Innalillah wa inna ilayhi rajiuun!! Yaa ALLAH Wape hidaya hawa wanao jiita Mashekh!!! Shekh unashindwa hata kujua misikiti yoooote ni ya ALLAH... Unamilikisha mtu!!! Kwa sabababu tuu! Anausimamia....!!!
Jazaakallah kheyr Al allama Sheikh Muhammad Iddi endelea kuwaweka sawa, na maashaallah kila siku wanaendelea kukana kauli zao zilizopita, linalowasumbua ni kutaka umaarufu tu, na umaarufu unapatikana kwny fani nyingi waende huko si kwny dini, Dini inataka ilmu , uadilifu na ucha Mungu.
@yussufismail28225 жыл бұрын
Abuu Iddi Huyu kijana achana nae hoja zake zinakubalika.
@johariabdalla33195 жыл бұрын
Kwa mtazamo wangu ABU IDDY vinavyokusumbuwa ni roho mbaya,choyo na husda vinakusumbuwa dhi ya mwenzako,hakuna lengne,ningetegemea ujibu au utoe hoja za kimsingi,m mungu akutoe kwenye ubaya wa mawazo hayo,na ole wao wanoijuwa dini ikisha wakaipotosha watakavyo wao
@almasonlinetv86725 жыл бұрын
Shekh umesema kweli kabisa
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Ana element za kikafiri!!!
@abdulbastadam79854 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 alooo yan umepatia kbx yan husda ndo yake uyo mtu
@luqmanhamed97104 жыл бұрын
DAH SHEIKH ELIMU HAINA MANUFAA KWAKO......UNAMWITA KISHKI MPOTASHAJI KUMBE UNA ROHOOO MBYA UNTAJA MAMBO ANAYOMILIKI.....RUDI KAMUOMBE MSAMAHAA.........na Umejuaje kma Sudeis hajiii pengine ni amechelewa tu.
@nurasalimu2403 Жыл бұрын
Nampenda nurudini kishiki Allah amhifadhi shekhe wetu mumuache
@khalidalmosty80875 жыл бұрын
Sh Mohd idd umekosea sana kwa ulokifanya. Mas'ala hapa ni ikhtilaaf kuhusu siku ya Arafah ambalo lipo nchi kadha sio Tanzania tu. Busara ni mashekhe wetu kukaa na kuwafikiyana so kusosowana mitandaoni na kuwachanganya waumini na kuwapa faida maadui. Zaidi umeanza kwa huonyesha Husda juu ya mafanikio ya mwezio na Fitna kwa Mufti. Tuogope ghadhabu za ALLAH.
@nassorbinfundi11963 жыл бұрын
Uko sawa sana shekh, sasa san nidhama za kizazi chaleo adabu hakina
@habibuhabibuzahoromakamezahoro3 жыл бұрын
Tatizo ww ni sufiii na yule ni suniii ni tofauti sana Acha husda ww unajizalilisha shekh rurdin kishki yuko sawa kabisa
@nassorbinfundi11963 жыл бұрын
Sunni nani suhf nan, soma dini kwanza ndugu yangu.
@Mofaiz_112 ай бұрын
wamaanisha wewe ni sunni yule ni wahabi
@hamdincatalonia32725 жыл бұрын
nyinyi masheikh wanafiki hamuwasemei mashekh wako magerezan mmebaki marumbano kazi yenu majungu tu
@matumbistanmikau28955 жыл бұрын
Kazi unayo sheikh. Haki siku zote uwa wazi na batili ujitenga.
@khamisrubea50835 жыл бұрын
Usifunge mjadala sheikh ikitokea kujibu basi jibu ss tunosikiliza hoja za pande zote mbili tunapata faida sana
@hutisaleh23204 жыл бұрын
Ahsante sana kiboko wa wapotoshaj wabishi wasojua ilimu
@mkude5 жыл бұрын
Sheikh hili swala lina ikhtilaf ungeenda moja Kwa moja kwenye hoja,lakini namashaka unavyozungumza Mali Mali inaonekana kama unahusda vile, ALLAH AKUONGOZE WEWE NA SISI WOTE.
