Mungu akupe miaka mingi tuzidi kunufaika innxhaa allah
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
WW SHEKH ALLAH AKUONGEZE KTK HAKI NA UITAMBUE HAQ NA UIFATE HAQ SHEKH WENU WA MKOA ANA WAKUMBATIA BORA NYINYI MSIMAME NA MUWABAINISHE HAO MASHIA KWAKUWA WATU WASUNNA WAKIWABAINISHA WATU WENGI WALIO WAJINGA NA DENI YAO WAONA KAMA WATU WASUNNA MASALAFI WANA WATENGANISHA WAISLAM NK
@munirahmed77532 жыл бұрын
Ww usimpe sifa hizo kwa kuongea jambo ambalo hana ushahidi nalo na ni uzushi tu
@yunussilayo17713 жыл бұрын
Sheikh Allah akuongoze kwa kuliweka bayana waisilamu watambue hao si miongoni mwetu bali ni dini iliyo kamilika kama ilivyo kamilika uisilamu hao ni zaidi ya kafiri Allah atunusuru sisi na kizazi chetu
@hamilcharles68303 жыл бұрын
Innaalilah WainnaailayhiRaji'uun Allah atuongoze InshaaAllah
@iddiwadau58653 жыл бұрын
Allah atujaalie tunufaike na sheikh wetu Amiin
@abdallahkawambwa90413 жыл бұрын
Shekh wangu allah akuzidishie umepita kifani zaid
@athumanibrahim93333 жыл бұрын
We ndo mkundu kabisa kapita kifani ipi? Na unaskia anasema kaskia ila hana uhakika?
@jumannekambi2322 жыл бұрын
بارك الله فيك
@lulanjamd38863 жыл бұрын
Hata sisi wakristo hatuungi mkono upuuzi huu.Enyi wanadamu mbona mwamuuzi Mwenyezi Mungu?
@mjukuuwababumauzo90143 жыл бұрын
Uislamu tusiweni wanafiki kwa maswala ya kuingiliana ki madhehebu,tuweni na itikadi za kurekebishana,pengine alivyoskia msemaji wako aliyekuwa alisema aliibadilisha yeye,ila Hakuna uhalali huo wa kumuingilia mke kinyume na maumbile,,. Ni mda mwingi Kuna unafiki ktk shia, sunni na hao wengine,. Dini haziwi hivyo Kisha mliletwa kwa ajili ya kurekebishana na si kukejeliana ama kuingiliana.M.Mungu akujaalieni neema ktk da'awah zenu
@saidiiddi95913 жыл бұрын
Mmh Subhana Llah
@halimanasihu12003 жыл бұрын
Mtihani yarabbi
@MohamedAhmed-yi1yf3 жыл бұрын
Hao waswahili waliongia ushia kwa njaa watajuta kuwafuata
@ramadhaniseleman17472 жыл бұрын
Inshalla
@ishqmeinmarjawan10483 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Mashia wanawapotosha watu.Wanawatumia Waswahili wenzetu Kwa kuwafundisha dini kimaslahi na kuwavisha kanzu na vilemba na kuwatukana waislamu.Njaa mbaya
@abuuyaasiriibrahimkyone.29113 жыл бұрын
Bora yako wewe umejitoa muhanga kulisema hilo.
@kasimukhalifani15753 жыл бұрын
Yapo kweli
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@KibeBoy Жыл бұрын
Jamani huyu shee Mungu amelaani leo mpaka kiama muongo muongo nimesoma shia ila sikwahivo anov xem
@slimshariff1096 Жыл бұрын
Shekhe hakuna unalolinua wajinga ndio watakaokubaliana NA we we . swalawatu . allahu maaswake alaa Muhammad waali Muhammad. Slim Shariff moshi
@fadhilikawambwa51593 жыл бұрын
mimi ni mpenzi sanawa IBN TV ya mashia mbona haya mambo sijawahi kuyasikia.masheikh tuwe makini sana na kauli zetu.mbona riwati mitaani ni nyingi sana ha hata hao shia hawapo huko.nawasihi sana babdeo miladu mtajiharibia sana.waislamu tunachangamoto nyingi sana ktk maisha yetu.tumuige sheikh ponda.dr sule.mwaipopo.mazinge.n.k.
@mkude2 жыл бұрын
Wewe mwenyewe unaweza ukawa shia hao hao tuu.acha ujinga sheikh anaweka bayana mambo wanaozusha shia eti wewe unatoa sababu mimi mbona sijawasikia,sasa je uliwahi kuwasikja wakiwatukama maswahaba,wakati wao ni kweli wanawakejeli maswahaba na wake na mtume s a w.ila hawaweki bayana wanatumia kitu wanaita takiyyah.
@zamdaswaleh5410 Жыл бұрын
Hasara kubwa shk afanya FITNA. Habari za kusikia azizungumzia ktk hadhara,MNATUABISHA.
@FundiMapilau-gq7gg Жыл бұрын
Habari za kusikia wap ....embu nipe mtiririko Tu swala Kwa mashia je ndio alivyofundixha mtumee
@alihijiiddi89773 жыл бұрын
HAYA MAMBO TULIKWAMBIENI ZAMANI TAADHARINI NA NENO SHIA KWENYE UISILAMU KWANZA HAKUNA USHETANI NA VILE VILE KWENYE DINI HAKUNA SUNNI USHETANI PIYA WENGI WANAINGIZA WATU DINIZAO KUSEMA HIVYO VILE VILE KWENYE QURAN HAKUNA HAYO NA WALA KWENYE HADITHI HAMNA UGONJWA WA SHETANI UMESHAENEYA TU KAMA SIYASA MIMI SUNNI MIMI SHIYA UWONGO MTUPU TUWACHENI HAYA PIYA 🕌🌎❤️🕌🌎❤️🕌🌎❤️🌎❤️🌎❤️🕌🌎❤️🕌🌎❤️🕌🌎❤️🕌❤️🕌
@mohamedjongo64783 жыл бұрын
Hivi mtume Muhammad alikua dhehebu gani mashekhe ,nahtaji andiko kutoka kwenye qur an.
@shifaaonlinetv80033 жыл бұрын
Miladu mic yakoo inazingua samahan n bora uchukue sound direct
@mohamednassoro79053 жыл бұрын
umenisaidia kusema shekh sound wak vibaya
@BABDEOMILADU3 жыл бұрын
@@mohamednassoro7905 shukran
@alikuran723 жыл бұрын
Sema ueleweke wasemaje
@sajjadally92483 жыл бұрын
Sasa kama Umesikia nalo walitolea hoja inaonesha mwalimu namna gani madaraka yamekulevya
@ahmadymuhina65463 жыл бұрын
kwan samiri anamadaraka gan?
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Kwan hujui hukmu ya kusikia au ndo kamchezo kamekukolea
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@ahmadymuhina6546 hapi chacha
@twahirazizi5243 жыл бұрын
@@jamalishoo3802 kwa Sharia y kiislamu sio kila ya kusikia n hukumu
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@twahirazizi524 bali hutizamwa uadilifu wa aliyesema na........ Lkn pamoja ni hivyo hilo ni maarufu kwa mashia
@mussajuma31003 жыл бұрын
Duu! Yaani comment tu unamjua huyu ni mshia au laa!
@allymustafa96743 жыл бұрын
Hujawajua Mashia ni wakina nan kaa chini ufundishwe Astaghfirullaah
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@haideryally24693 жыл бұрын
Hebu tupitie hii clip ili tujue huo mchezo ni wakina nani katika waislamu: MCHEZO WA KUWAENDEA WANAWAKE KINYUME NA MAUMBILE NI WA WATU GANI? kzfaq.info/get/bejne/Y5h1edaLlpiraaM.html
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
Shekhee kumuiyngiliya mke nyumaa ni haaraam naa wakati anaposhutaa machunzi nikimnuusaa 2 yaa nyumaa jee ni khaalaali
@azizawadh59732 жыл бұрын
Angeitwa kiongozi wa mashia kudhibitisha hilo vinginevyo ni kama kuwasimanga Allah hapendi
@tawhidthinay52933 жыл бұрын
A: Imam Abu Hanifah has said:whoever commits sodomy with his slave man or his employee and penetrates ,there is no had (punishment) for him.(see Hashiyah of Sharh al-Wiqayah by Allama Chalapi,Kitabul Hudud, p. 212; also see Imam al-Ghizali's al-mankhul, Damascus, p. 502) MBONA HAWAAMBI KUWA MAIMAMU WAO WAMERUHUSU MUME KWA MUME?
