REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I

  Рет қаралды 19,265

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

9 ай бұрын

IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 24 OCT 2023.
KICHWA CHA SOMO : KUENDELEA TOKA NGUVU HATA NGUVU.
'' FROM STRENGTH TO STRENGTH ''
Zaburi 84 : 7
7 Huendelea toka nguvu hata nguvu, Huonekana Sayuni kila mmoja mbele za Mungu.
UJUMBE WA LEO: KUISHI - KESHO
Warumi 8 : 18
Methali 31 : 25
Mwanzo 30 : 25 - 43
Warumi 8 : 18
18 Kwa maana nayahesabu mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitu kama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu.
Methali 31 : 25
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.
Mwanzo 30 : 25 - 43
25 Ikawa Raheli alipomzaa Yusufu, Yakobo akamwambia Labani, Nipe ruhusa niende kwetu, na kwenye nchi yangu.
26 Nipe wake zangu na watoto wangu, niliokutumikia, niende zangu, maana umejua utumishi wangu niliokutumikia.
27 Labani akamwambia, Iwapo nimeona fadhili machoni pako, kaa, maana nimetambua ya kwamba Bwana amenibariki kwa ajili yako.
28 Akasema, Sema mshahara wako utakao, nami nitatoa.
29 Akamwambia, Umejua jinsi nilivyokutumikia, na jinsi wanyama wako walivyokuwa kwangu.
30 Maana mali yako ilikuwa haba kabla sijaja, nayo imezidi kuwa nyingi, Bwana akakubariki kila nilikokwenda. Basi sasa, nitaangalia lini mambo ya nyumba yangu mwenyewe?
31 Akamwuliza, Nikupe nini? Yakobo akasema, Usinipe kitu; ukinifanyia neno hili, nitalisha wanyama wako tena na kuwalinda.
32 Nitapita katika wanyama wako wote leo, na kutoa huko kila mnyama aliye na madoadoa na marakaraka, na kila mnyama mweusi katika hao kondoo, na aliye na marakaraka na madoadoa katika mbuzi; nao watakuwa mshahara wangu.
33 Na haki yangu itanishuhudia katika siku zijazo, utakapokuja kwa habari ya mshahara wangu ulioko kwako. Kila asiye madoadoa au marakaraka katika mbuzi, au asiye mweusi katika kondoo, akionekana kwangu, itahesabiwa kuwa ameibiwa.
34 Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.
35 Basi akatoa siku ile mbuzi waume walio na milia na madoadoa, na mbuzi wake walio na madoadoa na marakaraka, kila aliye na doa jeupe, na kondoo wote waliokuwa weusi, akawatia mikononi mwa wanawe.
36 Akajitenga na Yakobo mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akachunga wanyama wa Labani waliosalia.
37 Yakobo akatwaa fito za mlubna mbichi, na mlozi, na mwaramoni, akazibambua maganda, mistari myeupe ionekane ndani ya hizo fito.
38 Akazisimamisha fito hizo alizozibambua katika mabirika ya kunyweshea maji, pale walipokuja wanyama wanywe; wakachukua mimba walipokuja kunywa.
39 Wanyama wakapata mimba mbele ya hizo fito, wakazaa wanyama walio na milia, na madoadoa, na marakaraka.
40 Na Yakobo akawatenga wana-kondoo, akazielekeza nyuso za makundi zielekee wale waliokuwa na milia, na kila aliyekuwa mweusi katika wanyama wa Labani. Akaweka kando wanyama wake mwenyewe, wala hakuwachanganya pamoja na wanyama wa Labani.
41 Ikawa kila walipopata mimba wanyama wenye nguvu, Yakobo akaziweka zile fito mbele ya macho ya hao wanyama katika mabirika ili kwamba wachukue mimba kati ya zile fito,
42 lakini wanyama walipodhoofika hakuziweka zile fito. Basi wale dhaifu walikuwa wa Labani, na wenye nguvu walikuwa wa Yakobo.
43 Kwa hiyo mtu huyo akazidi mno, akawa na wanyama wengi, na vijakazi, na watumwa, na ngamia, na punda.
Mhubiri : Rev.Dr. Eliona Kimaro
Kwa maoni na ushauri:
Mch. kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Пікірлер: 41
@JonathanBwoma
@JonathanBwoma 6 ай бұрын
Mtumishi ubarikiwe kwa mafundisho mazuri sana
@user-gc9wb2pv9mallya
@user-gc9wb2pv9mallya 4 ай бұрын
Ee mungu nisaidiye niifikie kesho yangu na kuiyonaa Ameen 🙏🙏🙏🙏
@bethwamweru5291
@bethwamweru5291 3 ай бұрын
Asante mchungaji kwa haha mafunzo,watching from Kenya, GOD BLESS KEEP YOU, SHALOM
@mwanzajosephine468
@mwanzajosephine468 9 ай бұрын
Ameeeen ,Mungu nipe neeema yakuzudi mno kila sekta niishi kesho yangu
@jastinnkya
@jastinnkya 9 ай бұрын
Ameeen mungu semana watu wako
@lucykandie1109
@lucykandie1109 8 ай бұрын
Amen
@calvinmaro9846
@calvinmaro9846 9 ай бұрын
Namuomba sana Mungu anisaidie niweze kuiishi kesho yangu
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 2 ай бұрын
Amina kubwa
