RICH MAVOKO: DIAMOND / NI NYOKA KWENYE SHIMO / TISHIO

  Рет қаралды 543,464

LilOmmyTV

LilOmmyTV

Күн бұрын

EXCLUSIVE INTERVIEW YA RICH MAVOKO, KUHUSU KUTOKA WCB, na SAFARI YAKE MPYA.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!

Пікірлер: 469
@ajheemclassicaltv7608
@ajheemclassicaltv7608 5 жыл бұрын
Katika maishaa. Kuna vitu vitatu muhimu udhubutu, akili, kujiamini so big up @Rich mavoko so hapo ndo utasikiaa mzungu akisema try and fail but never fail to try .... Jaribu lakini imeshindikana ilaa usiogope kujaribu.,. Like hapa Kama wewe una accept
@amanzingena5388
@amanzingena5388 5 жыл бұрын
Very respect Rich mavoko unajua xn kucheza na maswali ya Omary tambwe, Wamejitaid xn kukutega ili ujichanganye ktk kujibu lkn jamaa upo vzuri xn.
@djyun8109
@djyun8109 5 жыл бұрын
MVP mavoko anajua sana akazee tuuuu anaweza sana
@mercychebet3502
@mercychebet3502 3 жыл бұрын
We love you Kenya tunakupenda na tunakutambua rudi kwenye mziki dear we miss your voice
@blackboy896
@blackboy896 5 жыл бұрын
Maamuzi ya kiume sana Mavoko
@emmanuelimaxxaka754
@emmanuelimaxxaka754 5 жыл бұрын
B gap xana mavoko kwa kazi zako unazo zifanya jamii ina kuelewa kinoma noma respect xana 👊👊👊👊👊👊👊👊👊
@Emmy22655
@Emmy22655 4 жыл бұрын
Unaniwka imani sn 😥 Mavoko Mungu yuko na ww utasimama tena .tumkumiss sauza africa😘😘😘😘
@johnmwangi2435
@johnmwangi2435 5 жыл бұрын
Interview ya kizazi sana twende sawa #mavoko kenya twakupenda sana
@ashaherzog4488
@ashaherzog4488 5 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 For Mavoko 💥💥💥🚀
@SolobizzTV
@SolobizzTV 5 жыл бұрын
Mavoko..nakuaminia sana Kizazi sana
@sooitslilerick7931
@sooitslilerick7931 5 жыл бұрын
noma sana...Kenya tunamtambua Rich kwa sana...Lil ommy dope interview
@sooitslilerick7931
@sooitslilerick7931 5 жыл бұрын
+Fraidid Hassan your opinion counts
@lennardmallya8280
@lennardmallya8280 5 жыл бұрын
Wa pili kuview nataka like zangu na Mimi Leo jamani khaaa
@moshishukurani6010
@moshishukurani6010 5 жыл бұрын
Richiumepoteabiaza
@masubogabriel8268
@masubogabriel8268 5 жыл бұрын
Lennard Mallya umetisha kamanda
@estylsamu8960
@estylsamu8960 5 жыл бұрын
Hahaaha
@shomaribakari7510
@shomaribakari7510 5 жыл бұрын
Lennard Mallya ili iweje
@athumanngapaliji7691
@athumanngapaliji7691 5 жыл бұрын
pw
@kasimuyahaya4010
@kasimuyahaya4010 5 жыл бұрын
Mavoko salute Sana komaa wewe ni tishio Ngoma zako hata domo unakubaki
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Eti domo da nimekukubali sana
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 3 жыл бұрын
Nampend uyu dada anajiereww sana uy mtangazaji
@haibahassan1244
@haibahassan1244 5 жыл бұрын
😍😍tunakupenda @richmavoko🙌🙌🙌
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es 5 жыл бұрын
ni kweli tumekuelewa mavoko lkn kutka wcb mmmmh kwako ni mtihani sana
@salumsaadi6162
@salumsaadi6162 5 жыл бұрын
Smart boy vip
@tahrinkessy7119
@tahrinkessy7119 5 жыл бұрын
Lilommy we love u show za kibabe sana mzazi 😉😉
@fatumahassan8212
@fatumahassan8212 5 жыл бұрын
- mungu akusimamiye Mtihani ni vitu vya kawaida kwa mwanadamu kwa mwanadamu Rch upo vzr komaa
@dsway607
@dsway607 5 жыл бұрын
nakukubali brother 👊 🎵
@msauzsanob1217
@msauzsanob1217 5 жыл бұрын
jamaa anajua namkubali balalaa
@optatustengeneza9847
@optatustengeneza9847 5 жыл бұрын
Wish all the best brother mavoko
@norahmangah5364
@norahmangah5364 5 жыл бұрын
Anajikuna balaa umepatwa na nn mavoko😥😥
@agu7tv286
@agu7tv286 5 жыл бұрын
nakubali sanaaaaa 💪💪💪
@rajabupangala951
@rajabupangala951 5 жыл бұрын
Kwa kifupi umepanik braza' ulitakiwa kutulia then uachie ngoma zile za mavoko anaejulikana sio mavoko anae anza upya kwa hz ngoma ulizoziachia hapa kati zimekurudisha kama under ground
@pauljohn1450
@pauljohn1450 5 жыл бұрын
so amazing !!!