@groundtrader1733 жыл бұрын
Acha Unafiki wewe.
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Sio kweli
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Kwahiyo na nyie mkaona msipitwe mkaamua nanyie muwalawiti wake zenu?
@tawhidthinay52933 жыл бұрын
KUMWINGILIA MKE KATIKA TUPU YA NYUMA KATIKA VITABU VYA AHLISUNA *************************************** نساءؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم Wake zenu ni mashamba yenu, basi yaendeeni mashamba yenu kwa namna mtakayo.2:223 Imepokewa kutoka kwa Abdallah Bin Abbasi anasema: "Umar bin Khatabi alikuja kwa Mtukufu Mtume saww wa Mwenyezi Mungu akasema; Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Nimeangamia. Mtume akamuuliza: Jambo gani lililokuangamiza? Umar akasema: Usiku msafara wangu ulipinda (nilimwingilia mke wangu katika tupu yake ya nyuma) Mtukufu Mtume saww hakumjibu lolote. Mara Mwenyezi Mungu akamletea wahyi Mtume wake Aya hii: نساءؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم Wake zenu ni mashamba yenu basi yaendeeni mashamba yenu kwa namna mtakayo."2:223 Qur-ani. Mtukufu Mtume saww akasema: Mwelekeze mbele au nyuma, na epuka tupu ya nyuma, na damu ya hedhi. Imepokewa kutoka kwa Naafi'i, anasema Abdallah Bin Umar bin Khatabi aliniuliza: "Unajua Aya hii نساءؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم Wake zenu ni mashamba yenu basi yaendeeni mashamba yenu kwa namna mtakayo, 2:223, ilishuka kwa ajili gani? Nikamjibu: La, sijui. Akasema: Imeshuka kwa ajili ya kuwaingilia wanawake katika tupu za nyuma." Rejea za wanazuoni wakubwa wa Ahlisuna: Addurrul Manthur Jz 5 UK 540; Fat hul Baary Jz 8 UK 38-39; Irshadus Saary Jz 10 UK 61-63; Allubab fyi uluumil kitabu Jz 4 UK 80 Sisi hatutoi habari za kusikia, tunatoa yale tuliyoyasoma kutoka vitabu vya wanazuoni wakubwa maarufu. Hizo ni riwaya mbili zinazo thibitisha kuwa Maswahaba wa Mtukufu Mtume saww wawili, Umar na mtoto wake, Umar ni mtendaji wa moja kwa Moja na mtoto wake Abdullah anasema Aya hii 2:233, iliteremshwa kwa ajili ya kumwingilia mke tupu yake ya nyuma. Alama Abu Zakaria Muhyid diin bin Sharaf An nawawy, katika kitabu chake: Al majmu'u Jz 19 UK 60-63 anasema: Ikiwa mume alikuwa akimwingilia mkewe katika tupu ya nyuma, kisha mke akashika mimba akazaa, kuna kauli za kisheria juu ya huyu mtoto: mtoto ni halali ya mume. Vyovyote vile vitakavyokuwa: Hapa inaangaliwa kuwepo kitendo cha kuingiliwa mke katika tupu ya nyuma. Kwamba, ni kitendo kipo kinafanyika. Tena, kwa kauli hiyo ya kuwa mtoto azaliwaye kwa njia hii ni halali. Wanazuoni wa siku hizi kabla hujasema jambo rudini kwenye vitabu vya wanazuoni wenu wakubwa, waulizeni wanasema nini kuhusiana na suala ulilosikia? Imepokewa kutoka kwa Abu Sulayman Aljarjaaniyyi akisema: "Nilimuuliza Maalik Bin Anas (Imamu wa madhehebu ya Maalik) kuhusu kumwingilia mke katika tupu ya nyuma, Imamu Maalik, akajipiga kichwani na akasema: Sasa hivi ninatoka kukoga kwa ajili ya hiyo." Maana yake, Imamu Maalik Bin Anas alikuwa ametoka kumwingilia mke wake katika tupu ya nyuma, kisha akaenda kukoga!! Na Imamu Shafii anasema: "Halikusihi jambo lolote kwa Mtukufu Mtume saww kuwa ni halali wala haramu kumwingilia mke katika tupu ya nyuma. Na, (kwa kutumia) Qiyasi, jambo hilo ni halali. Rejea za wanazuoni wakubwa wa Ahlisuna: Umdatul Qaary Jz 18 UK 155; Irshadus Saary Jz 10 UK 61-63; Addurrul Manthur Jz 1 UK 476; Ahkaamul Qur-ani, ya Jassaas Jz 1 UK 480. Endelea kufuatilia darasa zetu zinazo fuata ujifunze Zaidi : 145 - أخبرنا محمد بن عبد الرحمن المطوعي ، أخبرنا أبو عمرو بن حمدان ، حدثنا أبو علي ، حدثنا زهير ، حدثنا يونس بن محمد ، حدثنا يعقوب القمي ، حدثنا جعفر ، عن سعيد بن جبير ، عن ابن عباس قال : جاء عمر بن الخطاب إلى رسول الله - صلى الله عليه وسلم - فقال : هلكت . فقال : وما الذي أهلكك ؟ قال : حولت رحلي الليلة ، قال : فلم يرد عليه شيئا ، فأوحي إلى رسول الله - صلى الله عليه وسلم - وهذه الآية : ( نساؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم ) يقول : أقبل وأدبر ، واتق الدبر والحيضة .
