sister,goooooo
@gilbertjuma7294
@gilbertjuma7294 3 жыл бұрын
mkuu ubarikiwe saaana
@patrickkubuya
@patrickkubuya 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Dada Rehema
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
ooh my brother God bless you so much
@ed4Jesus
@ed4Jesus 3 жыл бұрын
Amen @Patrick Kubuya, hata nawe una kibali kikubwa. Baraka tele pia
@patrickkubuya
@patrickkubuya 3 жыл бұрын
@@ed4Jesus amen and glory be to the Lord Jesus Christ
@patrickkubuya
@patrickkubuya 3 жыл бұрын
@@rehemasimfukwe kweli huu wimbo ume kuwa faraja kwangu
@patrickkubuya
@patrickkubuya 3 жыл бұрын
@@rehemasimfukwe hakika huu wimbo ume kuwa faraja kwangu
@didindayiragije927
@didindayiragije927 9 ай бұрын
is there anyone who's still listenning to this food soul untill now like me? I can't be tired to listen this amazing song. Thank you psalmist Rehema for your sweet songs!
@worshiplibrary7157
@worshiplibrary7157 Жыл бұрын
Good Morning, Father Lord, today's a new day, a chance for a new start! Yesterday is gone & with it any mistakes, regrets, or failures I may have experience!It's a good day to be glad & give thanks & I do Lord!Thank YOU for today a new opportunity to love, give & be all YOU want me to be! HALLELUJAH!
@marionwanjiku4226
@marionwanjiku4226 3 жыл бұрын
Here in 2021 listening for the first time and tears just flowing freely, deep words, thank you lord😢😢😢
@ezeenconceptzguc6532
@ezeenconceptzguc6532 3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.....
@lilianmushi6240
@lilianmushi6240 3 жыл бұрын
@@ezeenconceptzguc6532 SCAM dont you fear God you people.
@alexodanga9702
@alexodanga9702 3 жыл бұрын
It's a touching song
@christinasillo792
@christinasillo792 3 жыл бұрын
True Amen
@immanuelmwaipopo1605
@immanuelmwaipopo1605 2 жыл бұрын
Nimeusikia huu wimbo mara moja tu kwenye radio ya mtu mwingine roho yangu ikanihakikishia kuwa ndani ya huu wimbo yupo Mungu barikiwa sana dada😔
@Allinone1056
@Allinone1056 2 ай бұрын
Yesu ni chanzo cha maisha yangu!
@vividchris3746
@vividchris3746 2 жыл бұрын
THIS IS THE KIND OF WORSHIP THAT IS BEYOND OUR ABILITY EVEN THE GUITAR GUY FORGOT HE IS THERE TO PLAY THE INSTRUMENT AND HE IS CARRIED AWAY BY THE ANNOINTING IN THE SONG. REHEMA SIMFUKWE YOU ARE A BLESSING
@hillarytheworshipper
@hillarytheworshipper 3 жыл бұрын
Paul Clement and Gwamaka brought me here .. This is the song😭😭😭
@gwamakamwakanosyayakutisam130
@gwamakamwakanosyayakutisam130 3 жыл бұрын
Gwamaka yupiii
@dorisngenomusic5214
@dorisngenomusic5214 2 жыл бұрын
I'll be ministering with this song in my church this coming Sunday and I'm really praying it'll be a blessing😊🤗
@lewismukoya5853
@lewismukoya5853 2 жыл бұрын
May God bless you Rehema
@mirriamwambui446
@mirriamwambui446 2 жыл бұрын
Where my sister we join you
@josatinooking388
@josatinooking388 2 жыл бұрын
i have been planning to minister with the song for a month now, the day i get a chance i will do it with my whole heart and i do pray it shall be a blessing to the ppl of God
@hiltrudekihiyo3323
@hiltrudekihiyo3323 2 жыл бұрын
I can't say more God has shown Mercy in me during delivery oh! was last year I keep singing the song when I have no other option
@carolngile6086
@carolngile6086 2 жыл бұрын
AMEN 🙏
@abdallahsufiani8490
@abdallahsufiani8490 Жыл бұрын
Yah nyimbo nzuri iko katika viwango vya kiroho Bwana Yesu akutendee zaidi
@Kira1995.
@Kira1995. 6 ай бұрын
I have listened to this song this morning and I'm full of emotions because truly God is the reason for my existence. This is going to be one of the songs on my wedding this year in Jesus name.
