No video

Huenda MWIJAKU akalipa BILIONI 5 kwa kumchafua MASOUD KIPANYA,Mambo ni MAZITO,kesi kwenda MAHAKAMANI

  Рет қаралды 20,519

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

#mwijaku #masoudkipanya
Tembelea http s://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 253
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 2 ай бұрын
Mwijaku umemtukana sana diamond kajikalia kimya sasa umeyakanyaga.
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 2 ай бұрын
YN HUYO wamkomalie akomeshwe😢
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Alipe
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 2 ай бұрын
Mna roho mbaya sana kwani yeye daimond ingekuwa ni kweli angekuwa anachukua ktk kazi zake
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 2 ай бұрын
Safi sn aliwafanyia kina NANDI SASA ZAMU YAKE 👍👍👍👍
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 2 ай бұрын
Safi sana peleka ndani mpumbavu huyo keshazoea sana
@MsodokiTheson
@MsodokiTheson 2 ай бұрын
Mwijaku kayatimba mwaka huu
@saxannjo6173
@saxannjo6173 2 ай бұрын
LEGEND KIPANYA NI A GREAT GUY,,, LEVO ZAKE NI KUBWA SANA KWA MPUMBAVU NA CHAWA MWIJAKU
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Nadhani hata Serikali ilifanyie kazi hili. Mtu kama huyu ni hatari sana kwa maisha na maendeleo ya watu.. Msijaku anaishi kwa kuombaomba kwa wakubwa hakuna anachofanya. Kipanya amepambana tukimuona kukuza Brand yake na anaheshimika sana. Hii haikubaliki anatakiwa achukuliwe hatua ili ajifunze na wengine pia wajifunze waache upbavu kama huu.
@gastonfuraha
@gastonfuraha 2 ай бұрын
Ikawe fundisho kwa mwijaku pengine atajifunza kila mtu anamsema vby kama alivyomuonea diamond
@samkoka3
@samkoka3 2 ай бұрын
Aloooo huyu mwanasheria mkali snaa na kwa hili anataka kufanya fundisho kwa kwel
@Mwamba67
@Mwamba67 2 ай бұрын
😅 Lawyer ni denja,,,!
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
@@Mwamba67😂😂
@maryamtan682
@maryamtan682 2 ай бұрын
Na. Ajawai kushindwa kesi mahakamani, yuko vizuri kinoma. Mwijaku kz anayo ss.
@emmosilver6039
@emmosilver6039 2 ай бұрын
Hapo hakuna uswahili,lazima awajibishwe.
@amotvtz1302
@amotvtz1302 2 ай бұрын
Bora mumkomeshe maana amezidi kutukana watu
@RamadhanpMwakilasa-di5hc
@RamadhanpMwakilasa-di5hc 2 ай бұрын
Sasa ameyakanyaga bola apelekwe mahakamani 💪💪💪
@aaa64sa13
@aaa64sa13 2 ай бұрын
Wakili fanya kazi yako. Mi nimekuelewa vzr sana. Sheria ifwate mkondo wake. Amezowea sana kudhalilisha watu. Jingazzzzz
@AminaAbdullah-ws3wy
@AminaAbdullah-ws3wy 2 ай бұрын
Malipo ni Dunian Akhera ni Hesabu. Umemtukana sana Diamond
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 ай бұрын
Mim nakuelewa baba angu...unajuwa watu wengi hawajal kuhusu hisia za watu kabisa ...yani wanapenda kuwaumiza watu hisia zako bila kujali..pole kaka masoud ..ila itaonyesha upo siriaz na maisha yako na hadhi yako itaonyesha hupendi masihala na watu wakuheshimu..kwel usipende kuwaprovok na kuwadharirisha watu bila sababu kisa tu nikiki...ila pole kaka angu masoud mimi nakupenda sana kaka angu masoud since kipndi cha marehem amina chifupa...mim nimemuelewa na nakuelewa sana kaka masoud na pole ..ila bado tunaiman na wewe na tunakupenda kila la heri kwakujipambania haki yako
