Simulizi Ya Kweli (Nazareth Amulike) Aliye Tuliza Kupitia Ambwene Mwasongwe

  Рет қаралды 51,743

Chomoza Tv

Chomoza Tv

2 жыл бұрын

Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
KZfaq : kzfaq.info?su...
#ChomozaTv#2021

Пікірлер: 88
@focuseric4109
@focuseric4109 2 жыл бұрын
Ndugu watanzania na ulimwengu mzima MITHALI 4:6 mungu alituaidi akasema usimwache nae atakusitiri na umpende nae atakulinda,na mithali 4:8 hapa mungu anafika mbali zaidi anasema umtukuze nae atakutukuza na atakupatia heshima ukimkunbatia,WATANZANIA NA ULIMWENGU TUMPENDE MUNGU SANA SANA ILI ATUPE ULINZI KWASABABU ATUJUI YALIOKO MBELE YETU SHETAN ALINYANG'ANYWA MAMLAKA AKUNYANGANYWA MAARIFA KWAIO ANAJUA MAFANIKIO YETU YALIOKO MBELE KWAIO UA ANAANDAA UARIBIFU JUU YAKO KWA KUEKA MITEGO YAKE.shetan anaona yalioko mbele YETU kabla sisi atujaona anajua mipangò YETU.mithal 4:27 kumcha bwana kunaongezà siku zamtu
@saladaniel9274
@saladaniel9274 Жыл бұрын
Amen 🙏
@elishamoris5063
@elishamoris5063 Жыл бұрын
Amen
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Mazingira ya kesi, Ushahidi, Sheria za kazi zilinibana, mpaka mkewangu akaniambia kama umefanyaaa kili kosa tujue moja 😭😭😭😭😭😭😭 Yesu wa nadhareth akukumbuke daima mpendwa 🙏🏽
@blackqueen3532
@blackqueen3532 2 жыл бұрын
I feel you mtumishi😭😭tumepitia kwenye kesi za kusingiziwa na inauma sana MUNGU UTUKUMBUKE NA HAKI ZETU ZIENDELEE kustawi🙏
@BGHaule
@BGHaule 2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
@dadesefute8095
@dadesefute8095 2 жыл бұрын
Hakika Mungu ni kwa ajili ya wote wenye mwili. Asante kwa ushuhuda umenijenga.
@mozzkamaru
@mozzkamaru Жыл бұрын
Aisee , listening to this , Nabaki tu kumshukuru Mungu . Binadamu tunapita kwenye changamoto sana ila Mungu anatusimamia. Asante sana kwa ushuhuda huu .
@jamiraabbakary739
@jamiraabbakary739 2 жыл бұрын
Namfaham Sana huyu kijana kambi alofanyia kazi ndiko nilikokulia, pamoja na kuwa askari pia alikuwa muuguzi hospital, kanichoma sindano Sana huyu Jamaa coz nilikuwa na shida ya kifua nikiwa mtoto, nimefurahi kuona yuko huru tena. kimsingi nilisikitika alipopata hayo matatizo hakuna alokuwa akiamini kwakuwa tabia yake ilionekana kuwa njema, lakini nani ajuaye kesho ya mtu? Jibu ni mungu peke, Pole Sana Nazareth majaribu ni mtaji umechagua njia njema kutumika na mungu barikiwa Sana.
@decmondmakene7290
@decmondmakene7290 2 жыл бұрын
Dah
@neemamhoha2077
@neemamhoha2077 2 жыл бұрын
L
@neemamhoha2077
@neemamhoha2077 2 жыл бұрын
L0
@officialnazatv9654
@officialnazatv9654 2 жыл бұрын
Asante sana ndugu yangu nimeishapoa
@elishamoris5063
@elishamoris5063 Жыл бұрын
Amen
@lydiamsafiri9613
@lydiamsafiri9613 2 жыл бұрын
Mungu anabaki kuwa Mungu, barikiwa sana mtumishi, hayo ndio mapito, iliwe uwe dhahabu lazima moto uwepo, Mungu azidi kukuinuwa
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Shetani ni muonevu sana kwa kweli Mungu aku compasatie kila ulichopoteza familia na miaka yako yote uliyoipoteza Mungu anatosh Kaka. 🌹🌹
@lukajohn1919
@lukajohn1919 2 жыл бұрын
Kwel kabisa nakukumbaka sana tulikuwa wote segerea
@petermshali5157
@petermshali5157 Жыл бұрын
Mweeeh... Isya nkisu sikutamya mweeee....