@tawhidthinay52933 жыл бұрын
@@jamalishoo3802 KUMWINGILIA MKE KATIKA TUPU YA NYUMA KATIKA VITABU VYA AHLISUNA *************************************** نساءؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم Wake zenu ni mashamba yenu, basi yaendeeni mashamba yenu kwa namna mtakayo.2:223 Imepokewa kutoka kwa Abdallah Bin Abbasi anasema: "Umar bin Khatabi alikuja kwa Mtukufu Mtume saww wa Mwenyezi Mungu akasema; Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Nimeangamia. Mtume akamuuliza: Jambo gani lililokuangamiza? Umar akasema: Usiku msafara wangu ulipinda (nilimwingilia mke wangu katika tupu yake ya nyuma) Mtukufu Mtume saww hakumjibu lolote. Mara Mwenyezi Mungu akamletea wahyi Mtume wake Aya hii: نساءؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم Wake zenu ni mashamba yenu basi yaendeeni mashamba yenu kwa namna mtakayo."2:223 Qur-ani. Mtukufu Mtume saww akasema: Mwelekeze mbele au nyuma, na epuka tupu ya nyuma, na damu ya hedhi. Imepokewa kutoka kwa Naafi'i, anasema Abdallah Bin Umar bin Khatabi aliniuliza: "Unajua Aya hii نساءؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم Wake zenu ni mashamba yenu basi yaendeeni mashamba yenu kwa namna mtakayo, 2:223, ilishuka kwa ajili gani? Nikamjibu: La, sijui. Akasema: Imeshuka kwa ajili ya kuwaingilia wanawake katika tupu za nyuma." Rejea za wanazuoni wakubwa wa Ahlisuna: Addurrul Manthur Jz 5 UK 540; Fat hul Baary Jz 8 UK 38-39; Irshadus Saary Jz 10 UK 61-63; Allubab fyi uluumil kitabu Jz 4 UK 80 Sisi hatutoi habari za kusikia, tunatoa yale tuliyoyasoma kutoka vitabu vya wanazuoni wakubwa maarufu. Hizo ni riwaya mbili zinazo thibitisha kuwa Maswahaba wa Mtukufu Mtume saww wawili, Umar na mtoto wake, Umar ni mtendaji wa moja kwa Moja na mtoto wake Abdullah anasema Aya hii 2:233, iliteremshwa kwa ajili ya kumwingilia mke tupu yake ya nyuma. Alama Abu Zakaria Muhyid diin bin Sharaf An nawawy, katika kitabu chake: Al majmu'u Jz 19 UK 60-63 anasema: Ikiwa mume alikuwa akimwingilia mkewe katika tupu ya nyuma, kisha mke akashika mimba akazaa, kuna kauli za kisheria juu ya huyu mtoto: mtoto ni halali ya mume. Vyovyote vile vitakavyokuwa: Hapa inaangaliwa kuwepo kitendo cha kuingiliwa mke katika tupu ya nyuma. Kwamba, ni kitendo kipo kinafanyika. Tena, kwa kauli hiyo ya kuwa mtoto azaliwaye kwa njia hii ni halali. Wanazuoni wa siku hizi kabla hujasema jambo rudini kwenye vitabu vya wanazuoni wenu wakubwa, waulizeni wanasema nini kuhusiana na suala ulilosikia? Imepokewa kutoka kwa Abu Sulayman Aljarjaaniyyi akisema: "Nilimuuliza Maalik Bin Anas (Imamu wa madhehebu ya Maalik) kuhusu kumwingilia mke katika tupu ya nyuma, Imamu Maalik, akajipiga kichwani na akasema: Sasa hivi ninatoka kukoga kwa ajili ya hiyo." Maana yake, Imamu Maalik Bin Anas alikuwa ametoka kumwingilia mke wake katika tupu ya nyuma, kisha akaenda kukoga!! Na Imamu Shafii anasema: "Halikusihi jambo lolote kwa Mtukufu Mtume saww kuwa ni halali wala haramu kumwingilia mke katika tupu ya nyuma. Na, (kwa kutumia) Qiyasi, jambo hilo ni halali. Rejea za wanazuoni wakubwa wa Ahlisuna: Umdatul Qaary Jz 18 UK 155; Irshadus Saary Jz 10 UK 61-63; Addurrul Manthur Jz 1 UK 476; Ahkaamul Qur-ani, ya Jassaas Jz 1 UK 480. Endelea kufuatilia darasa zetu zinazo fuata ujifunze Zaidi : 145 - أخبرنا محمد بن عبد الرحمن المطوعي ، أخبرنا أبو عمرو بن حمدان ، حدثنا أبو علي ، حدثنا زهير ، حدثنا يونس بن محمد ، حدثنا يعقوب القمي ، حدثنا جعفر ، عن سعيد بن جبير ، عن ابن عباس قال : جاء عمر بن الخطاب إلى رسول الله - صلى الله عليه وسلم - فقال : هلكت . فقال : وما الذي أهلكك ؟ قال : حولت رحلي الليلة ، قال : فلم يرد عليه شيئا ، فأوحي إلى رسول الله - صلى الله عليه وسلم - وهذه الآية : ( نساؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم ) يقول : أقبل وأدبر ، واتق الدبر والحيضة .
@mahamuduabdallah53993 жыл бұрын
Kumbe huyu nae han kitu pole bwana samir
@AbdullahAbdullah-fz9xg3 жыл бұрын
We mwenye kasimame upinge
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Endeleeni kulawitiana tu
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Wengine mnaupenda huo mchezo ndio maana mnaona shekhe kakosea
@bongelabwana19403 жыл бұрын
Huyo ni Shekh Ubwabwa hana hojaa
@burhaanmamboleo35513 жыл бұрын
@@bongelabwana1940 Hana hoja kwa hiyo kiboga ni halali?
@abdallahismael39933 жыл бұрын
Nipewe iyo clip
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@haideryally24693 жыл бұрын
MCHEZO WA KUWAENDEA WANAWAKE KINYUME NA MAUMBILE NI WA WATU GANI? kzfaq.info/get/bejne/Y5h1edaLlpiraaM.html
@user-hb8vi9fx6g3 жыл бұрын
NI KUA NA MSIMAMO TU KWANI HIZO BAHASHA ZITA TUPELEKA PABAYA SANA ! TUACHE KUJICHEKESHA CHEKESHA MBELE ZA WATU HAO
@omaruledijuma1292 жыл бұрын
Sheikh siku nitaitafuta nafas ili tuzungumze yako
@zainabusabas7421 Жыл бұрын
Jamani hakuna mashia waliosema kumwingilia mke kinyume na maumbile dini zote zina kataza leo hii wanaume wengi wanapenda michezo hiyo hadi kwa watoto wawatu je ni mashia ?
@thekingcr73653 жыл бұрын
Yaani we mzee ni watu wanakuheshimu tu. Lakini sijaona kabisa kama unaelewa. Masuni acheni kunyenyekea na kuwatii wasiojua kama hawa. Unajifanya kuingia katika milango usiyoiweza kuleta porojo na usanii.
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Kwahiyo ili uonekane unajua ni useme kulawiti kunafaa
@thekingcr73653 жыл бұрын
Sijasema kunafaa, ila ni jambo ambalo lipo hata kwa masunni. Na wanachuoni wenu wanatofautiana katika jambo hilo kama ambavyo wanachuoni wetu pia wanatofautiana.
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@thekingcr7365 shia mna tabia ya taqiyyah wakt meingine huwa mnaficha baadhi itikadi zenu. Haya na hili la kuwatukana maswahaba na wake za mtume! Kwasababu hili tu linamtia mtu ktka ukafiri
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@allybyarushengo57272 жыл бұрын
Sheikh ushahidi wa kusikia si sahihi,ungelifanyia uchunguzi kabla ya kulitangaza,JAMBO hili hakuna,Ni maneno ya watu wenye chuki na uislaam.
@mahamuduabdallah53993 жыл бұрын
Mambo hayo kwenu tele kwenye vitabu vyenu
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Kwahiyo ndo na wewe unamuingilia mkeo ktka tupu ya nyuma kwasababu hiyo
@mahamuduabdallah53993 жыл бұрын
Tendo hilo halikubakiki kwa mashia lakin shekh wenu katika kueleza angesema hata kwetu yapo angalieni fatul bari juz ya 1 kurasa 38-39 sio kia kitu kwa ujinga wenu mnasukumia mashia mashekh waache chuki
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@mahamuduabdallah5399 shekh wa shia amefutu kwamba yafaa
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@omaruledijuma1292 жыл бұрын
Beydh kawavuruga masheikh huko lamu na sio mashia hao ni masunni tena nyie sio kumuingilia mwanamke bali mnafanya kiwatwi ya moja kwa moja kwa wanaume
@yaallymadad.18923 жыл бұрын
Unajua kuna mambo anaweza kuona sifa kuyazungumza ila yanaweza muharibia yakifunuliwa yake. Hivyo nawanasihi Masheikh kuangalia ya kuyazungumza katika Mimbari. Washukran 🙏
@mohamedimohamedi89333 жыл бұрын
Kweli ndugu
@abdulshakurabdallah74303 жыл бұрын
Sheikh assalaam aleykum samahani hayo maneno sio kweli na hio tabia ni ya baadhi ya watu binafsi sio Mashia tuu hatta masunni pia wanalawiti kwa hio hayo ni nje ya Dini na kuhusu Wakeze Mtume saww soma vizuri Surati Ttahriim pamoja na historia utaelewa kwamba walikuwa tofauti saaanaa.shukran
@bindaudy14643 жыл бұрын
Shekh taqee mbona hakuna ulicho jibu wakati wew wajua kua ni haraamu sasa wakataze wenzio ama mashia wenzio waache hiyo tabia. lazima tuongee kwasababu yasemwayo yapo nasio kuambiwa tu tunasikia sana hata kwa wanafunzi munao wafundisha nahakuna wafundishaji ninyienyie waalimu wa kishia.
@labankushaha51603 жыл бұрын
jamani sio nyinyi hata sisi wakirsto waga tunazinguliwa na wakatoliki
@khamisjuma88132 жыл бұрын
Wakatoliki wanakuzingueni vipi?
