No video

RUBANI MDOGO TANZANIA: ATAJA BEI YA KUSOMEA URUBANI/ UNAVYOLIPA/ JINSI YA KURUSHA NDEGE

  Рет қаралды 470,440

Dar24 Media

Dar24 Media

3 жыл бұрын

#RubaniMdogo #Dar24Media #exclusive

Пікірлер: 459
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 3 жыл бұрын
The best interview ever. Mimi mwalimu na nimeisevi hii ili nije niwasikilizishe wanafunzi wangu💪💪💪
@abdulmalikhamadi8634
@abdulmalikhamadi8634 3 жыл бұрын
Congratulations brother kwa mfano sisi tuna kwama wapi kwa mfano tuamkeni vijana wale wasoma comment nipeni like zangu niongezee ada🏃🏃🏃
@raineryduwe7588
@raineryduwe7588 3 жыл бұрын
Vipindi kama hiki ni muhimu sana Kwani vinatoa hamasa kwa watu kujuwa afanye nn ili aweze kuwa rubani 'big up'
@abdulmalikhamadi8634
@abdulmalikhamadi8634 3 жыл бұрын
@@raineryduwe7588 kweli kabsa my dear
@suleimansoud4575
@suleimansoud4575 3 жыл бұрын
mauwAj yapembAchmba
@clara-ri9wt
@clara-ri9wt 3 жыл бұрын
Hongera sana......unajua kujieleza na tukaelewa uhalisia wa unachokiongea ......happy for you broh
@neemamajana3078
@neemamajana3078 3 жыл бұрын
Nimetiwa moyo sana, Mungu nakuomba umujalie Eliya Mwanangu kwani kusomea Urubani ndiyo ndoto na maono yake. Mungu tunakuomba utujalie sisi Wazazi wake neema ya uzima, afya njema, uhai na kuishi miaka mingi ili tuweze kumfikisha Eliya kwenye malengo yake. Mungu tunakushukuru kwani umefanya tayari umesikia Anima.
@hustlertv1271
@hustlertv1271 Жыл бұрын
Ushamba huu kwan ndio mpak uunyeshe uma kuwa unaomba
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 3 ай бұрын
In Shaa Allah amiin thumma amiin
@user-vh7ll3vp7w
@user-vh7ll3vp7w 2 ай бұрын
AminA,,
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 Жыл бұрын
Hongera David unanifurahisha Sana, kwanza unaongea kiswahili kizuri bila kuchanganya na lugha za kigeni,eti kwa kuwa wewe ni rubani.
@zahraramadhan2373
@zahraramadhan2373 3 жыл бұрын
WOW oooo napenda watu kama Hawa amakweli elimu ni ufunguo wa maisha love you so much. Laki naogopa kazi hii nakuombea kila la heri katika kazi yako h 💖💖💖💯💯😀😀🖐️🖐️
@bas2823
@bas2823 Жыл бұрын
PROUD OF U DEAR SON👌 MY SON IS A COMATIONAL PILOT ALSO! STUDED IN NEW ZEALAND👍 CONGRATULATINS SON👌 SUPER GREAT👍
@otiliahaule5180
@otiliahaule5180 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Rubani Devid Na tangazaji pia mpo vizuri sana Namuheshim sana rubani✈️ maisha Mwangu mana wanakazi kubwa kwakweli From oman Arabun
@vijiliamwakyelu1295
@vijiliamwakyelu1295 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii natamani wanangu wapigane mpaka hapa,congratration to you kaka
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 3 ай бұрын
Kikubwa nia malengo na kujipanga kumuomba Mungu
@husnajuma5919
@husnajuma5919 3 жыл бұрын
Wangap wamependa kaka akiongea pia yuko vzr
@priscakabeya1184
@priscakabeya1184 3 жыл бұрын
Natamani angekuwa Mwalimu wavijana wenzake, ni role model nzuri sana kwa vijana Wenye ndoto kama hii
@muznahmuznah8601
@muznahmuznah8601 3 жыл бұрын
Mtoto wng wa kwanza wa kiume pia ana ndoto ya kua rubani wa ndege hv sasa yko ktk mitihan ya kumaliza 4 baba yke alimuahidi akimaliza 4 atampeleka kusomea hicho anachokitaka ktk nchi yyte itakayotoa mafunzo vzr nasubir aje akimaliza mitihan yke nimuoneshe hiki kipindi ili aone kijana mweziwe
@Williamjamessr
@Williamjamessr 3 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana, nampongeza sana Mtangazaji kwa kuuliza maswali vizuri yenye mashiko pia nimpongeze David kwa uweledi mkubwa alionao katika taaluma yake ya urubani! 👏👏👏
@reginapeter1625
@reginapeter1625 3 жыл бұрын
Hongera sana sana David.ume relax wakati wa kuelezea na kujibu maswali pia nimejifunza mambo mengi ambayo pia nilikuwa siyajui.Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi
@nestoryremy8088
@nestoryremy8088 Жыл бұрын
Hongera sana David mungu akupe maisha marefu na nataka there una roho nzuri ya kusaidia watu na taifa la Tanzania umetupatia mwanga wa kujuwa kuhusu gharama za urubani na ajira zake mungu akubariki sana.
