@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo
@pendo8082Ай бұрын
@@hashimuuhehwa4252 kwani akiishi Toronto ndio anajua kila kitu
@MikiGermany210Ай бұрын
Inavyoonekana Pck kampiga huyo jamaa na wasanii hawajui chochote,ndio maana mziki wa east Africa hauendi kimataifa,
@joycekisamo4896Ай бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@imanimhagama4647Ай бұрын
Pck ni noma alimtapeli wema sepetu penz na pesa juu itakuwa huyo elly tena ashukuru hata hajagongewa yai
@karirekinyana9759Ай бұрын
Mbosso mukweli sana nampenda yulekaka jamani kalibu Danmark ❤❤❤❤❤
@joycekisamo4896Ай бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@ruqaiamohammed345Ай бұрын
Mungu kalipa maana ht ww ni tapeli ulitapeli watu kuwapeleka canada wakatuma pesa zao mwisho wa ck hakuna safar mpk leo malipo ni hap dunian
@latifahali8228Ай бұрын
Kwanza Huyu mtu limbukeni tuko Uko lkn hajastarabika Ety awe mtu mkubwaaaaa
@strong8534Ай бұрын
Sky, u dont sleep😮😮😮😮
@joycekisamo4896Ай бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@Zenny89Ай бұрын
Hiko kijamaa ninapenda penda kujulikana sana.. Na hakuna mtu anaweza kuzuia mtu mwingine kutofanya show Nchi yeyote
@esthermakelemo2864Ай бұрын
Huyu Eli,anaonekana hayuko sawa anamakasiriko ,hayuko sawa hata kwakumuangalia sura,tumsamehe Bure,maisha magumu yanamsumbua,Watanzania wazarendo tumsamehe bure
@LeonardmpembaMsemakweli-q8sАй бұрын
AFU UYO JAMAA MBONA ANAONEKANA NICHOKO UYO JAMAA WA KANADA
@mylasadick5189Ай бұрын
Muha ya uyo
@pendo8082Ай бұрын
Haeleweki😂😂
@KhalidwandheraАй бұрын
Unaona mbari jamaa ni kipusa
@isunga1964Ай бұрын
Kama yupo Toronto basi wamekula pesa kweli wamlipe pesa kaka wa watu 😢😢😢
@imanimhagama4647Ай бұрын
We matako kweli sasa kwan kuwa huko ndio lazima aperform hata kama hajalipwa au hujasikiliza vizuri maelezo pande zote mbili
@antonimwamahonjeАй бұрын
Who going to bring back your money? Who told you to invest for the artist you didn't have any agreement with them
@FahadAbubakariАй бұрын
We andika kiswahili basi English gani chafu hiyo
@sadikilumumba1370Ай бұрын
Tusi wahamini sana wa sanii wetu wa tanzania 🇹🇿. Wana tu danganya sana 😂😂😂😂😂😂
@shuwehaharuna6309Ай бұрын
Wamekutia hasara na wamekutukana Una kipara😂
@kizdady2544Ай бұрын
😂😂😂
@ukhutfatumah1154Ай бұрын
Haaaaaa elly kaingizwa cha kike aise pole sana kijana wangu
@homeandaway2811Ай бұрын
Elly unaongea sana , umechanganyikiwa na life ya ughaibuni wewe, tuliza mshono.
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Umesema kweli jamaa anapayuka
@davidshaban7375Ай бұрын
@@ndukulusudikucho_Aisee!! yule jamaaa nilishamblock like each and everywhere 😊
@homeandaway2811Ай бұрын
@@ndukulusudikucho_yani mwanaume amekaa kama mtu wa mipasho 😂 anadhani atachafua majina ya hawa wasanii
@pendonoor8869Ай бұрын
Ok. Nakwelewa lakini mbona ukatumia lugha mbaya kumjibu? Si ungesema hivi tu...pole jamani mwenzangu MuTZ!