@joeandres9744
@joeandres9744 2 ай бұрын
yaan angeongea upuuzi wote ila kusema "biashara haramu" ,,"anaharibu watoto wa watu" hapana afilisiwe tu lile ghorofa,,,,mwijaku ana maneno machafu sana kama sio msomi yaan baba levo yupo smart kuliko mwijaku
@wasaficlassicshoes
@wasaficlassicshoes 2 ай бұрын
APA ndo utajua kuwa DIAMOND PLATNUMZ nimtupowa sana
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw 2 ай бұрын
Juzi mjinga anachafua kwa kuwa anatamba na pesa feki hii mbaya saaaana kuliko hiyo mwanzo mondi mtukubwa zaidi duniani tena anaaambatanisha na picha.. Stupid guy ever
@alifredmkoka
@alifredmkoka 2 ай бұрын
Atwambie Biashara haramu ni zipi na aje na Evidence la sivyo alipe hiyo B5 make kuropoka kwake kumezidi, na Masoud asimuhurumie hata kidogo akaze ili kijana apate adabu
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 2 ай бұрын
Hii itakuwa FUNDISHO kwa Wenye Tabia hizi za kujipaisha kwa kupitia watu wengine na kuwadhalilisha.... NITAOMBA SHERIA ICHUE MKONDO WAKE HII MITANDAO IMEKUWA INATUMIKA KUCHAFUANA
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 ай бұрын
Ila nikwer huwez kumchafua mtu kwa kujinufaisha wewe mwenyewe..apo nikwel kabisa maneno aliyosema mwija hakufanya haki na hesma..nikwel inatakiwa akanushe ayo maneno azawaiz sheria ifuate mkondo wake...kama ukiwa marekan iyo nikesi mbaya sana na unaweza ukalipwa pesa nyingi sana kwa kumchafua mtu...ths is like buring on media..
@maryamtan682
@maryamtan682 2 ай бұрын
Mwijaku amezidi kwa kweri kuzalilisha watu wengi sana.
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 2 ай бұрын
Safi sana wazee ifike muda mijitu mijingajinga ipunguzwe mjini
@papsmicrocreditcompanylimi1443
@papsmicrocreditcompanylimi1443 2 ай бұрын
Nasubilia press conference ya Doto Magari
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 2 ай бұрын
Weee na pia ya Baba levo.....maana Baba levo humruka mwijaku akipata shida😂😂😂
@papsmicrocreditcompanylimi1443
@papsmicrocreditcompanylimi1443 2 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc 🤣🤣
@japhetlust5050
@japhetlust5050 2 ай бұрын
Tayari ishatiki😂😂
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 2 ай бұрын
Alidhani kila mmoja ni mpumbavu km yeye kuna watu wapo seriously na maisha yao lazma atawajibishwa na hii iwe fundisho kwa waropokaji wote pumbav
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 ай бұрын
Mim nimekuelewa sana baba wakili ...polen kwa mnayopitia na mliyopitia...naona itakuwa funzo na watu kuwasema watu ovyo ...kiukwel upo sahihi baba angu na tumekuelewa na poleni kwa izo changamoto..na iyo itakuwa funzo kwa watanzania wengine ambao wanapenda kuwaboling watu na kuwashusha wenzao alimladi tu kuwa kujipandisha yeye...ila baba wakili nimekuelewa na nimejifunza sana kutoka kwako...yani nimejifunza sana na nimekuelewa na nakuelewa sana kwamba kiukwel lazima umie kihisia kuhusu difemation ...kiukwel itakuwa funzo
@vero57
@vero57 2 ай бұрын
HUYO MWIJAKU UTAKOMA, MARA ANAVAA KITAULO ALAFU ANAFOKA FOKA !! KWENDA DUBAI UNATANGAZA, NEDA SERENGETI WIKI NDIYO NITAKUONA MTU WA MAANA MWIJAKU, HUKO DUBAI KUNA NINI CHA MAANA?? USHAMBA TUU!! ALAFU PIA ANA.MTUKANA SANA DOTTO MAGARI , MWIJAKU ANA MUIGA MANGE KIMAMBI .
