Movie kali hongereni sema Mwamba umetisha san movie inaanz mpk inaisha hujabadilisha Cap 🧢 Chengine jaribuni kufany vitu kweny uhalisia siamini fight zote sijaona hata shati kuchanika wala kuchafuka Cha mwisho actors wavae uhalisia wao 🎉 Big up one step more
@user-xd3vd2do8q9 ай бұрын
Nkuikubali
@Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын
Kaza Pambana. Bongo Movies to the World
@Amina-xc8tl Жыл бұрын
Waaah jmn,mumetisha ckwa action hio,mpk nahepa mm naona kama mateke namangumu yatanifikia, thnx I have enjoyed ur movie
@jahuromary8950 Жыл бұрын
Asantee mamaa tutazid kukufanya uenjoy
@jahuromary8950 Жыл бұрын
By padboy
@yasmeenaal4191 Жыл бұрын
Tunaoangalia na kuikubali move hii weka like yako tujuane 22. 11. 2022
@user-np7mf9jp7y8 ай бұрын
Sawa
@aminahussain3058 Жыл бұрын
Tamu sanaa nataka nyingine❤❤❤❤💯💯
@jahuromary8950 Жыл бұрын
Soon tunawaleteaa nyingine kalii zaid ya hii…. By padboy
@aminahussain3058 Жыл бұрын
Nasubilia kwa hamu sana
@AbuuHaydarimsuya Жыл бұрын
99 mabo
@mwasimwajambo468610 ай бұрын
Congratulations guys so much love from kenya
@HusseinJuma-wz3md Жыл бұрын
Iko pow brother nimeikubali sana💪💪💪💪💪
@bahatiomar52974 ай бұрын
Kazi nzur nawapenda nyote
@JanetRiziki-ut2is11 ай бұрын
Wow kaz nzuri sana hongera ❤❤❤
@MicahWasilwa-iz2yl4 ай бұрын
Good job bro
@davidandrew-yy1bx2 ай бұрын
Respect sana kaz nzur
@yusuphmahimbo5659 Жыл бұрын
Nimeipenda Sanaa na Sanaa 👍👍👍💯💯💯🔥🔥💪💪
@yusuphshedafa7406 Жыл бұрын
Oya mumetisha Sana movie kali sana
@geoffrey9833 Жыл бұрын
Wow unapendesa
@mose61382 ай бұрын
Very fantastic.
@njkayembeyoutube7331 Жыл бұрын
📢umupe yesu kristo maisha yako,muisho umefika Yesu ekonakuja,tutubu na tujitayarishe kumupokea matayo 24:42
@BOSSLADY3656 Жыл бұрын
Movie nzuri sana wadau 👌💪
@WilleMsamba2 ай бұрын
Imekaa poa😢😢😢
@user-yd9zk3ob4wАй бұрын
Nani jina lake acter
@mduduthegreat55810 ай бұрын
Naitwa jastine or mdudu ,,,, Naweza action na najiamian ,,naweza kufight ,,,kuigiza pya hivyoo kama utamind nichek tutengeneze ktu ,,,napenda bongo movie broo,,,
@wamzimedia Жыл бұрын
Movie iko vizuri tatzo rangi tu😢😢😢😢
@Sinkoi-cn1fm Жыл бұрын
Ipo freshi barida kaka
@user-xz7id7gz1t6 ай бұрын
Nice work
@Babamapicha8 ай бұрын
Wowo❤❤❤❤hi movie 🎥🎥🎥 iko moto
@RealChui8 ай бұрын
noumaaaaa sanaaaaaa
@BongoclipsTrailerstz Жыл бұрын
nice bro nakukubali kazi mzuri
@user-ie6nm6dk9p5 ай бұрын
Yeah move kali hila 2ongeze juudi zaidi hili 2fike mbali.
@user-ky6wj9ox3o Жыл бұрын
no sio watu kochin sema vifa au vitendea kazi Tanzania hatuna waigizaj wanajitoa Sana tu sema wako vzr
@aminashuruty126 Жыл бұрын
So nice😍❤️❤️
@achantyyahya4290 Жыл бұрын
Mwanzo Ili Movie Sijalipenda Ila Palipo anza Mkono Nimependa
@JOBNYABUTO-ox7do4 ай бұрын
Ikon sawa
@jesussavesus2210 Жыл бұрын
Yohana 14:5-6 Tomaso akamwambia, Bwana, hatujui uendako; na jinsi gani tunaweza kujua njia? Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Kwa yeyote anayefikiri kwamba Biblia haiwezi kuwa ya kweli na kwamba Yesu Kristo si Mungu. Sodoma na Gomora, kuvuka kwa Bahari Nyekundu na Safina ya Nuhu zote zimepatikana, mahali ambapo Biblia inasema ziko, na kila unabii uliowahi kuandikwa umetimia, kutia ndani sasa katika siku zetu. Ulimwengu wetu wote unategemea maisha ya Yesu Kristo, BC na AD, kwa sababu, kwa sababu Mungu alitoa ushuhuda wa yeye ni nani. Usiache zawadi ya bure ya uzima wa milele bila kumtafuta Mungu kwa moyo wako wote kwanza na kumuuliza ukweli ni upi, maana Yesu Kristo ndiye njia pekee ya kwenda mbinguni kama alivyotuambia, anakupenda sana na anataka ufanye hivyo. uwe na uzima wa milele. Mungu akubariki.❤🙏🕊
@AMZASAIDEofficialm6332 Жыл бұрын
Wewe unakiri boya umipoteya
@DavidJames-rv6hj Жыл бұрын
Omulimu omulunge