@dennisjosephat237
@dennisjosephat237 2 жыл бұрын
Dah ! Painfully story! God is living and glory to almighty.
@njonjolomahfudh3238
@njonjolomahfudh3238 2 жыл бұрын
THE STRONGEST MAN NAZARET, UYU MTU KAPITIA MITIHANI MIZITO MNOOO
@luhekelondelwa9714
@luhekelondelwa9714 2 жыл бұрын
Pole sana kwa mapito Mungu yeye ajua sbb kwa nini uliyapitia hayo
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 жыл бұрын
Jamani dah maisha haya watu wanaozea jela bila hatia pole sana kaka yetu kwa kufiwa na mkeo na mwanao na dada yako Mungu aendelee kukufariji dah nimeumia sana na kisa chako
@naomybenedict5855
@naomybenedict5855 2 жыл бұрын
Bado ninamshangaa Mungu kwakwli,,marajibu yapo kutufunza kwakweli pole baba angu namshukuru Mungu ww ni mzima.
@lidiamwantandi452
@lidiamwantandi452 2 жыл бұрын
Pole saana kaka hii ndio nchi yetu na uwongozi wake, njoo tuungane kudai katiba mpya na tume huru
@nichorousmpala5366
@nichorousmpala5366 2 жыл бұрын
Ainuliwe Mungu wetu alie juu
@angelinamichael7742
@angelinamichael7742 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutetea
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 2 жыл бұрын
Ambwene Mungu akubariki sana
@babycandy3225
@babycandy3225 2 жыл бұрын
Pole bamdogo naza
@malangunda7365
@malangunda7365 2 жыл бұрын
Aisee pito Zito Sanaa pole Sana Mtumishi
@beatriceminja2148
@beatriceminja2148 2 жыл бұрын
😭😭😭😭 duh Mungu akutie nguvu!!! So sad
@pasuakaratu2601
@pasuakaratu2601 Жыл бұрын
Ukiona lakwako zito jaribu kujifunza kwa wenzako🙆‍♀️
@mwanahamisbwanga1184
@mwanahamisbwanga1184 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭nmelia dar pole pole sanaa
@damarismbitha253
@damarismbitha253 2 жыл бұрын
Nakupenda sana Nazareth...
@sososool9177
@sososool9177 2 жыл бұрын
Pole sana kaka kumbe hu wimbo nismlizi ya kweli pole sana katika hayo yote yana Mungu
@gracemwakalukwa8352
@gracemwakalukwa8352 2 жыл бұрын
Umenikumbusha kaka naza niliumia sana pole endelea kumtumikia mungu
@zedekiahmagwega8044
@zedekiahmagwega8044 2 жыл бұрын
Daaa inaumiza sana
@elvilamwambambale950
@elvilamwambambale950 2 жыл бұрын
Basi umeniliza sanaa
@maxwellmseo1380
@maxwellmseo1380 Жыл бұрын
Kwa maelezo hayo hatuna Sheria za kazi
@devotaminga9352
@devotaminga9352 Жыл бұрын
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 Жыл бұрын
Nyie huyu kaka miye ananiliza, kila nikiona Story yake napata huzuni sana,nawaza kama hatuna wapelelezi wanayoijua kazi yao je ni wangapi wako gerezani kwa makosa yasiyowahusu,Mungu aingilie kati awatetee mwenyewe watu wake.
