Kama umeludia kutazama 2024 naomba subscribers zako
@directormwangomile4274Ай бұрын
Nipo mimi mkuu huyu ndg yangu kabisa nimemkumbuka mjomba wangu 😢😢😢😢😢
@azizinsemwa53292 жыл бұрын
Kama umerudi kuangalia wimbo huu baada ya taarifa ya kifo like hapa......PUMZIKA KWA AMANI MWANSASU
@amanimgalla7697 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭 rip
@khadijajacobo627 Жыл бұрын
Uyu amishafarik kumbe 😭😭😭
@khadijajacobo627 Жыл бұрын
Duuuuh😭😭😭 dunian tunapita jmn
@sephaniamwampashi2132 Жыл бұрын
Wimbo huu unanifikisha mbali sana jamani kifo hiki huyu baba nilimpenda sana
@ngasafundi1684 ай бұрын
E r mwansasu tangulia ndugu sisi sote tuko nyuma yako
@marymswanyama14832 жыл бұрын
Pumzika katika Bwana Mtumishi wa Mungu,Nenda kaimbe pamoja na malaika,😭
@ilyasmuhidin84293 жыл бұрын
Nimekuja hapa baada ya kifo cha Rais wangu John Pombe magufuli
@catherinelandas37113 жыл бұрын
Uko na mm hapa
@jedidahshikuku40673 жыл бұрын
Me too lm here
@amanjackson66553 жыл бұрын
Tupo wengi
@husseinmwankusye30792 жыл бұрын
RIP Pastor. Asante kwa utumishi mwema. Ni kweli tunalia na tutakukumbuka. Mwenyezi Mungu akupokee!
@williammkenda30622 жыл бұрын
Rip Mungu ametoa na ametwaa, Jina lake libarikiwe
@gladnessmtaitamboweachauch52052 жыл бұрын
Du jamani inauma nyimbo zake zilikuwa na ujumbe Mwanga wa milele ukuangazie eebwana
@trainertz38052 жыл бұрын
R.i.p Umelala na nina imani umelala mkono wa bwana,huu wimbo utakuwa faraja kwa wafuasi wa nyimbo zako na ndugu zako kwa ujumla,Tukutane jerusalem mpya.
@jacobluhunga94162 жыл бұрын
Pumnzika kwaamani mtumishi wa baba mwendo umeumaliza,imani umeilinda,aaaaa tutaonana siku ya mwisho bwana atakapo tuvarisha taji,simimitu wala wewe bali kila mtu ambae jina lake limeandikwa ktk kitabu cha uzima,by mpendwa tutaonana asubuhi njema,aaaaamina.
@suziemgata89252 жыл бұрын
Hakika kule naimani tutakutana na wapendwa wetu poleni familia,,dah mwasansu😭😭😭😰
@yohana00902 жыл бұрын
Amen mtumishi
@amanimgalla7697 Жыл бұрын
@@suziemgata8925 RIP
@haruniaisha590527 күн бұрын
Yuonane paradiso kaka
@ezekielmwau73202 жыл бұрын
Rip Mwasasu from Nairobi Kenya 🇰🇪
@subirambao57623 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Nitakuwa mgeni wa nan wakati kifo kikinifika😭😭😭Eee Mungu nipe mwisho Mwema 🙏🙏🙏
@velejilyomhongole66982 жыл бұрын
Nimekuja kuusikiliza huu wimbo baada ya kusikia amefariki Pumzika kwa amani Mwansasu nyimbo zako ilikuwa faraja sana.