@ahsamislamictv3423 жыл бұрын
Wew shekh wew unaunafiki na husda
@kalelaonlinetv5 жыл бұрын
Umemsifu saana sheikh kishki mashaa Allah kumbe kishiki jembe
@fetysukafetysuka88115 жыл бұрын
jembe naam shekhe wa kimataifa allah amulipe mema
@saidshamuhuna92375 жыл бұрын
Sheikh Idd Abuu Idd nakukubali sana, Kishki ni muongo sana tena sana, anapenda kujisifia sana wakati elimu yake kidini ni yakawaida
@selemanadam86424 жыл бұрын
@@saidshamuhuna9237 mawahabi yote hayana akili wala Hamna elimu ya ddiin toeni fatua sio akilizenu nendeni mkasome SHEKHE atoa dalili ninyi mnashindwa nn kutoa dalili,wore mko kwa ajili ya kupotosha watu hiyo ni aibu ya mawahabi looooo aibu hamna
@selemanadam86424 жыл бұрын
Sio jembe Bali ni mpini town fatua mbona vitabu vipo shida iko wapi we hapo ulipo huna elimu et amsifu kishki
@nassoraliy18825 жыл бұрын
Sheikh wewe ni kaka yangu kwa umri lakini nakushauri kwa ajili ya Allah uje zanzibar usome,,kuna watoto wadogo sana watakupa elimu,,naamini utaridhika
@rajabmussa69135 жыл бұрын
ww ushasoma kwa hao watoto
@abdulbastadam79854 жыл бұрын
Kbx
@presenterkabuma16463 жыл бұрын
Acha upimbi boya wewe znzbr kuna masheikh? mi naon wamejaa mashoga tu huko.
@mussajangwa48783 жыл бұрын
Jaahil murakkab ww Hivi hujapata kujua mpaka hapo kwamba huyo ni sheikh?????? Et njoo Zanzibar???? Kwa lip wabaguzi wakubwa nyie
@abdurazaqhamisi45765 жыл бұрын
Hahahahaha ya sheh nakushukuru sana.Allah akupe afya nzema tena akulinde
@allyhamisi47095 жыл бұрын
Washukur lipi la faid alilolisem
@fetysukafetysuka88115 жыл бұрын
mwenyezi mungu humhifadhi anaehifadhi aibu za watu huyo shekhe ni nimaaruufu mwenye wivu ajinyonge allah akusamehe kweli umevuka mipaka kumuumbua shekhe kishki usifumbe sema bayana
@kondesaidi20405 жыл бұрын
Ila anawaambia ukweli,,, dunia aijawai kufunga siku moja, tangu enzi ya mtume,,, waahaabi ni ovyo???,,. Tufuate mwezi..
@khaulatmohammed37653 жыл бұрын
@@allyhamisi4709 bora umuulize 2
@khaulatmohammed37653 жыл бұрын
@@kondesaidi2040 sasa ndo amwite mwenzie mpotoshaji huyo bonge nyanya hapo?
@hashimmhashim26635 жыл бұрын
ماشاء الله تبارك الله يا شيخنا الفاضل محمد عيد حفظك الله ورعاك
@rajabuharuna63905 жыл бұрын
Mwombe allah amuongoze huyu hasidi wewe
@jumamichuzi43215 жыл бұрын
Mbona wengine natukana matusi ivi kweli niwaisilam
@musapazi78065 жыл бұрын
Subhaana allah unaweza ukasoma na usielimike,ashraadwu ssaa
@ommarymgeni15365 жыл бұрын
asalam alykm ndungu zangu mashekh zangu kwastayle hii hatutofkaa ivi wasokuwa waislam wanaatuonajee napia nyinyi n mashekh n heshim zenu kaeni chini mjadili mamboo ya kidin inshaallaaah
@salminisekiondo79515 жыл бұрын
mzee ingia kwenye mada kwaiyo we ulitakataje kwani wivu wako tu kama wataka kumlekebisha mfuate acha husda na maisha ya mtu wislam gani uwo
@blacknature76375 жыл бұрын
Umemuona mpaka anatetemeka kwa husda ulivyo mjaa eti naye shk
@abdulbastadam79854 жыл бұрын
Hasidi hana sababu ile zeee hasidi yan kinachomuumiza ni mafanikio tu jitu mwenyew lina mtizamo wa kiyahudi ilo masharubu mama mlokole
@mohamedmzeeassuufiyy13343 жыл бұрын
Ngoja akosolewe public .. Yani aharibu public kisha akosolewe private .. We VP ?