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 3 жыл бұрын
Mungu akubariki mwanangu David! Mungu timiza ndoto za kijana wangu pia...amina!
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 жыл бұрын
Amin
@user-qm1eu5kp7n
@user-qm1eu5kp7n 4 ай бұрын
Asante kwa maherekezo yote nilitamani kuwa rubani nanitakua Heiman
@abellabv
@abellabv 3 жыл бұрын
Lovely. God bless you mightily Captain David Matonya. You are a good role model for aspiring youth.
@maihussein3553
@maihussein3553 3 жыл бұрын
Weeeeeeee wagogo tupoooo mbali akina matonya
@lwihurazakayo3864
@lwihurazakayo3864 3 жыл бұрын
Mtangazaji unayemhoji rubani kijana,uko vzr .Mungu akubariki usonge mbele
@sophiakaaya8290
@sophiakaaya8290 3 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akusaidie sana na akuongoze katika maisha yako umetimiza ndoto zako.
@margrethemanuel7501
@margrethemanuel7501 3 жыл бұрын
Very smart n calm...kuna vijana wadogo but very calm, bright
@christinakomba3524
@christinakomba3524 3 жыл бұрын
Asante Sana nimejifunza kitu maana nilizani kua rubani mpaka usomesana kumbe atakidato cha 4 Asante Kaka umejieleza vizuri Sana bilahata majivuno barikiwa Sana.
@tumajunior6080
@tumajunior6080 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kijana mungu akilinde kwenye kazi yako akuweke mukononi mwake nikiwa nakijana mwenye ndoto ya urubani
@pendopeter1790
@pendopeter1790 3 жыл бұрын
Wow uko vizuri Rubani wetu, unajua kujieleza....Hongera sana
@RajabKAMIS
@RajabKAMIS 3 жыл бұрын
Asante sana kwa lesson nzuri David. Tumejifunza mengi kwenye hiyi interview. Mungu awe nawe katika carrier yako God bless 👍
@10gb27
@10gb27 3 жыл бұрын
interview nzuri sana, nime enjoy kuiskiliza. David anaonekana ni mtulivu kiakili licha ya umri wake, ni taswira inayohitajika kwa mapilot. inaleta amani unapopanda ndege ukakutana na utulivu huu. nina swali moja, unaushaur wowote kwa anaetaka kuingia kwenye u-pilot akiwa na umri above 35
@deucecadico1879
@deucecadico1879 3 жыл бұрын
Very interesting,nimefurahi kusikia kijana mdogo Kama David Matonya akinieleza with more confidence kubwa kiasiki hiki... Good boy utafika mbali na Mungu akubariki Sana...
@ashashaban6484
@ashashaban6484 Жыл бұрын
MASHALLAH MASHALLAH. ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH NDUGU YETU MUNGU AKUONGOZE INSHALLAH
@mariethangoma6317
@mariethangoma6317 Жыл бұрын
Congratulatoins Boy...your drea m has come true...be blessed❤and all the best in your journey to drive a big one❤
@abdillaahimatthew9414
@abdillaahimatthew9414 3 жыл бұрын
Maashallah nimeipenda hii interview imetulia sana, big up bro even me I wish it but there is no way. Therefore I'm so grateful to hear it. 👏
@bensonkaaya9214
@bensonkaaya9214 3 жыл бұрын
P
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishiye elimu yko n akupe maisha marefu sana akuondolee husdaa Inshllah hongera sana 😍😍
@MrTouch-rm4rh
@MrTouch-rm4rh 3 жыл бұрын
Congratulations bro wish you all the best mungu akubaliki upate mstari wa 4
@alexernestmalimamahadjle4761
@alexernestmalimamahadjle4761 3 жыл бұрын
A
@mussabinford9872
@mussabinford9872 2 жыл бұрын
Kipind kizuri snaa mtangazaj na pilot wtee mpoo vzr I have enjoyed much
@sudaydaudi1079
@sudaydaudi1079 3 жыл бұрын
Congratulation brother david plus udoba family,,msalimie sana aunty lucy
@wakuwaumizatz7626
@wakuwaumizatz7626 3 жыл бұрын
Mgogo
@rogasianmarandu537
@rogasianmarandu537 3 жыл бұрын
Hongera sana kijana kwa kusimamia ndoto yako yakusomea urubani angalia Mungu alivyo mwema umefanikiwa Mungu azidi kuku onyesha njia zaidi
@priscakabeya1184
@priscakabeya1184 3 жыл бұрын
Yuko vizuri sana congrats to his parents 👌
@ashuraselemani5979
@ashuraselemani5979 3 жыл бұрын
Mashaalahh mungu akusimamie kila la kher mtoto mzur
@sultanalnaamani2156
@sultanalnaamani2156 3 жыл бұрын
Hongera sana co pilot jitahidi uwe full pilot Mungu atakujalia utafika unapopataka muombe Mungu sana pia uwemwangalifu unadhamana ya roho nyingi katika ndege.
