Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZfaq : kzfaq.info?su... #ChomozaTv#2021
Пікірлер: 88
@focuseric41092 жыл бұрын
Ndugu watanzania na ulimwengu mzima MITHALI 4:6 mungu alituaidi akasema usimwache nae atakusitiri na umpende nae atakulinda,na mithali 4:8 hapa mungu anafika mbali zaidi anasema umtukuze nae atakutukuza na atakupatia heshima ukimkunbatia,WATANZANIA NA ULIMWENGU TUMPENDE MUNGU SANA SANA ILI ATUPE ULINZI KWASABABU ATUJUI YALIOKO MBELE YETU SHETAN ALINYANG'ANYWA MAMLAKA AKUNYANGANYWA MAARIFA KWAIO ANAJUA MAFANIKIO YETU YALIOKO MBELE KWAIO UA ANAANDAA UARIBIFU JUU YAKO KWA KUEKA MITEGO YAKE.shetan anaona yalioko mbele YETU kabla sisi atujaona anajua mipangò YETU.mithal 4:27 kumcha bwana kunaongezà siku zamtu
@saladaniel9274 Жыл бұрын
Amen 🙏
@elishamoris5063 Жыл бұрын
Amen
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Mazingira ya kesi, Ushahidi, Sheria za kazi zilinibana, mpaka mkewangu akaniambia kama umefanyaaa kili kosa tujue moja 😭😭😭😭😭😭😭 Yesu wa nadhareth akukumbuke daima mpendwa 🙏🏽
@blackqueen35322 жыл бұрын
I feel you mtumishi😭😭tumepitia kwenye kesi za kusingiziwa na inauma sana MUNGU UTUKUMBUKE NA HAKI ZETU ZIENDELEE kustawi🙏
@BGHaule2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
@dadesefute80952 жыл бұрын
Hakika Mungu ni kwa ajili ya wote wenye mwili. Asante kwa ushuhuda umenijenga.
@mozzkamaru Жыл бұрын
Aisee , listening to this , Nabaki tu kumshukuru Mungu . Binadamu tunapita kwenye changamoto sana ila Mungu anatusimamia. Asante sana kwa ushuhuda huu .
@jamiraabbakary7392 жыл бұрын
Namfaham Sana huyu kijana kambi alofanyia kazi ndiko nilikokulia, pamoja na kuwa askari pia alikuwa muuguzi hospital, kanichoma sindano Sana huyu Jamaa coz nilikuwa na shida ya kifua nikiwa mtoto, nimefurahi kuona yuko huru tena. kimsingi nilisikitika alipopata hayo matatizo hakuna alokuwa akiamini kwakuwa tabia yake ilionekana kuwa njema, lakini nani ajuaye kesho ya mtu? Jibu ni mungu peke, Pole Sana Nazareth majaribu ni mtaji umechagua njia njema kutumika na mungu barikiwa Sana.
@decmondmakene72902 жыл бұрын
Dah
@neemamhoha20772 жыл бұрын
L
@neemamhoha20772 жыл бұрын
L0
@officialnazatv96542 жыл бұрын
Asante sana ndugu yangu nimeishapoa
@elishamoris5063 Жыл бұрын
Amen
@lydiamsafiri96132 жыл бұрын
Mungu anabaki kuwa Mungu, barikiwa sana mtumishi, hayo ndio mapito, iliwe uwe dhahabu lazima moto uwepo, Mungu azidi kukuinuwa
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Shetani ni muonevu sana kwa kweli Mungu aku compasatie kila ulichopoteza familia na miaka yako yote uliyoipoteza Mungu anatosh Kaka. 🌹🌹
@lukajohn19192 жыл бұрын
Kwel kabisa nakukumbaka sana tulikuwa wote segerea
@petermshali5157 Жыл бұрын
Mweeeh... Isya nkisu sikutamya mweeee....
@dennisjosephat2372 жыл бұрын
Dah ! Painfully story! God is living and glory to almighty.
@njonjolomahfudh32382 жыл бұрын
THE STRONGEST MAN NAZARET, UYU MTU KAPITIA MITIHANI MIZITO MNOOO
@luhekelondelwa97142 жыл бұрын
Pole sana kwa mapito Mungu yeye ajua sbb kwa nini uliyapitia hayo
@TheSalma19992 жыл бұрын
Jamani dah maisha haya watu wanaozea jela bila hatia pole sana kaka yetu kwa kufiwa na mkeo na mwanao na dada yako Mungu aendelee kukufariji dah nimeumia sana na kisa chako
@naomybenedict58552 жыл бұрын
Bado ninamshangaa Mungu kwakwli,,marajibu yapo kutufunza kwakweli pole baba angu namshukuru Mungu ww ni mzima.