@suleimanrahil4601
@suleimanrahil4601 5 жыл бұрын
Mavoko ww ni fundi tangia haupo WCB nakukubali ile noma yani bige up kaka mavoko
@jeremiahmasunzu3437
@jeremiahmasunzu3437 5 жыл бұрын
Uko sahihi sana mzazi changamoto sio tu sehemu ya maisha yetu ila changamoto ndo maisha yenyewe
@marywairimu2386
@marywairimu2386 5 жыл бұрын
All the best @rich mavoko
@athumanirey2342
@athumanirey2342 5 жыл бұрын
noma sana mavoko
@saidikambimbaya6739
@saidikambimbaya6739 5 жыл бұрын
yess
@abuuharuna4278
@abuuharuna4278 5 жыл бұрын
nakupa mwaka wew umejichanganya
@evaristmrope
@evaristmrope 4 жыл бұрын
Niceee interview
@rashidiismaili847
@rashidiismaili847 5 жыл бұрын
Umesomeka king kiba..mavoko frexh mavoko
@mwinyimkuumwimbe8235
@mwinyimkuumwimbe8235 5 жыл бұрын
Bro nakukubal sn hunaga maneno mengi big up
@saidkulwa1251
@saidkulwa1251 5 жыл бұрын
Mwinyimkuu Mwimbe huoni kama kapotea kiasi flani huyu
@diamondplatnumz8462
@diamondplatnumz8462 5 жыл бұрын
All the best friends
@jayrosjjr4926
@jayrosjjr4926 5 жыл бұрын
Kwa mm binafusi nakukubali sana hata kipindi unaingia wsb tuliona umebugi sana ingawa ww ulidai uliangalia biashala lakini kiukweli ulijishua thamani yako lakini kwakua ushajua na umeamua kumuvu piga kazi Mzee babu tunapenda mziki wako birionea mbona kama wap tuu gonga like kama unamkubali mavoko.
@shabaankassimomarysarehe4786
@shabaankassimomarysarehe4786 5 жыл бұрын
Kabisa
@filbertrichard6979
@filbertrichard6979 5 жыл бұрын
Ukiwa naloho yazalau kama yakiba kiukweli unakuwa kikwetu sisi tunasem huyu mtu anaiva kitondwe ikiwa namana kwamba! huyu mutu anaumia ndani kwandani hiyo nihatali sana kwanza unakuwa nachuki sana pole najua hata wewe kwakuwa unaiva kitodwe pole sana simamia ukweli nani yupo juu
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 5 жыл бұрын
Saafi Bro Rich, tunawachafuwa
@helenamsula9162
@helenamsula9162 4 жыл бұрын
Hongera sana , binafsi nimefurahi kurud kwako
@phil_kioko_
@phil_kioko_ 5 жыл бұрын
Wasafi walitekeleza nia ya kukumaliza and they achieved. Sasa angalia ulishuka kimziki. But God will guide you bro.