@annadaudi9266
@annadaudi9266 2 жыл бұрын
Pole San kaka,, dhahab ili ing'ae lazm ipite kweny Moto hakik wew Ni dhahabu🙏
@tunaitwakiwovele7358
@tunaitwakiwovele7358 2 жыл бұрын
Nimelia mimi
@winniferogechi9336
@winniferogechi9336 2 жыл бұрын
I feel it but pole sana
@neemamwandalima5564
@neemamwandalima5564 2 жыл бұрын
😭 Mungu atabaki kua Mungu
@andrewsekwao99
@andrewsekwao99 2 жыл бұрын
Pole kwa mapito ila katika hayo yote ashukuriwe Mungu awezae yote
@janethchaz1813
@janethchaz1813 2 жыл бұрын
pole sana kaka😭😭😭
@happynzunda7563
@happynzunda7563 2 жыл бұрын
Dhuu!! Pole sana babaangu kweli mapito yapo duniani jamani likikukuta utadhani upo pokeako kumbe wenye mapito ni wengi sana
@gracemwakalukwa8352
@gracemwakalukwa8352 2 жыл бұрын
Kaka naza pole kwa yote zidi kumuomba mungu
@azaliamathias414
@azaliamathias414 2 жыл бұрын
To God be the Glory...🙏
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 жыл бұрын
Nimelia sanaaaa😭😭😭Ila mama Samia aingilie Kati ili Apate haki zake kwa sababu kuna watu wanajua kujieleza sana wanawaeleza viongozi taarifa mbayaaaaaa yaani shetani Ana nguvu
@vailethmduda4272
@vailethmduda4272 2 жыл бұрын
Mshukuru Mungu kwa yote..Pia amekuonyesha njia sahihi ya kuiendea..Mtumikie Mungu kwa moyo wako wote na kwa akili yako yote...
@ruthsinkamba8209
@ruthsinkamba8209 2 жыл бұрын
Aisee ,MUNGU NI MWEMA
@mariamethod4537
@mariamethod4537 2 жыл бұрын
Nan kama mama, 😭😭😭
@justinamsidada1296
@justinamsidada1296 2 жыл бұрын
Hongera brother.. Wachache wanaweza kuvaa kiatu chako
@rosemaryyohana6440
@rosemaryyohana6440 2 жыл бұрын
Huyu Mungu ni mkuu sana. Sifa na utukufu ni kwake
@eliudiezekieli6293
@eliudiezekieli6293 2 жыл бұрын
Kiukwel Hayo mambo ya kubamnikiziwa kesi yanauma sanaaa namimi niliuziwa kesi na police cplo jemsi wa kituo Cha kati mwanza nakusababisha kuzurumiwa milioni 7 stasahau Ila ashukuliwe mungu wa mbinguni nikitoka baadae ya kusota butimba mwanza
@tupilikeiswasu5474
@tupilikeiswasu5474 2 жыл бұрын
Ndagha nkamu, akapango kikulisya fijho😭😭
@drbennymwaky2826
@drbennymwaky2826 2 жыл бұрын
Kapango kasisya bhandu bha ntwa
@Joshchris24
@Joshchris24 2 жыл бұрын
Ndagha nkamu, akapongo kikulisya fijho 😭
@kourtneykourtneyismaile7745
@kourtneykourtneyismaile7745 2 жыл бұрын
Ulipitia rafiki yangu
@ameniameni617
@ameniameni617 2 жыл бұрын
Pole Sana uyo polisi aliyekutaja ndiye chanzo cha kupoteza familia yako
@petermundele7301
@petermundele7301 Жыл бұрын
Dah mungu huyu acha binadamu aitwe binadamu ,ndo maana binadamu mdogo but anatengenezewa mabomu makunwa
@devothaisaya5833
@devothaisaya5833 2 жыл бұрын
Nimeumia san hii story ingekuwa vyem upewe fidia .
@focuseric4109
@focuseric4109 2 жыл бұрын
Shetani alinyänganywa MAMLAKA AKUNYANGANYWA MAARIFA kwaio anaona yalioko mbełe yako kwamana iyo wewe unaepanga mipango mizuri Leo,kesho, kila siku shetan anaiona nae anapanga jinsi yakuzuia na kuiaribu kwakutumia ma agent kupitia ajał ,magonjwa,kwenda jela, magomvi,MITHALI 4:6 usimwache nae atakusitiri,umpende nae atakulïnda .