@ngoyaboy1590Ай бұрын
Sema hiyoo ya kipara imemuuma sanaa😂😂😂
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Jamaa kichomi saaana na alazimisha umaarufu saana, mdomo wake ndio mchawi wake
@t.y.g.a_Ай бұрын
Private Jet ee😅..hangaika ivo ivo😂🙌🏻
@kingbyaro6016Ай бұрын
Wewe uwe Toronto usumbufu wenu tuta kupoteza huku Acha maneno dodo 😊
Huyu jamaa anaongea ukweli sio kwamba anamuchafua nyie Tanzania munajua nikuchafua jina jamaa kaingiza pesa
@joycekisamo4896Ай бұрын
Mboso kajieleza vizuri sana. Eti $4,000 .... Business class ticket yake ni zaidi ya US$5,000😂
@richkaja3317Ай бұрын
Mbosso kama kweli kafanyeni show mmalize tofauti zenu
@mkulimatanzaniaАй бұрын
Elly ni shoga alishajeuzwa na wazungu muda simrefu ataikana nchi yake. Njaa imemponza kaacha maisha bongo kaenda fanywa mke daah
@davidshaban7375Ай бұрын
dahh yule jamaa simuelewagii kabisaa
@johnmwandu2116Ай бұрын
Kwan Dollar 4000 si ni sawa na milion 10, sasa appearance tu unaikataa milion 10😂😂😂, daah sasa mimi hapa duniani nafanya nin
@menlandmutashobya8377Ай бұрын
Dollar 4000, Kuna expenses zake, Kuna percentage ya kampunj,na Kuna asilimia yake,atabaki na ngapi
@alisalum2023Ай бұрын
Elly yeye ndio tapeli nayeye katapeliwa yeye msimuamin tapeli sna sna
@Bama959Ай бұрын
Wasanii wa tz sio wa kweli kabisa
@imanimhagama4647Ай бұрын
Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni
@Bama959Ай бұрын
@@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.
@othinielkamyola3697Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@t.y.g.a_Ай бұрын
Ko nd umenuna kuambiwa una kipara ama😂😅🙌🏻
@Legends_InterviewsАй бұрын
Waambie ukweli
@mdachiog5211Ай бұрын
😂😂anaijua wasafi
@masoudmasoud8138Ай бұрын
kwahiyo huyo jamaa mwwndawazimu ?? REJESHA HELA ZAWATU WEE KENGEEE
@imanimhagama4647Ай бұрын
Matako ww acha makasiriko shoga ww
@SadaDamas-jh2gtАй бұрын
PCK ndio mchawi wa kila kitu hapo ndio maana mboso alipouliza hakufunguka
@imanimhagama4647Ай бұрын
Wamuulize wema sepetu pck alimtapelu wema penzi na pesa juu
@elijahbaraka9470Ай бұрын
Uyo elly anajiita professor afukaingizwa mjini . Tangu sikugani professor akawa promotor? 😂😂
@MS.independent8934Ай бұрын
Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂
@yama_virginhairthequeen1065Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Tulia ww ushapigwa watu washaelekeaaaa😂😂😂😂
@hamisisalim8076Ай бұрын
Sababu ya mbosso kuambiwa apitie Toronto ni kwasababu huyo promoter wake alikua amekula hela ya huyo dogo
@pendo8082Ай бұрын
Elly atulie hajui lolote😂😂😂😂😂
@jacksonmsendo3478Ай бұрын
Itakuwa promota kamzunguka uyo elly
@noellahgervas90Ай бұрын
Shisha inanywewa cku hz na hamsemi???😂😂😂
@mudiskaina2342Ай бұрын
yani kama utamtizama kwa makini huyu jamaa utamjua huyu ni mlevi
@HansChumaАй бұрын
😂😂😂😂😂 home boy mm nipo pamoja naww wasanii wakibongo mieyusho
@jimmyhabarugira4232Ай бұрын
@HansChuma. Kabla ya kumuunga mkono na kuanza kulaumu ebu fikiriya vipi utatowa hela yako bila kuongeya na muhusika? Thinking before to blame
😂😂😂😂 zamanı mlikuw mnauwa huko Shinyanga 😅pole sana
@aftapat5365Ай бұрын
😂😂 pole kaka
@linnerphilip4260Ай бұрын
Hatuwez kuamn hadi hao mapromoter waseme jambo kukutetea .... Ila wakikaa kimya ... Kitakuramba😂😂😂😂
@mudiskaina2342Ай бұрын
HUYU JAMAAA NI MLEVI HAJUI ATA ANAONGEA NIN
@itNezaАй бұрын
Kijana Kaliwa pesa ndo Upara Utazidi Kuwa Mpana kichwa Kizima. 😂😎
@MasterVoltron-f9wАй бұрын
😂😂😂😂jamaa kapigwa 😂😂😂😂 Na ujanja wooote wakuishi Canada kumbe limeibiwa😂😂😂😂
@awaynaaaa3490Ай бұрын
Kaumiy alipoambiw anakipara khaaa
@dullahabdallah-nu1pyАй бұрын
Mapromota ndio wametapeliana,wasani hawana makosa
@chrisjack4278Ай бұрын
If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure
Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo
@sonnyr1899Ай бұрын
😂
@jeanpierrekwizera6400Ай бұрын
Huyo jamaa anatafuta kiki tu , aache kuchafua majina ya watu
@omarzinga7046Ай бұрын
Onyosha mikataba
@MajutoElliasiАй бұрын
Muombe msamaha shabiki wewe usijifanye mwerewa
@ndikumasabodiegovevo9091Ай бұрын
Ely kila siku anajifanya mjanja kakutana nawajanja wenzie kama pck