SHK OTHMAN MAALIM: INATISHA KWA WANAWAKE HAWA 10 TU WAOVU | TUTATESEKA BURE TUJIKAGUE NA TULIONAO

  Рет қаралды 26,394

Riyadh Tv Online Znz

Riyadh Tv Online Znz

2 жыл бұрын

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #Shkothmanmaalim

Пікірлер: 39
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
Rehma na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam Ahli zake na Maswahaba zake wote
@ibrahimdieumerci395
@ibrahimdieumerci395 Жыл бұрын
Jazaka llahu fih
@dieudonneshabani2587
@dieudonneshabani2587 Жыл бұрын
nashukuru sana shk
@eshasaid3258
@eshasaid3258 2 жыл бұрын
Mashaaallah mawaidha ni mazuri ni meyapenda akulipe Allah lnshaalla ameen
@fatumjumaa5563
@fatumjumaa5563 2 жыл бұрын
Sheikh shukran kwa mawaidha mungu akupe umri mrefu
@mwanaramadhan7059
@mwanaramadhan7059 2 жыл бұрын
MashaaAllah jazakAllah ukheri sheikh
@twalaataib7337
@twalaataib7337 2 жыл бұрын
JAZAKALLAH SHEIKH MANENO YAKO SAFI SANA MASHALLAH🙌👏
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
Shukraan na sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh ukty maasha Allah tabaraka Allah sheikh #othmanmaalim Mwenyezi Mungu akupe uzima na umri mrefu tuzidi kunufaika katika mambo ya Dini yetu shukraan jazzakah ALLAHU kheiran barakallahu feekum #riyadhtvonlineznz na team nzima
@ukhtyhumairah73
@ukhtyhumairah73 2 жыл бұрын
Waalaykumussalaam warahmatullahi wabarakaatuh
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
@@ukhtyhumairah73 maasha Allah tabaraka Allah vipi hali yako habibty
@eshasaid3258
@eshasaid3258 2 жыл бұрын
Shehe Allah akupe pepo ameen
@hamizaramadhan1275
@hamizaramadhan1275 2 жыл бұрын
Masha ALLAH ❤❤
@sayleewaprocess5641
@sayleewaprocess5641 2 жыл бұрын
Mashallah mashallah say good
@alhajnamkopa4597
@alhajnamkopa4597 2 жыл бұрын
Mwenyezi akupe umri mrefu amini
@sabilibrahim2457
@sabilibrahim2457 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ukhtyhumairah73
@ukhtyhumairah73 2 жыл бұрын
Shukuran kwa ukumbusho ya sheikh Othman maalim mswiba ya subhannallah
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
SUBHANALLAH kweli kabisa mswiba mkubwa MWENYEZI MUNGU atustiri 🤲🏽💖💖💖
@ukhtyhumairah73
@ukhtyhumairah73 2 жыл бұрын
@@user-ws9ek8dj5n Allahumma amiin ya rabbi habibaty 😘😘😘😘
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
@@ukhtyhumairah73 Amiin ya RABB ya habibty 💞💞💞😍😍😍
@sadhiyaiman6038
@sadhiyaiman6038 2 жыл бұрын
Kweli sheikh na kuna wengine Wana sifa zote subhanaAllah....Ila sheikh kuna waume wenye hizi sifa inakuwaje
@sm8836
@sm8836 2 жыл бұрын
Wanaume pia wanawavunja wake zao moyo pia, wanajiona wanyonge mbele ya waume zao.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Ukitaka kuchagua mke mzuri hakikisha kwanza na ww mume uwe mzuri. Si unataka mke mzuri halafu ww mwenyewe si mzuri hata ukachukue shamba ipo siku atakuchoka. Na wanaume wengi wa siku hzi sihao wakulisha na kuvisha kwa hio hata km huiba, huiba kwa maslahi/matamanio yao wenyewe natamaa zao za maisha na ufakhari lkn si kwa ajili ya kumtimizia mke. Sheikh siku hzi w'ke wengi sana wanafanya majukumu ya wanaume na wametwikwa na waume zao ima 100% au 50%. W'me pesa zao wanaficha wakaongeze wake.
@ukhtyhumairah73
@ukhtyhumairah73 2 жыл бұрын
Ya subhannallah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Lkn sheikh siku hzi uzazi wa mpangilio umevuruga wanawake. Wengi wamejichokea na wabovu tofauti na nyie wanaume. Inabidi uridhie kumsaidia. Ukitaka m'ke yule wa kukaa jikoni kila siku... sijui naona utapita ukioa na kuacha mpaka. Halafu wanaume nao mridhike siku hzi hakuna w'ke 100% mzuri kwa kila kitu. Shukuru huyo mvivu unauezo utamtafutia mtu wa kumsaidia au utamsaidia ww kuliko kupata wambea, wagombanishi, wahuni, wasioridhika na wanaokulinganisha na waliopita.
@ummua5006
@ummua5006 2 жыл бұрын