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Show yakizazi sana
@chenjeucomedy31
@chenjeucomedy31 5 жыл бұрын
Najua mavoko ni msanii bora, kama wewe unamkubari mavoko like na ku comment ili twende sawa
@logathngalola884
@logathngalola884 5 жыл бұрын
tatizo lp wapi wewe lichi mbona unajuwa sana au ndo bahati auna#yani wewe na Baraka ata sielewi kuna nini Au muna mikosi ?
@aliimwachiti102
@aliimwachiti102 5 жыл бұрын
Richi yuko juu
@givenmwikanu5527
@givenmwikanu5527 5 жыл бұрын
Naunga mkono hoja..
@amoskatura9439
@amoskatura9439 5 жыл бұрын
Umesha potea bro
@saidselemani2732
@saidselemani2732 5 жыл бұрын
Mavoko we mwanangu ila japokuwa cjaijua sabbu ni nini ila sio siri umezngua kutoka wcb lakini safi tu still bado nakufatilia blood keep it up
@funsimple_ke3034
@funsimple_ke3034 5 жыл бұрын
Mavoko zile swaga za kale rudiaaaa .vyenye wajuchaaa vocalsss zako
@The_blackcastro
@The_blackcastro 5 жыл бұрын
This guy is good
@saidisaleh2131
@saidisaleh2131 4 жыл бұрын
Djaribu kusame rich mavoko naweye mungu atakusame rudia washabiki wako
@nsolachalo
@nsolachalo 5 жыл бұрын
tuliza akili ondoa stress,rudisha imani na ujiamini unaweza,pia jifunze kusamehe na kusahau yaliyopita uishi kwa nyakati ili upige hatua
@georgeleemo3334
@georgeleemo3334 5 жыл бұрын
Nandy musik raha tupu kupendana na wewe
@raphaelgadau2783
@raphaelgadau2783 5 жыл бұрын
Lilommy mm na mwelewa sana huyo mtoto voice mm hoi
@majimoto75
@majimoto75 5 жыл бұрын
Rich you have lost lots of weight , what's up. Believe and love yourself. I Love your music
@solanuskomba82
@solanuskomba82 5 жыл бұрын
saaana sana mwamba rich mavoko
@ahmedymahamudu8905
@ahmedymahamudu8905 5 жыл бұрын
nimechunguza neno #biashara limetumika sanaaa na #richmavoko wasoma comments udugu udumuu kama unakubali team wasoma comments gonga like twenede sawa
@ahmedymahamudu8905
@ahmedymahamudu8905 5 жыл бұрын
Nouma sanaa
@ombeniibawa4481
@ombeniibawa4481 5 жыл бұрын
Umekonda
@evaristisdor3016
@evaristisdor3016 5 жыл бұрын
I've u
@vicentmgaya2056
@vicentmgaya2056 5 жыл бұрын
To gether
@felixmalenda5668
@felixmalenda5668 4 жыл бұрын
Ulikuwa tishio wsb ww mwenyewe umejilost kuondokaaa
@annaupendo4768
@annaupendo4768 5 жыл бұрын
Siku ya kwanza niriposikia Mavoko kajiunga na Wcb ndoo nikajiuriza anatafuta nini mbona kama mziki anaweza kujurikana kashajurikana nirimdharau sana katuonyesha kama hajiamini vile 😏😏
@hoseanobocka4533
@hoseanobocka4533 5 жыл бұрын
Anna Upendo kashajulkana bongo labda ila kwa Africa bado sana,
@brunomtweve8073
@brunomtweve8073 5 жыл бұрын
Anna Upendo
@generallydangote7629
@generallydangote7629 5 жыл бұрын
sikia usiixh kwa ku. crem wcb awaingii wasiojua kuimba
@hamadrashid3111
@hamadrashid3111 5 жыл бұрын
Anna Upendo Niliposikia* Nikajiuliza* Kujulikana* Kashajulikana* Nilimdharau*
@majutomshukuludaimodelias2639
@majutomshukuludaimodelias2639 5 жыл бұрын
Bonakimya
@keithochieng8805
@keithochieng8805 5 жыл бұрын
Kumbe wewe ndo mavoko hhhum! Mtoto wangu amechange jina shule, mtaani anaitwa Mavoko jina kamili ilibakia sisi kama familia.