@abrahmanifarouckissa566211 ай бұрын
Ah wee sheh Mungu anakuona allah atuongoze
@alimohd26865 жыл бұрын
Shekhe muogope Allah
@rachelevarist704 жыл бұрын
sheh iddi watakuchanganya mwisho wake umkosee mungu ww achananao wenye kuelewa wataelewa hayo madhehebu niyakigeni
@matambwekhaalidun14733 жыл бұрын
nyinyi nno coment wengi mna sema ana husda lakini wewe una mfatilia kweli shekhe kishiki
@ramamtetu23274 жыл бұрын
Mwanaharakati Huru
@khadijashabaniiddy41375 жыл бұрын
Allah akuhifadhi yaa Abuu Iddy umaarufu wa kamera kama msanni tu, wapo masheikh wenye ikhlaas kama akina Uthmaan maalim hawanaga mbwembwe kama za huyu msanii, Sheikh Maalim na masheikh wengine ni maarufu kwa elim zao ila huyu yeye ni maarufu kwa ujanja ujanja wake tu. maana elim siamini kama anayo kiasi hicho, alikalishwa kimya na Sheikh wa Mombasa kwenye swala la Maulid, sasa kwasasa ameangukia mikono ya Sheikh muhtaram Abuu Iddy Muhammad Iddy. 🐅🐅🐅🐅🐅🐅🐅🐅
Assalaamu alaykum,,jamani lakini nimechunguza kua hata masheikh wana hasad
@abuuabuu48315 жыл бұрын
Alhamdulillah wengi waliokusikiliza wamejua unafiki wako
@maotv88845 жыл бұрын
Allah atuhifadhi
@hamadamaani25165 жыл бұрын
Hapa abuu idd Ana makosa Sana kuingilia katika shakhsiyat za mtu ila kielimu yuko juu
@msafiriduwiya77655 жыл бұрын
MWENYE elimu hayuko hivyo
@abdurazaqhamisi45765 жыл бұрын
Umesema kweli
@hamadamaani25165 жыл бұрын
@@msafiriduwiya7765 laa sio hvyo kuwa na elimu haimaanishi ndo ucha Mungu elimu ni kusoma tu
@ridhiwaniamour14695 жыл бұрын
Kwahyoo jamaa anawapinga hao maimamu wa3? Subhana Allah, Allah atuhifadhi
@salumngoma87105 жыл бұрын
Ridhiwani Amour yani we acha tu
@zuhuramusa92965 жыл бұрын
Masharubuuu ha ha haaa eti mashindano yao shule yao daa tumejua kinachomsumbua shee wetu ,ALLAH ATUIFADHI MASHEHE NA MICHAMBO WAPI NA WAPI?
@mussajangwa48783 жыл бұрын
Sheikh Muhammad iddy mtu mwingine kukuelewa ni ngumu sana Lkn kwa hakika unayo yasema ni sahihi sana Unajua binadamu wengi tumezigawa dhambi kwa rangi zetu, Nurdin kishk hana ilmu ya kutosha na sisahh ktk mengi anayo yawasilisha yanataka ufafanuzi wa kiilmu Weng wanachoangalia ni rangi na UKABILA Sheikh Mohammed Usiogope kumradd mtu yyte anayo thubutu kuzungumza jambo la dini kwa matamaniyo yake!!!!
@issamohd99555 жыл бұрын
Shekhe mm naona ww ushapagawa nanjaa inakusumbua natena unapupa yahicho unacho ahidiwa kwahao wanao kutuma nimekukubali kwenye suala la funga yasiku ya arafa lkn kwahaya mengine sasa tunakuachia mwenyeo mpaka mashindano ya Qur-an yashawauma subhanallah hio ni husda ya waziwazi jirekebishe maisha mafupi akhera ndo yenye kubakia she kishki tunakupenda natutazidi kukupenda usivunjike moyo upo katika njia yahakki ww hivi nivibakwata tu vinanjaa wao niunafki na husda Allah atustiri nao waumbuke wao
@yussufhaji33353 жыл бұрын
Nawashangaa kwanini nyinyi MASHEKH ambao tunawaamini mnapiga vita na vijembe kweli dunia imeisha nawaomben msituchanganye nyinyi wasomi wakileo acheni tabia mbaya hiyo mungu haridhiki na mfumo huo
@snkhannassoro24045 жыл бұрын
Huu ni msiba Mashekhe mnadhalilishana mitandaoni,wallah hizi ni alama za kiama, Kwanini msikutane mahali pa heshima na mkafikia azimio la pamoja,kuliko kuushia kutukanwa mitandaoni na waumini,pamoja na kudharauliwa na wale waliokufuru?
