Рет қаралды 746
Wiki chache baada ya Uongozi wa Jiji la Arusha kuweka Uzio mbele ya msikiti Mkuu wa Ijumaa Jijini humo,Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Arusha Shaaban Jumaa imemlazimu kuzungumza na Waumini wa Dini hiyo ili kuondoa Sintofahamu hiyo huku akisisitiza kuwa eneo hilo ni la Serikali na yeye hajaliuza.
Baadhi ya Waumini wa Msikiti huo kupitia Wazo huru Online wamemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kuwapatia eneo hilo ili waliendeleze..
Habari kamili sikiliza na Share na Wengine..
@azamtvtz @imanoffiziell @arusha24macoligo @millardayoTZA @globaltv_online