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 2 ай бұрын
Safi Sana maana amezidi sana
@Nyanda506
@Nyanda506 2 ай бұрын
Sanaa ya Kipanya inasaidia sana jamii ,hao ndio wandishi kama masoud ndio tunawataka ..Uropokaji wake mwijaku umemponza
@EmmyNamoyo
@EmmyNamoyo 2 ай бұрын
Alizidi
@saidimketo6708
@saidimketo6708 2 ай бұрын
Alimdhalilisha mdada wa watu wakiwa wapenzi na kuziuza picha za uchi akimfanya sasa mungu anamuonyesha jinsi ya kuishi
@kingmzebez7786
@kingmzebez7786 2 ай бұрын
Uchawa sio kazi una mwisho wake haya sasa kayakanyaga kwa mazoea ya domo lake kamachoo malinaza na kipanya ndio tukuone elimu yk na uchawa vina kusaidia nn ume rahaniwa mwijaku pumbavu maliza kwa mzee wa katuni🙏🤳
@user-cy5jr8nh3d
@user-cy5jr8nh3d 2 ай бұрын
Msitukane jmn funz hili siwafundish tena
@channyanjen9047
@channyanjen9047 2 ай бұрын
Yani Safi Sana kabisa wanaonaga diamond anawapuwuziya ingekuwa anawashikiliya Hao wote wanamchafuwaga kila siku kwenye mitandaoni wengi angepata adabu shenzi ao peleka mahakamani uyo alipe izo pesa na wangine wahoneye apoo
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 2 ай бұрын
Hela azitoe wapi vitauzwa vyote alivyonavyo haitofikia hiyo fidia atakua amekwisha kimaisha
@deusisindwa616
@deusisindwa616 2 ай бұрын
Kiukweli Mwijaku amezid,, Kuomba radhi haitoshi,,kumsingizia Masud anauza madawa ya kulevya cyo sawa,,
@jonasmziray3951
@jonasmziray3951 2 ай бұрын
Taifa limejaa waropokaji na wasema hovyo, huyu anahitaji athabu itakayokua mfano kwa wengine.
@zayumar2955
@zayumar2955 2 ай бұрын
Shenzi kabisaaaa huyu mwijaku kwakweli amekua akimvaa kila mtu inakera mnoo hii tabia yake Jmn apewe fundisho tu kwakweli maana hua hajali hisia za watu kabisa ye ni lopolopo tu 😢📌📌📌
@mohamedjarwan
@mohamedjarwan 2 ай бұрын
Hii ni laana kutoka kwa MUNGU , maana mtu ukisha hijji akaenda hijja MAKKA ukirudi unatakiwa uwe mwema tofauti na hapo unakuwa unamfanyia MUNGU masiharà wenzio wanatamani kwenda MAKKA ww unabahatika kufika alafu unarudi unaendelea kuteta watu, SASA hii ni BAKORA kutoka kwa MUNGU na sio hili tu Kuna mengi yanakuja kama hajafanyà toba ya kweli amekwisha, anasoma aya za mwenyezi MUNGU na Hadith za mtume (s.a.w) sio kiimani hasa ila kwa maslahi yake inakuwa anamstizai MUNGU na kinacho fata ni laana na asipo omba toba mapema angoje kufirisika ña kufedheheka.
