No video

MBOSSO amjibu ALIYEMSHUTUMU kuchukua $4k TORONTO na kutotokea 'Simjui, namuonea huruma ameibiwa'

  Рет қаралды 26,647

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 95
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 Ай бұрын
Hapa Canada utapeli kwenye show iko mingi mno!
@paulhema5713
@paulhema5713 Ай бұрын
Mbossso anaongea ukwel ...nothing hidden there....sijui nimepatia icho kiswainglish😂😂😂.....uyo jamaa anaonekana amekurupuka
@pendo8082
@pendo8082 Ай бұрын
Elly hajui lolote 😂😂
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 Ай бұрын
Hapa mnashindwaje kumuelewa Elly mbona hoja yake inaeleweka kabisa!
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 Ай бұрын
​@@pendo8082 Acha uongo Elly kaeleweka vizuri sanaa, labda nikuulize umeelewa nini
@Official83640
@Official83640 Ай бұрын
​@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo
@pendo8082
@pendo8082 Ай бұрын
@@hashimuuhehwa4252 kwani akiishi Toronto ndio anajua kila kitu
@MikiGermany210
@MikiGermany210 Ай бұрын
Inavyoonekana Pck kampiga huyo jamaa na wasanii hawajui chochote,ndio maana mziki wa east Africa hauendi kimataifa,
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Ай бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 Ай бұрын
Pck ni noma alimtapeli wema sepetu penz na pesa juu itakuwa huyo elly tena ashukuru hata hajagongewa yai
@karirekinyana9759
@karirekinyana9759 Ай бұрын
Mbosso mukweli sana nampenda yulekaka jamani kalibu Danmark ❤❤❤❤❤
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Ай бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Ай бұрын
Mungu kalipa maana ht ww ni tapeli ulitapeli watu kuwapeleka canada wakatuma pesa zao mwisho wa ck hakuna safar mpk leo malipo ni hap dunian
@latifahali8228
@latifahali8228 Ай бұрын
Kwanza Huyu mtu limbukeni tuko Uko lkn hajastarabika Ety awe mtu mkubwaaaaa
@strong8534
@strong8534 Ай бұрын
Sky, u dont sleep😮😮😮😮
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Ай бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@Zenny89
@Zenny89 Ай бұрын
Hiko kijamaa ninapenda penda kujulikana sana.. Na hakuna mtu anaweza kuzuia mtu mwingine kutofanya show Nchi yeyote
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 Ай бұрын
Huyu Eli,anaonekana hayuko sawa anamakasiriko ,hayuko sawa hata kwakumuangalia sura,tumsamehe Bure,maisha magumu yanamsumbua,Watanzania wazarendo tumsamehe bure
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s Ай бұрын
AFU UYO JAMAA MBONA ANAONEKANA NICHOKO UYO JAMAA WA KANADA
@mylasadick5189
@mylasadick5189 Ай бұрын
Muha ya uyo
@pendo8082
@pendo8082 Ай бұрын
Haeleweki😂😂
@Khalidwandhera
@Khalidwandhera Ай бұрын
Unaona mbari jamaa ni kipusa
@isunga1964
@isunga1964 Ай бұрын
Kama yupo Toronto basi wamekula pesa kweli wamlipe pesa kaka wa watu 😢😢😢
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 Ай бұрын
We matako kweli sasa kwan kuwa huko ndio lazima aperform hata kama hajalipwa au hujasikiliza vizuri maelezo pande zote mbili
@antonimwamahonje
@antonimwamahonje Ай бұрын
Who going to bring back your money? Who told you to invest for the artist you didn't have any agreement with them
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Ай бұрын
We andika kiswahili basi English gani chafu hiyo
@sadikilumumba1370
@sadikilumumba1370 Ай бұрын
Tusi wahamini sana wa sanii wetu wa tanzania 🇹🇿. Wana tu danganya sana 😂😂😂😂😂😂
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Ай бұрын
Wamekutia hasara na wamekutukana Una kipara😂
@kizdady2544
@kizdady2544 Ай бұрын
😂😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Ай бұрын
Haaaaaa elly kaingizwa cha kike aise pole sana kijana wangu
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Ай бұрын
Elly unaongea sana , umechanganyikiwa na life ya ughaibuni wewe, tuliza mshono.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Umesema kweli jamaa anapayuka
@davidshaban7375
@davidshaban7375 Ай бұрын
@@ndukulusudikucho_Aisee!! yule jamaaa nilishamblock like each and everywhere 😊
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Ай бұрын
​​@@ndukulusudikucho_yani mwanaume amekaa kama mtu wa mipasho 😂 anadhani atachafua majina ya hawa wasanii
@pendonoor8869
@pendonoor8869 Ай бұрын
Ok. Nakwelewa lakini mbona ukatumia lugha mbaya kumjibu? Si ungesema hivi tu...pole jamani mwenzangu MuTZ!
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 Ай бұрын
Sema hiyoo ya kipara imemuuma sanaa😂😂😂
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Jamaa kichomi saaana na alazimisha umaarufu saana, mdomo wake ndio mchawi wake
@t.y.g.a_
@t.y.g.a_ Ай бұрын
Private Jet ee😅..hangaika ivo ivo😂🙌🏻
@kingbyaro6016
@kingbyaro6016 Ай бұрын
Wewe uwe Toronto usumbufu wenu tuta kupoteza huku Acha maneno dodo 😊
@jumamuhamed8636
@jumamuhamed8636 Ай бұрын
Tapel katapeliwa anapiga kelele tuliza futa ilo boya ww Elly jambazi
@user-fx2fn2qs3t
@user-fx2fn2qs3t Ай бұрын
Huyu jamaa anaongea ukweli sio kwamba anamuchafua nyie Tanzania munajua nikuchafua jina jamaa kaingiza pesa
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Ай бұрын
Mboso kajieleza vizuri sana. Eti $4,000 .... Business class ticket yake ni zaidi ya US$5,000😂
@richkaja3317
@richkaja3317 Ай бұрын
Mbosso kama kweli kafanyeni show mmalize tofauti zenu
@mkulimatanzania
@mkulimatanzania Ай бұрын
Elly ni shoga alishajeuzwa na wazungu muda simrefu ataikana nchi yake. Njaa imemponza kaacha maisha bongo kaenda fanywa mke daah
@davidshaban7375
@davidshaban7375 Ай бұрын
dahh yule jamaa simuelewagii kabisaa
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 Ай бұрын
Kwan Dollar 4000 si ni sawa na milion 10, sasa appearance tu unaikataa milion 10😂😂😂, daah sasa mimi hapa duniani nafanya nin
@menlandmutashobya8377
@menlandmutashobya8377 Ай бұрын
Dollar 4000, Kuna expenses zake, Kuna percentage ya kampunj,na Kuna asilimia yake,atabaki na ngapi
@alisalum2023
@alisalum2023 Ай бұрын
Elly yeye ndio tapeli nayeye katapeliwa yeye msimuamin tapeli sna sna
@Bama959
@Bama959 Ай бұрын
Wasanii wa tz sio wa kweli kabisa
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 Ай бұрын
Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni
@Bama959
@Bama959 Ай бұрын
@@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@t.y.g.a_
@t.y.g.a_ Ай бұрын
Ko nd umenuna kuambiwa una kipara ama😂😅🙌🏻
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews Ай бұрын
Waambie ukweli
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Ай бұрын
😂😂anaijua wasafi
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Ай бұрын
kwahiyo huyo jamaa mwwndawazimu ?? REJESHA HELA ZAWATU WEE KENGEEE
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 Ай бұрын
Matako ww acha makasiriko shoga ww
@SadaDamas-jh2gt
@SadaDamas-jh2gt Ай бұрын
PCK ndio mchawi wa kila kitu hapo ndio maana mboso alipouliza hakufunguka
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 Ай бұрын
Wamuulize wema sepetu pck alimtapelu wema penzi na pesa juu
@elijahbaraka9470
@elijahbaraka9470 Ай бұрын
Uyo elly anajiita professor afukaingizwa mjini . Tangu sikugani professor akawa promotor? 😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 Ай бұрын
Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Tulia ww ushapigwa watu washaelekeaaaa😂😂😂😂