@omarykusah97192 жыл бұрын
Mashia mavi Sana hata sayansi himekataaaa
@bakarimashi22993 жыл бұрын
Sijui hawa wengine huangaliwa vigezo gani kuitwa mashekh
@@jamalishoo3802 tatizo kubwa la hawa masufi hawasomi dini kazi yao kupiga dufu na kupuliza nai na kukata viuno! Sitak kuwakosea adabu ila ndivyo walivyo japo Mimi nilitokea huko ila namshkuru mungu ameniongoa! Mfn huyu nae anaitwa shekhe mkuu wa chuo alf anaongea upuuzi tena mbele ya hadhara bila ushahidi anapiga propoganda tu
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@jailaninkya8978 acha kutetea makosa kwa unachodhania kuwa ni makosa.
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@jailaninkya8978 kwahiyo ndo ukaamua na wewe ukate mauno kwa liwatwi. Unatakiwa ujibu hoja
@bifatimamshia7773 жыл бұрын
Shekh nimeambiwa hahaha pole sana
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Hivi ni ulikosa cha kuongea nini?? Yaani we ndio mudir?? Sasa kama unaongea upuuzi huu we ndio unazalisha mashekhe na maustadhi gani?? Tungekuona unaakili endapo ungeongea kwa hoja cyo kuropokwa tu
@burhaanmamboleo35513 жыл бұрын
Ww lete hoja
@alikuran723 жыл бұрын
Umeambiwa jambo hilo halifai wasema ni kuropoka.Qibri.Kafiri.Utaelewa ukiingia kaburini usipobadilika na ukaleta mabishano yasomaana
@yaallymadad.18923 жыл бұрын
Wajiita Sheikh lakini ni Bure soma vitabu vyenu vizuri utayashangaa yaliyomo wacha kujiropokea Sheikh.
@nassirmohd28513 жыл бұрын
wewe shia mkubwa
@hassanmuhammed42273 жыл бұрын
Shia kubwa limepinda ukweli umemuuma
@aminarashidi47573 жыл бұрын
Duu huu mtihani yaani hata wewe unamuingiliia kinyume na maumbille mkeo.
@alimasisalumu80383 жыл бұрын
Mashia mengi wamezua waz waz
@yaallymadad.18923 жыл бұрын
@@hassanmuhammed4227 hivi mnajua waalimu wa Ki Ahlusunna huku mtaani wanatutia Aibu kwa kufanya Qawmu Lutwi.
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
Huyu ni Sheikh Nimeambiwa. Inabidi akasome ameonyesha kiwango kikubwa cha Ujahili wake ktk Clip hiyo kwa kupotosha. Na yaonekana hajui vitabu vya kisunni nini vinaongea kuhusu Masiala hiyo ... Yupo amekazana na kusema ati:"NIMEAMBIWA?!" Sheikh Nimeambiwa huyo.
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Kwahiyo ww ulisoma hivyo vitabu ndo unamlawiti mkeo sio
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
@@jamalishoo3802 hapana nilisoma Vitabu hivyo vyako unavyoviamini ndio nikajua unavyomlawiti kila Siku MKE wako wewe kisha unakimbilia kuwasema wasio Fanya uchafu wako ili kuwa kama kichaka cha kujifichia uendelee kufanya hivyo usije ambiwa kulawiti huko unakutoa ktk Vitabu vyako vya Kisunni unavyoviita Sahih.
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Dunia nzima inajua kwamba nyie mashia ndio mnao wafira wake zenu na huo ndio msimamo wenu pamoja na majoho yenu halafu hamtaki kuambiwa. Kama hamtaki kuambiwa acheni kufirana
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Ijmaai ya wanawachuoni wa kisunni ni kwamba hilo jambo halifai Na ijmaai ya mashia ni kwamba linajuzu. Na nnazumza na mashia wa dunia nzima sio ww jaahili mmoja
@yassintawakkal78613 жыл бұрын
Kuna uwezekano tukapata namba za huyu shekh asiyejielewa?? Yaani ajiita shekh halaf anasema nimesikia Kama kuna uwezekano tukapata namba zake tukajadili hili jambo kidalili kutoka kwenye vitabu vyake ingekuwa vizuri sana
@hassanmfaume45223 жыл бұрын
Shia wewe acha liwati
@seremenikibwene86333 жыл бұрын
Vp sheykh ww una dalili juu ya jambo hili ? Bimaana linafaa ?
@muhammedmsuya99463 жыл бұрын
@@seremenikibwene8633 wewe nimjinga nikicha asiejielewa ni wewe namkeo unaemfanyia liwt
@muhammedmsuya99463 жыл бұрын
@@seremenikibwene8633 wewe nimjinga nikicha asiejielewa ni wewe namkeo unaemfanyia liwt
@seremenikibwene86333 жыл бұрын
@@muhammedmsuya9946 Shia Ni Makafiri, Kubali, kataa, shia ni kafirikafirikafiri.
@yassintawakkal78613 жыл бұрын
*bukhari anathibitisha aya ya kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile ingawa alikata maneno* 😐تحريف البخاري😐 👈أخبرنا عبد الصمد، حدَّثني أبي، حدثني أيوب، عن نافع، عن ابن عمر في قوله {نِسَاؤُكُمْ حَرْثٌ لَكُمْ فَأْتُوا حَرْثَكُمْ أَنَّى شِئْتُمْ} قال: يأتيها في الدبر أخبرنا النضر، أخبرنا عبد الله بن عون، عن نافع: كان ابن عمر إذا قرأ القرآن لم يتكلَّم حتى يفرغ منه، قال: فأخذتُ عليه يوماً، فقرأ سورة البقرة حتى انتهى إلى قوله {نِسَاؤُكُمْ حَرْثٌ لَكُمْ فَأْتُوا حَرْثَكُمْ أَنَّى شِئْتُمْ} فقال: أتدري فيم أنزلت هذه الآية؟ قلتُ: لا. قال: نزلت في إتيان النساء في أدبارهن 📚المسند للمروزي ج3 ص278 👈حدثنا إسحاق، أخبرنا النضر بن شميل، أخبرنا ابن عون، عن نافع، قال: كان ابن عمر رضي الله عنهما إذا قرأ القرآن لم يتكلم حتى يفرغ منه، فأخذت عليه يوماً، فقرأ سورة البقرة، حتى انتهى إلى مكان، قال: تدري فيم أنزلت؟ قلت: لا، قال: أنزلت في كذا وكذا، ثم مضى. وعن عبد الصمد، حدثني أبي، حدثني أيوب، عن نافع، عن ابن عمر {فأتوا حرثكم أنى شئتم} قال: يأتيها في) *ZINGATIA* Bukhari amenukuu hadithi lakin alipofika kwenye lengo la hadithi akakata maneno Lakin angalia mwenye kitabu المسند للمروزي ج3 ص 278 Kaiandika yote kwa ukamilifu wake Na ndio sanadi hiyo hiyo iliyopo kwenye bukhari Hapa ndio utajua ni lipi lengo la bukhari??? Bukhari amekata maneno ili kuficha nini?
@saidichawa79513 жыл бұрын
Ndugu yang ctk nikutie aibu ila endelea kuisoma hiyo aya mpaka ukrasa wapili utafaham maan yak kama hujaelewa nichek watsap kweny namab hii 0687465288
@saidichawa79513 жыл бұрын
Nahapo hapo utapata jibu la kumsingizia imam shafigh aruhus liwatwi
@azizawadh59732 жыл бұрын
@@saidichawa7951 tupe faida hata sisi maamuma utakua umefanya jambo LA kheri isiwe tunawasingizia mashia kwa faida yetu Allah hapendi
@jailaninkya89783 жыл бұрын
We kutokuja kwako ukweli kusikufanye uwatuhumu watu
@haideryally24693 жыл бұрын
MCHEZO WA KUWAENDEA WANAWAKE KINYUME NA MAUMBILE NI WA WATU GANI? kzfaq.info/get/bejne/Y5h1edaLlpiraaM.html
@allymustafa96743 жыл бұрын
We unawafundsha nn Jamii
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Ukweli uachwe usemwe!!!
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Ukweli uachwe usemwe!!
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@daisythetech3 жыл бұрын
Kwaiyo ww unasapoti kuingiliwa mke kinyume na maumbile
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
@@daisythetech ungesikiliza clip ili ujue kuna kusapoti au hakuna...kisha ndio uje kuuliza swali kama mtu mwenye akili timamu.
