SIKU NIKILALA By PASTOR E.R MWANSASU

  Рет қаралды 126,695

Prosper Phissoo

Prosper Phissoo

4 жыл бұрын

Song; Siku Nikilala
Artist;Pastor E.R Mwansasu

Пікірлер: 296
@kinyokasaidi
@kinyokasaidi 4 ай бұрын
Kama umeludia kutazama 2024 naomba subscribers zako
@directormwangomile4274
@directormwangomile4274 Ай бұрын
Nipo mimi mkuu huyu ndg yangu kabisa nimemkumbuka mjomba wangu 😢😢😢😢😢
@azizinsemwa5329
@azizinsemwa5329 2 жыл бұрын
Kama umerudi kuangalia wimbo huu baada ya taarifa ya kifo like hapa......PUMZIKA KWA AMANI MWANSASU
@amanimgalla7697
@amanimgalla7697 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭 rip
@khadijajacobo627
@khadijajacobo627 Жыл бұрын
Uyu amishafarik kumbe 😭😭😭
@khadijajacobo627
@khadijajacobo627 Жыл бұрын
Duuuuh😭😭😭 dunian tunapita jmn
@sephaniamwampashi2132
@sephaniamwampashi2132 Жыл бұрын
Wimbo huu unanifikisha mbali sana jamani kifo hiki huyu baba nilimpenda sana
@ngasafundi168
@ngasafundi168 4 ай бұрын
E r mwansasu tangulia ndugu sisi sote tuko nyuma yako
@marymswanyama1483
@marymswanyama1483 2 жыл бұрын
Pumzika katika Bwana Mtumishi wa Mungu,Nenda kaimbe pamoja na malaika,😭
@ilyasmuhidin8429
@ilyasmuhidin8429 3 жыл бұрын
Nimekuja hapa baada ya kifo cha Rais wangu John Pombe magufuli
@catherinelandas3711
@catherinelandas3711 3 жыл бұрын
Uko na mm hapa
@jedidahshikuku4067
@jedidahshikuku4067 3 жыл бұрын
Me too lm here
@amanjackson6655
@amanjackson6655 3 жыл бұрын
Tupo wengi
@husseinmwankusye3079
@husseinmwankusye3079 2 жыл бұрын
RIP Pastor. Asante kwa utumishi mwema. Ni kweli tunalia na tutakukumbuka. Mwenyezi Mungu akupokee!
@williammkenda3062
@williammkenda3062 2 жыл бұрын
Rip Mungu ametoa na ametwaa, Jina lake libarikiwe
@gladnessmtaitamboweachauch5205
@gladnessmtaitamboweachauch5205 2 жыл бұрын
Du jamani inauma nyimbo zake zilikuwa na ujumbe Mwanga wa milele ukuangazie eebwana
@trainertz3805
@trainertz3805 2 жыл бұрын
R.i.p Umelala na nina imani umelala mkono wa bwana,huu wimbo utakuwa faraja kwa wafuasi wa nyimbo zako na ndugu zako kwa ujumla,Tukutane jerusalem mpya.
@jacobluhunga9416
@jacobluhunga9416 2 жыл бұрын
Pumnzika kwaamani mtumishi wa baba mwendo umeumaliza,imani umeilinda,aaaaa tutaonana siku ya mwisho bwana atakapo tuvarisha taji,simimitu wala wewe bali kila mtu ambae jina lake limeandikwa ktk kitabu cha uzima,by mpendwa tutaonana asubuhi njema,aaaaamina.
@suziemgata8925
@suziemgata8925 2 жыл бұрын
Hakika kule naimani tutakutana na wapendwa wetu poleni familia,,dah mwasansu😭😭😭😰
@yohana0090
@yohana0090 2 жыл бұрын
Amen mtumishi
@amanimgalla7697
@amanimgalla7697 Жыл бұрын
@@suziemgata8925 RIP
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 27 күн бұрын
Yuonane paradiso kaka
@ezekielmwau7320
@ezekielmwau7320 2 жыл бұрын
Rip Mwasasu from Nairobi Kenya 🇰🇪
@subirambao5762
@subirambao5762 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Nitakuwa mgeni wa nan wakati kifo kikinifika😭😭😭Eee Mungu nipe mwisho Mwema 🙏🙏🙏
@velejilyomhongole6698
@velejilyomhongole6698 2 жыл бұрын
Nimekuja kuusikiliza huu wimbo baada ya kusikia amefariki Pumzika kwa amani Mwansasu nyimbo zako ilikuwa faraja sana.