@hamisisalim8076
@hamisisalim8076 Ай бұрын
Sababu ya mbosso kuambiwa apitie Toronto ni kwasababu huyo promoter wake alikua amekula hela ya huyo dogo
@pendo8082
@pendo8082 Ай бұрын
Elly atulie hajui lolote😂😂😂😂😂
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Ай бұрын
Itakuwa promota kamzunguka uyo elly
@noellahgervas90
@noellahgervas90 Ай бұрын
Shisha inanywewa cku hz na hamsemi???😂😂😂
@mudiskaina2342
@mudiskaina2342 Ай бұрын
yani kama utamtizama kwa makini huyu jamaa utamjua huyu ni mlevi
@HansChuma
@HansChuma Ай бұрын
😂😂😂😂😂 home boy mm nipo pamoja naww wasanii wakibongo mieyusho
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 Ай бұрын
@HansChuma. Kabla ya kumuunga mkono na kuanza kulaumu ebu fikiriya vipi utatowa hela yako bila kuongeya na muhusika? Thinking before to blame
@djafro8729
@djafro8729 Ай бұрын
Mboso alifanya vibaya kutusi vifara . Mimi kipara nilihisi mbaya sana
@cocotz1892
@cocotz1892 Ай бұрын
😂😂😂😂 zamanı mlikuw mnauwa huko Shinyanga 😅pole sana
@aftapat5365
@aftapat5365 Ай бұрын
😂😂 pole kaka
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 Ай бұрын
Hatuwez kuamn hadi hao mapromoter waseme jambo kukutetea .... Ila wakikaa kimya ... Kitakuramba😂😂😂😂
@mudiskaina2342
@mudiskaina2342 Ай бұрын
HUYU JAMAAA NI MLEVI HAJUI ATA ANAONGEA NIN
@itNeza
@itNeza Ай бұрын
Kijana Kaliwa pesa ndo Upara Utazidi Kuwa Mpana kichwa Kizima. 😂😎
@MasterVoltron-f9w
@MasterVoltron-f9w Ай бұрын
😂😂😂😂jamaa kapigwa 😂😂😂😂 Na ujanja wooote wakuishi Canada kumbe limeibiwa😂😂😂😂
@awaynaaaa3490
@awaynaaaa3490 Ай бұрын
Kaumiy alipoambiw anakipara khaaa
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py Ай бұрын
Mapromota ndio wametapeliana,wasani hawana makosa
@chrisjack4278
@chrisjack4278 Ай бұрын
If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure
@omarzinga7046
@omarzinga7046 Ай бұрын
Huyu tapeli😂😂😂
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj Ай бұрын
Mbosso unajua jimsogani uyujamaa alivoibiwa wewe umo
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x Ай бұрын
Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Ай бұрын
😂
@jeanpierrekwizera6400
@jeanpierrekwizera6400 Ай бұрын
Huyo jamaa anatafuta kiki tu , aache kuchafua majina ya watu
@omarzinga7046
@omarzinga7046 Ай бұрын
Onyosha mikataba
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi Ай бұрын
Muombe msamaha shabiki wewe usijifanye mwerewa
@ndikumasabodiegovevo9091
@ndikumasabodiegovevo9091 Ай бұрын
Ely kila siku anajifanya mjanja kakutana nawajanja wenzie kama pck
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 Ай бұрын
Amuulize wema sepetu😂😂😂
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 46 МЛН
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 26 МЛН
EXCLUSIVE |MBOSSO NA SIRI YA MAFANIKIO YAKE
14:01
Vimba Media
Рет қаралды 75 М.
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 46 МЛН