Kutana na Bwana katika Ibada kwa wimbo mzuri toka kwaya ya Sauti ya jangwani - Ushirika SDA church, Shinyanga Tanzania
Пікірлер: 63
@geraldbenjamin93022 жыл бұрын
Kuanzia mpangilio wa vyombo vya mziki, sauti na ujumbe wenu huwa vinanibariki sana, Mungu awabariki sana wana wa Mungu.
@AccountantladyАй бұрын
Jamani 😢 nyimbo zenu zinaugusa moyo wangu sana ....Mungu aiinue kazi yenuu sana sana
@philipsahani2 ай бұрын
Haleluya mbarikiwe sana huu wimbo umenigusa ni kweli nimeona waimbaji tuliokuwa tunaimba kipindi kile miaka ya 2009 kwa Sasa naona wamekuwa wazee kabisa. Mbarikiwe kwa kazi nzuri taji zenu ninawangoja mbinguni
@edwardwafulawamocha70563 жыл бұрын
Mungu azidi kuwaba ufunuo na awakumbuke katika ufalme
@danielmagigita93569 ай бұрын
Ni baraka sana kuisikiliza Sauti ya Jangwani. Mola awabariki watumishi.
@daviddotto35293 жыл бұрын
Wimbo huu unanivuta sana katika tafakari makini juu ya maisha tuliyonayo hapa duniani...Mungu tusaidie amani ya kweli yatoka kwako peke yako hatuwezi kuipata penginepo ...barikiwa waimbaji hawa nasi tunaoendelea kufuatilia. .
@kimilasayi2626 Жыл бұрын
Amina
@kisizikitindi2054 Жыл бұрын
nyimbo nzuri sana hii yakutaka utulivu kwenye Ibada mbarikiwe sana.
@kimilasayi2626 Жыл бұрын
Amina kwaya jangwani mungu awabariki washiriki wote jumla na wanakwaya kwa kuonyesha kiwango chenu cha uimbaji
@zephaniajoseph5644 Жыл бұрын
Bwana aendelee Kuwatia nguvu ili kazi ya Mungu imalizike tukapumzike kwa baba wa mbinguni
@Eliuskip Жыл бұрын
Kwaya hii tangu niwajue mwaka wa Elfu Mbili na kumi na tisa 2019, umezidi kunibariki sana. Uchezaji kwa guitar unavutia mno!
@rachelvictor1044 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana sauti ya jangwani
@allymohamed54273 жыл бұрын
Tupo wengne tumekuja kukutana na ww tunaumwa tupate kuponywa Tena wengne wanalia wanashida kiroho leo yesu na uwafariji
@japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын
Toka Oman 🇴🇲🙏nawafuatilia Sana,mrushe hewani wimbo wa "Daniel' tunduni mwa Simba tafadhari
@Sautiyajangwanisdachoir19872 ай бұрын
Ombi limepokelewa, Barikiwa
@MaryWilson-vg2mm3 жыл бұрын
Nawapenda sana,nanabarikiwa na nyimbo zenu
@MagdalenaYudaOmary2 ай бұрын
Mnanibariki kwauimbaji wenu
@mungarothuva6346 Жыл бұрын
Dear brothers and sisters, this choir is a blessing, may God bless them abundantly
@Sautiyajangwanisdachoir1987 Жыл бұрын
Amen you too,May God bless you you too Abundantly
@selemaniadamu53342 жыл бұрын
Hongereni sana yaani wimbo mzuri umetulia nasichoki kuusikiliza,,,,yaani umeendaliwa kwa ufundi
@johnstephan58972 жыл бұрын
Napenda nyimbo zenu
@darosruben25983 жыл бұрын
Amani
@samwelmayunga15533 жыл бұрын
Good song
@Sautiyajangwanisdachoir19873 жыл бұрын
Amen
@kulwakulwa77735 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@maluhismadila9593 Жыл бұрын
Jangwani
@musatbobius54725 жыл бұрын
Hivi hizi ndio kwaya za kusikiliz faraja tosha
@labankushaha51603 жыл бұрын
naomba wimbo wa upepo unapovuma huswikwa swikwa yale yaliyo zaifu
@justinsoni82515 жыл бұрын
Mbarikiwe sana.
@MukumbuChiefKatiwa5 жыл бұрын
Kweli napendezwa zaidi MUNGU awbariki
@yudalukago24675 жыл бұрын
Endeleeni kubarikiwa
@emmanuelchacha61264 жыл бұрын
Amina.
@rebeccadaniel16994 жыл бұрын
Mungu awabariki wote nawapenda Sana mungu azidi kutubariki
@KwanduKitambala-pj3kh Жыл бұрын
Emeeh.
@joelmoturi3047 Жыл бұрын
AMEN 🙏🙏🙏🙏
@benmakenzi8282 жыл бұрын
Instruments,harmony
@barakahmaliga67003 жыл бұрын
bwana awabarki sana
@nasembakihara3024 Жыл бұрын
Well done blessed
@isaackmafufula32715 жыл бұрын
MUBARIKIWE SANA
@sayinjile31655 жыл бұрын
amina
@ibrahimkube17015 жыл бұрын
Amen
@johnmorice12385 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa nyimbo nzuri
@yakoboshisho91475 жыл бұрын
Mwenaaman yabwana
@matondoluhinda23085 жыл бұрын
Kwa kwel jangwani mbarikiwe sana .ila tunawaomba hata zile nyimbo za zamani muziweke mtandaoni
@matondoluhinda23085 жыл бұрын
Amina
@pascalkaleman72175 жыл бұрын
Nmebarikiwa sana # MUNGU awabiriki zaidi @ msikomee kuimba hapa duniani tu# Bali mkawe waimbaji wanzuri na hko mbinguni😁😁😁😁😁😁
@verahmochama2749 Жыл бұрын
y
@kilasaelisha63495 жыл бұрын
nice
@lordorcas9344 Жыл бұрын
Roho yangu Inaumia Sana Ina Chubuka Ina Vuya DAMU Kidonda y’a Kiroho na Ji Uliza mi na Kufiya Nini na Bangu bote ? Dhambi Kanu nilotenda yenye Si weze Ukuhurumiwa ??? Dunia Buchungu
@Sautiyajangwanisdachoir19872 ай бұрын
Bwana amesikia. Barikiwa
@daviddotto35293 жыл бұрын
Jamani mwenye audio ya huu wimbo na nyinginezo za hii kwaya anitumie kwa njia ya what's app(0684156572)
@Sautiyajangwanisdachoir19872 ай бұрын
Noted
@stevengibson97454 жыл бұрын
Nyota ya asubhi imeibwa na kanisa la mtaa gan?
@stevengibson97454 жыл бұрын
Unasema nyota za asubhi zitaimba
@daviddotto35293 жыл бұрын
Waimbaji hawahawa ndiyo wameimba huo wimbo wa nyota ya asubuhi,, kanisa la ushirika shinyanga, kwaya sauti ya jangwani
@daviddotto35293 жыл бұрын
Kwaya hii hii ya sauti ya jangwani ndio wameimba wapo shinyanga mjini kanisa la ushirika