@rajabungowo33063 жыл бұрын
NINACHOKIONA HAPA SI KINGINE BALI NI JUHUDI ZA WAZI ZA KWAKO SH.MOHAMMED IDD ZA KUUGAWANYA UMMA..SIJUI KAMA UNALITAMBUA HILO..NASIKITIKA SANA HEKMA YAKO IMEKUA NDOGO SANA..TENA UMEJIONA BORA SANA NA MWENYE AKILI ZAIDI KULIKO SH.KISHKI NA MASHEKHE WENGINE..PIA UMEDHIHIRISHA CHUKI YA WAZI KWA SH.KISHKI KWA JAMBO LA KHILAFU....NATAMANI UJUMBE HUU UUPATE WEWE MWENYEWE...UNAONEKANA KUTAFUTA MASHABIKI ....KILA SHEIKH ANA UDHAIFU WAKE LAKINI WEWE UNAJIONA MBORA SANA NA MWENYE AKILI KUWAZIDI WENGINEE....
@alimaalimahmad8375 жыл бұрын
Asante Sheikh kwa kuweka sawa mambo
@hamadshein82725 жыл бұрын
Masheikhe wengi hawana elimu ya kuraan.wanaelimu ya madhehebu.na ndo maana mnaleta vurugu mechi za maneno.achen kucma madhehebu.
@duniaileile55225 жыл бұрын
Asante sheikh wapeeee wajieleweeee Hawa watiaji comments ni mawahabiiiji ama ummmmah mzima ushapata faida na maneno yako kupitia kwenye hoja sahihi zinazotegemewa Hata mashekh zao wanawakanusha Ni maajabu haya, lkn ndio kawaida ya miwahabi 😂😂😂😂kwao ni ubishi tuuuu
@shabanoman89554 жыл бұрын
Wewe ujue nini maana ya wahabi? Wacha ushabiki
@eastelldev3 жыл бұрын
Mashekhe hawa wana Hassad sana na wengi wao ni makhurafi
@abdulazizmohamed37155 жыл бұрын
Sina elimu ya usheikh lakini tujikite na kuijenga uislam sio kubomoa Hakuna mkamilifu Allahu aalam.
@lolubokhalifa82775 жыл бұрын
Mashallah
@mohamedmnjeja705 жыл бұрын
Shekh umejaa upepo,,, alelim hikma
@habibakhalfan10655 жыл бұрын
una jua dini sana wapotoshaji wametukana mnoo
@salumngoma87105 жыл бұрын
habiba khalfan anajua dini hipi huyu analipwa mshahara huyu
@namelessnameless48685 жыл бұрын
Asante sana Sheikh endelea kuwapa elimu uzuri wako unajikita kwenye hoja
@nurumohamedi99725 жыл бұрын
Michango niloiona miingi ni ya mashabiki hakuna wajuzi ktk elimu ya arafa na mwezi utadhani siasa wachangiaji walivyo hata adabu wengine hawana.
@TheIslam1681_5 жыл бұрын
Wajibu wooote hao lkn huwezi kumjibu Sheikh kasim mafuta wala Abu Hashim, Ushauri wangu ni kua nyoa sharubu na uanze kufuga ndevu.
@hamadamaani25165 жыл бұрын
Kama wenye elimu wamejibiwa itakuwa wajinga hao kassim mafuta
@TheIslam1681_5 жыл бұрын
Mjinga nani?
@hamadamaani25165 жыл бұрын
@@TheIslam1681_ kassim mafuta sio mjinga kwa mana Hana akili LA mjinga kwa maana Hana elimu
@TheIslam1681_5 жыл бұрын
Ndio mafundisho yenu hayo mashia na masufi kutukana wanazuoni. Allah akuineshe haki.
@hamadamaani25165 жыл бұрын
@@TheIslam1681_ wallah Si kweli kassim mafuta ni mwana Wa chuoni Wapi? Kwa insaaf tuende pole pole nimetanaazal
@allyabdallah48985 жыл бұрын
Ovyooo kabisa
@maryambintukhadija16043 жыл бұрын
We fitna ndo imekujaa sanaa
@calvinceodhimbo66285 жыл бұрын
babdeo kama unatafuta views sio kwa kutumia ikhtilaf baina ya masheikh....subhanaAllah
@BABDEOMILADU5 жыл бұрын
We una wazimu? Kwani hao nimewafata au wameniita kuwa na adabu views zinanisaidia nn mm
@neemajaylani90683 жыл бұрын
@@BABDEOMILADU hahaha
@mahmudumuhammed81745 жыл бұрын
Unataka kurekebisha ikhtilaf kwa kumkashfu mwenzie akielezea tocauti ya Arafa.mche allah shekh
@alizahranmohd40955 жыл бұрын
Mtihan kwel huyu shekh
@mohamediiddi7615 жыл бұрын
Sema kweli japokuwa chungu.
