Рет қаралды 1,558
Katika hatua nyingine, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda Issa, alisema jumuiya imependekeza ikitokea mtu amemuua mwenzake basi adhabu yake iwe kifo na si vinginevyo.
Sheikh Ponda alisema alisema mahakama za Tanzania zimehukumu watu walioua lakini Rais asaini ili hukumu hizo zitekelezwe. Hata hivyo, katika mapendekezo yao Ponda ametaka wahusika wamshauri Rais ili adhabu hizo zitekelezwe.