@josephatkinywa6464
@josephatkinywa6464 3 жыл бұрын
Kambua brought me here 💓💓💓
@hermanbeatus8207
@hermanbeatus8207 3 жыл бұрын
Goosebumps.what a song glory be to God.Keep it up Sister Ray
@benedictoryona4811
@benedictoryona4811 3 жыл бұрын
The first day I heard this song,horry spirit spoken to me about my struggling, he said to me he always with me,in the darkness he is my chanzoo
@salomejackson7812
@salomejackson7812 3 жыл бұрын
God be with u my ccter good news groly to jesus
@upendosanga7044
@upendosanga7044 3 жыл бұрын
Kujua hilo tu mtukuze Mungu endelea kumwomba Mungu atafanya jambo kubwa utashangaa ,mi am testimony Mungu yupo anaishi
@queenamani5302
@queenamani5302 3 жыл бұрын
Nashukuru mungu hicho ndiyo nacho weza kusema ila dada mungu aku bariki maana nahisi leo ndugu zangu wange pata msiba lakini kupitia this song najikuta nina sababu yaku ishi god bless you dear
@willydugilo3258
@willydugilo3258 19 күн бұрын
Hakika bila mungu!!sisi wengine sijuwi ingekuwaje!! Umetutoa mbali mungu wetu!! Katika yote tuliyopitia!! Ulikua pamoja nasi!! Asante yesu!!
@reginahmwangi3249
@reginahmwangi3249 Жыл бұрын
2 years now but am listening to this song tonight as l wait for 2023
@noahgondwe4779
@noahgondwe4779 3 жыл бұрын
Daaaaa aiseeee, so touching. Why hivi uwa hakuna matamasha ya worship jamani, vifua vyetu vina maumivu mengi ambayo naamini praise n worship Inaweza fungua kabisa
@spiritofexcellencewanyonyi8434
@spiritofexcellencewanyonyi8434 2 жыл бұрын
I perceive revelation that I will still boast in lack , trouble etc
@asiatumaulana6853
@asiatumaulana6853 3 жыл бұрын
Well im from zimbabwe and im teaching myself swahili .this is going to be on my everyday worship playlist
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
Glory to God jamaniii we love you Zimbabwe
@TheJakamburi
@TheJakamburi 3 жыл бұрын
It's a beautiful song
@Marymrisho
@Marymrisho 2 ай бұрын
Miaka kadhaa nyuma nilikua natamani kupata kazi siku moja nikaenda kanisani siku iyo kulikua na mgeni mzungu lakini Mungu alimuonesha nayo pitia yule mzungu aliinuka akasema akasema Mungu kamuonesha kuhusu shida zangu lkn niruhusu amani kila kitu kitakua sawa
@Richard_Range
@Richard_Range Жыл бұрын
They say in Life there are no second chances, But GOD gave me a fresh start! Na Wewe (GOD) ni Chanzo! Aleluyahh Hii nyimbo inanibariki sana🙏🏽
@rhodawilliam5548
@rhodawilliam5548 3 жыл бұрын
Had goosebumps...OMG i cnt get enough of this song....Mungu azidi kukutumia minister rey
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
🤗
@zipwangui
@zipwangui 3 жыл бұрын
Woow thought i was alone. Just heard the song today. Made me shed tears knowing He has always been God, father, the king of kings.
@RoseRose-hz9mx
@RoseRose-hz9mx 3 жыл бұрын
@@rehemasimfukwe😘 🤲
@boazwambua387
@boazwambua387 3 жыл бұрын
@@rehemasimfukwe hi siz can I invite you to our church?
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
@@boazwambua387 0714101562
@gracemfangavo4824
@gracemfangavo4824 3 жыл бұрын
Wimbo wa nyakati zangu zote...... Ur such a blessed ssy, an u make me fll blessd too nakupenda, na nampenda Yesu wangu kwaajili yako
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
Amen my love... Blessings
@evansbish9387
@evansbish9387 3 жыл бұрын
Mungu akishuka anaonekana kweli ni baraka na uponyaji
@rachaelcarl9917
@rachaelcarl9917 Ай бұрын
17 -06-2024... God you are the source. I'm because you are God..glory
@esther4402
@esther4402 2 жыл бұрын
I have condition that has troubled me for a long time and at this moment at night as I was thinking about this condition I heard this song in my spirit, I had never listened to all of it. Mungu wewe ni chanzo cha uhai wangu,najua utaniponya na nitakuja kushuhudia papa hapa.
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 2 жыл бұрын
I speak healing up on you in Jesus name
@esther4402
@esther4402 Жыл бұрын
@@rehemasimfukwe Glory to God,not long after this I got complete healing. Mungu ni chanzo cha uhai wetu hakika. Sifa na utukufu ni zake.
@paulandwiga6373
@paulandwiga6373 2 жыл бұрын
Am here thinking of giving up and then I go to KZfaq and find this song as a suggestion I can't help but breakdown ,may God remember me and others that may facing a hard time ,He will see us through😭😭😭😭
@onesmusmutie7764
@onesmusmutie7764 2 жыл бұрын
I have just lost my loving mum.She is now in heaven but i will still worship Him.The LORD is forever good.I pray for your strength oh God!