@OmondiDavid-vy3li Жыл бұрын
Ninaipenda sana
@evanssauti8965 Жыл бұрын
Move siombaya ila watu wenyewe ndio bado wako chini hawana confidence
@Nashondaniel Жыл бұрын
Mko vizur sana
@BOSSLADY3656 Жыл бұрын
Jamani mwendelezo 😋🤣🤣🤣🤣
@jahuromary8950 Жыл бұрын
Usjal jamilla soon tunawaleteaa muv kalii zaid ya hii
@humphreyzofundia1892 Жыл бұрын
Tamu Sana nyingne
@eliudsancheztz4003 Жыл бұрын
Jamani muvie nzuli sana ila saut hampangilii jitahidin jaman saut iwe nzuli
@eliudsancheztz4003 Жыл бұрын
Kunabaaz ya vipande havina saut kabisa
@zabulonikwigizeyusufyusufu8269 Жыл бұрын
Kali kwelii
@achantyyahya4290 Жыл бұрын
Jama Wamanywele Anapiga Mkono Kama Kweli Vile
@jahuromary8950 Жыл бұрын
Shkran san kakaaa
@jahuromary8950 Жыл бұрын
Hahahah!!! Santeee sanaa aysee by padboy
@user-qi5tb5jo8o8 ай бұрын
Kaz ya kiume
@cityhuntermkali2468 Жыл бұрын
Movie nzuri,action nzuri ila camera jaribuni kuituliza ischeze saana ili tuone izo actions clearly,,,,,good job
@BahatiLyimo Жыл бұрын
Ipo fresh sana😂😂😂
@zepheniamnubi736 Жыл бұрын
Broo umetisha san
@bakarikhamis28039 ай бұрын
Bhana huyu jamaa alochukuliwa mtoto bado hawez kusimama kwenye uhalisia wake wa kuwa yeye ni staring na amechukuliwa mtoto wake na yule mwanamke anatoa nafas ya kupigwa sana kizembe
@user-pv3ei3np9t10 ай бұрын
Ntak part nyungind
@user-gb9xk8jd1b Жыл бұрын
Kelvin Joseph
@karimnguvumali1594 Жыл бұрын
nice vtu vdogo san kulekbsh mtu anpgwa mpk kofia inavuk akisi mam ipo kchwan mtu
@mohdissa9224 Жыл бұрын
🔥🔥
@khalidkassm1054 Жыл бұрын
Sikubali Inawezekn vp mtu unamkimbiza half amekuacha unajuwa yuko sehem fulani
@MRPMAWENGEMAWENGEАй бұрын
nyie jama muko vizul
@tigerman83 Жыл бұрын
Kumbe saivi bongo kuna movie kali hivi na hamsemi watu mnasiri
@user-xd3vd2do8q9 ай бұрын
Asa mbn haumtafuti mtoto Kwanza alf nd uje kwa binti sikuelewen mtoto kafa au
@IreneMwarusha-ux2sc Жыл бұрын
Mmetisha kwakweli😊😊😊
@eddyclassic8996 Жыл бұрын
Mbele pamoja
@AbuuHaydarimsuya Жыл бұрын
ipo good
@wamzimedia Жыл бұрын
Mara msogelee, mara mng'ate Nadhini Editer anatakiwa ajitahid kuwa makin
@naomikaema1841 Жыл бұрын
Hapo kwa mwalimu wamechemsha hawapo makini kabisa
@jahuromary8950 Жыл бұрын
Tutalifanyiaa kaziii hli swala
@jahuromary8950 Жыл бұрын
By padboy
@user-gl6ek2xo8k Жыл бұрын
Iko poa move
@barakarobert9516 Жыл бұрын
🥰
@mkacibeiib7278 Жыл бұрын
waah
@user-gl6ek2xo8k Жыл бұрын
2:45
@zehe449 Жыл бұрын
Werr
@qassimmzungu143 Жыл бұрын
Hii kali kaka pull up
@nellyofficial2225 Жыл бұрын
Sasa mtoto ulikyokuwa unatafuta yupo wap
@HajiKhamis-ez9vk Жыл бұрын
dhh
@harunaabrahaman1679 Жыл бұрын
Bongo kwa action sasa hivi tuko vizuri ubora umeongezeka
@user-dw2yu9en2d Жыл бұрын
Omulimu omulunge
@MwanaidiSembe-cz8mr Жыл бұрын
Omulimu omulunge
@athanasianyumayo1706 Жыл бұрын
Omulimu omulunge
@AliomondiAliomondi-kx3jv Жыл бұрын
Omulimu omulunge
@user-gi5yf8tu3y Жыл бұрын
Omulimu omulunge
@mudhihirimzomoka7753 Жыл бұрын
Omulimu omulunge
@bakarikhamis28039 ай бұрын
Huyu simba wenyew bado hajakamilika anatia huruma sana
@bakarikhamis28039 ай бұрын
Hawez kusimama kwenye uhalisia wake na jinsi alivyo mwili mzuri wa mazoez ila bado anakubali kupigwa hovyo hovyo kama yeye siyo staring wa mchezo
@bakarikhamis28039 ай бұрын
Ajikaze sana na afanye mazoez yakutosha halafu asitiye huruma wakati anapambania hak yake
@bakarikhamis28039 ай бұрын
Maana sisi tunajifunza kitu na pia anatoa elimu kwa watu wenye tabia kama ya hao maadui zake lakin kawapata watu wake kiubabaishaj sana kama vile wanampa sehemu ya kupiga
@bakarikhamis28039 ай бұрын
Eti yeye anamshika kibi adui nyuma wakati yuko na kisu na huyoyo adui mikono yake iko huru ya kufanya chochote si alimchoma kisu cha paja hule uzembe kwanza