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f 2 ай бұрын
Ukiona wa nyumbani kwako anamtusi jirani usifurahie kesho atakutusi na wewe ndio hii sasa😂😂
@issachina9443
@issachina9443 2 ай бұрын
Mwijaku ataenda kulialia Kwa viongozi na baadhi wakubwa mwishowake watawaita wote wataka chini watayamaliza! sema mwamba abadilike tena kama jinsi anavyo mdhihaki mondi! anamoyo wapekee aisee
@luthermartin1098
@luthermartin1098 2 ай бұрын
Ninaunga mkono bwana Kipanya kumchukulia hatua Mwijaku
@alphaigogo787
@alphaigogo787 2 ай бұрын
SAFI sana! Way to go, KP!
@EmmanuelMhone-bn6fe
@EmmanuelMhone-bn6fe 2 ай бұрын
Tatizo anaona media zinatumika kwa kutangaza ulimbukeni huyu bwana. Anaona trending kuwa dili mjini.
@ammaherman3391
@ammaherman3391 2 ай бұрын
Mwijaku muda wa kuliwa na nyapara umefika😂😂😂😂
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Usi msamehe mwijaku amezidi dharau huyo mbwa
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m 2 ай бұрын
Ni kweli hata mm nilipata hofu juu ya masoud
@romzget1892
@romzget1892 2 ай бұрын
Kma adi taasisi sina terminate mikataba basi hii ishu ipo seriously aisee kuna mtu atapoteza na kuna mwingine gonna win 🏅ila mdomo unaponza kichwa😂😂😂😂😂
@user-rh4ue7rb6t
@user-rh4ue7rb6t 2 ай бұрын
True
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 ай бұрын
Kwanza naona kama mnachelewa uyo mbwa
@japhetlust5050
@japhetlust5050 2 ай бұрын
😂😂😂 mbona marekani hawana uluma hapa bongo mwijaku apingwe jera tu
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 2 ай бұрын
KUROPOKA KUMEZIDI MITANDAONI ... Pumbav !!!😊
@user-it6zi7zw8y
@user-it6zi7zw8y 2 ай бұрын
wanao comment wengi ni roho mbaya sababu sijaona comment inayo seme msameeni katereza kama binadam maana kuchafua tu sio maneno kwa mtu hata Hao wengine wanao fanya ujinga mitandaoni kuva uchi matendo yajabu mitandaoni kudhalilisha Jami nchi wananchi na family mbali mbali mbona ao awajachukuliwa sheria haki iwe sawa kwa binadam wote ili kila mmoja ajifunze jinsi gani ya kutumia mitandao
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 2 ай бұрын
Ukiona hivyo wat wamemchoka na tabia yake man si mar moja au2 hat kidini haitakiw hat km jambo ni kweli analo unatakiwa umnasih aache na sio kumtangaza .
@anitamwehonge8287
@anitamwehonge8287 2 ай бұрын
Hapana sio katereza!! Mwijaku apewe tuu adhabu amezidi kuropoka
@witnesskagirigiri3763
@witnesskagirigiri3763 2 ай бұрын
DIAMOND WAPELEKE PIMBI NA JUMA NAMSOMA ILI NAO WAJIFUNZE KUROPOKA NI KOSA HAPA TANZANIA.
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 ай бұрын
Huyu Mwijaku atakuwa amejikangaga sana
@GOODLUCKGodwell-bm4br
@GOODLUCKGodwell-bm4br 2 ай бұрын
Mimi niliwahi kutaka kumunya siku moja kama mtu wa MUNGU akaniarau kazi kwake
@majimbeTV
@majimbeTV 2 ай бұрын
Kulopoka lopoka sio vizuri
@user-xr7fh9ht8o
@user-xr7fh9ht8o 2 ай бұрын
MINAONA HII FUNDISHO KAZIDI YANI MINAJUA UKIENDA MAKA UKIRUDI UNAKUWA UMEBADILIKA LAKINI SIO MWIJAKU MI MTAZAMO WANGU BORA ALIPE ILI AKOME
@ludovickanael3426
@ludovickanael3426 2 ай бұрын
Advance ya 1.3b ipo tayari ,asije kujitetea kuwa Hana uwezo.