@tawhidthinay52933 жыл бұрын
Mbona hayo huyasemi kuwa maimamu wenu wamepitisha kuwaingilia watoto wa kiume?angalia Abu Hanifah..Imam Ghazali..Shafi'i na malik
@Yu-jr9uf3 жыл бұрын
Acha fitna ndugu yangu...unapoongea maneno makubwa kama hayo kuhusu dini inabid uje na ushahidi madhubuti
@omypaxtore87403 жыл бұрын
Ni uzuri kuwa na elimu kabla ya imani soma kwanza uwajue hao maimamu unaowatukana afu ndo uje na fatwa..
@haideryally24693 жыл бұрын
@@Yu-jr9uf Hayo aloyasema sheikh yeye kaja na ushahidi upi kama sio kwamba yeye ndio mleta fitna. Tena mtu ambae jamii inamchukulia ni msomi na kiongozi anataja maneno yasiyo na stara tena kwenye hadhra ya Mtume kwa kusema nimembiwa, duh! Huu ni msiba kweli kweli.
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Taja marejeo sio unaongea tu
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@haideryally2469 hadithi pia husema hivyo "nimeambiwa"
@munirahmed77533 жыл бұрын
Ww haya maneno umezua tokea wapi hakuna katika mashia wanaoruhusu kumuingilia mke kinyume wala kutukana masahaba ww ni mzushi tu na ilimu ndogo
@alimasisalumu80383 жыл бұрын
Kaumu ruttu haifai
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@rashidabuu94063 жыл бұрын
coment za mashia nyingi , acheni ushia kwanini mwalazimisha nyume kuna nini ??? jamani shia acheni nyuma
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
Ni kwamba Vitabu vya Kisunni vinakufunzeni hizo tabia .. na mnaona njia nzuri ya kuficha unamlawiti mkeo ni kusingizia Mashia kama kwamba MKE wao. Tizama Vitabu vyako unavyoviita sahihi vinavyowaelekezeni nyinyi masunni kuwaendea KINYUME na MAUMBILE wake zenu.
@munirahmed77533 жыл бұрын
Mkiambiwa jambo sio mnashangilia tu lifanyieni utafiti huyo jamaa ni fix tu hakuna kitu kama hicho
@omaruledijuma1292 жыл бұрын
Huko lamu wanaopakuliwa wote ni masheikh wa kisunni tena masheikh wengi wa Tanga walioenda kwa Bedhi na unajua hilo mbona husemi
@nurdiniathumani9388 Жыл бұрын
Aibu kubwa
@yaallymadad.18923 жыл бұрын
Jamaa Sheikh Samir anayoyasema ni uongo asome ajue
@hassanmuhammed42273 жыл бұрын
Anasema kweli munapenda michezo michafu nyinyi
@ishqmeinmarjawan10483 жыл бұрын
Ww ndio muongo yan unaelimishwa halaf unasema anaongea uongo jitambue uwendako utakuja kujuta
@alikuran723 жыл бұрын
Sasa endelea kubishana siku ukifa sms yako ipo haifi.Utajua kama ukweli au la.
@yaallymadad.18923 жыл бұрын
Poleni sana ila nawausia usomeni huo usuni vizuri
@yaallymadad.18923 жыл бұрын
Mtayaona yaliyomo
@nzogelamussa25853 жыл бұрын
hayo Mambo yenu mnaongea hatuoni ushahidi shauliyenu
@hamadali16963 жыл бұрын
Kwanza lazima ufahamu hiyo sio itikadi ya mashia wote bali ni baadhi na hilo hata kwenu lipo shekh na hata wako waliokuwa wakifanya huko kwenu wengine wakitumia mafuta ili waweze kufanya,sasa usiwaonee mashia tu kwani hata kwenu lipo hilo.
@rajabmadebo55704 ай бұрын
Kumbe ni kweli 🤔🤔
@munirahmed77533 жыл бұрын
Huyu hızı fatwa ni za kuzua au atuonyeshe kitabu kipi cha maşhia kilichoruhusu hayo kama elimu huna bora kaa kimya tu kuliko kuongea mambo ya uzushi
@omarykusah97192 жыл бұрын
Do
@nohatredbutlove57863 жыл бұрын
Me ikiwa mashia ni kweli wanawatukana maswahaba wa Mtume (Omar na Abu bakar) basi hayo mengine yote hayaniumizi kichwa maana siwachukulii kama ni waislamu akilini kwangu.
@mdidiomari73513 жыл бұрын
Maangalia Mashia wanavyo toa povu
@amurimzungu-tn4jf Жыл бұрын
Mashia sio waislamu wale ni wamajusi waabudiaji moto ndio asili yao
@mambosuleiman48013 жыл бұрын
Sidhani kama huu ni ukwel. Sijasikia mm hayo
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@haideryally24693 жыл бұрын
MCHEZO WA KUWAENDEA WANAWAKE KINYUME NA MAUMBILE NI WA WATU GANI? kzfaq.info/get/bejne/Y5h1edaLlpiraaM.html
@sajjadally92483 жыл бұрын
Lau kila Mbwa akibweka basi umrushie jiwe basi mawe yatakuwa Dhahabu
@ahlanwasahlan3733 жыл бұрын
nimeipenda hii kauli
@tawhidthinay52933 жыл бұрын
A: Imam Abu Hanifah has said:whoever commits sodomy with his slave man or his employee and penetrates ,there is no had (punishment) for him.(see Hashiyah of Sharh al-Wiqayah by Allama Chalapi,Kitabul Hudud, p. 212; also see Imam al-Ghizali's al-mankhul, Damascus, p. 502) MBONA HAWAAMBI KUWA MAIMAMU WAO WAMERUHUSU MUME KWA MUME?
@yahyaramadhani34793 жыл бұрын
@@tawhidthinay5293 hiyo kauli ww unaona kuwa imeruhusu?? Au ni hukmu ya duniani hapa juu ya huyo mja?? Nyinyi Mashia ni watu waovu sana. Na huu mchezo mnaoufanya sasa utagonga mwamba.
@yahyaramadhani34793 жыл бұрын
@@tawhidthinay5293 Ikisemwa kuwa hakuna had maana yake ndio yafaa?? Hadd kisheria zipo kwa makosa maalum, mengineyo watu wanafanyiwa taaziir kulingana na haakim anavyoona. Ila msikimbie kuwa nyinyi hamhalalishi liwati na umalaya(mutaa)
@tawhidthinay52933 жыл бұрын
@@yahyaramadhani3479 suali ni kuwa hayo maandishi yako kwenye hivyo vitabu ama hakuna?jee ushaangalia kwenye hivyo vitabu vilioandikwa?
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Mashia wanalaani tu kawana maneno yakielimu at watupu.
@sirajindula14313 жыл бұрын
Kiukweli Kwa zama tulizo kuwa nazo namaendeleo niaibu kukuta anaye itwa shkh mkubwa kusimama mbele yauma nakuanza kusema kuwa nimesikia/nimeambiwa kuwa mashia wanafanya hivi. Aibu tena kubwa shkh mtu mzima unashindwa kuwa tafiti kuijua je nilivyoambiwa nisahihi au laa, Unawezaje kumuamini mtu kuwa yy akiniambia kitu huwa namuamini sana, kumbe huyo rafiki yako akija akakuambia kuwa mungu anamkono nanakiwiliwili na ataweka mjuu wake kwenye moto utasema swadaqta, muswiba ulioje kuwa namashekh wadizaidi hii. Kumuunga mkono mtu aliyewazushia watu uongo nikushiriki dhambi naww. أوّل الدين معرفته
@ebhueshu45183 жыл бұрын
@@sirajindula1431 haya sasa na wewe fanya tafiti www.alulbayt.com/rulings/11.htm Fungua hiyo link soma Swali la 42 na 52 na majibu yake
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@haideryally24693 жыл бұрын
MCHEZO WA KUWAENDEA WANAWAKE KINYUME NA MAUMBILE NI WA WATU GANI? kzfaq.info/get/bejne/Y5h1edaLlpiraaM.html
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Umetumwa. Na mawahab eeh
@hassanmfaume45223 жыл бұрын
Wewe SHIA EH
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Lete hoja ni kweli mashia mnafanya hivyo?
