I ve never see a smart dj like this one in the world 🌍 Is very intelligent
@shd12m554 ай бұрын
Af uyo mwamba mwenye tshrt black yuko na voice safi ya utangazaji
@nassercurtis95794 ай бұрын
Bro Ethiopia wanandege mpaka jumbo jet, yenye uwezo wa kuchukua hata abiria mia tano na mizigo yao na wana ndege zisizopungua 180 kwa ujumla wa ndege zote zao ni taifa la 5 lenye ndege nyingi Duniani, kwa Afrika ni namba moja, Ikiwa kidunia namba moja ni Emirates, namba mbili ni Qatar air ways, namba Fly Dubai, namba nne nì Ethihad, namba tano ni Ethiopia Air lines.
@bandanahmiqassa4 ай бұрын
P.O.C Kwa namba duniani namba moja mpaka 3 ni delta airline american airline united airline
@theafricanprincevivecongo86324 ай бұрын
@@bandanahmiqassahell no, unaongelea international flight unaleta united airline
@eliacmaginya34294 ай бұрын
Aiport ya ethiopia nafkiri ndio airport ya kwanza kwa ukubwa barani africa na wana ndege za kumwaga ukiangalia kwenye uwanja. ndege za makampuni mengine ni chache sana ukilinganisha na ndege zao.Nafkiri uchumi wao mkubwa utakuwa unatokana na air transportation.Airport ya bongo kuna mida watu wachache sana lakini pale ethiopia sio mchana sio usiku utafikiri watu wapo mnadani wanatafuta viwalo.
@maryamtan6824 ай бұрын
Pale ni km njia panda ya ndege kutoka nchi zt zk pale.
@hassanmkufya28674 ай бұрын
Nimependa dj unajua kizungu lkn unangea kiswahili ckama hao wanaojifanya neno moja la kiswahili.. Kizungu kingi
@ms_teeonly4 ай бұрын
Good to see dj sma and giant man on this
@swazi-bmzwabusarawysd80834 ай бұрын
Pole na safari my favorite dj...Naimani fuse tunajambo linakuja karibuni in sha allah
@djsma2554 ай бұрын
💯
@Supershopdubai-ck8td4 ай бұрын
Good job from 🇧🇮💐🙏🙏🔥
@piusdeo93804 ай бұрын
Nakubali sana sns
@jumaramadhan16004 ай бұрын
Kazi Safi Sana big 3 from sns salute 🫡
@user-jd6vr9xw1o4 ай бұрын
Dj Sma is very smart ,ongereni SNS mnatuburudisha Kwa habari nzuri brother Sky unaweza.
@gochamso4 ай бұрын
Mwambieni aache udini gaza gaza kila siku
@djalasaleh4 ай бұрын
Hana udini. Wewe ndio ujielewi. Elimu Elimu......
@eliacmaginya34294 ай бұрын
DJ Sma kaongea sahihi namkubali mzee wa tafiti na kuconnect dot ingawa hajataka kuizungumzia kiundani. Kiufupi wasanii wengi wa nje ambao ni famous wanafanyakaz under satanic rules hata matendo yao ukiyataza utakonect dot ss inapokuja kutokea masanii unaenda contrary na matakwa yao kabla hawajakumaliza wanakutingisha kwanza.Utasukiwa kesi zenye karbu na ukweli maana skuzote pesa haishindwi kitu utataftiwa watu watakuchafua plus na ishu zako kupitia hiyo misukosuko utashuka kiuchumi ukibahatika kuchomoka hapo wanapanga njama za kukuuwa wala hutochukua mda so DJ sma big up nmeconnect dot.
@Onlyfacts02244 ай бұрын
This guy mzuri sana huyu ni muandishi analysis nzuri sana.
@augustinenjagi62554 ай бұрын
Dj Sma badilisha hilo jina liwe DJ Smart you really know how to articulate issues
@djsma2554 ай бұрын
🙏
@uwezokinahi78704 ай бұрын
I second
@juliusjustin48134 ай бұрын
@@djsma255sure dj smart
@noahlameck15644 ай бұрын
Mwamba dj sma karudi noma sana Fuse fact twaisubiria kwa hamu Love sana sns ila udaku waachichie wakina esco😛
@mathiaslaurent7564 ай бұрын
@dj sma huyu jamaa ni mtu makini sana! Very smart haongei hovyo hovyo bali anaongea fact na madini matupu!
