MashaAllah, Sheikh Orhman Maalim katika ubora wako.Kama kawaida, Allah akujazi heri
@saladhuka7775Ай бұрын
Masha Allah sheikh uthman maalim mungu ampe umri mrefu ni raha kutumia miaka yake akiwa kijana na akiwa Mzee Kwa njia ya Allah kuelimishana na kukumbushana mm kutoka Kenya lakini ni nadra kukose mawaidha ya sheikh uthman
@swabiaa14892 ай бұрын
Mashaallah kipind icho shekhe wetu Othman maalim bado kijana Mashaallah
@user-ql6vy6fn9dАй бұрын
Othumani Allah akupe zaid ya apo,natamani ningekuwa mimi,
Masha Allah lkn kuna hiyo picha umetumia kama ndo Sayyidina Omari haipo sawa
@silvergibson26566 ай бұрын
Nampenda sana sheikh uthman
@AbubakariAlly-jy6fy28 күн бұрын
Wallahi she othumani nakupenda kwa ajili ya Allah
@AmaarYasin-zm3sn5 ай бұрын
Mashallah allah akupe afy ya milel
@TwalibuhamdaUtonu6 ай бұрын
Mungu akupe umri mkubwa na utajiri wa afya njema na kizazi chenye uwono Kama ulio kua nao ww
@salimomar88407 ай бұрын
Jjazakum llhahu khairem
@user-rz7ss3ju7j7 ай бұрын
Alhamdulilah Allah akulipe pepo yenye daraja kwa mawaidha mazuri inshaalla
@TwahiluSembe8 күн бұрын
Maashaalaa
@user-nz7bw3mo5j2 ай бұрын
ماشاء الله..احبك في الله
@saumusalimuhassan24996 ай бұрын
Mashallah, shekhe Othman Maalim, Jazakallahu kher shekhe Allah akulipe Jannah na akupe umri mrefu na Afya NJEMA, Nakupenda kwaajili ya Allah.
@AmaarYasin-zm3sn5 ай бұрын
Mashallah akhe
@rashidguracho48392 ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya allah sheikh othman Allah akulinde
@user-qi8wz8hc8f4 ай бұрын
4:07 4:12
@shabanramadhan763228 күн бұрын
Sheikh huyu mtume sio TU tabia yake peke yake Bali ukiitazama TU sura yake utajua TU kuwa huyu ni mtume wa mungu na ana uzuri usio kifani wa matendo na tabia.waliomuona mtume hata ndotoni wanalijua hili
@user-ev6cx4kt3g3 ай бұрын
MashaAllah...kitambo sana!!!
@abdulaisha41452 ай бұрын
Hahika mm Niko na darsa lake la mwaka 2004 mpaka sasa ni miaka 20