@jailaninkya89783 жыл бұрын
@@jamalishoo3802 hawafanyi na huyu mwenyewe amesema amesikia hajasoma
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Angetuletea hata rejea ya uwongo hata angebuni tu kitabu ila anaeneza propoganda hajui siku hizi nitofauti ma zaman?? Zamani ndio wasomi walikuwa ni wachache so ulikuwa akiongea m2 yoyote mwenye aliyovaa kanzu wanamuamin
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@jailaninkya8978 kama hamfanyi mnahangaika nn yeye kaizungumzia fatwa ya huyo shekh wa kishia halafu kama hilo hamfanyi je hamuwatukani wake za mtume na maswahaba?
@issabinmaryam74503 жыл бұрын
Usharudi nyuma umeharibu
@omaruledijuma1292 жыл бұрын
Yani wew ni sheikh wa kusikia sina imani tena na wew, unatakiwa utoe fatwa za ukweli mana unaongea kwa kuropokwa, mbona mashia wenyewe hawajathibitisha hilo.
@slimshariff1096 Жыл бұрын
Wewe no shekhe kweli ? Kumbe umesikia tu NA MTU unae muamini . shekhe mzina hauna haya hata kidogo kumbe wewe haukusona umesikia tu kwa MTU unaemuamini . sasa NA Mimi nimesikia kwa huo upande wenu kwa sikio langu kwa ninae muamini ya kuwa NA nyie Mke wako akiwa kwenye hedhi no ruksa kumuingilia ndugi take awe WA like au WA kiume . he no kweli ? Niamini? Kama wewe uliyesikia ? Waiskam tusomeni.
Sheikh sema ukweli mbona wew pia una tuhuma hizo za kuingilia wanawake nyuma na ushahidi upo, Hapo Tanga kuna kujata kuna haruna shoga pia katokea Madras yenu ya Tamta na kuna masheikh wenu wengi ndio wanaokula jicho mbona hamsemi na ni masunn hao. Je kuna mshia uliemuona anaekula jicho mana ndio mchezo wenu huo.
@hamadali16963 жыл бұрын
Wewe shekh ni mjinga sana huwezi kutolea hoja kitu cha kusikia.
@mdidiomari73513 жыл бұрын
Mashia wapagani
@thekingcr73653 жыл бұрын
Na kuhusu hilo la wake wa mtume, unataka kusema kuwa hata nabii Nuhu na Luti na wao walikuwa wabaya? Sababu Qur'ani inathibitisha kuwa mke wa Nuhu na Luti walikuwa waovu.
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Hakunashida juu ya hilo unalolisema maana hata ukiiangalia na kuisoma vizuuri Quran utafahamu
@thekingcr73653 жыл бұрын
Maana yake ni kuwa inawezekana Aisha na Hafsa wakawa ni waovu tena wa motoni. Na hiyo isiwe aibu wala fedheha kwa mtume. Wala haishushi heshima yake
@abuuhafsasaad94053 жыл бұрын
Hujielewi wew shia khabiithi,,, hujui kwamba hao unaowataja waliangamizwa na hili laonesha wa yakwamba hawastahili kubaki pamoja na hao manabii
@mkude2 жыл бұрын
@@thekingcr7365 ndo maana siai waislamu tunaitikadi na nashkhru sasa hivi dunia nzima tumeshajua kwamba nyinyi mashia sio ndugu zetu katika imani,labda wazee wetu kidogo walikuwa hawajui kwasababu mlikuwa hamwekj wazi itikadi zenu mlikuwa mnatumia takiyyah ila siku hizi naona mnaweka wazi na pia kuweka wazi kwenu waislamu wengi ndo wanapata kuthibitisha kwamba nyinyi sio waislamu.
@al-ghadeermedia81233 жыл бұрын
Waliambiwa kwamba kila mtu akitaka kujulikana basi awatukane mashia.
@user-qe8xp6ii1u3 жыл бұрын
Kwan shia yeye nani ktk Dini,Ikiwa Kumsema Shia (Myahudi) na kumtukana Omar,Abu bakr,Athuman,Aisha Na mashia wanawatukana maswahaba wote kasoro Ally Na mkewe Fatuma.Nan Anatafut kiki kutak kujulikana
@husseinntarugera39303 жыл бұрын
Sasa kwa mujibu wa Aya Nabil nuhu alikua mbaya na Nabil luutwi pia maana qur an inawataja wake zao walikuwa wabaya sia au hiyo ipoje
@user-qe8xp6ii1u3 жыл бұрын
@@husseinntarugera3930 Hiyo hoja ya kitoto kabisa,😁 Isome surat taharim utagundua Makosa yako yako wapi!Kwa ufup tu kwa mtume Yeye na Ahli bayt wake wote ni watu wa pepon hakuna mke wa mtume ambaye Ataingia moton!Na ktk yale Makosa waliotelez Bas Allah anawabainisha Wazi kabisa ambapo Wakat wa Nuhu na Luta Wale Wake zao Walikuw Ni wanafiki hata Hawakuwajua.Mpaka Sik wanaadhibiwa Hawa Manabii walisimama Kuwatetea Lakin Allah aliwabainisha ule unafik wao.Sas hili ni tofaut na Ummat Mohammad Wanafiki Mtume alijulishwa na Aliwafahamu,Na huu ni muujiza na akaambiwa Awapige vita wao.
@al-ghadeermedia81233 жыл бұрын
Katika viazi viliwavyo vya moto moto ni wewe mzeee ujiitaye Abuu fayswal. Wewe ndiye watakiwa kuisoma surat tahrim kwa makini zaidi. Kwakifupi hao kina bi Aisha na Hafsa ni wanawake wa kawaida sana wala hawana hadhi yoyote ile muwapayo kwakuwa Allah kawaumbua vibaya kwenye hiyo hiyo surat Tahrim. Jiulize kwanini awataje wake za nabii nuhu na lutu humo humo katika hiyo sura moja??? Maana yake tunahitaji kujifunza kitu kwa hao wake za mtume kina bi aisha na shogaye bi hafsa.
@user-qe8xp6ii1u3 жыл бұрын
@@al-ghadeermedia8123 Wew kiukwel una Taaswub kubwa sana na Ummahaatil muuminiina!,Allah akuongoze uwe Muislam,Pia juu ya hao uliowataja kuna maneno ya Allah na pia kuna maneno ya mtume asema"Aisha ni mke wangu Hapa Dunian na Peponi" وفي مصنف ابن شيبة، والطبقات الكبرى لابن سعد مرسلا -وصححه الألباني- عَنْ مُسْلِمٍ الْبَطِينِ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلّى الله عليه وسلم: «عَائِشَةُ زَوْجِي فِي الْجَنَّةِ» . وشهد الصحابة الكرام أنها زوجة النبي صلى الله عليه وسلم في الجنة، ففي صحيح البخاري عن عمار أنه قال عن عائشة -رضي الله عنهما-: إِنَّهَا زَوْجَةُ نَبِيِّكُمْ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ فِي الدُّنْيَا وَالآخِرَةِ. وفي صحيح البخاري -أيضا- أَنَّ عَائِشَةَ اشْتَكَتْ، فَجَاءَ ابْنُ عَبَّاسٍ فَقَالَ: «يَا أُمَّ المُؤْمِنِينَ؛ تَقْدَمِينَ عَلَى فَرَطِ صِدْقٍ، عَلَى رَسُولِ اللَّهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ، وَعَلَى أَبِي بَكْرٍ» Na kuonesha Fadhwila za Aisha Ni kule mtume kufia hali ya kuwa amemlalia Mama Aisha hadith hii pia ameitaja Bukhar na Muslim,Na pia kule kuzikwa Chumban kwake radhiyallahu anhaa. Achana na Ukafiri huo Na Uchafu wenu.
@daisythetech3 жыл бұрын
Mbna hapo shekhe anapaongelea kwenye aya umepakata ?
