Moja mbili moja mbili mhuuu ya kijeshi shoto kul...
@samsonlucas77083 ай бұрын
Hadi mpenzi nae ni Siri ddkiiii
@mussaagrey56793 ай бұрын
Nachokishangaa jamaa kavaa kabisa kofia zile zile za makomando ila watu awasutuki wanajali muonekano tu
@user-xe6jw8pt3d3 ай бұрын
RAIA Hawezi Kuuza Chochote IKULU Ukimuona Mfanya BIASHARA IKULU Ujue yumo kwenye System.
@AngerusLijuja-bg6sb2 ай бұрын
Jamaa KASEMA MOJA mbili MOJA mbili izo ni kauli za kwata
@user-xw9wo7nh6c3 ай бұрын
mm na binafsi nakubaliana na hilo kwanza mwonekano wake pili yupo siriasi alafu kofia anavyo vaa alafu tazama kifua chake ila sioni sababu ya kumfatilia ila ni komando
@chalokalunde94293 ай бұрын
Achaneni nae inasaidia nn hata ukijua kama ni commando au la.
@LabiloWabikongo3 ай бұрын
machoyake yanaobgea do yeye uyoni komando madafu ikulu weeeeee
Jamaa alisema yye n mwana chuo wa NIT kwaiyo ana balance vipi muda wake wa masomo na biashara yake ya madafu kwa sababu vipindi vya chuo aviko constant vinabadilika badilika kutokana na siku za juma unaweza kukuta j3 kipindi saa 4 adi saa 7,j4 saa moja adi saa 4 siku nyingine saa 7 adi saa 10 na ukiangalia iyo biashara muda wwte anaweza akahitajika seheme apeleke hizo bidhaa inakaaje apo masomo yake na iyo biashara
@Manyohu.tv13 ай бұрын
SIMBA MWENYE NJAA KALI BILA WINDO AWEZI KULALA, HII MISEMO NA MADAFU KWELI😁😁😁😆😆😆
@FredNgakala3 ай бұрын
Ya wezekana ni ndugu wasio Juana
@isaacvtv5473 ай бұрын
Nacho kihisi jamaa atapotea kama 2 milwili au 3 harafu arudi nakusema kwamba Jeshi lilimchukua na kumpeleka kwenye mafunzo ili kumaliza maneno yote kama ukweli ni yeye.
@jofisdory21083 ай бұрын
Ukishavaa suti sehemu spesho uwez kula dafu ovyo ovyo ,wale wale na mi yeye
@GeturudaJonasi2 ай бұрын
Ni yeye
@GeraldIbrahimuchicharo-xk9fv2 ай бұрын
Bongo siami
@tonykungfumaster874.9K3 ай бұрын
Bwana wanafanana kweli kweli
@Heismasai3 ай бұрын
Sio yeye!! Ila huyu jamaa ana akili kubwa sana
@Manyohu.tv13 ай бұрын
KUCHEZEWA AKILI TU.., MUUZA MADAFU GANI ANAONGEA KWA UTULIVU, ANASIKILIZA KWA UMAKINI, MACHO YAKE YAKO SAMBAMBA NA AKILI,
@user-lo6uj3wj7d3 ай бұрын
Kwani anazulu watu mbona mnamsakama sana
@sheyosquad57553 ай бұрын
Muacheni bhana
@IbrahimShan-qu3um3 ай бұрын
Ila ukiangalia vzuri ni wa2 tofaut
@khatibabass31063 ай бұрын
Kwanza nyie watu ivi mtumishi waserekali awe komando au usalama utafika kumuhoji kisenge senge ivo ? Hawezi kukubali wala kukubalika huko kazini kwake .acheni kushughulisha watu
@homeboybeyondtheborders49353 ай бұрын
Ukija bila ya gadi nakugawa bila idadi kwa wastani
@petermuganda73223 ай бұрын
mhuuu
@user-jq9rj4dm5u3 ай бұрын
Ndo yeye
@alexchungu62633 ай бұрын
Hata kama ni usalama, hawezi kusema
@DrRodgerlectures3 ай бұрын
Sijui unaona 😂
@user-yh8ny1nf3f3 ай бұрын
Wangapi wamesikia sijui unaona😂
@barakarobert10293 ай бұрын
😂😂😂
@Naw893 ай бұрын
Yani kwa hiyo misemo ni wazi tu ni comando
@FrankMwanyika3 ай бұрын
Hata mmi siamini
@abbykashuba43323 ай бұрын
Ndo huyo huyo muuza madafu
@user-cc6ix4in5i3 ай бұрын
Hizi sisi wa Tanzania sijui tukoje Sasa hata kama ni ndio commando mwenyewe si mnamchoresha Sasa kwani akiwa commando si yupo kwa ajili ya kuilinda nchi yake acheni ushamba kwani huyo ndio commando wa kwanza dunian
@melanialeonard40313 ай бұрын
Yaan mm sielew huyu atakuwa komando wa mitandao, komando kila mara kuhojiwa ili iweje sasa
@mkutanocarolyne3 ай бұрын
Wakulipe sio kila siku kwa ma camera kisha wasikilipe 😂😂
@petermuganda73223 ай бұрын
kwani hakuna watu wanaomfahamu kufanya nao bishara za madafu???au wamefungwa kimya?
@user-ds3os5qv4o3 ай бұрын
Sie huyo alie shuka na ndege yeye ni yule alie m beba mwanajeshi mwenzi pale kenye maonyesho
@thehouseofprayerministry3593 ай бұрын
Kwann haachi kichwani wazi?
@MisheckSiame-si1yo3 ай бұрын
Niwewe acha kutuzuga
@Revelation1412.3 ай бұрын
Hakuna muuza madafu hapo.... Hiyo sura ni ya muuza madafu?😅😅 Sura ya kazi na hacheki😅😅
@pvoiceofficialtv76303 ай бұрын
mbona sauti zinatafautiana
@kwisa48993 ай бұрын
Hakuna kitu hapa,usalama awafanyi kazi na camera wala picha huyu kutwa yupo kwene camera
@mchagwasolomonitv3 ай бұрын
mtafuteni komando mwenyewe ili mutoe utata.
@petermuganda73223 ай бұрын
Huwezi pata ushirikino huo wakumpata mwenyewe ...ni Ngumu.. hapo wanatafuta kupotezea kwakuwa alishashtukiwa...kwahiyo litabaki hivyo kuwa tata
@alphoncekazimzuri91663 ай бұрын
Tutaacha lini entertaining upuuzi?? Mnafahamu ethics za komando nyie?? Mpumzisheni huyu jamaa aendelee na shughuli zake. Mnachukulia poa sana ukomandoo 😞