@sephaniamwampashi21329 ай бұрын
Wanadamu tuwe nakitu Cha kufanya watu watukumbuke mwansansu namkumvuka sana nikisikiliza wimbo huu siku nikilala😢
@BoazWalumbe-sn9rf4 ай бұрын
Shuda wanadamu ni hukumbuka mtu kwa mapaya mtumishi
@dixminderjngao10562 жыл бұрын
Mungu naomba siku yangu ya kuondoka niwe salama mikononi mwako🙏🙏🙏
@catherinelandas37113 жыл бұрын
R.i.p rais wangu mpendwa, daima nitakuombea pumzka baba. Mwendo umeumaliza
@joshuaibrahim6691 Жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU alifunuliwa kwenye wimbo huu sanasana! Maana kama mke au watoto wake wote wangemtangulia hisia za wimbohuu zingepotea kabisa
@BoazWalumbe-sn9rf4 ай бұрын
Kweli kibisa vile unazema mtumishi
@reachglobal99392 жыл бұрын
Mwansasu ni Hazina imeondoka
@alexgabriel61532 жыл бұрын
R.I .P mtumishi wa mungu mwansasu 😭😭😭😭😭😭😭😭
@neemacosmas30802 жыл бұрын
R.I.P., pastor mwansansu wote njia ni moja mpe hii j.p.m.
@user-xr8xy4mt8e7 ай бұрын
Mungu tujalie mwisho mwema Amina
@mayarajulius Жыл бұрын
Daaaaahhh!!!! Huuu wimbo unanikumbusha kifo chabibi angu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@kazungujohn80283 жыл бұрын
Wimbo huu unanikumbusha R.I.P baba mzazi wangu mzee mwl jonn Michael kazamaso tunakukumbuka mzee wetu
@prosperphissoo82243 жыл бұрын
I'M SO SORRY
@amosmasoya43483 жыл бұрын
Pumzika kwa AMANI Mama Yangu🙏🙏🙏
@EstaPaulo-mz6fn2 ай бұрын
Mungu amsamehe mtumishi kupitia wimbo huu. Alituumiza sana
@PauloIsmaili-ot8wd2 ай бұрын
Yaan ni bonge la nyimbo mtumishi❤❤❤😢😢😢🎉🎉🎉
@sephaniamwampashi2132 Жыл бұрын
Daaaa wimbo huyu kama mwansasu alijiona mingu akuhulumie baba.
@elizakameta18842 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba Victor... Mume wangu mpendwa 🙏🙏🙏🙏
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
DAAH JINA LAKE MOLA LIHIMIDIWE MILELE
@JonasElhoud16 күн бұрын
Pumuzika kwa Amani baba yetu n'a huku Burundi tunahujuwa kwa nyimbo zako za kukumbusha watu kutubu
@fadhiligindugureda72082 жыл бұрын
Punzika mtumishi kazi uliyotumwa umekamilisha
@saibmusa78113 жыл бұрын
hakika mungu atupe mwisho mwema ubalikiwe mchungaji kwa ujumbe mzuli tuishi tukitafakali kwamba baada ya kifo ni huku nimeielewa sana
@mutashubirwaadrophinus96023 жыл бұрын
R. I. P Dr. John P Magufuli
@desiremnyavanu222 жыл бұрын
Rest easy pastor Mwansasu, we are all passing through this world. 🙏🙏🙏
@sheysarahnjeno5207 Жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Pstor MWANSANSU..
@boniphaceyohana72893 жыл бұрын
Pumzika kwa amani raisi wangu kipenzi... JPM 😭😭
@ismaelinnocent68122 жыл бұрын
Daaaaah 😭😭😭😭😭magu wetu na yeye jmn
@jumaabduli7813 жыл бұрын
Hivi watu huwa wanailewa hii nyimbo kweli, mbona mm inaniingia sana
@prosperphissoo82243 жыл бұрын
Barikiwa sana
@rhodahoketch14912 жыл бұрын
Rest in Peace Mwansasu,was here crying about my dad's death,he loved your songs..just to realise people are typing rest in peace too.greet each other.
@user-zw1bj5xu9o5 ай бұрын
Pumzika kwa amani mtumishi wetu
@millicentmideva75562 жыл бұрын
Poleni sana familia ya mtumishi.
@tausilazaro24772 жыл бұрын
Pumnzika baba nenda baba umelala yoooooo baba yooooooo
@IsaacNgunga2 жыл бұрын
Rest in Peace 29 August 2021💔
@joycekwayaya75372 жыл бұрын
R.i.p kweli kabisa tunaomboleza Mtumishi 😭😭😭😭
@jacklinehermani14912 жыл бұрын
pumzika tu baba angu wew
@thomasshallo_official43283 жыл бұрын
Napenda Sana huu wimbo, Mungu nisaidie, Yuko wapi huyu mtumishi wa Mungu?