@rehemathoya87544 ай бұрын
Very interesting
@saidabdulkadirmjahid82554 ай бұрын
Mambo vipi ! Skywalker's all time intro . Haha!
@piusdeo93804 ай бұрын
Nawakubali sana wanangu
@Supershopdubai-ck8td4 ай бұрын
Uyujama namkubali san anaakili sauti muonekano adilaha from 🇧🇮💐🙏🔥
@piusdeo93804 ай бұрын
Yup sasa kati ya hawa watatu
@user-gb5vz6wm2q4 ай бұрын
Nawakubali sana SNS,Sky,Dj Smaa na Jacob
@MkhayaSogadari4 ай бұрын
Na southa Africa nivo magari nimkopo
@godfreykarata37103 ай бұрын
Sns iko juuuuuuuu
@Agent_HG4 ай бұрын
Brother Dj sma, sawa nimekuelewa kwa kuthibitisha sakata la, P didy.
@mathiasmarwa89994 ай бұрын
DJ Sma nimefurahi sana kwa kusimulia machache ya safari yako. Zuri zaidi umedaka mambo mengi sana , tunasubiri mezani Kaka
@SaraphinaKidoti-qe7gi4 ай бұрын
Sema huyu dj sma anakili nyingi saana
@heliudjulias77484 ай бұрын
Dj smaa sharom pole na safari kumbe urikuwa haupo ndio maana sipati fuse na fact naamini umerudi nipata madini mengi
@alexmugo31594 ай бұрын
Wazitoh,uku Kenya twawaskiliza
@user-jd6vr9xw1o4 ай бұрын
Jacob ,ooh !! Saut inafurahisha
@GeorgeChitemo-kt8sw4 ай бұрын
Anataka kujitoa freemason sasa freemason wanataka kuchukua mali zao sasa hapa wanampa muda kama akubari kuendelea na chama
@Oldskulgemini99914 ай бұрын
Wabongo mnamawazo meusi kinoma yani😂 nenda basi ukawasaidie polisi kwa ushuhuda😂
@l.marley_25424 ай бұрын
Ndivyo alivyokwambia??😂😂😂
@shabanimagambo23814 ай бұрын
Jamaa anasauti nzuri kinyama
@sophiakimaro51744 ай бұрын
Ethiopia ni shida mwenyewe nilitokea south africa kupitia Ethiopia nusu nipotee Airport kwao jamani
@sharifahabsi50044 ай бұрын
Pamoja from 🇴🇲
@safarivahocha80774 ай бұрын
Watu weusi wanaonewa zaidi, hizi ni siasa za kuwashusha watu weusi. Rangi nyeusi inamtishia mzungu zaidi ya silaha ya nyuklia.
@user-bd5hq2kb4h4 ай бұрын
Nd YNG SAMAHANI LKN JEE ,SS WENYEWE WATU WEUSI NI WATENDA HAKI?(KM NDIO THAN OK THANKS GOD au(ALHAMDULILLAH)LKN KM SIO ,SO HUWEZI KUIPATA HAKI KM SI MTENDA HAKI ,SORRY
@erickmisilakuba64264 ай бұрын
Ufahamu wako mdogo!
@rashidkatundu96744 ай бұрын
Sasa tunamsaidiaje😅@@erickmisilakuba6426
@barakambigi35223 ай бұрын
Nani anaonewa?
@saidranzuga59514 ай бұрын
Nipen like moja
@mhabimina40234 ай бұрын
🔥🔥🔥👌
@piusdeo93804 ай бұрын
Ila giant ndo habari kama hizi ndo anazivumbuanaga
@Tariq_Tryagain3 ай бұрын
Li Dj Sma ni li Google kinoma.. li mtu gani hili linajua kila kitu🤔🙌
@user-pd8gx8ff6w4 ай бұрын
Strength of a woman. Shegy
@tinershayo61914 ай бұрын
Angekuwa bongo na watoto
@patricknewguy81894 ай бұрын
Did he ???
@NR-ll4sr4 ай бұрын
❤
@tunsumegideonmwamboneke96394 ай бұрын
Sio kessy bana ni kassy as in cassandra , 😊
@ray45king844 ай бұрын
Allegedly...take that,take that#nodiddy
@King_Of_Everything4 ай бұрын
✌👍👊.
@NeemaSamson-ti8pc3 ай бұрын
Nimetokea kumpenda dj sma mnanisaidieje jamani kumfikishia ujumbe
@piusdeo93804 ай бұрын
Nilikuwa nawasubilia vichwa vitatu hivi dj smaa sky na giant man
@husseinmassawa71864 ай бұрын
Jay hawezi akaingia kwenye hiyo kesi kirahisi maana naye kwenye msala wa tupac yumo yumo😅😅
@elishasaidi4 ай бұрын
Poleni sana wachambuzi, msimuhukumu Diddy kuhusiana na hili, kwa sbb chukueni kumbukumbu kuhusiana na kanye west kwa kile alichokuwa pitia kilimpelekea kuharibiwa cv na uchumi kushushwa na kuambiwa kuwa ana afya ya akili, lkn hayo yote yalikuwa ya kutengenezwa. Pia ya R kelly na hayohayo, na wengine wengi, sheria ni sheria marekani msizani kuna chochote kinachopindishwa hapa marekani, hawa wakitaka kukuangusha utaangushwa tu kwa aina yoyote, rais DN aliambiwa kuhusiana na maamuzi yake aliyokuwa akiyatowa kuwa anatakiwa kupimwa akili, hii hishu ni kubwa kuliko fahamu zenu. Kama hayo yote yalikuwa yanatokea inamaana mnataka kusema yeye alikuwa juu ya sheria
@sundymolls96734 ай бұрын
Dj Sma Airbuss hawatengenezi ndege aina ya dream liner Boing ndio wantengeneza 😂
@kmotivation11304 ай бұрын
what come around goes around
@matendoa.online8034 ай бұрын
50cent anacho fanya sio Powa . Roho mbaya ile .ni kama Una wish kifo Cha adui yao ….😊 sikaha kubwa kwawa black artists ni ngono …ina bidi wa amuke, wawe na umoja
@ussiussi34134 ай бұрын
Msimsahau na "The Game" naye ametoa ushahidi wa kuliwa na P na alikuwa anatoa hiyo story akiwa analia.
@Tariq_Tryagain3 ай бұрын
Brother Sky ye ni mzee wakutafuta majina😁
@malkavoice25704 ай бұрын
Omario alifanya kazi na diddy lkn mpaka leo amedumaa nafikiri ni 7bu ya P.
@ney_nation25444 ай бұрын
50 hawezi kumsikitikia diddy coz diddy alipita na baby mama wa 50
@elchapojr6384 ай бұрын
DJ suma inaonekana ana mmind Didy😂😂😂
@MariannaJoseph-uv2sp4 ай бұрын
Mimi bwana ni shabiki wa p didy ila ukwili nihivi sio kwakua nimtu mweusi hapana niushetani wao wanakosea mashariti frimason kwassbabu tu kujionyesha na kujisahau kwahiyo frimason wanafanya kaziyao kamailivo Michael Jackson R Kelly na wengine so chenye mwazo kina mwisho so amrudie mungu wake kambla hawajamuuwa hivo yan
@erickmisilakuba64264 ай бұрын
Asante kwa ufahamu mkubwa
@zuberisalum20044 ай бұрын
Acha mawazo hayo lzm iwe Freemason
@safarivahocha80774 ай бұрын
Hawa watu wana mivitano ya ki gans, hivyo nilazima watungiane maneno. Kumbuka 50cent ni member wa Suprime Team ambayo ina uhusiano wakatibu na Bloods, wakati Diddy yuko Crips ambayo ni timu hasimu sana.
@user-od7os6gg7n4 ай бұрын
50 Cent na Supreme ni Vitu viwili tofauti.....means ni maadui sana
@geofreydonald31764 ай бұрын
Naunga mkono 90% + inawezekana kweli amefanya maana feds wanaanzaga na uchunguzi na kupata ushahidi ndio wanachukua warranty na kukufata….Black American wengi wanapotoboa bata lao hua sio la kawaida mpaka wanakufuru…Hoods wanazotoka uhuni ni mwangi na ndiko walikotokea kabla ya kua maarufu…Ukiangalia ata series zao yale ndio maisha yao ya kila siku na ndio uhalisia wao na ndio maana mpaka mahakamani ata verse na video za nyimbo zao hua zinatumika
@user-dl1mg2qf4n4 ай бұрын
Sio kama hayo matendo ya Diddy walikuwa hawayajui, laa ila ipo namna Diddy ameenda kinyume na jamaa ambao wamempa huo utajiri, maana huo uchafu ni moja ya masharti yaao ila lipo alilo likosea
@dennischarles85244 ай бұрын
Ni swala la when atapandishwa kizimbani
@dingi-vk1tu4 ай бұрын
we sky do your research 50Cent ana beef na Diddy sababu mama watoto wa 50 alikuwa na changu wa Diddy so 50 anammind mshkaji sana tu
@ngusakabinza92384 ай бұрын
Mje na redio yenu jamani sisi masikini mnatumalizia MB zetu
@khalidsuleiman45884 ай бұрын
Hizo radio now ni digital watu wanastream online😂😂😂 1
@jumaamsuya53 ай бұрын
Kwakweli bando limeisha kialali nimejifunza sana gd
@Bosskubwah45013 ай бұрын
HIO NI FREEMASONS ndo upate nafasi
@rogerslwitiko39154 ай бұрын
Loon ameacha Muziki sasa ni Swala tano anaishi Egypt
@Oldskulgemini99914 ай бұрын
Alishapoteza huyo
@mnyamwezijuma11404 ай бұрын
Kumbe uyo mwamba jacob ndo mwenye Jaiva hilo 😂😂😂
@Bama9594 ай бұрын
Tatizo wote hamjaishi USA 🇺🇸, hamjui tabia za wazungu zilivyo kwa watu weusi maana kesi za kubambikiwa no nyingi sana na pia huwa hawapendi mtu mweusi adumu na utajiri wake. Na Dj sma usiwe na uwakika 100%.
@abelimwakijungu12264 ай бұрын
Marekani ndio zao, wanawatumia watu maarufu (hasa wasanii weusi) wakati wapo katika chati na hela, muda ukifika, wanawafilisi mali zao zote na kuwadhalilisha kwa kesi mfu. Cha kusikitisha jamii yao inajua na inashangilia sana mambo haya.
@albertinamichael61234 ай бұрын
Kwa kumuuwa 2 pack na big anastahili kulipia yote hayo.
@charlesmbaga60884 ай бұрын
Mmeongea vizuri sisi tupo hapa California huyo jamaa wa kulia anakalili.. lol! Diddy & 50 cent wana beef kitambo kwa sbb anatembea na baby Mom wake pia amemuajiri kwenye sex worker program na Yung Miami.. jamaa huyo mweupe anajua ku chambua mambo yupo vizuri
@ibrahimaziz71584 ай бұрын
Yani huyu jamaaa ata akiongea ivi unaona km anasimulia makala gian men
@NR-ll4sr4 ай бұрын
Ethiopian Airlines achana kabisa,midege, yao 🇺🇸 ingia toka,ingia,toka,i think kwa sababu wa Ethiopia wengi wapo worldwide
@fahadfaraj64744 ай бұрын
Uchumi wa Ethiopia moja ya mapato yake makubwa ni ndege so ni jambo la kipaombele na istoshe wanaiyo kampuni kwa miaka mingi mnooo zaidi ya miaka 60 kabla hao waithopia hawajatoka wao wanandege
@godsson59544 ай бұрын
sky unaniangusha sana ina maana kipnd kile XZIBIT anammpa shutuma diidyyy ulikua wap had anampeleka kwny gay bar wayback
@Bbwaoy4 ай бұрын
Ethiopia yes ndio nchi inayo ongoza kwa idadi kubwa ya ndege. Licha ya hivyo wana vyuo vya marubani pia, si acha pia ndio nchi yenye traffic kubwa ya wasafiri.
@djsma2554 ай бұрын
💯
@selemanshaban74964 ай бұрын
SNS MKU VIZURI SANA
@Dolomitemusic4 ай бұрын
SNS 4 life
@kibokibosho74764 ай бұрын
Haya sasa mzee alinunua ndege mkaanza kupiga kelele😂😂 ushuhuda huo wenzenu wanazo kibao
@hamissimonami25194 ай бұрын
Did will never bounce back cuz wamekuta ameusika kummaliza 2 pac kwa namna moja ao nyingine ndo wanajumlisha dot
@TinahFrank4 ай бұрын
Roo inauma sana duuu yani sio kweli jamani nampenda sana pddy
@audaxmlowa99534 ай бұрын
Mfatilie vizuri utajua
@emmanuelmisalaba31694 ай бұрын
Kwani Rais mstaafu Hayati Ally Hassan Mwinyi ana wake wagapi?
@damyarma53514 ай бұрын
Nimependa san watu wenye akili ya uchapuzi kwenye meza moja, mm nilikuwa nataka kuongezea kuwa mfumo wa dunia aumtaki tena cz ata Jay-z amemkatahaa kitu ambacho amfaamu kuwa kutoka hap atakaefata ni Jayz au 50cnt kuze “Jayz ameisha anza utaratibu wakuwa kwenye dunia huru , wanaofaamu mfumo wa dunia awataki mtu ajitambuwe ndoman wanakuacha tu ufanye matukio kisha wakumalize vzr pale unapoleta vurugo au ukienda tofauti nao “ D alikuwa natka kujisafish ndokulikuja ubishi hapo coz kuna watu uhomsala unge wapata ndomana wanamzibiti mapema. Naukwl atobohiii 😢
@Oldskulgemini99914 ай бұрын
Hivi wabongo hizi vitu mnapataga wapi😂 yani nyie Kila kitu mnajua mnatetea vitu msivyovijua kwa mgongonwa kuonewa
@kassimali36824 ай бұрын
Airport ya Ethopia ni HUB
@chishengakaponya87574 ай бұрын
To be honest Ethiopia Airport it's best Airport in Africa. Am Kenyan and i travel a lot and i can agree on that.
@gudlacf34324 ай бұрын
AL
@shakilamasoud29834 ай бұрын
Sauti ya Jacob daa
@barnabasmafuru67354 ай бұрын
They give you fame. They give you shame 😂😂😂😂
@saidabdulkadirmjahid82554 ай бұрын
Facts
@NR-ll4sr4 ай бұрын
Wanasema watoto wake walisaidia kupata wasichana
@zuberisalum20044 ай бұрын
Karne yasaba mtume anasema muziki ni amali yashetannn
@yohanaibrahim41284 ай бұрын
Nyie inaonekana hamuwajuhi wanawake
@king_maik63754 ай бұрын
50 cent anauhakika na anachosema
@FreeGod3684 ай бұрын
Leo meskia sauti ya yule jamaa mwingine wa sns😂😂😂 aisee anaitwa jacob kumbe
@piusdeo93804 ай бұрын
Vip unamkunali mwamba kama mimi
@FreeGod3684 ай бұрын
@@piusdeo9380 sanaaa kk🤣
@mvuneboy62874 ай бұрын
Uyu jamaa Jacob anasauti nzuri.sauki yakipekeee
@erickswai6984 ай бұрын
sema hana pointi 😅😅
@PeterMalima-fc4tf4 ай бұрын
Sauti ya Jacob ni ya mamlaka sana na haiendani na muonekano wake
@ce-084 ай бұрын
Ethiopia ipo hvyo sababu hawana bahari hvyo baadhi ya mizigo mikubwa wanaingiza kwa njia ya anga hvyo lazma wawe na uwanja mkubwa zaidi ili kuruhusu ndege kubwa zaidi
@zuberisalum20044 ай бұрын
Wana tren ya umeme adiss Ababa to Djibouti' inasemekan ndio nchi inayojengwa kwakass African
@malkavoice25704 ай бұрын
50 cent anaamini hayatamkuta?
@hamsikrasheedi17964 ай бұрын
djsma 🫵🏽🔥
@user-by6pe3yh2s4 ай бұрын
Sijakuelewa
@mpanjumerius18824 ай бұрын
Illuminati wako behind
@FahadAbubakari4 ай бұрын
Hakuna cha illuminati Hawa ni wahalifu walofanya uhalifu miaka mingi wamebainika sasa huyu alimuua hadi 2pac sasa illuminati vp
@HansChuma4 ай бұрын
Matajir wakimalekan wenye Asili ya watu Weusi hua hawataki kuja kuekeza africa hua malizao wanawekeza malekani tuu wanashindwa kujakuwekeza Ata Africa ndio maana malizao hua nirahisi sana kupukutiwa(kufilisiwa)hiyo ndio silaha kubwa wazungu wanayo tumia kwa nchi kama ya Malekani
@Oldskulgemini99914 ай бұрын
Kwanini waje kuwekeza Africa kwani wanakujua sisi😂 tuache kujipendekeza
@aediayumgo85464 ай бұрын
Ukitaka kujua ubaya Hollywood muulize Lupita Nyong'o
@Pemba6804 ай бұрын
Ranga mwenye flana nyeusi punguza mbwe mbwe unabowa