SHEIKH MOHAMMED ISSA AMEELEZEA MENGI KUHUSU MKATABA HUO
Пікірлер: 31
@user-zw4tf5os8b9 ай бұрын
Mmhh huyu sheikh sasa level zingine duu! Muhammad issa unatisha
@user-zw4tf5os8b9 ай бұрын
Sheikh Muhammad issa una nikosha sana
@mkude Жыл бұрын
Watu wengi sanaaa wamepotoshwa,shukraan Sheikh Mohammed Issa Kwa ufafanuzi mzuri
@ausiabdallah996111 ай бұрын
Mawakili wa ndani nais wamekuelewa Mr mo
@tatyanaissa7094 Жыл бұрын
Mbona kimya duhhh maneno mazito sanaaa kwa mwenye kufikiri
@nassoroyahaya82110 ай бұрын
Allah akuzidishie,naomba uombe Debate kati ya akana Madereka,Mwabukusi,Askofu ( wanasheria/Askofu- wanasiasa) ili mtuchambulie mbele ya Kadamnasi ili Pumba na mchele vionekane tuache kulishwa Matango pori
@makhanguwakhutu24086 ай бұрын
Ukristo ni tatizo Africa
@jumu19649 ай бұрын
Allah akulipe
@user-zw4tf5os8b9 ай бұрын
Sheikh wanyooshe wakatoriki
@AbdurrashidiMusa11 ай бұрын
Asantani
@Zainabnoor0087-ze11 ай бұрын
Kila jambo Lina mwisho huwenda ni mwisho wa mfumo kiristo,inshaallah
@HamisiMndevu-rp3jd11 ай бұрын
Shekh umeongea ukweli kabisa. Maaskofu kazi yao ni fitina na uvurugajj wa mamlaka zilizowekwa na mungu muumba.
@terevaelislla171310 ай бұрын
Wewe zungumzia mikataba sio mambo ya lugha kumbuka wazee wetu wanajitambua sana.ok sasa mambo lugha yatarekebishwa, sasa nenda kwenye points, kaka mkataba wa bandari upo wazi soma vizuri.
@japharytwaha855210 ай бұрын
Mchambuzi unewavua nguo wamezoea kusema uwongo kuwadanganya watu waovu
@ramadhanmahongole929311 ай бұрын
Uturuki sio warabu uturuki ni wazungu na hakujawahi kutokea vita uturuki wala ugaidi ulioko uarabuni
@yussuphsultan1400 Жыл бұрын
Ukomavu
@user-lx9oi1zh1d10 ай бұрын
HUNA MCHANGO WOWOTE
@user-zw4tf5os8b9 ай бұрын
Mpuuzi hawez elewa kitu
@paulndahanilyamunda616711 ай бұрын
Huyu ameokotwa na wakati kabisa! Hizi ni zama za demokrasia mzee! Huo udicteta ndo hautakiwi kwa sasa! Yaani unacho kuongea ni takataka kabisa! Nyerere angesikikiza watu waliokuwa wakimsaidia, hii nchi haingekuwa masikini hivi! Wewe ni hivyo kabisa! Yaani hayo mawazo yako ndiyo yaliyosababisha maraisi watangulize walikuwa wanakula rushwa na kufanya maamuzi ya ovyo, na kuuza mali za nchi, kisha wanaandika vitabu wakijitia! Wewe hivyo kanisa
@user-zw4tf5os8b9 ай бұрын
Umeona wasomi hao? Sio nyie watukanaji
@MuuYascohy-oc7os11 ай бұрын
Wakristo siku zote mungu amewanyima akili wameungana na wanasiasa wajinga kbsa wasiokuwa na akili
@AliSalim-yu4mo Жыл бұрын
Hawa kusema Dubai si nchi wameuona ni kama huu Muungano wa Tanzania kuona Zanzibar si nchi na kujichukulia mamlaka yoooooote ya Zanzibar na kuyafanya ni Yao ndio maana wanasema hivyo!mzowea vya kunyonga vyakuchinja haviwezi"wajinga Hawa na si kama hawajuwi walitendalo!lkn wanawatumia wenye bongo za kuku Kwa maslahi yao
@ramadhanmahongole929311 ай бұрын
Acha udini mzee
@nassoroyahaya82110 ай бұрын
Wewe ndio kipofu unaesema aache udini hujitambui Mzee yupo sawa ila kama upo nyuma ya akina Mwabukusi na akina Madereka na Askofu pamoja na X-Padri Slaa hapo huwezi kumwelewa Shekh Mohammed Issah
@japharytwaha855210 ай бұрын
Usipo juwa kitu nyamaza wewe
@ramadhanmahongole929310 ай бұрын
@@japharytwaha8552 mii najua ndomana nasema huyo mzee ni mdini hana uzarendo wowote katika tanganyika yetu wala hathamini hata utu wake kwajili ya warabu
@ramadhanmahongole929310 ай бұрын
@@japharytwaha8552 warabu wanataka kuja kumuibia mali asili zake ili wajukuu zake waje kuwa maskini na watumwa wawarabu yeye anakenua meno tu anaunga mkono kuibiwa bandari na warabu kwa ujinga wa dini
@ramadhanmahongole929310 ай бұрын
@@japharytwaha8552 waislamu dini imewapumbaza sana kiasi kwamba wako tayari kuwa manamba wa utumwa kwa warabu ili mwarabu aliye waletea dini anemeke huo ni upumbavu