@yaallymadad.18923 жыл бұрын
Sheikh tunaomba dalili (hiyo clip) sisi tukikupa ushahidi wa nyie mnayoyafanya
@abuuhafsasaad94053 жыл бұрын
Wewe mshia hujielewi haya mambo yapo wazi mbona kwenye vitabu vyao vyakishia,,,
@abuuhafsasaad94053 жыл бұрын
Au wewe ni shia mpya
@abuuhafsasaad94053 жыл бұрын
Na hapo ametaja tu hiyo clip lakin huyo msemaji anafahamu kuwa hayo mambo ndio itikadi ya shia,,,, na kama umeingia juzi kwwnye ushia basi watafute watu wenye maarifa wakusomeshe maana unataka kutete kitu usichokijua unajifanya kuomba clip sasa sasa mfata huyo mzungumzaji atakupa hadi vitabu vyao,,, maana huyo shia alotoa hiyo clip ndo katoa huko kwenye vitabu vyakishia,,, HUU UJINGA NA MASLAHI UTAWAANGAMIZA WATU WENGI SANA اللهم ثبتنا على دينك واهدنا إلى سواء السبيل
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@shadyauthaymini35633 жыл бұрын
Kam sio kwel mbona watangatang
@adamjutto58493 жыл бұрын
Hhahaha wallahi ahlu sunnah walikua wakilisema sana akiwemo sheikh qaasim mafuta na wengineo,lkn alhamdulillah haya yanavyokua wazi sie twapata raha hhhaa,maana nyie mkisema mwasikika sana,sie ahlu sunnah tulianza mda sanaa
@rayisadesigns26463 жыл бұрын
Ndugu ktk imani tambua Ahlu l-sunna wa ljamaa au kwa kifupi dhehebu la Sunni ni waislamu wote wanaofauta mafundisho ya maimamu wanne kama Hanafi, Maliki, Shafii na Hanbalina na wala sio Answaru sunna wala Masalafi peke yao kama unavyoelewa wewe. Wasunni huitwa kwa Kiarabu ahl ul-sunna (أهل السنة). Neno Sunni hutokana na neno sunna kwa Kiarabu (سنة). Kwa hiyo kulilenga kundi fulani ktk hao eti ndilo pekee lenye haki ya kuitwa hivyo hiyo ni mitazamo inayotengenezwa na baadhi ya watu wenye milengo wanayoifahamu wao wenyewe ili kuwaondosha kwenye dhehebu hilo wale wote wanaopishana nao kimisimamo kwenye dini. Fahamu hawa wote wameitwa hivyo (Ahlu l-sunna wa ljamaa) kwa sababu wote wanakubaliana ktk nguzo na wala hawapishani ktk misingi ya dini, hapa kwa mfano rahisi hii ni sawa na kusema wote wanaafikiana ktk shina tofauti zao zipo kwenye matawi tu, tofauti ambazo haziwafanyi wakatengana na kuwa tofauti. Hawa wote ni kitu kimoja.
@adamjutto58493 жыл бұрын
@@rayisadesigns2646 يوم تبيض وجوه وتسود وجوه ما جاء في تفسير هذه الآية عند اللالكائي في شرح أصول اعتقاد أهل السنة -وغيره- من طريق علي بن قدامة, ثنا مجاشع بن عمرو, ثنا ميسرة بن عبد ربه, عن عبد الكريم الجزري, عن سعيد بن جبير, عن ابن عباس في قوله تعالى: {يوم تبيض وجوه وتسود وجوه} [آل عمران: 106] فأما الذين ابيضت وجوههم: فأهل السنة والجماعة، وأولو العلم, وأما الذين اسودت وجوههم: فأهل البدع والضلالة. اهـ. Ndugu yangu ukiwa umeyaelewa hayo utakua umejua kwa nn nimepambanua kati ya ahlu sunnah na wengineo,na si kila anaejiita ahlu sunnah atazingatiwa, ispokua atapimwa kupitia miizaan ya qur-an na sunnah kupitia ufahamu wa wema waliotangulia,maneno hayo ya juu utayakuta pia ktk kitabu cha imaamu sswaabuuni (عقيدة السلف و أصحاب الحديث) Ttamayuz ni muhimu akhy,kwan hata huyo sheikh hapo tiari amashawatuhumu mashia,je tusema shekhe anafaraqanisha ummah wa kiislam,au anaongea haqqi?
@haideryally24693 жыл бұрын
MCHEZO WA KUWAENDEA WANAWAKE KINYUME NA MAUMBILE NI WA WATU GANI? kzfaq.info/get/bejne/Y5h1edaLlpiraaM.html
@ahmadmasud53293 жыл бұрын
SIKU AMBAYO UMAR KHATTAB ALIMUINGILIA MKEWE KINYUME YA MAUMBILE! حَدَّثَنَا عَبْدُ بْنُ حُمَيْدٍ، حَدَّثَنَا الْحَسَنُ بْنُ مُوسَى، حَدَّثَنَا يَعْقُوبُ بْنُ عَبْدِ اللَّهِ الأَشْعَرِيُّ، عَنْ جَعْفَرِ بْنِ أَبِي الْمُغِيرَةِ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ جُبَيْرٍ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ، قَالَ جَاءَ عُمَرُ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَقَالَ يَا رَسُولَ اللَّهِ هَلَكْتُ قَالَ " وَمَا أَهْلَكَكَ " . قَالَ حَوَّلْتُ رَحْلِي اللَّيْلَةَ . قَالَ فَلَمْ يَرُدَّ عَلَيْهِ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم شَيْئًا قَالَ فَأَنْزَلَ اللَّهُ عَلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم هَذِهِ الآيَةَ : (نِسَاؤُكُمْ حَرْثٌ لَكُمْ فَأْتُوا حَرْثَكُمْ أَنَّى شِئْتُمْ ) أَقْبِلْ وَأَدْبِرْ وَاتَّقِ الدُّبُرَ وَالْحِيضَةَ . قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ غَرِيبٌ وَيَعْقُوبُ بْنُ عَبْدِ اللَّهِ الأَشْعَرِيُّ هُوَ يَعْقُوبُ الْقُمِّيُّ . Imesimuliwa na Ibn Abbas. Umar Khattab Alimjia Mtume Muhammad (ﷺ) na kusema: Ewe Mjumbe wa Allah! Nimeangamia! Mtume (ﷺ) Akasema, Kwanini Umeangamia? Umar akasema, Jana usiku nilimgeuza kipandio changu Akimaanisha kuwa alimuingilia mkewe kwa nyuma. Hapo Mtume (ﷺ) Hakumjibu kitu. Ndipo Mwenyezi Mungu Akashusha Aya ya 223 ya Sura Baqara Ikisema: Wake zenu ni mashamba yenu, basi yaendeeni mashamba yenu kwa namna mutakavyo, na muzingatie (mema) nafsi zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu, na Jueni ya kwamba bila shaka mtakutana Naye, na uwapashe habari njema wenye kuamini. Mtume (ﷺ) Akaongeza kwa kusema: Mwelekeze mbele au Nyuma na epuka tupu ya nyuma na damu ya hedhi. Imepokewa kutoka kwa Abu Sulayman Aljarjaaniyy akisema: Nilimuuliza Malik bin Anas (Yule Imam wa Ahlu Sunnah) kuhusu kumuingilia mke katika utupu wa nyuma, Malik bin Anas akajipiga kichwani na kusema; Sasa hivi ninatoka kukoga kwa ajili hiyo, maana yake Imam Malik Alikuwa ametoka kumuingilia mkewe utupu wa wa nyuma kisha akaenda kukoga! Naye Imam Shafii anasema: Halikusihi jambo lolote kwa Mtume (ﷺ) kuwa ni halali wala haramu kumuingilia mke katika utupu wa nyuma, na (kwa kutumia) Qiyas, jambo hili ni halali! Rejea: Umdatul Qaary Juz 18 Uk 155 Irshadus Saary Juz 10 Uk 61-63 Addurrul Manthur Juz 1 Uk 476 Ahkaamul Qur'aan ya Jassaas Juz 1 Uk 480 Imepokewa na Nafii anasema: Aliniuliza Abdullah bin Umar bin Khattab, Unajua Aya hii ya 223 Sura 2 ilishuka kwa ajili gani? Nikajibu La, Sijui. Akasema: Imeshuka kwa ajili ya kuwaingilia wanawake katika tupu zao za nyuma! Rejea: Addurrul Manthur Juz 1 Uk 474 Fat-hul Baary Juz 8 Uk 38-39 Irshadus Saary Juz 10 Uk 61-63 KWA MASHIA ITHNAASHRI Imepokewa kutoka kwa Ahmad bin Muhammad kutoka kwa Al Abbas bin Musa kutoka kwa kwa Saadir; Amesema Imam Abu Jaafar (as) Akisema: Amesema Mtume (ﷺ) kuwa: Kuwaingilia wanawake kwenye tupu ya nyuma wa Umati wangu ni Haraam. Rejea: Alkaafy Juz 5 Uk 540 Wasailush Shia Juz 20 Uk 142 Jawahirul Kalaami Juz 29 Uk 104-105 HAYA TUWAULIZE WALE MAJAAHIL WANAOSEMA KUWA MASHIA HUWAINGILIA WAKE ZAO KWENYE TUPU ZA NYUMA, NI NANI ALIKUWA WA MWANZO KUHALALISHA TENDO HILO NA NI NANI AMBAO WANAOENDELEZA HAYO? JE UMAR KHATTAB ALIKUWA SHIA? JE ABDULLAH BIN UMAR KHATTAB ALIKUWA SHIA? JE IMAM MALIK BIN ANAS ALIKUWA SHIA? JE IMAM SHAFI ALIKUWA SHIA?
