Рет қаралды 6,125
Sheikh Nasoro Bachu
Allah (s.w) amrehemu atakumbukwa ni miongoni mwa masheikh aliyeleta mapinduzi makubwa kwenye kueneza mawaidha ya dini ya Kiislamu visiwani Zanzibar na katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki, akihubiri tapo jipya la dini hiyo lililofahamika kama Ahlu Sunna, akiwa na lengo la kurudisha mfumo wa maisha ya Kiislamu kama ulivyoasisiwa na kiongozi wake, Mtume Muhammad (S.A.W), na pia kuupa Uislamu sura ya kimataifa.
#SHEIKHNASSORBACHUMadharayaZinaa #mawaidhazinaa #sheikhnassorbachu #madharayazinaa