@blacknature76375 жыл бұрын
Hana kweli mpumbavu tu
@mohamediiddi7615 жыл бұрын
Yy anasoma vitabu. Itakuwa hao waloandika vitabu ndo wapumbavu... Changanua ushahidi wa vitabu na maneno matupu.. Kazi kwako. Ndo utajua kwann mazinge ni profesa.. Kinacho takiwa ni ushahidi uoneshe. Fata ushabiki utatumwa gas kwenye kiroba.
@nohatredbutlove57864 жыл бұрын
Sheikh mimi nimeskiliza hoja za pande zote mbili na nimejikinaisha kuwa Arafa inafungwa kwa mujibu wa mwandamo wa mwezi wa sehemu uliyo. Hoja za msingi niliziskia kwa Alhabib Mbarak Awesi na zikaingia akilini mwangu. But ukweli umekosea sana tena sana kwa hili ulilofanya. Huwezi kumwita Sheikh mkubwa kama Nurdin Kishki eti mpotoshaji. Allah akusamehe na ikibidi kamuombe radhi.
@khaulatmohammed37653 жыл бұрын
Nurse for life ahsant sana umeonaeee
@nohatredbutlove57863 жыл бұрын
@@khaulatmohammed3765 naam, kwa uhakika
@hemedharouna40135 жыл бұрын
maashallah !! cku zote abu id akieleza jambo hueleza kielimu
@ashaally75935 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nasibumaiko34255 жыл бұрын
hemed harouna unamkubali sababu huna elimu
@hemedharouna40135 жыл бұрын
@@nasibumaiko3425 Sasa Ww hapo ulipo Una Elimu gani mbwa koko Ww
@nasibumaiko34255 жыл бұрын
hemed harouna hata sura yako inaonyesha we mtumwa wa mganga
@nasibumaiko34255 жыл бұрын
hemed harouna mvunja Nazi njia panda wewe kafiri mkubwa
@mysamkhalfan69125 жыл бұрын
Choyo ni maradhi mabaya sana
@salumngoma87105 жыл бұрын
Mysam Khalfan hahaha
@muhammadabbasi50255 жыл бұрын
Dah! Mtihani!!!
@maotv88845 жыл бұрын
Sub'hanAllah
@abuushaukan98285 жыл бұрын
Umejuaje kama kaghairisha
@rashidbusanya71665 жыл бұрын
Huna kazi ya kufanya mpaka uanze kuongea masheikh wakubwa mitandaon
@husseinmtima61065 жыл бұрын
mtu anatoa elimu ww unasema hana kazi
@abdulbastadam79854 жыл бұрын
@@husseinmtima6106 elimu gani anayoitoa mjinga tuu uyo yan ata haoni aibu kukaa mitandaon akataka mtu fulan aonekanwe mbaya
@hajimasoud72105 жыл бұрын
sheikh jaribu kujiheshimu umri uoni kama umeenda
@abdullathabithemed93775 жыл бұрын
Nakukubali sheikh Mueleweshe Maneno yako yanaingilika akilini Ieleze dunia ukweli Uongo utakimbia tu Hawawezi kukujibu chochote sababu hawana marejeo hao
@blacknature76375 жыл бұрын
Pole kama ndo shk wako huyo
@jabiromary32765 жыл бұрын
Kazi kweli kweli
@abdulshakuurmwenda75193 жыл бұрын
*💢انظرْ إلى الحق والنصوص ولا تنظرْ إلى الباطل والشخوص (1)💢* *💢ANGALIA KWENYE HAQQI NA DALILI NA USIANGALIE KWENYE BAATWIL NA WATU (1)💢* *قال الإمام ابن باز - رحمه الله تعالى - :* *🔶Amesema Imaamu Ibnu Baaz ALLAH Aliyejuu Amrehemu:* *《 عليك أن تأخذ بالحق وأن تتبع الحق إذا ظهر دليله ولو خالف فلاناً ، وعليك أن لا تتعصب وتقلد تقليداً أعمى 》.* *🔷Jilazimishe Kuchukua Haqqi na Kufuata Haqqi Wakati Itakapo Dhihiri Dalili Yake na Hata Akienda Kinyume (Na Haqqi) Fulani ,Na Jilazimishe Usiwe Na Taaswswubu (Kuwa Upande Wa Mtu Na Kumnusuru Mtu Na Kuwa Pamoja Na Mtu Hata Akiwa Ktk Makosa) na Unafuata Ufuataji Wa Kipofu (Kumfuata Mtu Ktk Jambo Fulani Moja Kwa Moja Bila Kujua Usahihi Wake,Pasina Kupunguza Wala Kuzidisha ktk Hilo Jambo).* *📓📔 مجموع الفتاوى ( 343/1 )* *📓📔Maj'mouul-Fataawaa (343/1).* *🔺NYONGEZA KUTOKA KWA ALIYETAFSIRI:* *🔸Hakika Kweli Kabisa Ulamaa Ni Warithi Wa Mitume Juu YAO Rahmah na Amani.* *🔹Wanafanya Kazi Waliyokuwa Wakifanya Mitume Ya Kuwaelekeza Watu Ktk Haqqi Na Mambo Ya Kheri Anayoyapenda ALLAH Na Kuyaridhia.* *🔸Sheikh Bin Baaz ALLAH Amrehemu, Anatoa Nasaha Muhimu Sana Kwa Waislamu Kuhusu Kufuata Haqqi Inapodhihiri Dalili na Haifai Muislamu Kuwa Pamoja na Mtu Na Kumshabikia Na Kumtetea Na Kumnusuru Hata Akiwa Ktk Baatwil na Kumfuata Mtu Kama Kipofu Hajui Anakoelekea Au Anakoelekezwa.* *👉🏾Jitahidi Uangalie na Ujue Haqqi Iliko Uifuate na Kuwa Na Watu Wa Haqqi Kwa Dalili na Usiangalie Wingi Wa Watu Ktk Baatwil.* *👉🏾Usimfuate Mtu Yeyote ktk Baatwil Hata Akiwa Ni Sheikh Wako na Jitahidi Kufuata Haqqi na Kufuata Qur'aan na Sunnah Kwa Ufahamu Wa Waja Wema Waliotangulia (Salaf Swaaleh).* *👉🏾Kuna Baadhi Ya Waislamu Wanawapenda Masheikh Zao,Mpaka Akiambiwa Sheikh Wako Amekosea Ktk Jambo Fulani, Anakasirika na Kuongea Maneno Mabaya Na Matusi Na Kuona Watu Wanamuhusudi Na Hawampendi Sheikh Wake Na Anadhani Watu Wanataka Sifa Na Ukubwa.* *🔹Tusiwe na Ushabiki Ktk Kufuata Dini Kama Ushabiki Wa Mpira Wa Miguu Au Siasa Za Urongo.Dini Yafuatwa Kwa Dalili.* *🔸Jitahidi Ewe MUISLAMU ,Upende Haqqi Zaidi Kuliko Kumpenda Mtu Yeyote Ktk Dini.* *👉🏾Ujinga Ktk Dini na Matamanio Mabaya ya nasfi Nimiongoni Mwa Sababu Kubwa Zinazopelekea MUISLAMU Kuipinga na Kuikataa Haqqi Inapodhihiri na Kufuata na Kuikubali Baatwil.* *🔴IKIWA KUNA MAKOSA,TAFADHALI USIBADILISHE CHOCHOTE NA KUWA MUELEWA NA MSIKIVU NA WASILIANA NA MUHUSIKA.* *👉🏾ALLAH NDIYE MKAMILIFU ZAIDI NA MJUZI ZAIDI.* *👀IMETAFSIRIWA NA:* *👉🏾ABUU ABDILBARRY ABDULSHAKUUR BIN JAMES BIN MWENDA ASSALAFIYY AL-HAMBALIYY (حفظه الله تعالى ورعاه وسدده).* *💢Mombasa,Kenya🇰🇪.* *🌹WhatsApp: +255713444054.* *🌹Call: +254724992753.* *📆27/Dhul-Hijjah (12)/1439 H.* *📆07/09/2018 M.*
@salehabadsalehpur7965 жыл бұрын
Simkubali Sheikh Mohamed Iddi katika mambo mengi ila katika hili kuhusu kauli za viongozi wa dini wa Saudi Arabia yupo sawa, Masalafi na Maanswar Sunna lazima mkubali tatizo lipo kwa Viongozi wa dini wa Saudi Arabia kwanini hili hamtaki kukubali?Bakwata siwakubali ila katika hili wapo sawa kwasababu wana nukuu kauli za Viongozi wa dini wa Saudi Arabia ambao wanataka watu wafuate viongozi wao wa dini katika nchi zao, hawaoni umuhimu wa Umoja katika Waislamu. Ila swali langu kwa Sheikh Mohamed Iddi na Bakwata hizo nchi zaidi ya 100 zinazofuata Saudi Arabia hawasomi hivyo Vitabu unavyonukuu? Kwanini bado wanafuata muandamo wa Saudi Arabia? Tena wengine wamepishana nao masaa wakati sisi na Saudi Arabia wakati mmoja bali hata wakati wa kuzamaa kwa jua. Kwa kifupi: 1, Kwanza tukubali tatizo lipo Saudi Arabia na Viongozi wa dini Saudi Arabia kwa sababu hawataki na hawaoni umuhimu wa Waislamu kuwa na Eid mmoja. 2, Bakwata nao Wanatumia mapungufu ya viongozi wa dini ya Saudi Arabia kwa sababu zao binafsi na hasa Umimi wa Uswahili kuliko Umoja wa Kiislamu.