@gracekalihose8504
@gracekalihose8504 2 жыл бұрын
Miaka 9 mahabusu!mmmm
@rosenyato8729
@rosenyato8729 2 жыл бұрын
Nazareth ninayekufahamu ulipitia haya kweli. Dah! Pole kaka yangu jamani. Nimeumia sana. Songa mbele usitembee na taarifa mbaya kichwani wewe ni mtumishi
@agneskaijage9757
@agneskaijage9757 2 жыл бұрын
Mtafute umtie moyo kama unamjua natumai atafurah sana
@mpalleymwaipola7435
@mpalleymwaipola7435 2 жыл бұрын
Nakumbuka hii story na kaka Isaya mwakiswalele naye aliunganishwa kwenye hiyo kesi
@josewamapendo3884
@josewamapendo3884 2 жыл бұрын
Ushuuda huu umenitowa machozi
@itikamwaseba4156
@itikamwaseba4156 2 жыл бұрын
Na yy alikamatwa pia?
@ndipomwakalindile4337
@ndipomwakalindile4337 Жыл бұрын
NAMFAHAMU SN NAZARETH NI KAKA ANGU TUMEKUA NAE KIJIJI KIMOJA NA TUMESOMA NAE SHULE YA MSINGI TALATALA ILIYOPO KYELA MBEYA HALAFU NI FAMILY FRIEND NAFURAHI KUSIKIA YUPO HURU SN
@peterkaombwe6251
@peterkaombwe6251 9 ай бұрын
Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza, kukupatia riziki kubwa zaidi ya hiyo kazi
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 2 жыл бұрын
Yaani shetani akiamua kukutesa anakutesa mno. Hii mi roho ya mateso ambayo ilikupata kukupoteza
@pescopenterprises2728
@pescopenterprises2728 2 жыл бұрын
Msaada namba za hoyo mwinjilisti
@jdjhdj6973
@jdjhdj6973 2 жыл бұрын
Tatizo kubwa hii yote ni ukosefu wa kamera km ungekuwa huku bs ukweri ungejulikana
@jonsongabriel937
@jonsongabriel937 2 жыл бұрын
Sifa utukufu na heshima ni kwake Muumba wa mbingu na nchi.
@gracestewartmchaky6650
@gracestewartmchaky6650 2 жыл бұрын
Pole saana Naza Mungu akutiye nguvu ,,ktk maisha yako ,, .kifo cha mkeo kiliniuma saana nafika Muhimbili nawakuta ndio wanamzungushia PAZIA LA kijani
@yasintaraphael8334
@yasintaraphael8334 2 жыл бұрын
Wewe ni mtumishi wa MUNGU mkubwa sana shetani alijalibu kuondoa hatma yako akashindwa .ubalikiwe mtumishi wa MUNGU kwenye huduma yako
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 2 жыл бұрын
KWAHYO kumbe hata mm naweza kuzaa mtoto nkamuita dar es Salam 😅 au
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Yes...Au ukamuita ubungo upendavyo
@sophiankwera9020
@sophiankwera9020 2 жыл бұрын
Jomon 😭😭😭
@bonyemuelelwa3440
@bonyemuelelwa3440 2 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu uli pitiya majanga mengi makubwa sana mungu aha chii walio wake bila kuwa futa machozi lazima awape faraja ya moyo umeku mbukwa kwa lolote lile tumsifu mungu wetu kabisa
@willymwakasonda8043
@willymwakasonda8043 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ninamfahamu kabisa nilipokuwa Askari gereza la segerea nilikuwa nae kabisa na alikuwa kiong ozi katika misa as mahabusu na alikuwa jamaa poa sana mwenye kusali sana, hakika Mungu yu mwema sana atukuzwe sana bwana wa majeshi
@BGHaule
@BGHaule 2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
@BGHaule
@BGHaule 2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
@BGHaule
@BGHaule 2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@BGHaule
@BGHaule 2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 17 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
ENEWZ - Walter Chilambo apewa mchumba na kanisa
4:26
EastAfricaTV
Рет қаралды 64 М.
Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)
7:56
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 910 М.
"Mawazo" Sehemu Ya 63 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.
32:38
Chomoza Tv
Рет қаралды 3,5 М.
Waka waka 🤣 Which video is the best 1,2,3,4? 🤩
0:13
Adani Family
Рет қаралды 7 МЛН
БИМ БАМ БУМ💥
0:14
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 4,5 МЛН