Рет қаралды 4,151
Tunamshukuru Mungu kwa uhai na utumishi wako katika Kanisa, kwa pamoja tunakupongeza kwa kufikisha miaka 75 ya kuzaliwa kwako. Mungu aendelee kukuongoza katika njia iliyo ya kweli na kuwaongoza watu wa Mungu. Amina
@kanisa_katolikitz @radiomariatanzania @radiotumaini
#catholiclife #catholics #love #god #church #faith