@tamimusaidi13264 жыл бұрын
Salehabad Salehpur shukran
@wazirihamisi64843 жыл бұрын
Hili kweli sufi
@khamisissa2525 жыл бұрын
Kwanza nyoa masharubu na ufuge ndevu ndio sunna
@abdalahmtula36394 жыл бұрын
Shekh abuu idd we jembe mawahabi wao wenyewe hawana adabu ktk kauli zao kwa wengine hili linabainika kupitia comments zao humu wamekutukana mno badala ya kujibu na kutafakar hoja zako nzito nzito! Hoja zako shekh zimewadidimiza wameshindwa kujibu wanabak kutapatapa tu! Hovyooo!
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Watu wa bidaa nyie!!!
@nassorbinfundi11963 жыл бұрын
Allah awaifadh mashekh wwtu lkn nawaomba san msirumbane sana mashekh tuna wategemea san kwenye hii din lkn mutoe elim tu
@bimumaulid11715 жыл бұрын
UKIONA SHEKHE MWENYE TUMBO KUBWA NI BAKWATA HAWANA HATA HOSPITAL WALA NYUMBA ZA MAYATMA WALA MASHULE WALIYOJENGA KUJUA FITNA tuu
Mi naomba mashekhe waandae mdahalo wa mojakwamoja watu wabishane kwa hoja ili tujue wapi Kuna hoja zilizotimia
@azizamkindi17845 жыл бұрын
Asalym alykum dalili ya sku za mwisho usiweke mjala kwenye mtandao pia unafiki unazungumzia kwenye mitandao ungemfata sio vizur huo ni unafiki AllAH hapend madhila husda ungemfes usifaidishe watu ni unafki AllAH hapend shehe iddy pia sio vizur pia kosa likowap kwake wote waislam
@abufauzan94173 жыл бұрын
Hakuna kufatana unaweza ukakatwa mapanga nikujibishana kwambali mbali tu
@mashrabusaidi30475 жыл бұрын
Sawa mzeee wa kiki ila umefulia
@jumashukan11735 жыл бұрын
Shida yenu Nini mbona mwaazirika , wacheni ujinga uwo, ndiyo maana mm nampenda Sana shehk Athuman maalim ,Ana tym yakujibishana na mtu yy utupa dhahawa ,
@luuabbdalla16313 жыл бұрын
Kishki Yuko vizuri
@abuuhudhayfah51085 жыл бұрын
Subhaanallah, mche Allah dunia yawezekana kufunga siku moja siyo lisaa limoja, Elewa tofauti ya siku na saa,
@hamadrashid51403 жыл бұрын
Sheikh hzo husdaa
@mrsghanim11863 жыл бұрын
Hasidi Hana sababu
@amirybeka96025 жыл бұрын
nenda kasomee daw'aah bado hujawa kumbe. innallillah waiinnalillah rajiunn.
@ibrahimomar10734 жыл бұрын
Nakunasihi Shk Abuu Iddi tambua Shk kishki yuwatoka kwenye kabila mtume swallahu Alaihi wasallam huenda ukajitafutia balaa.
@ibrahimismael19333 жыл бұрын
Urongo kishki sio wa kenya na sio sharifu
@solemba5955 жыл бұрын
Abuu Iddy omba tawba kabla hujafa, huo sio Uslubu wa Daawa. Jaribu kuwa muungwana katika kulinganiwa. Punguza husda itakupeleka pabaya...
@princeshaq31815 жыл бұрын
dataCom Kamanda mwambie sasa mambo ya shule yake na msikit wake na Mali zake vinamuhusu nn iyo husda hatauseme nn Sisi tutafuata Aarafa ya Saudia bac. Kauli ya upotoshaji sio nzur hata muhamed issa alikwambia lkn shekh wewe kibur wewe mbona huitwi mpotoshaj maimamu waliopita walihitlafiana mbona hawakuitana wapotoshaji. Mpotoshaji wakwanza niwewe unaetulazimisha tukufuate hatukufuti shekh ukula wachuya hiv hujisikii vibaya. huoni kama unawapatisha dhambi watu kukushambulia jambo lilishakwisha wewe umelifufua upya dhima hiyo omaba toba shekh kama utakua umetuka dhambi zitakujia mwenyewe
@kanyasicongo79185 жыл бұрын
Shekh usikosee kumuita mpotoshaji mutlaqa muite mpotoshaji kwa jambo la aarafa.