@lidiamwantandi4522 жыл бұрын
Pole saana kaka hii ndio nchi yetu na uwongozi wake, njoo tuungane kudai katiba mpya na tume huru
@nichorousmpala53662 жыл бұрын
Ainuliwe Mungu wetu alie juu
@angelinamichael77422 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutetea
@euniestherwilliam15132 жыл бұрын
Ambwene Mungu akubariki sana
@babycandy32252 жыл бұрын
Pole bamdogo naza
@malangunda73652 жыл бұрын
Aisee pito Zito Sanaa pole Sana Mtumishi
@beatriceminja21482 жыл бұрын
😭😭😭😭 duh Mungu akutie nguvu!!! So sad
@pasuakaratu2601 Жыл бұрын
Ukiona lakwako zito jaribu kujifunza kwa wenzako🙆♀️
@mwanahamisbwanga11842 жыл бұрын
😭😭😭😭😭nmelia dar pole pole sanaa
@damarismbitha2532 жыл бұрын
Nakupenda sana Nazareth...
@sososool91772 жыл бұрын
Pole sana kaka kumbe hu wimbo nismlizi ya kweli pole sana katika hayo yote yana Mungu
@gracemwakalukwa83522 жыл бұрын
Umenikumbusha kaka naza niliumia sana pole endelea kumtumikia mungu
@zedekiahmagwega80442 жыл бұрын
Daaa inaumiza sana
@elvilamwambambale9502 жыл бұрын
Basi umeniliza sanaa
@maxwellmseo1380 Жыл бұрын
Kwa maelezo hayo hatuna Sheria za kazi
@devotaminga9352 Жыл бұрын
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
@waukweelinikkon6555 Жыл бұрын
Nyie huyu kaka miye ananiliza, kila nikiona Story yake napata huzuni sana,nawaza kama hatuna wapelelezi wanayoijua kazi yao je ni wangapi wako gerezani kwa makosa yasiyowahusu,Mungu aingilie kati awatetee mwenyewe watu wake.
@annadaudi92662 жыл бұрын
Pole San kaka,, dhahab ili ing'ae lazm ipite kweny Moto hakik wew Ni dhahabu🙏
@tunaitwakiwovele73582 жыл бұрын
Nimelia mimi
@winniferogechi93362 жыл бұрын
I feel it but pole sana
@neemamwandalima55642 жыл бұрын
😭 Mungu atabaki kua Mungu
@andrewsekwao992 жыл бұрын
Pole kwa mapito ila katika hayo yote ashukuriwe Mungu awezae yote
@janethchaz18132 жыл бұрын
pole sana kaka😭😭😭
@happynzunda75632 жыл бұрын
Dhuu!! Pole sana babaangu kweli mapito yapo duniani jamani likikukuta utadhani upo pokeako kumbe wenye mapito ni wengi sana
@gracemwakalukwa83522 жыл бұрын
Kaka naza pole kwa yote zidi kumuomba mungu
@azaliamathias4142 жыл бұрын
To God be the Glory...🙏
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Nimelia sanaaaa😭😭😭Ila mama Samia aingilie Kati ili Apate haki zake kwa sababu kuna watu wanajua kujieleza sana wanawaeleza viongozi taarifa mbayaaaaaa yaani shetani Ana nguvu
@vailethmduda42722 жыл бұрын
Mshukuru Mungu kwa yote..Pia amekuonyesha njia sahihi ya kuiendea..Mtumikie Mungu kwa moyo wako wote na kwa akili yako yote...
@ruthsinkamba82092 жыл бұрын
Aisee ,MUNGU NI MWEMA
@mariamethod45372 жыл бұрын
Nan kama mama, 😭😭😭
@justinamsidada12962 жыл бұрын
Hongera brother.. Wachache wanaweza kuvaa kiatu chako
@rosemaryyohana64402 жыл бұрын
Huyu Mungu ni mkuu sana. Sifa na utukufu ni kwake
@eliudiezekieli62932 жыл бұрын
Kiukwel Hayo mambo ya kubamnikiziwa kesi yanauma sanaaa namimi niliuziwa kesi na police cplo jemsi wa kituo Cha kati mwanza nakusababisha kuzurumiwa milioni 7 stasahau Ila ashukuliwe mungu wa mbinguni nikitoka baadae ya kusota butimba mwanza
@tupilikeiswasu54742 жыл бұрын
Ndagha nkamu, akapango kikulisya fijho😭😭
@drbennymwaky28262 жыл бұрын
Kapango kasisya bhandu bha ntwa
@Joshchris242 жыл бұрын
Ndagha nkamu, akapongo kikulisya fijho 😭
@kourtneykourtneyismaile77452 жыл бұрын
Ulipitia rafiki yangu
@ameniameni6172 жыл бұрын
Pole Sana uyo polisi aliyekutaja ndiye chanzo cha kupoteza familia yako
@petermundele7301 Жыл бұрын
Dah mungu huyu acha binadamu aitwe binadamu ,ndo maana binadamu mdogo but anatengenezewa mabomu makunwa
@devothaisaya58332 жыл бұрын
Nimeumia san hii story ingekuwa vyem upewe fidia .
