Tuheshimu wanawake wanaotubebea mimba jamani,mimba zina mambo mengi,very beautiful & educated,"Marehemu alimentary sana watoto" pumzika kwa amanita shangazi/ mama mdogo.
@deborahmchona5584Ай бұрын
Inaonesha alikua na uzao wa mapacha nimeona kma kuna mapacha wanne wakufanana Mungu amlaze salama🙏
@naomibildad509Ай бұрын
Poleni sana familia na taifa kwa ujumla kwa kumpoteza mtu muhimu. Mungu awe faraja kwenu.
@mosesmasanja8295Ай бұрын
Poleni sana huyu marehemu nilisoma naye udsm engineering kuanzia MWAKA 1999 kwakweli alikuwa anapendeza kuwashinda wanawake wa Sheria ambao walikuwa wengi alafu wanavaa vizuri. Yaani wanafunzi wengi walipokuwa wanaambiwa ni engineer mwenzetu walikuwa wanakataa. Kunasiku tulikuwa na test na yeye alikuwa karibu yangu na ilikuwa ngumu basi alinihurumia yeye mwenyewe bila kumuomba alinipa paper lake niangalie. Kwakweli nilimuona mtu mwenye moyo safi. Namuombea kwa MUNGU mwenyezi apumzike salama.
@mgayan1222Ай бұрын
ALIKUDESESHA kwa lazima😂 kuhusu kujipenda atakuwa alirithi kwa Mama yake #MamaMlozi Mwalimu wangu Morogoro TTC. Huyo Mama ni anajipenda🙌
@PhelisterPeterАй бұрын
@agnesvictor9857Ай бұрын
Mungu amlehemu alikuwa mrembo sana na roho nzuri mpenda watu😢
@user-st4mr7lg7zАй бұрын
RIP SHOGO.
@nathaliakoola2957Ай бұрын
Pole sana Profesa na familia kwa ujumla.
@itanzaniaASАй бұрын
Maskini mapachaaa. Poleee❤
@magejuliani5293Ай бұрын
Pumzika kwa amani! Mungu akukuzie watoto! Mmmh! Mungu ndie ajuae kukosa hewa kwenye damu! Pumzika kwa amani! Umeacha alama ya kupenda watoto ktk familia
@user-xn8jh1yw1hАй бұрын
May The Almighty God Rest Her Soul In Eternal Peace.
@SallyMinjaАй бұрын
Mungu ni pending apenda watu,ahsante kwa kupenda watoto, mimba zina mambo mengi jamani,pumzika shangazi/ mama mdogo, very beautiful & educated ❤
@itanzaniaASАй бұрын
Hatari😢😢😢😢😢dah
@Kabwela776Ай бұрын
Alikuwa Na Umri mkubwa 45 plus ilikuwa risk sana kushika mimba Na strange enough professor mke Na mume Na professor mke anakubali kuweka maisha yake rehani it was a stupid decision Na ndio maana hamna mtu professor kwenye kila kitu !
@itanzaniaASАй бұрын
@@Kabwela776 mpaka miaka 50 umazaa tena salama. Sema kifo hakikosi sababu
@Kabwela776Ай бұрын
@@itanzaniaAS unapingana na sayansi hamna kuzaa salama kwa miaka kwanza age hiyo tayari umeanza kufika wakati wa menopause na kuna risk inaonekana watanzania wengi ni wajinga na sio watafutaji maarifa kuanzia 40 plus pregnancy risk ziko nyingi sasa kama wewe unajua kuliko wataalamu Na madaktari utuambie
@user-ho2sj8lc1xАй бұрын
Tatizo umri tusidanganyane ni htrii hiyo miaka kuzaa Mateso makubwa mno
@freddykulwa8190Ай бұрын
Amina
@pceodhcАй бұрын
Mungu awape amani familia! 🙏🏾
@itanzaniaASАй бұрын
NMEUMIAAAA SANAAAAAA. MTOTO hata mama hajamuona😢😢😢😢😢😢😢😢😢DAH
@RevinarenatusАй бұрын
Poleni sana engel pamoja na sarida na Familia nzima
@lakiabalozi5633Ай бұрын
Jamani na ni wifi wa yule dada wa RTD aliyefariki mwaka jana somebody sedoyeka
@esthersissamo1120Ай бұрын
Poleni sana wafiwa
@KidotiiАй бұрын
Pole sana Boss. Nsolo polen sana na familia yote!😢 R.I.P Dr.
@user-rt5fd4lb1jАй бұрын
Polen sana kwa familia
@rizikinicholaus8154Ай бұрын
pole sana kwa familia
@eliamlozi756Ай бұрын
R.I.P.OUR SISTER vita umevipiga mwendo umeumaliza
@rahabnkya8276Ай бұрын
RIP DR SHOGO.😊
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Pumzika kwa Amani mdogo wetu , Tulikupenda lakini Mungu alikupenda Zaidi.
@EdithManguАй бұрын
Poleni sana familia ya mlozi hasa my ment nasoro mlozi
@user-jx9xc6vo9xАй бұрын
Poleni
@VeronicaIsimaliloАй бұрын
Poleni sana wanafamilia
@FatumaIssa-kw3vvАй бұрын
So sad my Condolences to the families and friends
@zamalisaide3209Ай бұрын
Innalillah wainnaa lillahi rajiun polen familya
@shabaniramadhani8026Ай бұрын
Pole kaka solo
@jenyyusuph4973Ай бұрын
Mm haya marazi ya kina mama hatari wee
@NuruMockeyАй бұрын
Pole our boss Nsolo
@asteriashios1852Ай бұрын
Kumbe poleni sana kifo ni fumbo
@edmundnkarangu134Ай бұрын
Rip😭🙏
@user-vl1ts1eh8sАй бұрын
😭😭😭😭😭😭🌷
@itanzaniaASАй бұрын
Moyo umeniuma SANAAA😢😢😢😢😢
@mankaswai5313Ай бұрын
Innalilah wainna ilah rajiun poleni sana 😢
@SalamaNautharАй бұрын
Innalillaih wainnaillaih rajiuun
@itanzaniaASАй бұрын
June 1 kajifungua? Au nimesikia vibaya?? Watoto wako wapiiii Mungu wangu😢😢😢😢😢😢😢😢😢jamaniii
@user-qg7jd1bw9yАй бұрын
Ndio june 1 kaacha vichanga vya siku 9 😢
@user-fz1ph3cn4sАй бұрын
Ndio sikiliza mpaka mwisho
@upendokiwanga9538Ай бұрын
Pengine hizo madawa za operation kuna kilichomdhuru
@zuhurasaidАй бұрын
Ni kweli, maana mwenyewe zinipa kiungulia, sijui presha mara kiungulia aiseee niliteseka sana
@user-vy2bc6xg3iАй бұрын
Yeah op kuna muda mtihani sana.nakumbuka mimi tupijifungua wiki moja na jirani yngu. Wangu siku 8 tu kidonda kilifunga ila mwenzangu mshono ulifumuka mara 3
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Apumzike kwa amani 😢polen wafiwa 😢
@konemelau9068Ай бұрын
Akapumzike mahali pema, MUNGU akawe mfariji wenu ndugu wote 😭
@DativaMboweАй бұрын
😢😢😢😢😢💔💔
@MathiasMei-df9ysАй бұрын
poleni jamani
@agriculturefarm76Ай бұрын
Dunia hii😢😢😢😢😢😢
@SanareLaizer-en5itАй бұрын
Poléeeni
@user-dm9pe5wu6eАй бұрын
Polen sana wanafamilia😢
@trifoniambilo2400Ай бұрын
Akina mama kama ni vifo vya uzaz tu vinatumaliza kwakwel du rip
@user-vb9ci1wl5eАй бұрын
Pumzika kwa amani ndugu yetu
@ZubaibaАй бұрын
Innalillahi wainnalillah rajiun
@HareneKipandeАй бұрын
R,I,P kiongozi shogo
@upendokiwanga9538Ай бұрын
Kuna mama kazaa 14 kids na wa mwisho kazaa na 54 ni mzima anadunda to date
@TatuKimarioАй бұрын
Ni Mungu tu
@HinohiatHidoCoАй бұрын
Hiyo ni bahati tu. Siyo jambo la kujivunia au kuiga. Hapo ni Mungu alikuwa pamoja na huyo mama mjamzito mwenye umri wa miaka (54) zaidi ya 35. Wengi wanaozaa zaidi ya miaka hiyo hupatwa na madhila makubwa.
@user-vy2bc6xg3iАй бұрын
@@HinohiatHidoCojamani mwenyezi mungu atunusuru. Nina katoto kamoja na miaka iko 40 huko inakuwaje sijui na natamani kuongeza
@josiahbineguro6393Ай бұрын
Amekula mema ya nchi
@user-dy8yc5ml1pАй бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@abelianraphili5150Ай бұрын
Vita vya viwango
@joycehaule9717Ай бұрын
Aisee umenipa prayer point aisee
@joycehaule9717Ай бұрын
Vita ya viwango ni mbaya sanaaaa
@abelianraphili5150Ай бұрын
@@joycehaule9717 ndo hivyo alaf watu wengi hawajui kupigana sasa
@annacyril5832Ай бұрын
RIP Dr. Shogo.😭
@stanleymhozi7590Ай бұрын
Pole familia ya mwalim sedoyeka endasak
@zuhurasaidАй бұрын
😢😢😢😢 apumzike kwa amani Dr.Shogo
@joycehaule9717Ай бұрын
Jamaniiii haiwezekani Kiungulia hikii cha viazi vitamu ndio kimuue mtu...mmmh hii ni vita ya KIROHO wa mwilin hamwezi nielewa yan adui kamtafuta koote kamsubiria akizaa tu ampige na kitu kizito mmmmh shetani muongo sanaaaa
@deborahmchona5584Ай бұрын
Ndugu yangu shangaa na wewe yaan😭😭
@fideavenceslausАй бұрын
ni kweli kabisa
@user-qh2bx5em6jАй бұрын
@@deborahmchona5584kuna jambo jmn😭
@annacyril5832Ай бұрын
Dunia ina mambo mengi Sana
@ednaMsuya-zu5khАй бұрын
So sad RIP Dr. Shogo
@asteriashios1852Ай бұрын
Hao watoto waliambiwa wasimame ni wake wote au nimesikia vibaya
@user-tt1nm9xs4nАй бұрын
Yatima alikuwa anawalea
@annanadula4043Ай бұрын
Maisha mafupi sana
@saidmanjuti7441Ай бұрын
R.i.p mkuu wangu wa chuo
@veronicahermaniАй бұрын
Acha hizo sikiliza vizuri
@makinjau4872Ай бұрын
Aliwahi Kuwa mkuu wa Chuo cha utalii
@veronicahermaniАй бұрын
@@makinjau4872 Ahaaa sawa
@hellendaniel3809Ай бұрын
@@veronicahermaniwewe ndio usikilize vzr aikuwa mkuu wa chuo cha utalii before kuwa mbunge wewe
@1stladyafrica402Ай бұрын
Siku 8 baada ya uzazi inahesabika ni kifo cha uzazi.
@mariamkikula1614Ай бұрын
Kweli uzazi maskini.Mungu amrehemu
@user-vy2bc6xg3iАй бұрын
Yay mpaka zingegika 40
@hamidabarraball3162Ай бұрын
Madaktari waliomruhusu kurudi nyumbani bila ya kufanya uchunguzi wa makini wakijua amefanyiwa operation ya uzazi, ndio waliosababisha kifo chake,
@imaculatapascal1019Ай бұрын
What the hell are you talking about?
@Kabwela776Ай бұрын
Watu wanapukutika kwa kukosa maarifa huyo marehemu alikuwa ni mzee 45 plus Na bado anabeba mimba Na kuzaa Na inajulikana kuanzisha miaka 35 kwenda juu mwanamke akizaa complications zinaongezeka , yaani mke ni professor Na mume ni professor Na hata baba yake alikuwa professor ina maana ni upuuzi gani kuchukua uamuzi huo ni very irresponsible kama mume Na marehemu kama mama wa watoto wengine kama wangetaka watoto zaidi si mnge adapt au kutumia surrogate mothers , vifo vingine mtazidi kusema ni mikosi bahati mbaya Na kumlaumu Mungu ila tatizo watu kukosa maarifa Na kuchukulia vitu poa poa mkiwa wanawake mmezeeka tumieni condoms au contraceptive measures msipate mimba!
@KhadijaMiteya-hh8xlАй бұрын
Ndugu yangu umefika mbali sana kifo kimeubwa na hakikwepeki hata asinge zaa pia angekufa ndio Mwenyezi Mungu alivyomkadiria tofauti na hivyo kifo hakikwepeki ni mapenzi ya Mungu Usikufuru.
@user-ib2uf3uk2dАй бұрын
Kweli kabisa@@KhadijaMiteya-hh8xl
@atuganilemaendeleo9428Ай бұрын
sio kweli ndugu,kuna watu wamezaa na miaka 50 na hadi Leo bado wapo.Ni basi tu Bahati Mbaya.
@jacklinefrancis4401Ай бұрын
Mungu akurehemu wewe uliyeandika ujumbe huu na akusamehe sana maana hujui uwazavyo na kunena
@Kabwela776Ай бұрын
@@atuganilemaendeleo9428 endelea kubishia wataalamu ambao wanasema hili as scientific proof risk zipo kukizaa Na Umri kubwa Na inajulikana dukianj nzima tuache ujinga ukiwa mzee usizae kuna risk nyingi !