Kwanza wafindisheni hao wanaume kujali majukumu na masuulia yao. wawache uzinifu, ubakhili, ubaridi,madharau na kibri. Wanawake hawana shida ndio maana hata katika wazazi mama anakua karibu zaidi na watoto kuliko baba. Wanawake shida kubwa ni mapenzi. Wakipata wakuwajali na kuwapenda, wanajitolea muhanga. Mwanamke ndio mama anaelea vizazi.
@abaafarhat9191
@abaafarhat9191 2 жыл бұрын
We ni moja wapo usiyefaa na umelengwa safi sana othuman maalim
@talibmuhsin5221
@talibmuhsin5221 2 жыл бұрын
Cc Kwan wanawak hawazin ? Tena ndo wachochez haswa
@sm8836
@sm8836 2 жыл бұрын
Sheikh ni kweli maneno yako kabisa kuhusu Wanawake hao, lakini naomba ulete video za kuhusu wanaume pia ambao wanapata wanawake wazuri wenye kufanya wajibu wao kwa waume zao lakini wanaume wakawa wanawasumbua wake zao mpaka wakachoka pia. Kwa mfano mke anakaa nyumbani peke yake mchana mzima ana hakikisha nyumba ni swafi, ana pika kila kitu, jioni ana jipamba kumngoja mume kwa hamu na furaha, lakini utakuta mume akiingia yuko serious ata ku smile na mke wake anaona tabu, na isitoshe akiguswa pia balaa anakwambia nimechoka wewe wataka kila siku haya, na isitoshe hakupi pesa pia zakutumia, usiku ana lala fofofo ata hana wakati na mke, hivi ni sawa? Mke anabaki na kufikiria mawazo mabaya kwa nini mume yuko hivi, mpaka mke anachoka pia kufanya wajibu wake kama mke. Hivi ni sawa wanaume hawa wafanyao hivi? Na mke akisema inakuwa balaa analeta vita ama atakunyamazia kimya kisha hajirekebishi, hukumu yao ni nini wanaume hawa? Naomba majibu please. Shukran. Nimeshaona haya yanatokea sana.
@salummzee8908
@salummzee8908 2 жыл бұрын
wapo hao walio laaanika Allah atuepushe fitina za wake wa baya
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Wapo wengi sana lkn wengi wao unakuta vyanzo ni nyie wanaume. Wanaume wengi siku hzi hamtimizi majukumu yenu na hamjui thamani za wake zenu/thamani za wanawake na ndio ttzo kubwa hilo.
@salummzee8908
@salummzee8908 2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 hakuna sifa zote shekheir amezitoa sio km amekuoneeni zito sifa zinatoka moyo na malezi waliyokulia wanawake ,istoshe Dini tumei weka nyuma tuna ipenda dunia km utasoma Qur-an na dhikri kumtaja Allah hutowez kumzarau mume ila rudini kwa Allah
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 2 жыл бұрын
Amini ya Rabby
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 2 жыл бұрын
Waifu ama naifu 😀😀😀
@claudettezainabu2162
@claudettezainabu2162 2 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaa kama kuzini.ndoa zaisiku mungu tu
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Na hio zinaa siku hzi ndio inachochewa direct na indirect. Unakuta masheikh wengi wanahimiza w'me kuoa wake kuanzia 2 bila ya kutaka kujua kwanza huyo m'me anamtimizia mmoja aliyenaye na wtto? Na unakuta w'ke wengi hawataki waume waoe kwa sabbu akijitizama yupo mmoja na anajiona kishaingia maradhi kwa kutupiwa au kugaiwa majukumu ya nyumba na wtto kulisha na kuvisha. Kila vibiashara kishauza mume hana uwezo anataka kusaidiwa...leo akatafute wa pili mpaka 4 hali itakuaje? Matokeo yake unakuta wanaume wanapita wakizini tu.
@husseinjuma9384
@husseinjuma9384 10 ай бұрын
​@@alhamdulillah5796Mwenyez mungu hajalazimish kuoa mwanamke Zaid ya mmoj Ila kasem km una uwezo. Sasa akitokea mtu anaoa na Hana uwezo yeye ndo mweny matatizo sio mungu Wala shekhe
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 30 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 33 МЛН
KUISHI NA MITIHANI | Sh.Othman Maalim
41:44
alistiqamatv 2
Рет қаралды 54 М.
NYAKATI HIZI DUA YAKO ALLAH ATAIKUBALI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
21:52
arkas online tv
Рет қаралды 7 М.
KISA CHA MAITI ALIYEVUTISHWA BANGI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
14:49
arkas online tv
Рет қаралды 267 М.
UST MAZINGE AMPONGEZA SH OTHMAN MICHAEL NAAMUOMBEA HERI
28:37
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 59 М.
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 30 МЛН