TUMEPATA WASAA WA KUPATA ELIMU KUTOKA KWA MHADHIRI SULEIMAN MBOGO KUHUSU WAISLAMU KUMFUATA NABII SULEIMAN KATIKA TIBA NA MANABII WENGINE
Пікірлер: 14
@pammymoraamoraa67026 күн бұрын
Mohamed akifundusha watu wake ju yakumfuata yeye kama mtume alisema mnifuate tu lakini hatamimi sina ukweli namfuta nani. Kumaniisha mungu wake hakua na imani nayee aliweka watu tu kwa Chama yake sio kwa mwenyezi mungu.Yesu ndie bwana na njia tu nikumpitia yeye.poleni lakini ndivio ilibyo
@user-tz8zu2gt6u5 күн бұрын
mwisho tumufuate yesu kristo tuajane na mambo mengi
@BaruMasimango-zo2se6 күн бұрын
Mashallah👌👌
@dannyosolo27526 күн бұрын
Mimi Mkristo lakini nampongeza..Sheikh Mbogo...Sheikh Mazinge..Sheikh Kinyogori...Sheikh Dr Sule..Sheikh Mwaipopo...Hawa ni mabingwa(CHAMPIONS of Islam) wa kiislamu
@ramadhanmgumba36805 күн бұрын
M sioni 7b ya kuwatukana mashekh kwa7b kukhtilafiana walianza wana vyuoni wakubwa hawa wanaendeleza tu Ubu tuwaheshim mashekh zetu jaman kwa7b ukianza kwa huyu mbogo, shafii na dr sule wote wanafanya kaz kubwa katka uislamu kwa wanaofuatlia mijadala ya waislamu na wakristo watakuwa wamenielewa
@salehemimbi18956 күн бұрын
Wewe mbona haujatumia majini utajirike kama Sule na majini yake,umekaa na kutoa povu tu hapo
@salehemimbi18956 күн бұрын
Halafu mnashindwa kufundisha dini watu waijue sawa sawa,umekaa tu majini majini. Hakuna vitu vingine vya kuelimisha?
@0badiaMwasongwe-rt1wr5 күн бұрын
Kwenye Biblia imetabiliwa nazani ni TIMETHEO 4:4 WATAACHA KWELI YA MUNGU NA KUFUATA HADITHI ZA UWONGO.
@IdrissaMoussa-tx7jy6 күн бұрын
Sisi wa Islam tunamufata Muhammad ww hatumufate wamitume wengine ila tunawamini. Kama vile malaise wa ichi zingine tunawamini kama ni ma perezident sio wa ichi yetu.
@josephwilliam581318 сағат бұрын
Oa wake 11 kama Muhammad
@salehemimbi18956 күн бұрын
Mbogo wewe,ni mshirikina,ukiamini majini Shafii yuko sawa
@salmaghalib54746 күн бұрын
Manno yako huna hata maana
@allyway9996 күн бұрын
Huyu jamaa anatoa haya ya Quran kulazimisha sija soma mimi lakini najua kwenye quran kuna history geography science na alafu ukisikia faten Mila za nabii iblahimu Sasa unataka kusema mpaka jinsi yakuswali iblahm ilikuwa ni swala tano wakani Mtume wetu kapewa yy swala tano we vepe wew you talk no sense ukisikia mila iliyo maanishwa hapo maanayake alikuwa muislam na muamin na alikuwa simshirikina kama unavyo yaka wewe ndio lengo la Aya iyo we vepe
@allyway9996 күн бұрын
Shke inanidi tukufundishe sis wanafunzi Sasa maana unataka kubisha vitu ambavyo hata mtoto anaelewa Sasa nasemaje kama ilivyo Allah anasema tufuate quran na sunna za Mtume Muhammad sio tumfate Sulaiman au kwavile aliwatumia Majin ndo kumg'ang'ania ivyo yaan wewe Akili zako Azina akili kabisa