@peacemelodies5339
@peacemelodies5339 2 жыл бұрын
May the Lord heal you
@jmtvgospel2642
@jmtvgospel2642 2 жыл бұрын
May the Lord comfort you in a way that only He can
@evelinelema4563
@evelinelema4563 11 күн бұрын
July 2024 nimepata msukumo wa kutafuta wimbo huu na nimebarikiwa wala sijausikia mahali.Dada Rehema Mungu akuinuie zaidi zaidi
@msemakweli3132
@msemakweli3132 3 ай бұрын
Napenda nyimbo zako Sana ila hata Kwa neema sisikii ukitaja Yesu wala Mungu Yehovah..labda mwisho mwisho naomba jina lake litajwe mwanzo Hadi mwisho. Jivunie Yesu wako unayemwabudu..
@ireneokobwa7081
@ireneokobwa7081 2 жыл бұрын
I have been going through financial strain and trusting God for a breakthrough but when I heard this song for the first time I started thanking God cause He is still Faithfull no matter what He is STILL GOD!!!!!
@georgemaina-fh8ph
@georgemaina-fh8ph 2 жыл бұрын
Absolutely!!
@jacintambatha4479
@jacintambatha4479 Жыл бұрын
Sure, HE never changes,HE is God of all ages
@mariethavenance4566
@mariethavenance4566 Жыл бұрын
Bg up sister wimbo unauwepo mungu akubariki
@mariethavenance4566
@mariethavenance4566 Жыл бұрын
Deborah
@younginspired3899
@younginspired3899 2 жыл бұрын
There's something in this lady's voice, i can feel this in my heart.. 😭😭
@jamesmwangi1527
@jamesmwangi1527 8 ай бұрын
There's a presence of God in this great song
@melanieshalua7882
@melanieshalua7882 Жыл бұрын
The first time I found this song accidentally on KZfaq it has about 200+K views I new it is going to be the big song...and It is !!
@wambos_youtube
@wambos_youtube 24 күн бұрын
Now 13 million views😂😂😂😂
@mutheumumu
@mutheumumu 3 жыл бұрын
Couldn't stop crying when I first listened to this song, my sister was playing it! God is truly faithful! God bless you Rehema for allowing God to use you.
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
Glory be to God dear
@bonphaceemmanuel9072
@bonphaceemmanuel9072 3 жыл бұрын
Nkwel mungu n chanzo cha uhai wetu na jina la bwana limidiwe,,,,mwimbaj hongera yan nimesikiliza iii gospel ad natokwa choz
@oficialybadclever2377
@oficialybadclever2377 2 жыл бұрын
@@rehemasimfukwe 🙏🙏
@joanatieno1414
@joanatieno1414 2 жыл бұрын
This is fresh fire 🔥🔥 over my Soul 😭😭😭😭😭 chanzo Cha uhai wangu nakuabudu 🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌
@irwinmukonyole4037
@irwinmukonyole4037 Жыл бұрын
Thank God for you, 🙏🙏 Isiah60:22
@pastorprudent
@pastorprudent Ай бұрын
Uyu ni uwepo wa roho mtakatifu n'a ukuu wa Mungu wetu yeye ambae ni canzo ça uweoo wetu.sifa heshima n'a utukufu viwe vyako milele Mungu muumba wa mbingu n'a ardhi
@millytete7223
@millytete7223 2 жыл бұрын
Whenever am going through crisis in my life I listen to these song,I lost daddy son years ago,I was very young and starting from scratch wasn't easy,as a single mother I have undergone alot of ups and down bt I appreciate God yeye ni chanzo Cha uhai wetu,
@annalyamuya3160
@annalyamuya3160 3 жыл бұрын
Ninajua kushiba na kuona njaa, katika yote wewe bado ni Mungu, ninajua kupendwa na kukataliwa.... naujua udhaifu na kuwa na afya katika yote wewe bado ni Mungu Acha upepo uvume nitakuabudu wewe.... chanzo cha uhai wangu Yesu ( nakuabudu) Wimbo huu umenibariki sana nilikuwa nausubiri kwa hamu sana 🙏🏿
@marynjerimbugua3800
@marynjerimbugua3800 Жыл бұрын
Thank you lord for everything 🙏 ,you deserve all the honour and glory .
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 Жыл бұрын
Hata nipitie magumu kiasi gani bado utabaki kuwa mungu kwangu umenilinda na kuniponya kwa mambo makubwa sana mungu nakushukuru wewe mungu
@muhohothegreat
@muhohothegreat 2 жыл бұрын
Listening to this song past midnight amidst thoughts, depression and hopelessness may God provide to anyone struggling and doubtful. Bwana wewe ni chanzo chetu please restore happiness to our faces.