@barakambigi3522
@barakambigi3522 2 ай бұрын
Na atauza Hilo ghorofa,ikithibitika ni kweli.
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 2 ай бұрын
Nimekumbuka shule mambo ya deformation sheria inakuwajibisha na fain hua unalipa kulingana na ukubw wa jina na nyazifa mbali mbali za uliemchafua na anaamua mwenyew aek dau gan pole mijaku umeyakanyagaaa babu
@LeeLian95
@LeeLian95 2 ай бұрын
Defamation Sio deformation
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 2 ай бұрын
@@LeeLian95 typing error my furend
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 2 ай бұрын
Hakuna aliyesalama ,ukishatumika na chama mwisho wa siku ni aibu tu,hata hivyo msitutoe kwenye reli na issue ya BASHE WAZIRI WA KILIMO ,,"WIZI"na kulidanganya BUNGE LA WANANCHI😢😢
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 ай бұрын
Anadhani huyu ni diamond? Sasa na alipe😂😂😂
@GapsonRevoson-bn7nt
@GapsonRevoson-bn7nt 2 ай бұрын
Wakili sio kwa vitisho hivyo hapa kazi ipo
@denismasele4130
@denismasele4130 2 ай бұрын
Masoud kpanya alinichora namfungulia mashtaka😂😂😂😂😂😂😂
@MussaPaul-ob3nh
@MussaPaul-ob3nh 2 ай бұрын
Anyway mdomo ukizidi kichwa ni mbaya kwa yoyote.
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 2 ай бұрын
Alipe tu pesa kdg sana hiyo kwa mtuhumiwa. kumi ndio ingemtingisha lkn tano ndogo sana kwake
@napster2558
@napster2558 2 ай бұрын
Hana ela bhan😂😂😂
@martinmendrad3531
@martinmendrad3531 2 ай бұрын
Safi kabisa
@hamisiomaryi1699
@hamisiomaryi1699 2 ай бұрын
Mwijaku hunarudishwa Sasa kijijini kuvuna b 5 hipokweli
@salehothman6144
@salehothman6144 2 ай бұрын
Masoud Tunatakufahm tangu tupo wadogo ,heshima yako ameichafua sana katika jamii usikubali nenda mahakamani kwa hili,hata alete viongozi gani waje kukuomba msamaha lakini heshima yako haiwezi kufanyika zaidi ya kwenda mahakamani
@Lina4285baby
@Lina4285baby 2 ай бұрын
Safi sana 💪🏾💪🏾💪🏾
@lilybarongo8119
@lilybarongo8119 2 ай бұрын
Kamtukana sana babuu wa kitaa
@user-hn6kv6xe7m
@user-hn6kv6xe7m 2 ай бұрын
Mshtaki usimwachie kazoeya kusema umbea mwanamme mzma ,iwe funzo kwake na wenzake
@negwakomwasanyula6951
@negwakomwasanyula6951 2 ай бұрын
Iwe fundisho kwa vijana wale wasiotaka kufanya kazi za jasho halafu wamejikita kwenye uchawa na kuuza kashfa za watu kwenye mitandao
@KelvinMauky
@KelvinMauky 2 ай бұрын
Aisee ningekuwa mimi masoud mwijaku nisingempata hata onyo la kuomba radhi dairekti nampeleka mahakan maana sio kwa kumchafua taaruma yake kihvyoo yaan Mzee masoud usimwachie bure huyo kijana Mwijaku kama anatafuta kiki mfanye hata siku nyingine afanye kiki zake kwa kujielewa ila mnyooshee kweli kweli huyo kijana aache kiki zake
@tanzanianpatriotic3532
@tanzanianpatriotic3532 2 ай бұрын
Kisheria usipo mpa onyo naukaenda mahakanani basi hata ukishinda gharama zakuendesha hiyo kesi hauta rudishiwa na uliemshtaki kwani hukumpa "demand notes" so nilazima ili kesi ikiisha udai gharama zako zakuendesha hiyo kesi
@user-xq6rg2pb1x
@user-xq6rg2pb1x 2 ай бұрын
Ameyatimba aaaaaa ameyatimba
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 ай бұрын
Mwijaku ni mkoja kati ya chawa wa Raisi wa sasa aka Mama na tunapoelekea anakua na kujikuta yuko juu ya kila kitu nchini
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 2 ай бұрын
Mawakili wa mchongo hawa ww unaijua billion 5 kila siku kuna kesi huko zinawashindwa
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
Membe alitaka shilingi ngapi toka kwa musiba?