@juliusedwadi
@juliusedwadi 2 ай бұрын
👏👏👏Amina mungu akulinde
@janemyinga2575
@janemyinga2575 2 ай бұрын
Aminaaaa
@qatarrarre30
@qatarrarre30 4 ай бұрын
Ameeeeeeeeen in Jesus name 🙏🙏🙏🙏🙏
@yunisadam8494
@yunisadam8494 9 ай бұрын
😭😭👋👋nitazidi mno Kwa jina la Yesu kirsto nazidiiiiiiiiioooo, Yesu nitazame
@bethwamweru5291
@bethwamweru5291 3 ай бұрын
Mungu nisadie nizidi no katika Jina la Yesu aliye hai
@user-es2ih4po5l
@user-es2ih4po5l 9 ай бұрын
Neno la Mungu Lina nguvu ya kukuvusha katika changamoto unazokumbana nazo maishani
@user-qi4nl5hd5e
@user-qi4nl5hd5e 9 ай бұрын
Amen Mchungaji,ila jamani Mimi natamani sana kuwasiliana na Mchungaji na sijui nakupataje Mimi Niko Arusha.
@user-mk1jw9rn3w
@user-mk1jw9rn3w 7 ай бұрын
Nina barikiwa sana na jumbe zako kila wakati
@estergregory2833
@estergregory2833 9 ай бұрын
Ameen Mungu anipe neema ya kuzidi mnoo
@amanmmbando8413
@amanmmbando8413 8 ай бұрын
Ameeeen🙏🏾 Naamin nitazid mnooooooo👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@user-xp9mn2xw7k
@user-xp9mn2xw7k 9 ай бұрын
Amen and Amen and Amen ❤❤
@ANODIUSPROJESTSEVELIN-vu9xt
@ANODIUSPROJESTSEVELIN-vu9xt 7 ай бұрын
Ubarikiwe baba
@neemakiria4416
@neemakiria4416 9 ай бұрын
Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa somo zuri
@IreneIsack-qp9ns
@IreneIsack-qp9ns 6 ай бұрын
Amina
@happyiskaka
@happyiskaka 9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ Barikiwa mno BABA YANGU
@deborakasambula7431
@deborakasambula7431 9 ай бұрын
Badilisha moyo wangu nianze kiishi kesho
@faustinamasaki480
@faustinamasaki480 9 ай бұрын
Nitazidi mnooo katika jina la Yesu
@elinaikemuro9284
@elinaikemuro9284 9 ай бұрын
Ameeen...Barikiwa mtumishi kwa neno zuri
@abbymagospel6904
@abbymagospel6904 9 ай бұрын
Ubarikiwe baba mtumish 🙏🏿
@franksam8581
@franksam8581 8 ай бұрын
Amen
@siyamambali8832
@siyamambali8832 8 ай бұрын
Amen❤❤❤❤
@faustinamasaki480
@faustinamasaki480 9 ай бұрын
Amina mchungaji
@ezekielphilemon7343
@ezekielphilemon7343 9 ай бұрын
Ameni, Tuishi sasa
@lydiatito609
@lydiatito609 8 ай бұрын
AMEN
@marynangole3793
@marynangole3793 9 ай бұрын
Yes 👏👏👏 Aman 🙏
@samweldamian8098
@samweldamian8098 9 ай бұрын
Society of life. Amen.
@user-es2ih4po5l
@user-es2ih4po5l 9 ай бұрын
Ukitaka kuishi maisha ya amani kwa mkristo ni nyumbani na kanisani
@EllyLema-xw6nm
@EllyLema-xw6nm 9 ай бұрын
We mungu nami unipe neema ya kuzidi mno kama yakobo
@qatarrarre30
@qatarrarre30 4 ай бұрын
😅😅🙏🙏
@yunisadam8494
@yunisadam8494 9 ай бұрын
😭 Jesus hili ndilo haja ya moyo wangu ulivyonipatia hii kaz , usiniache tafadhari
@NiceMuro
@NiceMuro Ай бұрын
EEE mungu nisaidie niweze kufunguka ufahamu wangu niweze kujua nifanye nini kwani sijui la KUFANYA BAADA ya kupata MATATIZO mengi ya kiavya
@furahamtweve4222
@furahamtweve4222 9 ай бұрын
Amen nmepokea
@GladyLinga-ks4qy
@GladyLinga-ks4qy 9 ай бұрын
Aammmeeennniiii kuanzia Leo naishi kesho.barikiwa baba
USHUHUDA WA MAMA ALIYESOMA UZEENI  (HESABU NI KAMA KIFO HUWEZI KUEPUKANA NAYO)
16:15
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 11 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 42 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 14 МЛН
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 16 МЛН
REV. DR. ELIONA KIMARO: MANENO YA WATU
58:21
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
Jane Muthoni gûcokia cîûria iria aingî mûragia na mîhehû
1:07:56
Wambui wa Mwangi
Рет қаралды 43 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: NIDHAMU BINAFSI
59:31
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 8 М.
SEH. YA 2-UKO TAYARI KWA BARAKA? |PR.MMBAGA
51:22
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 13 М.
Ushuhuda wa mama kifaru akisimulia Rev.Dr.Eliona Kimaro
17:16
KKKT - DMP Usharika Wa Mbezi Beach
Рет қаралды 315 М.
Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida  " Ezra 8 : 21 - 23 ".  Rev. Abiud Misholi
1:19:10
🔴LIVE: SEMINA YA WANANDOA /MAHUSIANO NA FAMILIA "PASTOR MGOGO
2:32:01
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 120 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: NIDHAMU YA MAISHA NA BARAKA YA KIVIZAZI
39:08
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 9 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 42 МЛН