@sephaniamwampashi2132
@sephaniamwampashi2132 9 ай бұрын
Wanadamu tuwe nakitu Cha kufanya watu watukumbuke mwansansu namkumvuka sana nikisikiliza wimbo huu siku nikilala😢
@BoazWalumbe-sn9rf
@BoazWalumbe-sn9rf 4 ай бұрын
Shuda wanadamu ni hukumbuka mtu kwa mapaya mtumishi
@dixminderjngao1056
@dixminderjngao1056 2 жыл бұрын
Mungu naomba siku yangu ya kuondoka niwe salama mikononi mwako🙏🙏🙏
@catherinelandas3711
@catherinelandas3711 3 жыл бұрын
R.i.p rais wangu mpendwa, daima nitakuombea pumzka baba. Mwendo umeumaliza
@joshuaibrahim6691
@joshuaibrahim6691 Жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU alifunuliwa kwenye wimbo huu sanasana! Maana kama mke au watoto wake wote wangemtangulia hisia za wimbohuu zingepotea kabisa
@BoazWalumbe-sn9rf
@BoazWalumbe-sn9rf 4 ай бұрын
Kweli kibisa vile unazema mtumishi
@reachglobal9939
@reachglobal9939 2 жыл бұрын
Mwansasu ni Hazina imeondoka
@alexgabriel6153
@alexgabriel6153 2 жыл бұрын
R.I .P mtumishi wa mungu mwansasu 😭😭😭😭😭😭😭😭
@neemacosmas3080
@neemacosmas3080 2 жыл бұрын
R.I.P., pastor mwansansu wote njia ni moja mpe hii j.p.m.
@user-xr8xy4mt8e
@user-xr8xy4mt8e 7 ай бұрын
Mungu tujalie mwisho mwema Amina
@mayarajulius
@mayarajulius Жыл бұрын
Daaaaahhh!!!! Huuu wimbo unanikumbusha kifo chabibi angu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@kazungujohn8028
@kazungujohn8028 3 жыл бұрын
Wimbo huu unanikumbusha R.I.P baba mzazi wangu mzee mwl jonn Michael kazamaso tunakukumbuka mzee wetu
@prosperphissoo8224
@prosperphissoo8224 3 жыл бұрын
I'M SO SORRY
@amosmasoya4348
@amosmasoya4348 3 жыл бұрын
Pumzika kwa AMANI Mama Yangu🙏🙏🙏
@EstaPaulo-mz6fn
@EstaPaulo-mz6fn 2 ай бұрын
Mungu amsamehe mtumishi kupitia wimbo huu. Alituumiza sana
@PauloIsmaili-ot8wd
@PauloIsmaili-ot8wd 2 ай бұрын
Yaan ni bonge la nyimbo mtumishi❤❤❤😢😢😢🎉🎉🎉
@sephaniamwampashi2132
@sephaniamwampashi2132 Жыл бұрын
Daaaa wimbo huyu kama mwansasu alijiona mingu akuhulumie baba.
@elizakameta1884
@elizakameta1884 2 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba Victor... Mume wangu mpendwa 🙏🙏🙏🙏
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 жыл бұрын
DAAH JINA LAKE MOLA LIHIMIDIWE MILELE
@JonasElhoud
@JonasElhoud 16 күн бұрын
Pumuzika kwa Amani baba yetu n'a huku Burundi tunahujuwa kwa nyimbo zako za kukumbusha watu kutubu
@fadhiligindugureda7208
@fadhiligindugureda7208 2 жыл бұрын
Punzika mtumishi kazi uliyotumwa umekamilisha
@saibmusa7811
@saibmusa7811 3 жыл бұрын
hakika mungu atupe mwisho mwema ubalikiwe mchungaji kwa ujumbe mzuli tuishi tukitafakali kwamba baada ya kifo ni huku nimeielewa sana
@mutashubirwaadrophinus9602
@mutashubirwaadrophinus9602 3 жыл бұрын
R. I. P Dr. John P Magufuli
@desiremnyavanu22
@desiremnyavanu22 2 жыл бұрын
Rest easy pastor Mwansasu, we are all passing through this world. 🙏🙏🙏
@sheysarahnjeno5207
@sheysarahnjeno5207 Жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Pstor MWANSANSU..
@boniphaceyohana7289
@boniphaceyohana7289 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani raisi wangu kipenzi... JPM 😭😭
@ismaelinnocent6812
@ismaelinnocent6812 2 жыл бұрын
Daaaaah 😭😭😭😭😭magu wetu na yeye jmn
@jumaabduli781
@jumaabduli781 3 жыл бұрын
Hivi watu huwa wanailewa hii nyimbo kweli, mbona mm inaniingia sana
@prosperphissoo8224
@prosperphissoo8224 3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@rhodahoketch1491
@rhodahoketch1491 2 жыл бұрын
Rest in Peace Mwansasu,was here crying about my dad's death,he loved your songs..just to realise people are typing rest in peace too.greet each other.
@user-zw1bj5xu9o
@user-zw1bj5xu9o 5 ай бұрын
Pumzika kwa amani mtumishi wetu
@millicentmideva7556
@millicentmideva7556 2 жыл бұрын
Poleni sana familia ya mtumishi.
@tausilazaro2477
@tausilazaro2477 2 жыл бұрын
Pumnzika baba nenda baba umelala yoooooo baba yooooooo
@IsaacNgunga
@IsaacNgunga 2 жыл бұрын
Rest in Peace 29 August 2021💔
@joycekwayaya7537
@joycekwayaya7537 2 жыл бұрын
R.i.p kweli kabisa tunaomboleza Mtumishi 😭😭😭😭
@jacklinehermani1491
@jacklinehermani1491 2 жыл бұрын
pumzika tu baba angu wew
@thomasshallo_official4328
@thomasshallo_official4328 3 жыл бұрын
Napenda Sana huu wimbo, Mungu nisaidie, Yuko wapi huyu mtumishi wa Mungu?
@georgekabuka4284
@georgekabuka4284 3 жыл бұрын
Yupo ni mchungaji kwa sasa
@milkamagati6780
@milkamagati6780 3 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani wazazi wangu wapendwa niliwapenda Sana mungu awalaze roho yenu mahali pema peponi🙏🙏🙏
@bukombeshy3644
@bukombeshy3644 2 жыл бұрын
Mwimbaji huyu amefariki leo, apumizke kwa amani
@ruthhopemasaba8135
@ruthhopemasaba8135 2 жыл бұрын
How I love this song shocked to here today that you died a month ago rest in peace Baba😭😭😭💔
@user-ls2nq2eq3l
@user-ls2nq2eq3l 3 ай бұрын
Pumzika kwa amani mtumish wa Mungu! Ulieimba ktk roho na kwel, tupo kwenye kipind ambacho ata hofu ya Mungu tumeipoteza, maafa kila kukicha, mafuriko na ajar zimeongezeka ee Mungu tusamehe😢😢😢
@mussaisaac
@mussaisaac 2 жыл бұрын
Mwendo umeumaliza imani umeilinda...tuonene paradiso R.I.P Pasta.
@amidusamson460
@amidusamson460 2 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Mama angu!!!!!!Wanao tumekukunbuka saaana;;;;;😭😭😭
@dianajohn3493
@dianajohn3493 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba na mdogo wangu mpendwa
@milkamagati6780
@milkamagati6780 3 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani wazazi wangu wapendwa tutawakumbuka daima hakika pengo alizibiki inauma Sana😭😭😭😭😭😭😭
@dianajohn3493
@dianajohn3493 3 жыл бұрын
R. I P . rais wangu mpendwa
@lilianmashanya1417
@lilianmashanya1417 2 жыл бұрын
Rip kweli tunatamani kukuita ila tunajua huwezi itika na tunalia ila najua hutuonii ila siku zote mtu anasifiwa akiwa hayupo duniani tena emungu nisaidie na uniongonzee mm kwahakil zangu siwezi nitaishia kulinga tu na vyadunia bila kukumbuka kama siku moja nitalala amen
@HenryManda-iz5mm
@HenryManda-iz5mm Ай бұрын
😢😢😢dah kifo 😢😮ni fumbo
@cleomachota4305
@cleomachota4305 2 жыл бұрын
Kweli ulijua mwansasu ulale salama mwamba leo umelala kabisa kumbe Kweli tutalala cku moja kama ulivyolala leo Mungu akupokee na akuondolee dhambi mtumishi wetu
@yusuphmathias4729
@yusuphmathias4729 3 жыл бұрын
sijui mini nitakuwa mgeni wa nani ee mungu nisaidie
@jedidahshikuku4067
@jedidahshikuku4067 3 жыл бұрын
Rip my cousin Ryan Mungu nitie nguvu wakati huu
@japhethmbusyamwanaufufuona4646
@japhethmbusyamwanaufufuona4646 2 жыл бұрын
Baba nilikupenda sana hila Mungu ameruhusu ifanyike. Nenda salama dungu yangu ,tutaonana kwenye mji mzuri Bwana wetu alienda kutuandalia😭😭😭😭😭😭😭.
