MASHALAH NAKUPENDA SHEKH OSMAN MAALIM KWA AJILI YA ALLAH
@user-gb8vz9lf4e11 күн бұрын
Maashaallah Allah (s w) atukubalie kila a'amali njema tunazozifanya.
@muhinanjowa72297 күн бұрын
Man Sha Allah Tabaraka Rahman ❤️ Allah akuhifadhi sheik wetu
@NassorAli-bn1nw11 күн бұрын
Mashallah nakukubali sana sheikh wangu
@user-fi3vc1xd1w7 күн бұрын
Maasha Allah sheikh Uthman,, Allah akuongoze
@Mohd-lc6sk11 күн бұрын
Shukran sheikh yangu othman maalima Allah akuzidishie siha njema amin
@user-qd2tp2mb5l11 күн бұрын
Mashaa'Allah ahsante Jazzakum'llah kheri
@halimaramadhan200011 күн бұрын
Hajj mabroor kwa mahujaji wote ❤❤
@abdallasarai632711 күн бұрын
Mola atupe heri sote Insha Allah
@AmissaBIGIRIMANA9 күн бұрын
Assalamu aleikumu warahmatulahi wabarakatu Sheikh wetu ALLAH aku linde Una hekima Sana Ni lijifunza mambo mengi kwa sidi zako Shukran ALLAH njoo ata kulipa ALLAH aku zidishiye IMANI Na muomba ALLAH aku jaliye utu kumbuke kwa duwa Inshaa ALLAH 🙏🏽
@RehemaJuma-es4jk11 күн бұрын
Shukuran sheikh jazakahAllah kher
@mohammedkidody561811 күн бұрын
Shukran sheikh wetu
@user-qw4pm2xe4j10 күн бұрын
Mashaal shkhe wetu mugu akulinde kila shar
@AsmaKassim-sr2yz11 күн бұрын
Shukran shekh Allah akubarik nafuatiliya maudhui yako
@MamahetuChikuti-mp5lj11 күн бұрын
Mashallah Tabarakallah
@Visible7111 күн бұрын
Shukran sheikh
@AmissaBIGIRIMANA9 күн бұрын
Sheikh OTHMAN MAALIM Shukran Shukran Shukran Shukran ALLAH amekujaliya hekima Sana Na kupenda kwa ajili ya ALLAH ALLAH azi kuku Linda tufaidike mengi na mengi zaidi na zaidi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🇧🇮
@fadhilimpini11 күн бұрын
Shekhe Kwa Mara ya pili Tena ijja
@andrewmoi218611 күн бұрын
Ata mara 10 mwenyezi mungu amubariki sheikh wangu
@sarahmuhammed687211 күн бұрын
Sema MA SHA.ALLAH
@sarahmuhammed687211 күн бұрын
HASAD mbaya
@khadijaa81511 күн бұрын
Yeye anakwenda kama kiongozi kwenda kuongoza watu kule katika kundi lao huwa anaenda kila mwaka lazim wawepo viongozi wa kundi na dokta pia
@FatimaFatima-bx8ez11 күн бұрын
Mashaallah tabaraka Allah tuombee na sisi ustadhi othman maalim ishaallah ❤❤
@jumaakombe-yb3pt10 күн бұрын
Arafa mlifanya lini huko Makkah sheikh uthman maalim
@salumhassanallymkurdistan70068 күн бұрын
ARAFA AU KISIMAMO CHA MAHUJAJI KATIKA KIWANNJA CHA ARAFA?
@user-gz4vo3vn7l11 күн бұрын
Mashekhe tuwe na macho ya rohoni tusiishi kama tupo nyakati za bwana mtume hii dunia kwa sasa ipo katika giza angalieni palestina pale ndio pakwenda kusimama,
@sarahmuhammed687211 күн бұрын
Wamaanisha ninini,waende Palestine wakasimame wallipuriwe wote
@makenaOG11 күн бұрын
Hapo walipo simama "arafa" si kwa kutaka kwao bali Allah ndivyo alivyoamrisha
@aliabdalla929710 күн бұрын
Wewe dini unaijua lakini au unatoa katika fikra zako
@sarahmuhammed687210 күн бұрын
@@aliabdalla9297 yuwaota nadhaninj8 mgeni kutoka pande ya 2