@alicekinyanjui9777
@alicekinyanjui9777 2 жыл бұрын
Amen
@carx-24k86
@carx-24k86 2 жыл бұрын
AMEN
@styizzymonroe1267
@styizzymonroe1267 2 жыл бұрын
And hearts
@gloriousn6425
@gloriousn6425 2 жыл бұрын
Amen 🙏🏿
@marthamwalukoba5865
@marthamwalukoba5865 2 жыл бұрын
Rehema mungu aendelee kuinua karama yako endelea kumheshimu mungu
@mediustibamwenda4454
@mediustibamwenda4454 3 жыл бұрын
The song describes my whole life I have shaded 😭 I have gone thru pain but nothing will ever separate me from the word of God. With God's time, I blv everything will turn out right
@Victoria_Reagan
@Victoria_Reagan Жыл бұрын
Today i have literally cried 😭😭😭😭😭..yani i felt God's presence, His love...I just want to praise and worship him thank Him to God be the glory
@dianandinda83
@dianandinda83 Ай бұрын
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa 
Katika yote wewe bado Mungu 
Ninajua kushiba na kuona njaa 
Katika yote wewe bado Mungu Hata upepo nao uvume 
Mimi nitakuabudu wewe 
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe 
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa 
Katika yote wewe bado Mungu 
Ninajua kushiba na kuona njaa 
Katika yote wewe bado Mungu Ninajua udhaifu na kuwa na afya 
Katika yote wewe Bado Mungu Hata upepo nao uvume 
Mimi nitakuabudu wewe (Ooh Yesu Yesu)
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe 
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu Nakuabudu Nakuabudu 
Wewe ni chanzo cha uhai wangu 
Nakuabudu Nakuabudu 
Wewe ni chanzo cha uhai wangu 
Nakuinua Nakuinua 
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
@hellenkasyoka6745
@hellenkasyoka6745 3 жыл бұрын
Katika yote wewe bado ni Mungu, nyakati zote na majira yote utabaki kuwa Mungu. Amen
@ester8327
@ester8327 3 жыл бұрын
Huu wimbo nimeutafuta Asante Mungu leo nimeupata sichoki kuusikiliza namuona mungu akihusika na halinzangu zote namuona mungu akiyabeba maisha yangu namuona mungu akiyavusha katika shida lakini katika yote bado yeye Ni Mungu namaisha yangu yawe kwaajili ya Utukufu wake hakika yeye Ni chanzo Cha uhai wangu nataman kujua huu wimbo dada ulikujia ukiwa kwenye Hali gani nalia nikiusikiliza😭😭😭hakika mungu you ndani yako🙌
@rehemasimfukwe
@rehemasimfukwe 3 жыл бұрын
Oooh Asante Yesu maana amekuhudumia jamani... Barikiwa Sana mpendwa Wangu
@ester8327
@ester8327 3 жыл бұрын
@@rehemasimfukwe Amina kubwaaaa je,ukitaka kudowload audio unaenda katika platform gani Mana nimeitafuta sijaipata.
@FidelisEmmanuel-qv4nn
@FidelisEmmanuel-qv4nn 3 ай бұрын
Eeeh mungu wangu wew ndo chanzo cha uhai wangu nakupenda mungu wangu mungu akubariki Dada kwa wimbo huuu
@rosemurimi7348
@rosemurimi7348 Жыл бұрын
Ahsante mungu,wewe ndio chanzo cha uhai wangu,looking back to where I come from??wewe ni mungu,katika yote,wewe bado ni mungu,thank you lord for blessing me with a new opportunity,job...nakwabundu katika kila Hali,😭😭😭😭😭😭
Rehema Simfukwe - Ndio (Live Music Video) SMS SKIZA  79110098 to 811
9:24
Rehema Simfukwe
Рет қаралды 16 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 8 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 33 МЛН
Moyo Wangu by Patrick Kubuya dial *811*406# to download this song
7:19
Patrick Kubuya
Рет қаралды 67 МЛН
Nikurejeshee
12:42
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 221 М.
Nita Amini (Live)
13:00
Israel Mbonyi
Рет қаралды 1 МЛН
Uniongoze Yesu
8:11
UPENDO NKONE
Рет қаралды 815 М.
RAFIKI MWEMA by Chandelier de Gloire From RDC_Avril 2019
7:53
CHANDELIER DE GLOIRE RDC
Рет қаралды 1,6 МЛН
Essence of Worship - Shangilia (Official Music Video)
10:11
Essence Of Worship Ministries
Рет қаралды 7 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН