TALAKA NI USHAHIDI WA UGUMU WA MOYO kKWA WANANDOA LAKINI PIA NI HATI YA KIFO. MUNGU ANATUHITAJI KUJIFUNZA NENO LAKE NA HIVYO KUPATA UWEZO KATIKA KUSHINDA SHAMBULIO HILI LA NDOA TAKATIFU.
Пікірлер: 22
@modestaboniface75444 жыл бұрын
Barkiwa snaa pr kwa somo nzr.....ttz kwet leo hatujawa tayar kuambatana kikamilifu nà wenzii wet.....tuspokubl kuwaacha wazaz wetu ndoa zetu bado zitakuwa ktk changamt mbalimbl yandoa.....👏👏❤❤ marufuku mzazii kufanya maamuz kwa watt waoo
@ruthmnyuku71134 жыл бұрын
Mungu akubariki mrumishi
@modestaboniface75444 жыл бұрын
Lakn pia nadhan ktk seminaa za ndoaa au madarasa ya kaya na family kwa wazzaz wetu ni vyemaa ikawashaurii wazaz juu yahlo..........wazaz wengii hawajakubl kuwaacha vjana wao.......wamama wengi wanataman kucontroll ndoa za watt waooo.....na ni waumin wazr tu; bado wanataka kuongz family zawatt wao
@phinawatwego72602 жыл бұрын
Aminaaaaaaa
@jacklineathoo96674 жыл бұрын
thanks i was not aware
@musajulius33644 жыл бұрын
Hakika na kweli,barikiwa PR. maana unanisaidia sana
@amanijames26284 жыл бұрын
Powerful... Mwalimu wangu
@paulsemba_TV4 жыл бұрын
GLORY TO GOD!
@lukamapunda6283 жыл бұрын
Ndoa Kama haijafungw kanisan inatafsriwa VP.jee mungu anaitambua
@alexandertimberson85994 жыл бұрын
Pr barikiwa sana...ukiwa Dodoma nilibarikuwa sana
@paulsemba_TV4 жыл бұрын
AMINA
@zuhuramike13993 жыл бұрын
Amen
@orwamartine52724 жыл бұрын
Hakika na Barikiwa sana Pastor. Bwana azidi kukupa hekima ili ili watakatifu wake tupate neno
@paulsemba_TV4 жыл бұрын
AMINA
@abelynyota6598 Жыл бұрын
Mch naomba namba yako Nina shida ya Kiroho naomba ushauli wako. Kupitia karama ambayo Mungu, Mwumbaji. Amekupatia utanishauli Jambo
@paulsemba_TV Жыл бұрын
0621154690
@mariammwita82162 жыл бұрын
Ni vipi kwa habari ya mwanaume mzinifi yeye hatakiwi kuachea lkiea amejali vimada kuliko mkewe?
@paulsemba_TV2 жыл бұрын
MAISHA YA DHAMBI HAYAMFAI YEYOTE KATIKA NURU YA BIBLIA
@paulpeter2108 Жыл бұрын
How about u biblical marriages????
@paulsemba_TV Жыл бұрын
WHAT DO YOU MEAN?
@abeljoseph55464 жыл бұрын
pastor ukiingia kwenye ndoa maana yake unaingia mzima mzima so nusu