@focuseric41092 жыл бұрын
Shetani alinyänganywa MAMLAKA AKUNYANGANYWA MAARIFA kwaio anaona yalioko mbełe yako kwamana iyo wewe unaepanga mipango mizuri Leo,kesho, kila siku shetan anaiona nae anapanga jinsi yakuzuia na kuiaribu kwakutumia ma agent kupitia ajał ,magonjwa,kwenda jela, magomvi,MITHALI 4:6 usimwache nae atakusitiri,umpende nae atakulïnda .
@gracekalihose85042 жыл бұрын
Miaka 9 mahabusu!mmmm
@rosenyato87292 жыл бұрын
Nazareth ninayekufahamu ulipitia haya kweli. Dah! Pole kaka yangu jamani. Nimeumia sana. Songa mbele usitembee na taarifa mbaya kichwani wewe ni mtumishi
@agneskaijage97572 жыл бұрын
Mtafute umtie moyo kama unamjua natumai atafurah sana
@mpalleymwaipola74352 жыл бұрын
Nakumbuka hii story na kaka Isaya mwakiswalele naye aliunganishwa kwenye hiyo kesi
@josewamapendo38842 жыл бұрын
Ushuuda huu umenitowa machozi
@itikamwaseba41562 жыл бұрын
Na yy alikamatwa pia?
@ndipomwakalindile4337 Жыл бұрын
NAMFAHAMU SN NAZARETH NI KAKA ANGU TUMEKUA NAE KIJIJI KIMOJA NA TUMESOMA NAE SHULE YA MSINGI TALATALA ILIYOPO KYELA MBEYA HALAFU NI FAMILY FRIEND NAFURAHI KUSIKIA YUPO HURU SN
@peterkaombwe62519 ай бұрын
Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza, kukupatia riziki kubwa zaidi ya hiyo kazi
@sophiamwakila33002 жыл бұрын
Yaani shetani akiamua kukutesa anakutesa mno. Hii mi roho ya mateso ambayo ilikupata kukupoteza
@pescopenterprises27282 жыл бұрын
Msaada namba za hoyo mwinjilisti
@jdjhdj69732 жыл бұрын
Tatizo kubwa hii yote ni ukosefu wa kamera km ungekuwa huku bs ukweri ungejulikana
@jonsongabriel9372 жыл бұрын
Sifa utukufu na heshima ni kwake Muumba wa mbingu na nchi.
@gracestewartmchaky66502 жыл бұрын
Pole saana Naza Mungu akutiye nguvu ,,ktk maisha yako ,, .kifo cha mkeo kiliniuma saana nafika Muhimbili nawakuta ndio wanamzungushia PAZIA LA kijani
@yasintaraphael83342 жыл бұрын
Wewe ni mtumishi wa MUNGU mkubwa sana shetani alijalibu kuondoa hatma yako akashindwa .ubalikiwe mtumishi wa MUNGU kwenye huduma yako
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
KWAHYO kumbe hata mm naweza kuzaa mtoto nkamuita dar es Salam 😅 au
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Yes...Au ukamuita ubungo upendavyo
@sophiankwera90202 жыл бұрын
Jomon 😭😭😭
@bonyemuelelwa34402 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu uli pitiya majanga mengi makubwa sana mungu aha chii walio wake bila kuwa futa machozi lazima awape faraja ya moyo umeku mbukwa kwa lolote lile tumsifu mungu wetu kabisa
@willymwakasonda80432 жыл бұрын
Huyu jamaa ninamfahamu kabisa nilipokuwa Askari gereza la segerea nilikuwa nae kabisa na alikuwa kiong ozi katika misa as mahabusu na alikuwa jamaa poa sana mwenye kusali sana, hakika Mungu yu mwema sana atukuzwe sana bwana wa majeshi
@BGHaule2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
@BGHaule2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu
@BGHaule2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@BGHaule2 жыл бұрын
Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu