ITV ITV ITV ITV ITV ITV mara mia mungu awabariki sana sana sana sana na ripoti maalum hii ilinitamanisha sana nipate nafasi ya kuwafanyia kitu kibaya Qnet na wengine ambao siwataji
@josef_rodrick49812 жыл бұрын
Hongera dada Jacline kwa ripoti nzuri. Nakuomba uende kuwahoji TRA, brela kuhusu uelewa wao na hii kampuni kwasabb sio mara ya kwanza hii kampuni kuleta shida hapa nchini. Mh. Sabaya alihangaika nayo sana kule wilayani Hai. Hizi kampuni ziko nyingi sana kuna moja iniitwa WECARE imeshaifanya hivo sana hapa Tz. Na hizo campuni ni za wahindi na wanigeria.....
@emmanuelmwesongo71772 жыл бұрын
Nashukuru sijaona mtu yeyote wa morogoro alietapeliwa na huu ujinga
@kasaisatv97652 жыл бұрын
30:56
@linetkhaemba10292 жыл бұрын
Watazania ni vichwa ngumu sana. Yani ni kitu kimeonekana ila wanakana. Kweli hawa😂😂😂😂watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@gracestewart4402 жыл бұрын
Bwana Hawa watu cyo wazima 😂😂😂 nimecheka sana leo.
@zuwenamillanzi54242 жыл бұрын
Daaah!! Mie imenigharimu miaka 4 kutafuta 5M iniipeleke law school alafu hawa bongo zao zipoje!?
@universenurity7762 жыл бұрын
Kumbe hii nchi ina hela.. Yan watu wanatoa milion 5 kama karanga
@husseinibnuhassan12722 жыл бұрын
Wajuba wamekula suti wanalala kwenye viti wanaamini utajiri hewa dah hii nchi sijui nabii gani aje kutuombea kwa Mungu
@fadhililusingu40712 жыл бұрын
Ameagiza kiwanja??😂😃
@petromwakaseghe95342 жыл бұрын
Daaaaah qnet good morning billionaire hata mimi niliponea kwenye tundu la sindano kutapeliwa
@dayanatesha31142 жыл бұрын
Dahh 😭😭 hizo hela zao wangejiajiri wenyewe tu wangefika mbali jmn 😥😥mungu awasaidie tu jmn maybe hawajui walitendalo ...tuwaombee 😩😩
@abeljoshua37612 жыл бұрын
Daah awa jamaa sio bure kuna kitu kwnye akili zao akipo sawa🤣🤣🤣🤣🤣
@mouddyibrahim682 жыл бұрын
Hongereni sana ITV👏👏
@jollywilson99382 жыл бұрын
Wengi wao hapa ni kutok kijijini hawana uelewa wakutosha kuhusu biashara za mtandaoni hapo wengine wamekopa fedha nadhani wengine wameshirikisha wazaz wameuza mashamba pesa imetolewa na hakuna manufaa🙌🙌
@claudiuszebedayo34142 жыл бұрын
Duuuh, asee mafanikio yana safari ndefu! Imani waliyonayo ni ya kipekee! Yaani utajiri ungekuwa kwa njia hiyo Tanzania tungekuwa matajiri
@lazaroletion24202 жыл бұрын
Vijana madini imewaingia haswaa, kama vile wamepuliziwa kukubali ujinga 😅😅, Kukubali umekosea sio dhambi
@yohananelsonmusic72072 жыл бұрын
Kunakampuni lingine lipo hapa Simiyu jaman. Vijana hawa nawahurumia. Wanaishi maisha ya shida mno
@halidimbaraka58412 жыл бұрын
Hii si hali ya kawaida wanahitaji maombi aisee hawa watu hawako vizuri kichwani kabisaaa
@lasudnuru49822 жыл бұрын
Nliitwa nikaambiwa hizo hela ila salamu yao tu “Good morning billionaire ” na ilikuwa mchana nikajua hamna cha maana