@koudrashabani1912
@koudrashabani1912 3 жыл бұрын
Mashallah
@andrewkazungu6542
@andrewkazungu6542 Жыл бұрын
Yes., continue 🇹🇿🎧🎤🌟
@zacharianicodemas184
@zacharianicodemas184 2 жыл бұрын
David ungetutajia range ya mishahara ya ma rubani pia na masono yanayohusiana na urubani but thank you in All 👏👏👏👏👏👏
@servantkombo8225
@servantkombo8225 3 жыл бұрын
Good job from DCT Sec to South Africa. Mgogo wa kwanza kuwa rubani😁😁😁
@yusuphmathias4729
@yusuphmathias4729 3 жыл бұрын
hongera sana kaka nimefurahi umeereza vizuri sana mungu akutangurie katika kazi yako
@masundelwa
@masundelwa 3 жыл бұрын
Jamaa yupo smart sna
@NuruKabia-bx9nh
@NuruKabia-bx9nh Жыл бұрын
Daaaah can't believe congratulations dav
@mzeemuhsin7891
@mzeemuhsin7891 3 жыл бұрын
Good Job David .Kwa kweli umetufungua sana katika kutimiza ndoto za vijana ambao wangependa kufikia hapo ulipo.Mwenyezimungu akuongoze kufikia malengo yako..
@abdallaabedi2354
@abdallaabedi2354 3 жыл бұрын
Inapendeza sana kusema ukweli.maana kuanzia anaehoji na mhojiwa wote wamejieleza vizuri mno na hakika mm binafsi nimeenjoi sana kipindi 👊👊
@salehsalumsaleh425
@salehsalumsaleh425 3 жыл бұрын
Nice dialogue I appreciate
@josephtaletian1242
@josephtaletian1242 3 жыл бұрын
Good job our young.
@amnegharib5196
@amnegharib5196 3 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuongoze....
@pioustrevol3468
@pioustrevol3468 Жыл бұрын
All the Best Brother. Always simamia Kile unachokitaka Ndo unawezq kua tofauti na Wengine Na kupokea mafanikio yako Kutoka kwa mungu
@paschalmugabe2226
@paschalmugabe2226 3 жыл бұрын
Hongera mtangazaji na pilot wetu kiukwel mpo vizur mno
@is-hakabinruweikh3833
@is-hakabinruweikh3833 Жыл бұрын
Ebwaba kwnz nimekufanyia uchunguz una akili sana u are so skilled big up xana
@kanaanimkisi5290
@kanaanimkisi5290 Жыл бұрын
Napenda Sana kuskiriza Story Za Maruban Jinsi Ya kuendesha Ndege Sjui Kwann yaan Ningekuwa Na Uwezo wa Hela Ningeenda Kusomea
@kimsamir965
@kimsamir965 3 жыл бұрын
Mungu ambariki David matonya mungu akuzidishie kiwango namtakia kla la gheri dereva ndege.
@swafiyamansur4326
@swafiyamansur4326 3 жыл бұрын
Mashallah
@suleimanmrita1992
@suleimanmrita1992 7 ай бұрын
so nice to you umejielezea vizuri sana na akili yako ipo tumamu sana ndomaana ukawa rubani nimekupenda sana na kz yko ni nzuri sana komaa bro uwakika wa maisha upo sawa kwako mungu akuongoze sana
@mlengineeringconsultancylt5250
@mlengineeringconsultancylt5250 3 жыл бұрын
Umetisha
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 3 жыл бұрын
Utakuta mswahili anamkosoa wazungu anarusha tan 300 yeye ukimwambia arushe hata jiwe la kilo moja litamrudi na kumtoa ngeu ya kujuta salute mzugu
@doreencharles2836
@doreencharles2836 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deouskulinduka5717
@deouskulinduka5717 Жыл бұрын
Safi sana mdogo wangu umesom lakini haujisikii unaongea kiswahili kizuri San hakika wew in mtanzania halisi Mungu awe nawe ktka maisha yako yote
@happyfabian7399
@happyfabian7399 3 жыл бұрын
Nimempenda uyu kaka anaongea vizur
@joyceassey2347
@joyceassey2347 5 ай бұрын
Dear Lord, you blessed me with two kids son & daughter,,, please and please one of them if not both should be a pilot in Jesus name I pray.Amen.
@innocentjoseph9029
@innocentjoseph9029 3 жыл бұрын
Poleni kwa kazi ngumu na ya hatari.Ulisema unahakikisha uzito wa abiria na mizigo.Baadaye ukasema hupimi ila unakadiria.Vipi kuhusu makadirio yoko kama hukupatia sawa sawa na kwa Bahati mbaya uzito ukawa umezidi, nani atawajibika
@AnnaLucas-dh7dg
@AnnaLucas-dh7dg 3 ай бұрын
❤❤❤ hongera Yako mwenyezi Mungu akulinde
@rose44ngotee33
@rose44ngotee33 3 жыл бұрын
Hongera sana kijana mwenzangu am really proud of you
@victormtani7170
@victormtani7170 Жыл бұрын
Mtangazaji nimekukubali sana na hakika David Matonya uko smart kwa kujibu maswali ya Mtangazaji na nikupongeze tu kwa hiyo hatua uliyofikia. Japo ni gharama watoto wangu wataenda kusomea Urubani na pia Family yetu kuna Mdgo wangu anasomea Uruban na kuna Uncle wangu anasomea Uruban pia. Japo mipesa ni mengi msikate tamaa yupo Mungu anayejibu Maombi na Vision ya watoto wetu itafanikiwa. Hongera sana David Matonya uko vizuri kwa kuwapa vijana wengi wa kitanzania wajue njisi ya kuendesha ndege
@catherinebosibori7977
@catherinebosibori7977 3 жыл бұрын
Thanks to the Lord
@joshuastephano9150
@joshuastephano9150 3 жыл бұрын
So Cong my bro your speech is as a lesson to me and other s,thanks alot
@teresiamgimba5498
@teresiamgimba5498 Жыл бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri nimejifunza mengi
@joelagala8914
@joelagala8914 8 ай бұрын
Ooo9h!!!! So nice jmn lazma ndoto tutimizeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤ love u gud role model
@mariamagoa7686
@mariamagoa7686 3 жыл бұрын
Interview nimeipanda sana. Imeniamsha mno
@mamounmamoun7877
@mamounmamoun7877 3 жыл бұрын
Safi sana Mungu akubariki na azidi kukuongoza
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Hongera sana pia ahsante kwa kunitia moyo kijana wangu ana ndoto hyo ila changamoto ndio hyo pesa ila tangu ana miaka 2 alianza kuonyesha hicho kipaji hadi sasa japo bado mdogo ila bado yupo ktk hyo ndoto
@enterenter7798
@enterenter7798 Жыл бұрын
Maa shaa Allah hongera San
@mwahiyalitunaisubiriykwaha9503
@mwahiyalitunaisubiriykwaha9503 3 жыл бұрын
Hongera sana kk mungu akutangurey kwakirakit
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah nakuombea kher hongera san
@carenkachecheba5538
@carenkachecheba5538 3 жыл бұрын
Hongera sana David.. Mungu akutangulie ktk kila hatua maishani mwako
@kingelieshabani7235
@kingelieshabani7235 29 күн бұрын
Asante sanaaa kwa majibu yako rubani
@fatmaahamadabass8080
@fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын
Mashallah mashallah Mungu akulinde mdogowa.
@ramlamburi9743
@ramlamburi9743 3 жыл бұрын
Hii interview nimeipenda Sana, natamani mwanangu aje kuwa rubani, Mimi nilikosea kuchagua.
@andrewmsenga308
@andrewmsenga308 3 жыл бұрын
Jamaa anajua sana kunyoosha maelezo 👊
@deogratiustimoth4070
@deogratiustimoth4070 2 жыл бұрын
Dogo rubani name kukubali sana unajielezea vizuri sana katika fani yako
@msajohn2035
@msajohn2035 3 жыл бұрын
Wooow! Am very inspired wid ur ctr
@radar41
@radar41 3 жыл бұрын
You Did it Bro... Ila kwa gharama hiyo watoto wa buza wataishia kurusha ungo tu asee haina jinsi
@naomibenjamini2088
@naomibenjamini2088 3 жыл бұрын
Hahaaaaaaaaaa
@desderathalyamuya8856
@desderathalyamuya8856 3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@aliceudoba3672
@aliceudoba3672 Жыл бұрын
Unawanga wee basi tania weka hata imoj ya kucheka unajifanya uko sirias
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 3 жыл бұрын
Kaka Mama hakuhusika hata kukutia moyo. Hongera Sana jitahidi kusema wazazi. Kama wote wapo hai.
