Ruge Mutahaba akijibu swali kuhusu mahusiano yake na Zamaradi Mketema Itazame interview nzima hapa • Live na Ruge Mutahaba
Пікірлер: 78
@abdulaziz7035 жыл бұрын
Daaah Ruge umejaaliwa Busara za kupitiliza. Unamjibu mtangazaji kistaarabu hata kama swali alilokuhoji hujalipenda. Mungu akuweke salama huko ulipo.
@mwanaidikilua13234 жыл бұрын
Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Amen.
@peterjohn87455 жыл бұрын
Kwajince unavoonekana na dudu anavokusema ni tofaut yote ayajua mwenyezi mungu kwamm cwez kusema ww mbaya ama dudu mbaya!mwenyezi mungu akupumzishe kwa aman
@MaaneML5 жыл бұрын
Leo wakati akiagwa Karimjee ndiyo tumejua alikuwa na watoto watano. Mungu awalee. Ni baba wa Yatima.
@babamicah87875 жыл бұрын
Nimejifnza runge ni mpole pia anaakil sana yn anapiga traft za akil mno
@leontineflorance51985 жыл бұрын
Mungu amulaze pale ambapo mwenye alitayarisha. Kuwa tayari hujuwi siku utakayo kufaaaa à.
@marymwacha9955 жыл бұрын
He was very humble, rest in peace😭😭😭
@raymondkanyama63875 жыл бұрын
duh rip brother ruge..
@annabahatifrancis56505 жыл бұрын
Ruge you are very smart and you really cared for your family. if you exposed them wangepata matusi ya kufa mtu kama tunavo bila sababu ili tu uumie wewe. private life is private and only expose your business life.
@abednegochristopher46405 жыл бұрын
Pumzika kwa amani ruge
@mohammedsanyange78005 жыл бұрын
AnnaBahati Francis R. I. P tumepokea kwa masikitiko mkubwa Sana Mziba wamu
@sarakasitanzania21492 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/m76fgMKrtN2bmKs.html👆
@shabanshabani99375 жыл бұрын
Nimejifunza kitu mambo binafsi yatabaki kuwa binafsi m/mungu akuelekeze njia salama amini
@dyanatanz65745 жыл бұрын
Kumbe alikuwa anamaneno ya busala halaf mpole maskin mungu akutangulie baba
@hadijapazia6845 жыл бұрын
Innalillah wainna ilaih rajiu'n
@alisaalis92185 жыл бұрын
Ghai na bwana mpole hapati bibi mzuri,Poleni sana ndungu zetu watanzania, tuna wapa pole kutoka +966 M/Mungu awe faraja kwenu,Raha ya milele umpe eeh bwana,Apumzike kwa amani, Amina
@janerosjustine97165 жыл бұрын
U mstaraharabu San Mungu akurehem baba
@yohanayohana15135 жыл бұрын
Rip broo
@ziadaalute68365 жыл бұрын
Anaonekana tayari ni mgonjwa,kamaumeona macho ni meupee nayamelegea gonga like
@lucasheluman4765 жыл бұрын
Ziada alute nakuona wewe mzma
@tuffahhappiness33576 жыл бұрын
Msiri sana Ruge lakini dawa yake keshapewa na. Zamaradi Mketema kuachwa mchana na kuolewa kabisa
@awenanassor31695 жыл бұрын
R.I.P "RUGE MUTAHABA"
@princesspeter485 жыл бұрын
Rest in peace
@kulway46694 жыл бұрын
Inalilllah wainaillah rajiun
@marianachristophory49164 жыл бұрын
Rip brother.
@vdjmaxwell66925 жыл бұрын
Daaaah!!huyu jamaa ni wa pekee sana
@leoniabeatusi2065 жыл бұрын
Rip
@rachaelmwegoha28835 жыл бұрын
💪🏻💪🏻
@janethmakengo33685 жыл бұрын
R.I.P
@Mariam-ez4qw5 жыл бұрын
R.I P BOS RUGE
@athumanmgissasimbadamu33165 жыл бұрын
😭
@rehema20185 жыл бұрын
RIP Baba
@bitunihassan99505 жыл бұрын
😢😢tangulia kwa amani
@saleheinnocent76365 жыл бұрын
Wenye tu Chanel twenu awamu hii mtapiga hela sana kupitia Ruge.
@leaherasto9294 жыл бұрын
R.I.P Ruge Mutahaba
@rehemamshiko6753 Жыл бұрын
R.I.P. Ruge
@rabsonchisumo66402 жыл бұрын
Akili mingi sana
@sureiamboo3 жыл бұрын
He was not perfect but very humble
@fazeelshomary87435 жыл бұрын
Inna Lillah Wainna Ilayh Rajiun
@kadibebe71285 жыл бұрын
RIP , ameugua siku nyingi kwa ajili pict nyingi anaoneka alikuwa mgonjwa
@aristidiakamara55725 жыл бұрын
Hadidja MUKARUSHEMA wewe hauta ugua pole sana kesho yako subili utajiuliza
@feithchilala63745 жыл бұрын
Hadidja MUKARUSHEMA at mm nilihisi ugonjwa uliingia siku nyingi
@johnsonbagambi1908 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@mariammbelwa82595 жыл бұрын
alikua ana akili Sana'a ruge Na ndo maan majibu yake anaotoa apoo yameenda shule
@fabyorahbanzi80815 жыл бұрын
rip
@catenzeki6785 жыл бұрын
@Ali Ali 😂😂😂😂😂😂
@musasamwel82507 жыл бұрын
Good show. Should keep it going.
@dorianmboya86665 жыл бұрын
Kaka pole sana
@aishamlamali54545 жыл бұрын
Ati juju na shubi ni watoto wako pia chefuuuu ..khah
@olliahysteven97415 жыл бұрын
Jmnii kafarkii
@isabellanjesa34885 жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@Deqlate5 жыл бұрын
Isabella Njesa dada nimekuona
@yanayojirimitaaniTV5 жыл бұрын
ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV uone DUDU BAYA YUPO PABAYA ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI
@robbymarco27394 жыл бұрын
m.a.p
@gggjjahhhh94195 жыл бұрын
Kumbe alizaa na zamaradi?ndo kujua leo
@bimaisarankamia41535 жыл бұрын
Mm pia nilikuwa sijui kumbe alikuwa amezaa na Zama jmn
@jamesminja32735 жыл бұрын
waandishi wetu bwana maswali yao sooo much boaring !!!! stupid kwani ukijua mambo yake binafsi itatusaidia nini!!!
@maktabatv93255 жыл бұрын
Hayo maswali sio ya mwandishi ni maswali yaliyokuwa yakitumwa moja kwa moja kutoka twitter
@mathewkachalla2075 жыл бұрын
shilole
@renaldakamugishazeramulake9406 жыл бұрын
MWANAUME KUACHWA! AIBU KAKA YANGU, MWANAUME WA KIHAYA HUWA HAWAACHWI. AU ILE STAIRI YA KKKKKKKKTTTTTLLL HUKUMFANYIA!
@husnauthman76095 жыл бұрын
@Ali Ali mmmh kwa. Kukeketwa ndio nn?
@erasmusshauritanga44445 жыл бұрын
@@husnauthman7609 Kisimi kinakatwa.
@husnauthman76095 жыл бұрын
@@erasmusshauritanga4444 kisimi hakikatwi ila kinakatwa kiharage
@erasmusshauritanga44445 жыл бұрын
@@husnauthman7609 Kwani kunatofauti?
@erasmusshauritanga44445 жыл бұрын
@@husnauthman7609 Kwani kunatofauti?Kisimi na kiharage.