@antonyagustiny7471
@antonyagustiny7471 5 жыл бұрын
sana mavoko nakuelewa sana nyimbo zako
@pasuabrand
@pasuabrand 5 жыл бұрын
Bad Man Rich mavokooooo
@danielyohane9441
@danielyohane9441 5 жыл бұрын
This man is gonna be another Alikiba ..mark my words wasoma comments
@joedimnazi1473
@joedimnazi1473 5 жыл бұрын
Kama unakubal hik kipaji gonga like twende sawa
@mwaasamwene3084
@mwaasamwene3084 4 жыл бұрын
joe di Mnazi
@lixelrols
@lixelrols 5 жыл бұрын
Big up bro... Fight for what is right even when they say its not.
@kidphantom142
@kidphantom142 5 жыл бұрын
Con Boi true
@yohanakadere9156
@yohanakadere9156 5 жыл бұрын
Mavoko ni kichwa cha kazi huwa namuelewa sana
@davidwambura5915
@davidwambura5915 5 жыл бұрын
Mavock upo sahihi sana kutoka WCb, hilo hata mimi lisha nikuta kwenye kazi yangu, Nilifanya kazi chini mtu, lkn nilipo achana nae kuanza kazi zangu mwenyewe niliona mafanikio makubwa sana. piga kazi mashabiki wako tupo tutakusapot
@godifalsafa6956
@godifalsafa6956 4 жыл бұрын
Baba ommy unavyoyapanga hayo maneno dah 🔥🔥🔥🔥
@abdulhassani6310
@abdulhassani6310 4 жыл бұрын
Maneliseleman
@sistersade9039
@sistersade9039 5 жыл бұрын
Mavoko Kuwa Na uwezo wakuimba vizuri sio pekee inamtajirisha Mtu bila yakuwa Na management nzuri yakukung’arisha kama ulivo kuwa WCB. Pia kuwa Na confidence yakujibu masuala unayoulizwa bila kuonesha khofu! Mbona husemi chochote Na sauti yako haingurumi kwa furaha? Unapotaka kusimama lazima miguu iguse chini mwanangu! Sema usikilizane watu wakujue wewe nani
@winnieesther1423
@winnieesther1423 5 жыл бұрын
Nampenda sana richi anajiamani
@gloria6401
@gloria6401 5 жыл бұрын
mavoko napenda sauti yako ukiimba lakini Leo mbona mikono ndani ya Mifuko ungali umekaa swag gani hiyo sasa
@rogerslugose6352
@rogerslugose6352 5 жыл бұрын
Kenya tuko
@friendsofpeopleorg1157
@friendsofpeopleorg1157 5 жыл бұрын
Rich big up sana kama umepona na umerudi ktk game
@frankmfikwa1942
@frankmfikwa1942 3 жыл бұрын
Naomba uje king plz mavoko
@antonyagustiny7471
@antonyagustiny7471 5 жыл бұрын
sana mavoko nakuelewa sana nyimbo zak
@antonyagustiny7471
@antonyagustiny7471 5 жыл бұрын
sanaa
@khadijamusaabdulrahman2069
@khadijamusaabdulrahman2069 5 жыл бұрын
Uko sawa kaka
@pascalyoung6667
@pascalyoung6667 5 жыл бұрын
Daaaah live kaka unawez
@druumarley2159
@druumarley2159 5 жыл бұрын
Mwana umekonda sanaaa... Ila nakukubali mbayaaa
@Monnie_Noniot
@Monnie_Noniot 5 жыл бұрын
mamy Ismail by the way... what could be the problem
@erasmusnzibonela5151
@erasmusnzibonela5151 5 жыл бұрын
Uliomba mwenyewe kuingiaWCB leo unasema Daimond ni nyoka sijajua tatizo nini make ngoma3 ulizo toa azina viwango kama ulizotoa ukiwa WCB
@rodgerzdangote8629
@rodgerzdangote8629 5 жыл бұрын
Nakubali
@majaaliwasalum9462
@majaaliwasalum9462 5 жыл бұрын
Mjinga sana huyu saizi ndoo atoki tena
@destojpizoh3132
@destojpizoh3132 5 жыл бұрын
Wewe potelea mbali... Huna la kusema... Za kwako zi wapi???