@binrashid86713 жыл бұрын
Mpotoshaji, kamuingilia kwa nyuma au kamuingilia nyuma?
@faroukmohamedi56483 жыл бұрын
We jaahili namba moja duniani usione waislam hawana akili kama ww
@binnagy14972 жыл бұрын
Mrongo
@salehemauza9724 Жыл бұрын
Wewe kafiri wa kishia acha kuongopea watu, hiyo Aya hakuna hata ulamaa mmoja ametafsiri hivyo na tunawajua nyinyi mnawachukia Omar na abuubakar kisa waliuchukia ushia
@hasanainkhalid53673 жыл бұрын
Wewe shekh huna elim nahaujaelimika chakuskia kifanyie utafiti ukithibiti ndio ukizungumze imam Maliki ktk vitabu vyenu ndio ilikua kazi yake hapo vipi.
@ahmadymuhina65463 жыл бұрын
na ndo maana akasema amesikia kwa mtu anayemuamin watak ithbaat gan?
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Wewe unayefanya liwati ndo una elimu
@sumayahfathi94133 жыл бұрын
Kiimani ungechunguza upate ukweli kuliko kusema umesikia na ukapruvu ni Shia? Unauhakiki?Toeni hiyo video tusihisie tu, Tuzidisheni Dini na Elimu tuzitoe bure kwani mhona huyo mchezo wa Gari kurudi nyuma umekuwa kama vile unakula chakula,bibadamu tumekosa Haya hata wanyama hawako kama binadamu
@jailaninkya89783 жыл бұрын
لقد كذبت
@saidsaleh74213 жыл бұрын
ارجوا ان توضيح كذبه لينفع المسلمين
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@abdulkabirliloko24063 жыл бұрын
ههههههههههه ممكن تحب حتى تقول كذبت ماذا صدقك???
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Sio haraam kumuingilia mkeo tu kinyume na maumbile , bali ni haraam kumuingilia mwanamke yeyote yule kinyume na maumbile!
@ahmadmasud53293 жыл бұрын
*Sheikh Samir* wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu *Mashia)* Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya *Upotoshaji* aliyoyaongea kwenye *Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia.* *Fuatilia Katika Link Hii:* kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote ipo KZfaq *Shuhadaa Group* 🙏🙏🙏🙏
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Allah atulinde na Shari za mashia,mayahudi na manasara.Allahumma Amiin
@ridhwaamkilindy29433 жыл бұрын
Acha upumbavu sheikh alim mkubwa kama wewe umesoma unasema kwamba umesikia badala ya kuchunguza unafikisha nini kwenye jamii wewe kama sheikh
@AbdullahAbdullah-fz9xg3 жыл бұрын
Kwani hamsemi j Kwel mbn mnaanz kuruka kuruka
@ridhwaamkilindy29433 жыл бұрын
Kma kweli ni aalim aseme alicho n uhakik nacho hy sheikh nahis ni mpunguf wa akili hwa ndio wale waliosemwa n mtume wanaosema ambavyo hwana uhakika navy
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Pamoja na kusikia kwake, huo ndo msimamo wa mashia tunavyowajua
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@ridhwaamkilindy2943 uislamu pia umetufikia kwa kusikia
@abuuhafsasaad94053 жыл бұрын
Anafaham kuwa hiyo ndio itikadi yenu mashia hajategemea clip aloipata na ndio maana akasema hiyo ndio itikadi yenu mashia hakusema hiyo ndio itikadi ya msemaji wa clip hiyo
@zaitunijuma75423 жыл бұрын
Hawa mashekh hawanaga jipya kabisa.suala hilo kule kwetu lilitatuliwa mwaka 2005 na ikaonekana vitabu vya ahlul sunnah ndo vimeandika hivyo.ila kwa upande wa shia haikupatikana dalili yoyote
@mdidiomari73513 жыл бұрын
Mashia mpo wengi
@zaitunijuma75423 жыл бұрын
@@mdidiomari7351 mbona ayo mambo yapo wazi kabisa
@mohonyahubaybi96203 жыл бұрын
UJUE UKWELI WA SHEKH SAMIRI KWA MANENO ALIOSIKIA NA KUONGEA TU BILA KUSOMA VITABU VIZURI kzfaq.info/get/bejne/Y5h1edaLlpiraaM.html
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Mpbavu ww
@AbdullahAbdullah-fz9xg3 жыл бұрын
Huna adabu ww
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Endelea kufirana mzee wa shia
@jailaninkya89783 жыл бұрын
@@AbdullahAbdullah-fz9xg ok kama kumuita mtu ni mpumbavu Sina adabu sawa ila upumbavu ni sifa ya mtu ambae hana ilimu na hata akifundishwa hawezi kuelimika
@sefoadelino66843 жыл бұрын
Shekhe mkubwa kama wewe, ni aibu kusema umesikia na hujaona alafu unaenda kuaambia wabu
@jamalishoo38023 жыл бұрын
Hadithi pia zipo سمعت فلان يفول سمعت رسول الله
@Sh_Taqee3 жыл бұрын
#Sheikh_Samir Maarufu kama: ("#SHEIKH_NIMEAMBIWA") wa Tanga,Tanzania🇹🇿 (Aliyewatuhumu #Mashia) na kucheza Shere #VAZI_Tukufu_la_Kilemba!. Ajibiwa vikali na Mashia, kwa Majibu mazito, na kwa kila nukta katika yale yote ya #Upotoshaji aliyoyaongea kwenye #Maulid Tukufu ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) dhidi ya Mashia. Fuatilia Katika #Link Hii: kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4V0.htmlngalia _ Video yote (clip 1 mpaka clip 9) zipo KZfaq katika akaunti hii ya: #Shuhadaa_Group Link ni hii hapa chini. 🙏🙏🙏🙏 kzfaq.info/get/bejne/eMmlfNhj1cytl4U.html
@hassanmuhammed42273 жыл бұрын
Ww sefo yy kawambia watu sio wabu na jamali naye kaandika (يفول) maana yake nini nyinyi mashia mnashida sana
@jamalishoo38023 жыл бұрын
@@hassanmuhammed4227 mm si shia bana ila nimekosea ktka kuandika nikiwa nakusudia kwamba kusikia pia ni ktka dini hasa ukisikia kutoka kwa thiqah
@hassanmuhammed42273 жыл бұрын
Sawa jamali tupo pamoja kaka umesema kweli
@bongelabwana19403 жыл бұрын
Hao ndio Wanafiq anaowataja Mziwanda hizo hoja si za kweli kwa Shia kufanya hivyoo toa mawaidha ya maana
@alikuran723 жыл бұрын
Tetea ugali tumbo litapata tabuuuu.Chungaaa
@alikuran723 жыл бұрын
Kwa sasa unapumua utasema kila hoja nikuropoka.Yako ndo hoja.Sasa baki na ukafiri huohuo utajua ukiingia kaburini.