@mussathegreat
@mussathegreat 2 жыл бұрын
Hakika BWANA ni mwema sana Tunakutakia mema huko Kwa BWANA pumzika BABA
@clarageorge3069
@clarageorge3069 3 жыл бұрын
Naumia Sana mm yang jamani Tena hasanikisikia huu wimbo kwaeli uyatima mbaya san
@brightonmalekela9981
@brightonmalekela9981 3 ай бұрын
R.I.P pastor hakika duniani tunapita. Nakumbuka sana miezi kama hii miaka 10 iliopita tulivoongea na ulivotushauri na mchumba wangu, wakati namvalisha pete na kutangaza ndoa kanisani kwako ubungo Pumzika kwa amani
@janestamchilo4499
@janestamchilo4499 2 жыл бұрын
R.I.P mtumishi wa mungu mwansasu tuta kukumbuka daima kazi umeifanya mwendo umeumaliza pumzika kwa amani kipenzi chetu, BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIBARIKIWE AMINA.
@NurhatTravecy
@NurhatTravecy 3 ай бұрын
Pumzika kwa Amani mwansasu😪😪
@ashleymechack5037
@ashleymechack5037 2 жыл бұрын
😢😢😢pumzika kwa amani shujaa wa Bwana.
@directormwangomile4274
@directormwangomile4274 Ай бұрын
🎉🎉🎉 dah 😢😢😢😢😢
@perpetuamtyula204
@perpetuamtyula204 2 жыл бұрын
Malaika wakupoke😭😭😭 Baba angu tunalia kilio Cha kwikwi 😭😭😭😭😭
@mayarajulius
@mayarajulius Жыл бұрын
Good song bro 🙏🙏🙏
@victoriamefya6287
@victoriamefya6287 2 жыл бұрын
Pumzika mtumishi wa Mungu😭😭😭
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 2 жыл бұрын
Kazi uliyoifanya ni njema, wengi waliokolewa kupitia jina la Yesu kwa uimbaji wako na uinjilisti wako.
@oddondunguru2817
@oddondunguru2817 2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi ya maisha yako, ahsante kwa kazi nzuri uliyoifanya dunia. Umetuachia alama isiyofutika maishani, pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu!
@janetmtemi4831
@janetmtemi4831 2 жыл бұрын
Ni kweli hatuwez kukuamsha pumzika kwa Amani Mtumishi tulikupenda mno
@josephlubambe417
@josephlubambe417 2 жыл бұрын
Kwa kweli tunalia mtumishi wa mungu nenda kwa aman kazi umeimaliza
@genturupius6270
@genturupius6270 3 жыл бұрын
Pumzikeni kwa amani Babu na bb kizaa mama pia baba mdogo genturu maro
@ruthelia9289
@ruthelia9289 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Mtumishi wa Mungu wimbo huu utawaliza Sana mkeo nafamilia kwani Kama uliuimba kuwa utakufa kwa Jeri Mwansasu
@maximineevaristo9272
@maximineevaristo9272 2 жыл бұрын
pumzika kwa amani pastor 🙏
@user-xx5ft2vw6d
@user-xx5ft2vw6d 7 ай бұрын
Nashindwa kujizuia nikisikiliza wimbo huu ,,,rip mwansasu
@viccigarments435
@viccigarments435 Жыл бұрын
Sikua najua jaman nimeumia san Mungu naomba anipe mwisho mwema
@nicodemshello163
@nicodemshello163 2 жыл бұрын
Mwenyez mungu ailaze roho yako mahali pema pepon Amina tulikusoma Sana mwansasu
@rachelkihaka9204
@rachelkihaka9204 Жыл бұрын
Ama hakika umelala baba Mungu akutunze zaidi huko tukuone tena
@janetnjovu1251
@janetnjovu1251 2 жыл бұрын
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi tulikupena sana lakini mungu kakupenda zaidi lala kaka umeenda na ucheshi wako amina
@labanakyoo4177
@labanakyoo4177 2 жыл бұрын
Da, umetutoka mtumishi ungali bado tunakuhitaji, ila Mungu anajua yote, tutakukumbuka daima
@dayanferooz7286
@dayanferooz7286 2 жыл бұрын
Nenda baba umemaliza mwendo salama kazi uliyo tumwa kufanya umekamilisha pumzika kwaamani
@natujwachampo613
@natujwachampo613 2 жыл бұрын
Daaaah jmn hii nyimbo ulijiona kuwa utalala.pumxika mtumishi wa Mungu
@mustaphareua2370
@mustaphareua2370 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@makutowambeteh2005
@makutowambeteh2005 2 жыл бұрын
Rip brother you inspired many through your ministry
@ezamnzava8555
@ezamnzava8555 2 жыл бұрын
Hakika umelala Mtumishi. Pumzika sasa, pumzika kwa amani.
