Serikali ya Dk. Mwinyi yafanya yale yale kwa Wapemba

  Рет қаралды 12,276

Weyani Tv

Weyani Tv

2 ай бұрын

Пікірлер: 18
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Zanzibar watu wote ni Wanasiasa. Suluhisho ni kugawana visiwa kimamlaka.
@harithmohd6318
@harithmohd6318 2 ай бұрын
Inshaallah wataondoka t wahoo maharamia wakiccm tuipaganie Nch wanzanzibar PBE and UGJ
@lusakaone7782
@lusakaone7782 2 ай бұрын
Mimi naamini bado tupo wengi sana na Wapo CCM wengi wanatuunga mkono Wallah uchaguzi huu utakaokuja ni mtamu sana
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm 2 ай бұрын
Uchaguzi hautakuwa na lolote, ni vile vile ilivyozoeleka. Zinapigwa kura ambazo kimsingi hazina maana yoyote. Tume inaamua nani kashinda na sio idadi ya kura inavyoamua. Kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi zilivyo sasa, tayari CCM ishashinda hata kabla ya uchaguzi. Nchi kama hizi chaguzi ni geresha tu kuwadanganya wajinga kuwa kuna uchaguzi wa kidemkrasia.
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 2 ай бұрын
Umetisha sana OMO
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 2 ай бұрын
WANA CCM KUMBUKENI UTU NAMJIPE UBINAADAMU ACHENI DHULMA HIO NIINCHIYENU NYOTE MSIWE MFANO WAWA KURDI NA WA PALESTINA ( ABBAS ) ANAKULA MADIMBI NDUGUZE WANAUWAWA KWELI ,NCHI INAKWENDA KWELI HIVYOOOOOO.
@SalminTenga-fx6wi
@SalminTenga-fx6wi 2 ай бұрын
Watu wote walio serikali ni watu wa siasa .kwa kua wanaongozwa na chama tawala .iyo ni kauli tu mh
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 ай бұрын
Ni mwendelezo wa siasa chafu zilizoanzishwa kwa makurdi toka miaka 50 ya nyuma.
@msabahaali758
@msabahaali758 2 ай бұрын
dhulma ni nying sana na maneno ya miskitini yoote yale kua akidhukumiwa mtu mmoja tu ana dhima yako wapi leo
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 ай бұрын
Mwinyi sio m2 mwema kwa wazanzibar
@SalminTenga-fx6wi
@SalminTenga-fx6wi 2 ай бұрын
Iv rais mwny kwa nn Hawa wananch hawapat hik kitambulisho .kwa rais ww huendani na iyo kauli Kama haki yao wapeni .sio Kuna baaz ya watu kukuchafulia
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 ай бұрын
Jamani ni kweli Nchi za njee wanaletewa ID card mpaka nyumbani. Inategemiye wewe vipi unataka. Zanzibar wako nyuma sana bado.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Ni UONGO, utaratibu wa duniani nzima kitambulisho na passport huombwa hata kama baadae utaletewa nyumbani. Tatizo la Zanzibar mtu nyumbani kwao Muyuni amehamia Mahonda bila kufuata utaratibu anapoomba Kitambulisho Mahonda atapata tabu hebu na akaombee Muyuni kwao.
@AbdallahSalim-is3db
@AbdallahSalim-is3db 2 ай бұрын
Kakaangu wewe kisuwahili wakifahamu ... lakn nakusihini lugha nyepesi ni mtihani kwenu.
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd 2 ай бұрын
Mpeleke mama yako matako wewe akazungumze kiswahili
@SalminTenga-fx6wi
@SalminTenga-fx6wi 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa ni mjumbe wa Baraza la taifa na mkoa kwa nn asiwe mwanasiasa
@NoufelSalim
@NoufelSalim 2 ай бұрын
Hawa wazee wetu nawaonea huruma wallahi.
@wakwetu2444
@wakwetu2444 2 ай бұрын
ZAN. ID NI KITEGO CHA KUIBIA KURA.
AMIR FARID AMWELEZA RAIS MWINYI IPI ARAFA SAHIHI
18:07
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 74 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 21 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 9 МЛН
Jussa atuma salamu nzito kwa ZEC na Rais Mwinyi
53:20
Weyani Tv
Рет қаралды 10 М.
Mansour Himidi asema CCM imeshakufa bado kuzikwa tu
21:21
Weyani Tv
Рет қаралды 3,7 М.
Jussa atema cheche, aanika jinsi Zanzibar inavyotafunwa na serikali ya Mwinyi
10:08
OMO alivyofunguka kuhusu yanayoendelea na hatma ya Zanzibar
22:54
Zanzibar Kamili TV
Рет қаралды 2,1 М.