@masoudwaziri.nimeipenda14624 жыл бұрын
Duniani tunapita 2
@AbuuRuudaynaa5 жыл бұрын
Yetu masikio na macho tu
@fakikombo7114 Жыл бұрын
Nyinyi ni viongozi acheni kuitia kuuteketeza uislam una khitlafu na shkh flani mfate mkatowane shaka acheni hiki mnacho kifanya
@husseinomari95565 жыл бұрын
Mnafiki sana ww
@husenhassain94253 жыл бұрын
Shehe umechemka
@khadjahakamali-njufsk-78275 жыл бұрын
SubhanaAllah hiyo ni fitna, chuki, wivu, na haifai katika dini yetu tukufu, kama umeona vitu vyote hivyo, ni bara ungezungumza naje badala ya kuzungumzia kwa social media, muogope Allah.
@Pedeshee015 жыл бұрын
ukhty khadija huu ni mtihani sana kwetu
@davisrotich1165 жыл бұрын
doo! twawaskiza tu
@khamisalbimany37215 жыл бұрын
Hongera sheikh abuu...kwa kumjibu sheikh kishk...salam zimefika..lakini huu wa kwako ni upuuzi.. sana...uliojaa choyo na husdaa!! Hivi kuna tatizo kwa mtu kumiliki kitu..huo ni uchoyo..jifundishe japo kufuga ndefu..huna jipya..
@abdulabdl73085 жыл бұрын
Huyu atakuwa ulamaa wa dola.
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Ana element za kikafiri!!
@humudmarhoon80445 жыл бұрын
Huyu shee kweli.ana husda sasa mali za mwenzie zinamuuma nini ..
@bekas27395 жыл бұрын
Maajab Wallah
@hamadamaani25165 жыл бұрын
Hapa kidogo mtihani umeanza kumpata abu idd kwa ushauri tu haya mambo achana nayo
@yasinimohamed53075 жыл бұрын
Wewe ndio mpotoshaji
@mohapromo61145 жыл бұрын
Zingatia mambo ya quran
@fatmaabdallah87435 жыл бұрын
Quran inasema tazama mwezi kwenye nchi yako na ndo maana saudia wanatazama mwezi na sisi tunahesabu tarehe kwa kufata mwezi hajj ipo makka nchi zingine hakuna. Ingekuwa kufata saudia wangewafuata kwanza oman ndoà ambao ht time zao ziko sawa hawawafuati
@mohapromo61145 жыл бұрын
@@fatmaabdallah8743 uko Oman Kuna kaaba ama nn unamaanisha wewe
@mohapromo61145 жыл бұрын
@@fatmaabdallah8743 arafa ni moja hamna nyingine, ndio maana inasemekana kua if siku ya kiyama karibu, dini zitagawanyika sana. Ndio hii sasa
@rajabungatanda37495 жыл бұрын
Mashekhe munapotoka nyote Kuanzia wewe Abuu iddi "Kilemile " kishki" n.k Nawachukia kwakua munatia aibu uislamu wangu Kwanini mubishane mitandaoni Wakati kitabu chenu kimoja Dini yenu moja Tena ninauhakika kitabu cha mola wangu kimetimia Kama tulivyoambiwa ktk Qur'an ذالك لكتاب لاريب فيه) Maanayake> hiki ni kitabu kisicho shaka ndani yake " Alafu pia tumefundishwa اليوم اكملت لكم دينكم واتممت عليكم نعمتي ورضيت لكم لاسلام دينا Maanayake> Leo nimekamilisha dini yenu na nimetimiza neema yangu kwenu na nimeridhia uislam dini yenu" Sasa nyinyi mashekhe ndowenye upungufu Wa fikra Tafadhali acheni upuuzi Wa mitandaoni kaeni chini bila utashi wala ushabiki muelewane
@hajisalum52875 жыл бұрын
Innalilahi wainailayhi rajiuun badala yakuendelea kuelimisha watu unaingiza na mambo yasiokuwepo kunaugonjwa mmoja unaitwa husda shekhe jikague huenda unao huu unaitwa uchochezi dhahili umepotea shekhe msikiti wake mashindano yake shule yake tena unaingiza nafamilia