@godybanda310
@godybanda310 2 жыл бұрын
Daah
@erickmpambaji6517
@erickmpambaji6517 2 жыл бұрын
Umefanya kazi kwa wakati wako baba mwansasu hakika ujumbe wako tutaishi nao daima
@liliansafi6519
@liliansafi6519 2 жыл бұрын
R.I.P bishop uliimba ukweli kabisa, sasahivi umesha lala. Ambae atakuamsha ni Mungu baba pekee
@dayanferooz7286
@dayanferooz7286 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani pastor Leo hakuna wa kukuamsha umetuacha tunalia
@ronaldreagan7772
@ronaldreagan7772 2 жыл бұрын
Whom the gods love dies young
@user-jb4ug3ne5e
@user-jb4ug3ne5e Жыл бұрын
Pumzika kwa amani Bab mamsasu
@StevenTossi-ff1jf
@StevenTossi-ff1jf 10 ай бұрын
Pumzika kwa amani mpendwa wetu .aina budi tumshukuru Mungu kwa yote.
@irenelukumay877
@irenelukumay877 2 жыл бұрын
kweli umelala nA tunakuliliya sana RIP mtumishi sote njiya moja
@jofreynossy3750
@jofreynossy3750 Жыл бұрын
xhukuran xan
@briezedngunda6704
@briezedngunda6704 2 жыл бұрын
pumzika kwa aman Baba
@georgekimboka9821
@georgekimboka9821 2 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mtumishi
@michaelamolo
@michaelamolo 2 жыл бұрын
Rest in peace man of God
@chrissanyitike937
@chrissanyitike937 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka kwa utumishi wako
@pastoryrichard1257
@pastoryrichard1257 3 жыл бұрын
R.I.p mzee Richard Gesase tutakukumbuka daima
@ramdhanitinaa797
@ramdhanitinaa797 4 жыл бұрын
Daa
@rebecanjinge8603
@rebecanjinge8603 2 жыл бұрын
😭😭😭Pumzika kwa amani nikiusikia huu wimbo navuta picha siku ndugu zangu wanalia na siwez tena ongea 😢😢😢watatamani hata waone tabasamu langu lakn haitawezekana😭😢😢😢
@saimonndenga6035
@saimonndenga6035 2 жыл бұрын
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe
KUTESA KWA ZAMU By PASTOR MWANSASU
14:36
Prosper Phissoo
Рет қаралды 107 М.
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
THE BEST OF MT SINAI CHOIR SONGS
1:40:20
Makvan HD
Рет қаралды 441 М.
KUFUMBA NA KUFUMBUA By PASTOR MWANSASU
9:49
Prosper Phissoo
Рет қаралды 34 М.
LULU-Mtoni Evangelical Choir
6:34
Nyathi Nyakatch
Рет қаралды 2,1 МЛН
Ni Wewe Jawabu
13:46
MCH. ABIUD MISHOLI - Topic
Рет қаралды 147 М.
Majaribu yanachoma Kama moto
9:49
BISHOP EPHRAIM MWANSASU
Рет қаралды 49 М.
Siku nikilala mauti
7:16
BISHOP EPHRAIM MWANSASU
Рет қаралды 178 М.
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Israel Mbonyi
Рет қаралды 55 МЛН
ASKOFU EPHRAIM MWANSASU   MAKALA MAALUMU YA MAISHA YAKE YA KIIMANI
17:42
STEVE TOBS MEDIA
Рет қаралды 10 М.
IL’HAN - Pai-pai (lyric video) 2024
3:24
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 730 М.
Jaloliddin Ahmadaliyev - Erta indin (Official Music Video)
4:32
NevoMusic
Рет қаралды 1,2 МЛН
Жандос ҚАРЖАУБАЙ - Ауылымды сағындым (official video) 2024
4:25
Munisa Rizayeva - Aka makasi (Official Music Video)
6:18
Munisa Rizayeva
Рет қаралды 11 МЛН
Taxi
3:06
Sadraddin - Topic
Рет қаралды 121 М.
Kenjebek Nurdolday & Baller - Сөкпе
3:10
Kenjebek Nurdolday
Рет қаралды 70 М.