@erickabel6201
@erickabel6201 2 ай бұрын
Safi 😅😅😅😅
@samkoka3
@samkoka3 2 ай бұрын
Hapa lazima alipe pesa nying ameyatimba kwa kwel maan hata yey kweny interview amesema akiguswa brand yake hawez kukuaameheee
@mohammededy7086
@mohammededy7086 2 ай бұрын
Hakuna lolote acha kutishia watu mwambie kipanya akae kw kutulia
@Elybwayz
@Elybwayz 2 ай бұрын
Gorofa sasa kwagher 😢😢😢
@josephk90
@josephk90 2 ай бұрын
Huyu wakili ni mtata asee Mwijaku ameyatimba mamae ndo utaacha misifa ya kipumbavu😂😂😂
@Rafaeltuli-gw8ii
@Rafaeltuli-gw8ii 2 ай бұрын
Peleka ndani
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 ай бұрын
Sio ndani tu Chooni
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 2 ай бұрын
Bilion 5.!? Si atauuza mpaka ukoo wake wote sana sana ikawe fundisho
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Alisha sema anafedha za kutosha
@Elybwayz
@Elybwayz 2 ай бұрын
Gorofa sasa ni lamasudi 😅
@abdulkadirgafla3889
@abdulkadirgafla3889 2 ай бұрын
Mwijaku ni kenge sana ajisifia amesoma na hajitambui hata kidogo 😏😏😏
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 2 ай бұрын
Sawa amekosea na Ana hitaji kuadhibiwa sababu domo lake kama brush ya choo limemponza😂😂😂lkn hapo kwenye billioni 5 sio kweli...yaani ajiuze yy na familia na kaghorofa kake kenye kisima juu hafiki hata billion 1😢
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 2 ай бұрын
Kayakanyaga mwijaku
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 2 ай бұрын
Da changamoto kote kote
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 2 ай бұрын
Asantee amnyooshee halijafunzwa hilo limwijaku km kubwa jinga hivi
@alphoncejohn6308
@alphoncejohn6308 2 ай бұрын
Huyu mwjaku ana akili kwel
@KelvinMauky
@KelvinMauky 2 ай бұрын
Msimuonee huruma huyu mwijakuu hata kidgo alipe fain au akalale jeraa
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
😂😂😂 umenifurahisha😂😂😂
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂kbsaaa
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 2 ай бұрын
gorofa litauzwa round hii😂😂😂
@gottaboy4178
@gottaboy4178 2 ай бұрын
Oya hii iko serious sana, kimkakati
@suleimanmajani6187
@suleimanmajani6187 2 ай бұрын
Mimi. Binafsi. Nilipoona. Nilishtuka. Nakupata. Wakatimgumu. Sababu. Masud. Nimtu. Aliejijengea. Heshima. Kubwa. Nakuilinda. Kwanguzakezote
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 2 ай бұрын
DUH BINAADAM TUMEJAWA NA HUSDA NIN HIKI KUMUOMBEA MABAYA 😢ILI FAMILIA YAKE ITESEKE?SEMA TUMUOMBEE ILI ASIRUDIE KOSA
@anitamwehonge8287
@anitamwehonge8287 2 ай бұрын
Kwani alitumwa kuropoka??? Sio Mara ya kwanza kutukana watu,kazoea huyo, yeye haoni hasara alizomletea mwenzake
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 2 ай бұрын
Itakua poa maana mwijaku kavuka mipaka kazoea amedhalilisha wengi mwinjaku
@user-hm3qm2nf1v
@user-hm3qm2nf1v 2 ай бұрын
Na yeye huko kuomba omba km mtt wa mitaani ni kazi halali 😮😮😮😮😮 au hajioni
@SaidKinyota
@SaidKinyota 2 ай бұрын
Kaka asamehewe kwa kipi anatukana sana watuuu acha akome arimpeka nanda amripe wewe unataka asamehewe kazi atajifunza kutukana watu
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 2 ай бұрын
Pengine😂 huyu mwijaku ni wakuja sio mtanzania
@Pedeshee01
@Pedeshee01 2 ай бұрын
Tanzania hakuna jina la Mwijaku hiyo anatoka Kongo ni wale wazazi waliingia Kama wakimbizi akazaliwa tz
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Ni Mkongo hata anavyosema anayoka Kigoma sio kweli. Hata wazazi wake alikimbilia Morogoro baada ya kuwa wanashukiwa.
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 2 ай бұрын
Pia ni kama mhutu wa burundi
@Pedeshee01
@Pedeshee01 2 ай бұрын
@@saidnoumani7244 kabisa kuna majina tu unaelewa huyu siyo mtanzania halisi.ujue kule kigoma wengi wameingia kwa njia za panya na za uhalali miongoni mwao ni hao wakina bato mwemba ama mwijaku,(tanzania hatuna jina lmwijaku)kule kenya ukiitwa jina la mwijaku mtu unapigana labisaa
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
@@GibsonNtamamilohe! Ni kweli? Jamani sasa mbona anafanya ujinga hivi au ndo maana anakuwa chawa ili alindwe
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 2 ай бұрын
Mwanashelia kunaeneo anakosea kwenye maelezo kusema maraisi hakuwepo Enzi za nyelele wingi unazia kwenye ngapi hata wawili tu wana tosha
@faziliabea-fg3tu
@faziliabea-fg3tu 2 ай бұрын
Amezindi sana mndomo awekwe ndani tu
@witnesskagirigiri3763
@witnesskagirigiri3763 2 ай бұрын
PELEKA MAHAKAMANI ILI LIWE FUNDISHO KWA WAROPOKAJI KAMA MWIJAKU, DOTTO MAGARI NA KWA MBALI BABA LEVO.
@AthumaniSalimu-yw1gz
@AthumaniSalimu-yw1gz 2 ай бұрын
Niko hapa mwijaku hii atachomoa ishu ndongo sana hii mwijaku ni mkereketwa wa ccm hii comet mtaikumbuka
@Zuu673
@Zuu673 2 ай бұрын
Mbona tofauti khaaa
@aaa64sa13
@aaa64sa13 2 ай бұрын
Ccm hata huyo aliye mkashifu ni Ccm. Kesi ya kumdhalilisha au kumzushia mtu ni ngumu sana ikiwa una uthibitisho na ulicho kashif. Kwa Tanasha na Mwanae waliyamaliza kinyumbani lkn pia ilikuwa na kesi ngumu. Ni waache hino tabia au watakuja kuishia pabaya.
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 2 ай бұрын
Aende akafilane kwanza hata mwaka mmoja tu choko huyo
@vicentibrahim3496
@vicentibrahim3496 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
EXCLUSIVE   ZUCHU AMNUNULIA GARI LA ZAIDI YA MIL 20 ANJELA
6:09
Wasafi Media
Рет қаралды 5 М.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 160 МЛН
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 902 М.
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН
Waziri Mkuu wa China akutana na PUTIN nchini Urusi
2:52
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 3,3 М.
JKLIVE | Lee Njiru: Ears of Power [Part 1]
35:23
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 9 М.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 160 МЛН