@eddydben
@eddydben 4 жыл бұрын
Sio mbaya si alikua hawajui alikosea..mbona kawaida sana mtu kukosea kufanya uchaguzi. Watu mpaka uishi nao ndio utawajua
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 3 жыл бұрын
@@eddydben da nimekukubali san una mawaz ya mbali san mtu uwez kumjua mpka uish nay ujue domo anaonekan ana mambo ya kipuuz san a 💯💯💯💯🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@sefagomez6883
@sefagomez6883 5 жыл бұрын
Mavoko unajua Sema kaza bro Weka Na kamba
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
rich mavoko..alikua mkubwa sana zamani
@martinrahj8526
@martinrahj8526 5 жыл бұрын
Mavoko you are a great musician..yees lakini ata kama una uwezo najua Simba ni mdogo wake lakini ana ujuzi tazama vile amemlea harmonize ..mavoko angevumilia WCB ndio talanta unayo lakini saa zingine unaitaji support look at them ata kama mnasema ni wabaya simba ana subscribers wengi na mwenyewe anakuuza within a short period ngoma yako ishafikia million moja..kama unapata promotion kama hii mboba uondoke sasa ..kila record label haikosi challenges zake..
@jovinamrosso6978
@jovinamrosso6978 5 жыл бұрын
Thats True wcb inapromotion Kubwa xna.
@martinrahj8526
@martinrahj8526 5 жыл бұрын
..yes this our life needs you to be creative and cunning.ata ukiwa mahali unateseka na pesa zinaingia whats wrong with that..
@saidselemani2732
@saidselemani2732 5 жыл бұрын
Sure man
@youngboy7818
@youngboy7818 3 жыл бұрын
Sana kaka nakubal kinoma
@josewaathi
@josewaathi 4 жыл бұрын
kali sana baba
@safariadrien8544
@safariadrien8544 5 жыл бұрын
fanya maisha yako bro
@ImanKibona-jx9fr
@ImanKibona-jx9fr 5 ай бұрын
Kunyama sanaaa
@chenjeucomedy31
@chenjeucomedy31 5 жыл бұрын
Msanii namba mojaa tz, upende usipende yeye ni uniq artist
@vinnymally2453
@vinnymally2453 Жыл бұрын
Noma
@feliciankazimoto8888
@feliciankazimoto8888 5 жыл бұрын
Mavoko vp Mbona umekonda xana??
@yohanvistsonger4745
@yohanvistsonger4745 5 жыл бұрын
Keep it up budaaa
@wakalitanzaniawtzsivamusic6738
@wakalitanzaniawtzsivamusic6738 5 жыл бұрын
Mungu akutie neema ila chunga izo luka luka zako. Maana utuliiiiiiiii by Siva music
@nickolassbaltazar5006
@nickolassbaltazar5006 5 жыл бұрын
Rich noma sanaaaa
@wambatv2344
@wambatv2344 5 жыл бұрын
mavoko kutoka wcb umejichanganya bongo hakuna asiye kufaam ila kufika nje ni kolabo na ulishaanza kufika kdogokdog lakin sasa ni kama umejiludisha nyuma mwenyew
@emaydickson4239
@emaydickson4239 5 жыл бұрын
uko sawa mavoko
@jaykaris
@jaykaris 5 жыл бұрын
Mavoko mafans wako ndo ngao yako jikaze tupe vitu poa mengine mwqchie Mungu.
@marioofans5147
@marioofans5147 5 жыл бұрын
We noma
@jabirawadh9800
@jabirawadh9800 5 жыл бұрын
Umekosea sana kutoka kule wezio tunalilia
@tinabrown5753
@tinabrown5753 4 жыл бұрын
🔥💛🔥
@the_real_guccigirltv4987
@the_real_guccigirltv4987 5 жыл бұрын
Jamani wa kina dada au mama kwa wanao taka kukata tumbo na matako kuongezeka ondoa stress kwa mda mfupi ntatuma mafanikio na hata before and after na ata nilivopitia vyote kwa kupunguzs miili susbcribe plsss na open notification...
@emmanuelkivenule875
@emmanuelkivenule875 5 жыл бұрын
What i understand from Rich Mavoko kwanza amejua thamani yake pili ametamani mafanikio ya mshikaji tatu anafanyia Kazi ushauri wa mshikaji and you will see him in wasafi festival #WCB4LIFE
@deogratiusgibson853
@deogratiusgibson853 5 жыл бұрын
haha, eti hauta tena kaakimya ha ha ha ha kiswahili kigumu jamani
@ilethwilliam6302
@ilethwilliam6302 5 жыл бұрын
Good
@akyootv3898
@akyootv3898 5 жыл бұрын
Nomaa
@amossimwaka9867
@amossimwaka9867 5 жыл бұрын
pambana mwamba nakukubali sanaa
@yekoniamolel6230
@yekoniamolel6230 5 жыл бұрын
Pambana brother coz maisha inakuaga changa moto
@edgarvevo9580
@edgarvevo9580 5 жыл бұрын
ahhh...anajibu ka hataki si awe straight tuu anaboa saana
@maulidmango1087
@maulidmango1087 5 жыл бұрын
Napenda mziki mzuri,sinaga timu kwenye mziki, Lakini naamini umekosea kujiondoa wcb,ukweli wasanii ni wengi,lakini wanakosa uongozi mzuri wa kusimamia kazi zao.kwa Tanzania ya leo lebo ya wbc ina uongozi bora kuliko lebo yoyote tanzania. Note my words,after one year,you will understand what i mean.
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 5 жыл бұрын
Huwa naamini kujitegemea hususani pale napoona ninanyonywa ,unaezapata jina lkn usipate pesa ,appreciating u guy, Ndegere na Naogopa nimezielewa
@lenjeevara3407
@lenjeevara3407 5 жыл бұрын
although I don't know Swahili but this guy amepuyanga kuchimba usafini
@zakariamigeto3543
@zakariamigeto3543 5 жыл бұрын
He isn't shit...
@jamal-adan
@jamal-adan 5 жыл бұрын
@@MoneyandFinanceCoachingAgency shiti sa unasema ?? ..kuna time uko serious msee 😂😂
@judieeissinika9365
@judieeissinika9365 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 ila ww
@jacobmwalituke8981
@jacobmwalituke8981 5 жыл бұрын
Huyu alitegemea kwenda wasafi akashikwe mkono ndo maana anasema diamond akikutana naye anaongelea kazi tu kazi tu,alitaka waongelee nini?
@saidkulwa1251
@saidkulwa1251 5 жыл бұрын
JACOB MWALITUKE sindo hapo akumbuke hata hapo alipo ni kwaajili y kaz zake pia
SALLAM SK: RICH MAVOKO HAJARUDISHA HELA YETU / BADO YUPO WCB
30:12
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 20 МЛН
PART 2-3 CHURCHILL SHOW S1E3
13:49
Churchill Television
Рет қаралды 49 М.
Salama Na MAVOKO EP 49 | WINGMAN PART 1
39:31
YahStoneTown
Рет қаралды 129 М.
"Mimi na Wema Sepetu tunakutana sana” - Diamond Platnumz
13:27
Millard Ayo
Рет қаралды 676 М.
Rich Mavoko Live Interview on Mambo Mseto (Radio Citizen)
17:56
Mseto East Africa
Рет қаралды 27 М.
OBINNA SHOW LIVE:THE KING OF LOVE -  Otile Brown
2:17:17
Obinna TV
Рет қаралды 131 М.
The thieves pulled a prank on the Policeman ! 😬👮🤣
0:38
BOGDANCHIKI
Рет қаралды 12 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
0:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 3,1 МЛН
Как мама ухаживает за мной VS гостями
0:50
Время горячей озвучки
Рет қаралды 3 МЛН
Детство злой тётки 😂 #shorts
0:31
Julia Fun
Рет қаралды 4,8 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
0:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН