No video

CHEKA TU VUNJA MBAVU NA WAZEE WALIOSHINDIKANA KWA COMEDY (BLACK SANAA)

  Рет қаралды 193,433

S500 TV

S500 TV

Күн бұрын

Пікірлер: 73
@jamesmusyoka1447
@jamesmusyoka1447 7 ай бұрын
mimi ni mkenya lakini napenda hawa watu nliwaona mwaka jana nikiwa apo chalinze
@user-wx3dg6me8u
@user-wx3dg6me8u 7 ай бұрын
Hawa jamaa wanaongea ukwel sana, wanafurahisha na pia nimegundua wanatia huzuni muda huo huo. Ila yote kwa yote hongeren sana ndg zangu, Allah awabarik katika kaz zenu.❤❤❤
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 7 ай бұрын
Ebwana kazi nzuri ❤❤❤❤❤ nawapa ongera 🇨🇩nawafuata kutoka kongo
@user-hn6kv6xe7m
@user-hn6kv6xe7m 6 ай бұрын
Mupo vzr sana vjana mnaelimisha sana
@misifaskills745
@misifaskills745 7 ай бұрын
Sawa nmeelewa hapo kwa Kazimoto tabata segerea
@Chum.user-di7jg2rn2q
@Chum.user-di7jg2rn2q 7 ай бұрын
Ukweli tupu❤❤❤❤❤❤❤❤!! Wanawake moto wa kuotea mbali
@user-hp9xd2jj7e
@user-hp9xd2jj7e 6 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 7 ай бұрын
Hawa jamaa mm nawakubali saana .na wanafaa tuwaunge mkono ,ili waendelee kutupa barudani.
@SaimonBishanga-uq7qz
@SaimonBishanga-uq7qz 7 ай бұрын
Bana bana nimekutana nao ndo wenyewe
@yunisluvanga4211
@yunisluvanga4211 7 ай бұрын
Wapo vzuuri saaaana Hawa watu barahaaa mnachekesha saaaana
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 ай бұрын
Balaa tupu. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani kamanda.. poleni.
@YoungsHilary-xd2ml
@YoungsHilary-xd2ml 7 ай бұрын
Kweli kabsa kupambana ,ni kusonga mbele
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 7 ай бұрын
😂😂😂😂 daaah mbaka naulizwa na mwenzangu unacheka nini 😂😂😂 sensa kaesabiwa
@emmanuelkaindo9899
@emmanuelkaindo9899 7 ай бұрын
Hongeren sana
@RamadhaniKaholi-os3tn
@RamadhaniKaholi-os3tn 7 ай бұрын
Mpo vizuri mtafika mbali ,,,mnatoa stress
@tmbashujaaosama3810
@tmbashujaaosama3810 7 ай бұрын
Kweli u Cuba ni muhimu eti tulia njia nyembamba mara anakamiza GIA box kumbe kichwa Cha mkewe anamwambia tulia Niko MLA ndizi kuna mlima hahaaa. Kwa nn MLA ndizi?
@CLINTONMAGETO-do4ce
@CLINTONMAGETO-do4ce 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ati ndizi😂😂😂😂 waaaah, kazi safi
@emmanuelmichael9764
@emmanuelmichael9764 7 ай бұрын
naomba namba ya hawa ndugu
@johndionice2899
@johndionice2899 2 ай бұрын
Andrea
@labionmtinginji4281
@labionmtinginji4281 7 ай бұрын
Anabandika nywere juuu ya nywere kucha juu ya kucha kope juu ya kope😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz 7 ай бұрын
Tanzania tunavipaji wengi sana jamani Mungu awabariki mnaweza
@user-uo3of7ye2z
@user-uo3of7ye2z 7 ай бұрын
Mnawenz 😂
@user-jb4li1un9x
@user-jb4li1un9x 7 ай бұрын
Vizuri sana wazee mkovizuri munguawatangulie sana
@kamtafuteTena01
@kamtafuteTena01 7 ай бұрын
Nouma sana hawa jamaaa❤❤❤😂😂😂😂
@rahmamamy4034
@rahmamamy4034 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mnaniacha hoi
@RujainahOmary-bq2ru
@RujainahOmary-bq2ru 7 ай бұрын
Ety mimi sio mgonjwa mimi mwizi niweke ndani Unahisi bonge angemfanya nn
@OmaryMwaropa-dy3no
@OmaryMwaropa-dy3no 7 ай бұрын
Angeenda mla
@Mc_Chabala
@Mc_Chabala 7 ай бұрын
Mafuta
@sawackoswald9322
@sawackoswald9322 7 ай бұрын
Tanzania tuna talent kibao nivile hazijitokezi hadharan
@user-tl8uq8ps8t
@user-tl8uq8ps8t 7 ай бұрын
Nakubali sana mungu awazidishie
@peternyambo1439
@peternyambo1439 7 ай бұрын
97 SHULE YA UHURU, BADO WADOGO NOW DAYS WAMEZEKA AISEE
@SamoraDavid
@SamoraDavid 7 ай бұрын
Hawamiliki account za mtandaoni niwe nawasikiliza nawapenda❤❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 7 ай бұрын
Mko juu ndugu zangu❤❤❤
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 7 ай бұрын
Hii collaboration nzuri
@user-bv4gu5po4g
@user-bv4gu5po4g 7 ай бұрын
Kazi nzuli 😂😂😂😂
@salumsalumrobert
@salumsalumrobert 7 ай бұрын
Hatari sana the brack
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 7 ай бұрын
Kwani hawa ndio wale DOKTA MJUSI na PROFESA KAZI !?. Walisumbua sana enzi zetu tukiwa watoto 😂😂😂
@officialdinaize
@officialdinaize 7 ай бұрын
Sio
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 7 ай бұрын
@@officialdinaize kama siyo wenyewe basi wamewaiga wale jamaa ndio waanzilishi
@sadinimtinangi-zt4pv
@sadinimtinangi-zt4pv 7 ай бұрын
Yaan lazima ucheke kishamba 😅😅😅😅😅
@peteromukule5012
@peteromukule5012 3 ай бұрын
Wazee ni wajasiri sana hao
@batoolmwajuma3000
@batoolmwajuma3000 7 ай бұрын
😂😂😂😂,ety tukaweke wapi rooh zetu uwiiiiiii
@eliamtinda7222
@eliamtinda7222 7 ай бұрын
Big up!
@riverjoshua8141
@riverjoshua8141 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimewapta sasa
@xaverykihwili577
@xaverykihwili577 7 ай бұрын
😅kikubwa kukubaliwa na watu
@KulekatsengeHaruni-sb6qc
@KulekatsengeHaruni-sb6qc 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂heee iyi nikali
@jamesmusyoka1447
@jamesmusyoka1447 7 ай бұрын
kama kuna mtu ako apo chalinze kwa petrol station yenye inaitwa (ngamila station) tafathali nijulishe nikutume salam nimerudi niko kwetu kenya
@user-zl5kt1em2t
@user-zl5kt1em2t 7 ай бұрын
Kongole brothers
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 7 ай бұрын
Safi Sana 🎉🎉
@RizikiMwinami
@RizikiMwinami 4 ай бұрын
TikTok wanatumia jinagani hawajamaa
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣pyende kyukyu
@aimableassumani2340
@aimableassumani2340 7 ай бұрын
Hawa jamaa wamenifurahisha 😂
@mbwelamedia3469
@mbwelamedia3469 7 ай бұрын
Kuna vipaji vimejificha mtaani shida wenye nafasi hawataki warithi
@isackkidaso9030
@isackkidaso9030 7 ай бұрын
Ssfi sana
@SurprisedDachshund-rc2fw
@SurprisedDachshund-rc2fw 7 ай бұрын
Tunataka mapya sio yayare
@matembatony9287
@matembatony9287 7 ай бұрын
Mende wingi twende maana yake twende tutarudi tena siku nyingine!
@SaimonBishanga-uq7qz
@SaimonBishanga-uq7qz 7 ай бұрын
Kakaeee Hawa ndo wenyewe
@user-gx4pk2zg1g
@user-gx4pk2zg1g 7 ай бұрын
Asante
@damianmcba9525
@damianmcba9525 7 ай бұрын
Turia mlandizi kuna mlima,,,,laziwe uwe wa Cuba ndio uelewe
@user-bv4gu5po4g
@user-bv4gu5po4g 7 ай бұрын
😂😂❤❤❤🎉🎉
@erickabel6201
@erickabel6201 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 7 ай бұрын
😂😂😂
@salama1113
@salama1113 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@GWIJIGWIJISELLA-tt2it
@GWIJIGWIJISELLA-tt2it 7 ай бұрын
😁😁🤣🤣🤣
@user-dy9hr8tz1x
@user-dy9hr8tz1x 7 ай бұрын
😅😅😅😅
@MuhammedSinga
@MuhammedSinga 7 ай бұрын
🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
@mossesmichaelnzowa3378
@mossesmichaelnzowa3378 7 ай бұрын
Kazi nzuri hii.
@user-hp9xd2jj7e
@user-hp9xd2jj7e 6 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
@mustaphamatelefone-lc9pr
@mustaphamatelefone-lc9pr 7 ай бұрын
Nawakubali sana hi myamba
@user-tu7xf5dk6i
@user-tu7xf5dk6i 7 ай бұрын
😂😅😂
@donkaloza6985
@donkaloza6985 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-hp9xd2jj7e
@user-hp9xd2jj7e 6 ай бұрын
Dah noma nyie ni wakali sana.
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,8 МЛН
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 39 МЛН
MAFUNDI TANESCO NDARO NA STEVE UTACHEKA
10:01
Ndaro Tz
Рет қаралды 398 М.
MPOKI AMZINGUA WAKUVANGA | KILA MTU ATUMIE CHAKE
16:02
CHEKESHA TV
Рет қаралды 27 М.
BONGO NYOSO: MPOKI MUUZA ALKASUSU
6:22
BONGO NYOSO
Рет қаралды 149 М.