@mwanakombojuma9029
@mwanakombojuma9029 3 жыл бұрын
Kweli kabisa maisha yanataka uvumilivu🥰
@lucretiaderick4255
@lucretiaderick4255 3 жыл бұрын
Hii imenifungua masikio Nina baby boy kila siku analia anataka kuwa rubani sasa hii niane kuiandaa maana bado ana 4yrs congratulations sanaaa David jina la mwanangu
@richardawadh3199
@richardawadh3199 3 жыл бұрын
Az
@richardawadh3199
@richardawadh3199 3 жыл бұрын
AZAM TIV
@user-es2yt1jc4i
@user-es2yt1jc4i 4 ай бұрын
Niombe kila anaesikiliza animée mimi niweze mtumikia mungu.niweza wapa nguvu.niombeen saana iman
@falesikitumbo4308
@falesikitumbo4308 3 жыл бұрын
ok dogo nime kuelewa soma sana nita kukodi uje kuendesha ndege yangu
@abalfadhilabdulqahari3018
@abalfadhilabdulqahari3018 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 3 жыл бұрын
@@abalfadhilabdulqahari3018 😋😋😂😂😂😂
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 Жыл бұрын
David Matonya nafurahishwa sana na maelezo yako maana unatengeneza ndoto za vijana wanaokufuata kiumri.
@elynekaakyoo3142
@elynekaakyoo3142 3 жыл бұрын
Kaka mungu akupe maujuzi zaidi barikiwa
@gharibislam1586
@gharibislam1586 3 жыл бұрын
Dream comes True
@robertmasagasi6407
@robertmasagasi6407 3 жыл бұрын
Mungu akusimamie mdogo angu, Dodoma inajivunia uthubutu wako.
@husnajuma5919
@husnajuma5919 3 жыл бұрын
Yes wagogo tupo nyuma yako aise wagogo chiliwaswanu
@user-en6qq3rs8j
@user-en6qq3rs8j 3 жыл бұрын
Mashalla
@balizahuibrahim3187
@balizahuibrahim3187 2 жыл бұрын
Asante sana kwa kutushawishi na sisi tunatamani kuwa marubani
@MuhammadiMnyawi
@MuhammadiMnyawi 7 күн бұрын
Masha a llah kila hatua dua
@JacknJacksosanga
@JacknJacksosanga Ай бұрын
Brother hongera sana
@zawiajuma715
@zawiajuma715 3 жыл бұрын
Hongera sana Allah akuhifadhi
@rehemamgongwe300
@rehemamgongwe300 Жыл бұрын
Umefanya vizuri mwanangu huo niujasiri mzuri
@Summerbtz
@Summerbtz 2 жыл бұрын
Dah nimependa sana hii interview ngoja niwaombee wanangu wanangu waje kuwa marubani
@maureenkemei9254
@maureenkemei9254 Жыл бұрын
Amen
@rhodahj7121
@rhodahj7121 3 жыл бұрын
Congrats be blssd for sharing.
@ramlazuber6038
@ramlazuber6038 3 жыл бұрын
Hongera sana. Ilaa usisahauu kuwashukru sanaaaaa WAZAZI WAKOO. KWA BILA WAOO USINGEWEZAA
@-zj2zd
@-zj2zd Жыл бұрын
Daah yani brother unauliza maswali vizuri sana 🙏
@triciamkwawi5170
@triciamkwawi5170 3 жыл бұрын
Be blessed sana David also my son like this fun
@edwardkhatiya4561
@edwardkhatiya4561 3 жыл бұрын
Hapo kwa ndege kugongana kwa kweli zimewahi gongana. Lakini hii ilitokea baada ya rubani kuafuata ushauri wa flight controller pale chini badala ya TCAS
@rosemary3816
@rosemary3816 Жыл бұрын
Mashallah asante
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 92 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 6 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 31 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Kutana na Baba na Mtoto, Marubani Air Tanzania
6:30
Air Tanzania Company Limited (ATCL)
Рет қаралды 172 М.
''VIJANA WENGI WANA NDOTO za URUBANI'' -MAMA ROSEMARY
6:23
Global TV Online
Рет қаралды 409
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 92 МЛН