@georgekabuka42843 жыл бұрын
Yupo ni mchungaji kwa sasa
@milkamagati67803 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani wazazi wangu wapendwa niliwapenda Sana mungu awalaze roho yenu mahali pema peponi🙏🙏🙏
@bukombeshy36442 жыл бұрын
Mwimbaji huyu amefariki leo, apumizke kwa amani
@ruthhopemasaba81352 жыл бұрын
How I love this song shocked to here today that you died a month ago rest in peace Baba😭😭😭💔
@user-ls2nq2eq3l3 ай бұрын
Pumzika kwa amani mtumish wa Mungu! Ulieimba ktk roho na kwel, tupo kwenye kipind ambacho ata hofu ya Mungu tumeipoteza, maafa kila kukicha, mafuriko na ajar zimeongezeka ee Mungu tusamehe😢😢😢
@mussaisaac2 жыл бұрын
Mwendo umeumaliza imani umeilinda...tuonene paradiso R.I.P Pasta.
@amidusamson4602 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Mama angu!!!!!!Wanao tumekukunbuka saaana;;;;;😭😭😭
Rip kweli tunatamani kukuita ila tunajua huwezi itika na tunalia ila najua hutuonii ila siku zote mtu anasifiwa akiwa hayupo duniani tena emungu nisaidie na uniongonzee mm kwahakil zangu siwezi nitaishia kulinga tu na vyadunia bila kukumbuka kama siku moja nitalala amen
@HenryManda-iz5mmАй бұрын
😢😢😢dah kifo 😢😮ni fumbo
@cleomachota43052 жыл бұрын
Kweli ulijua mwansasu ulale salama mwamba leo umelala kabisa kumbe Kweli tutalala cku moja kama ulivyolala leo Mungu akupokee na akuondolee dhambi mtumishi wetu
@yusuphmathias47293 жыл бұрын
sijui mini nitakuwa mgeni wa nani ee mungu nisaidie
@jedidahshikuku40673 жыл бұрын
Rip my cousin Ryan Mungu nitie nguvu wakati huu
@japhethmbusyamwanaufufuona46462 жыл бұрын
Baba nilikupenda sana hila Mungu ameruhusu ifanyike. Nenda salama dungu yangu ,tutaonana kwenye mji mzuri Bwana wetu alienda kutuandalia😭😭😭😭😭😭😭.
@mussathegreat2 жыл бұрын
Hakika BWANA ni mwema sana Tunakutakia mema huko Kwa BWANA pumzika BABA
@clarageorge30693 жыл бұрын
Naumia Sana mm yang jamani Tena hasanikisikia huu wimbo kwaeli uyatima mbaya san
@brightonmalekela99813 ай бұрын
R.I.P pastor hakika duniani tunapita. Nakumbuka sana miezi kama hii miaka 10 iliopita tulivoongea na ulivotushauri na mchumba wangu, wakati namvalisha pete na kutangaza ndoa kanisani kwako ubungo Pumzika kwa amani
@janestamchilo44992 жыл бұрын
R.I.P mtumishi wa mungu mwansasu tuta kukumbuka daima kazi umeifanya mwendo umeumaliza pumzika kwa amani kipenzi chetu, BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIBARIKIWE AMINA.
@NurhatTravecy3 ай бұрын
Pumzika kwa Amani mwansasu😪😪
@ashleymechack50372 жыл бұрын
😢😢😢pumzika kwa amani shujaa wa Bwana.
@directormwangomile4274Ай бұрын
🎉🎉🎉 dah 😢😢😢😢😢
@perpetuamtyula2042 жыл бұрын
Malaika wakupoke😭😭😭 Baba angu tunalia kilio Cha kwikwi 😭😭😭😭😭
@mayarajulius Жыл бұрын
Good song bro 🙏🙏🙏
@victoriamefya62872 жыл бұрын
Pumzika mtumishi wa Mungu😭😭😭
@gabrielisack77862 жыл бұрын
Kazi uliyoifanya ni njema, wengi waliokolewa kupitia jina la Yesu kwa uimbaji wako na uinjilisti wako.
@oddondunguru28172 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi ya maisha yako, ahsante kwa kazi nzuri uliyoifanya dunia. Umetuachia alama isiyofutika maishani, pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu!
@janetmtemi48312 жыл бұрын
Ni kweli hatuwez kukuamsha pumzika kwa Amani Mtumishi tulikupenda mno
@josephlubambe4172 жыл бұрын
Kwa kweli tunalia mtumishi wa mungu nenda kwa aman kazi umeimaliza
@genturupius62703 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani Babu na bb kizaa mama pia baba mdogo genturu maro
@ruthelia92892 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Mtumishi wa Mungu wimbo huu utawaliza Sana mkeo nafamilia kwani Kama uliuimba kuwa utakufa kwa Jeri Mwansasu
@maximineevaristo92722 жыл бұрын
pumzika kwa amani pastor 🙏
@user-xx5ft2vw6d7 ай бұрын
Nashindwa kujizuia nikisikiliza wimbo huu ,,,rip mwansasu
@viccigarments435 Жыл бұрын
Sikua najua jaman nimeumia san Mungu naomba anipe mwisho mwema
@nicodemshello1632 жыл бұрын
Mwenyez mungu ailaze roho yako mahali pema pepon Amina tulikusoma Sana mwansasu
@rachelkihaka9204 Жыл бұрын
Ama hakika umelala baba Mungu akutunze zaidi huko tukuone tena
@janetnjovu12512 жыл бұрын
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi tulikupena sana lakini mungu kakupenda zaidi lala kaka umeenda na ucheshi wako amina
@labanakyoo41772 жыл бұрын
Da, umetutoka mtumishi ungali bado tunakuhitaji, ila Mungu anajua yote, tutakukumbuka daima
@dayanferooz72862 жыл бұрын
Nenda baba umemaliza mwendo salama kazi uliyo tumwa kufanya umekamilisha pumzika kwaamani
@natujwachampo6132 жыл бұрын
Daaaah jmn hii nyimbo ulijiona kuwa utalala.pumxika mtumishi wa Mungu
@mustaphareua2370 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@makutowambeteh20052 жыл бұрын
Rip brother you inspired many through your ministry
@ezamnzava85552 жыл бұрын
Hakika umelala Mtumishi. Pumzika sasa, pumzika kwa amani.
@godybanda3102 жыл бұрын
Daah
@erickmpambaji65172 жыл бұрын
Umefanya kazi kwa wakati wako baba mwansasu hakika ujumbe wako tutaishi nao daima
@liliansafi65192 жыл бұрын
R.I.P bishop uliimba ukweli kabisa, sasahivi umesha lala. Ambae atakuamsha ni Mungu baba pekee
@dayanferooz72862 жыл бұрын
Pumzika kwa amani pastor Leo hakuna wa kukuamsha umetuacha tunalia
@ronaldreagan77722 жыл бұрын
Whom the gods love dies young
@user-jb4ug3ne5e Жыл бұрын
Pumzika kwa amani Bab mamsasu
@StevenTossi-ff1jf10 ай бұрын
Pumzika kwa amani mpendwa wetu .aina budi tumshukuru Mungu kwa yote.
@irenelukumay8772 жыл бұрын
kweli umelala nA tunakuliliya sana RIP mtumishi sote njiya moja
@jofreynossy3750 Жыл бұрын
xhukuran xan
@briezedngunda67042 жыл бұрын
pumzika kwa aman Baba
@georgekimboka98212 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mtumishi
@michaelamolo2 жыл бұрын
Rest in peace man of God
@chrissanyitike9372 жыл бұрын
Tutakukumbuka kwa utumishi wako
@pastoryrichard12573 жыл бұрын
R.I.p mzee Richard Gesase tutakukumbuka daima
@ramdhanitinaa7974 жыл бұрын
Daa
@rebecanjinge86032 жыл бұрын
😭😭😭Pumzika kwa amani nikiusikia huu wimbo navuta picha siku ndugu zangu wanalia na siwez tena ongea 😢😢😢watatamani hata waone tabasamu langu lakn haitawezekana😭😢😢😢
@saimonndenga60352 жыл бұрын
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe