No video

SIRI YA MANABII KUMILIKI UTAJIRI IMEFICHUKA

  Рет қаралды 17,236

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 52
@AbshirMubaarack
@AbshirMubaarack Ай бұрын
Hawa jamaa wana COLLABO fln very unique in TZ 😂😂
@ThomasNghwani-nw6rx
@ThomasNghwani-nw6rx Ай бұрын
Afrika kinachotusumbua sio kukosa elimu, kinachotusumbua ni ujinga na umasikini.
@swalehaltooq5233
@swalehaltooq5233 Ай бұрын
Mjinga anaelimika sisi Tuna upumbavu
@jessicaanania6326
@jessicaanania6326 Ай бұрын
Ila Kitenge🤣🙌,bora muwafichuee
@Rwambo-wn7sh
@Rwambo-wn7sh 25 күн бұрын
Wapenda miujiza
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy Ай бұрын
😂😂 acha wanyooshwe si wasenge wanataka miujiza awataki kazi
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY Ай бұрын
😅😅😅😅
@karimambosanga4290
@karimambosanga4290 Ай бұрын
Taifa lina angamia kwa kukosa maarifa
@samsonsimon3138
@samsonsimon3138 23 күн бұрын
Serikali isiingilie kati iwaache tu manabii wawanyooshe wanaotaka kuibiwa mali zao hadi waamke watoke gizani vilevile kiboko ya wachawi wamludishe tu wakitaka kumfugia bhax na tz kuna manabii wezi na hao wawafugie tuondokane na wizi wakinabii au kuna manabii wanapeleka maokoto kwny idara inayohusika na imani ili wasifungiwe
@NathanNashon-oz6ve
@NathanNashon-oz6ve Ай бұрын
Leo Leo ❤❤❤ 1
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f Ай бұрын
jaman mbona mnawasema sana wakusanya kodi mnataka na wao wasipate riziki
@personalitiesan9806
@personalitiesan9806 Ай бұрын
Asee mm nlshapigwa 250,000 niljuta mnoo alaf pesa iyo nilmkopa mtu daah
@F60hustlerF60hustler
@F60hustlerF60hustler Ай бұрын
Hooo 😂
@dennyprommotz4585
@dennyprommotz4585 Ай бұрын
Hahahahahahahahaha
@IgnacioAndrew-rj8pd
@IgnacioAndrew-rj8pd Ай бұрын
Vibanda vya waganga hakuna tena vichakani Sasa vimehamia makanisani
@mengiiblahim4215
@mengiiblahim4215 Ай бұрын
Kweri viumbe wangu wanaangamia kukosa maarifa
@mushtaqakram9843
@mushtaqakram9843 Ай бұрын
Yote ayo kutokana na kukosa elimu na umaskini uliokithiri
@bakariomarimndeme6059
@bakariomarimndeme6059 Ай бұрын
Je! Hayo maji yanupoko wanalipia kodii? Sere kuu ali Yende ikakusanyebkodi huko sio kutuona wanyonge.
@SelinaChares
@SelinaChares 29 күн бұрын
Yaaaan nyie
@user-rw3dn7hs1g
@user-rw3dn7hs1g Ай бұрын
awamanabii wengi niwezi wanajua mbinu zakuuzatu nahawaripi kodi
@JninjaH2R
@JninjaH2R Ай бұрын
DINI NA SIASA ZINALIPA NCHINI ZA AFRICA
@chuchufplatnumz4888
@chuchufplatnumz4888 Ай бұрын
MPAKA ULAYA WANASEBENZAAAAAA😅😅😅
@HunterObey-ci1kf
@HunterObey-ci1kf Ай бұрын
Duuu we've lost...
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 Ай бұрын
NDIO MAANA WAKRISTO WANAZIDI KUA MASIKINI KWA KUDANGANYA 🤣🤣🤣
@KOLASCLASSICDESIGNS
@KOLASCLASSICDESIGNS Ай бұрын
WAKINA NANI WANAZIDI KUA MATAJIRI
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 Ай бұрын
Eti Mndewa aliongea na MUNGU HAHAHAHA
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Ай бұрын
WAHUMINI SIKU HIZI WAMEKUWA MAVAMPAYAA
@johnmshuta5133
@johnmshuta5133 Ай бұрын
Leo hizi habari za moto
@rosemneney3244
@rosemneney3244 Ай бұрын
Nyie mseme baadhi hata.nyie ni bidhaa za Mondi
@consolatajohn9181
@consolatajohn9181 Ай бұрын
Hayajawakuta..
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Ай бұрын
Upuuz na wizi
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 Ай бұрын
Wezi wanakuw exposed, 😁 wameshaanz kujisafisha.. mwengine anasema Abraham kalaani watu weusi wao wamepona!!
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 Ай бұрын
Na kwani pafu moja baraka masaa mangapi? 😂
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c Ай бұрын
Wajanja hua tunwazoom tu
@consolatajohn9181
@consolatajohn9181 Ай бұрын
Hamna jipya..nyie ni bidhaa tu..
@AvityNjau-tz8gq
@AvityNjau-tz8gq Ай бұрын
Manabii ni wazamani leohii dini ni biashara maharamia na majambazi yamefungua makanisa kuwaibia watu bila ya wao kujijua. Someni alama za nyakati msipende sana miujiza huko ndiko mnapopigwaaa amkeni amkeniii eee. Ila wajingandiyo waliwao sikuzote
@MWINJILISTHURU
@MWINJILISTHURU Ай бұрын
Mbona hamuwataji wanasiasa
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz Ай бұрын
Walimtaja Mpina na Bashe
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 Ай бұрын
hawa jamaa wanafujo sana
@JenesiaLucas
@JenesiaLucas Ай бұрын
Hamjaumwa nyie ndio maana mnasoma
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 Ай бұрын
Na wao wanatumia ugonjwa wako kukupata
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Ай бұрын
Je ukiumwa ao manabii feki ndo wanaponya?😂😂😂wajinga awato isha Duniani, wangekua wanaponya ivi Hospital zingekua na wagonjwa kweli!!
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Ай бұрын
😂😂😂 Acha wapigwe wajinga ndo waliwao vipofu wa akili
@Souza_G_94
@Souza_G_94 Ай бұрын
😅😅😅
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 Ай бұрын
ZEMBWELA , omba Mungu kila siku. Maana hapo ndiyokwako, maana .Gen- Z. Wanataka Elimu. Diamond anasaidia watangazaji. kama WEWE. CROWN Media watakupa GETI, ndiyo nafasi talô.
@adambaton5521
@adambaton5521 Ай бұрын
Kwaio liama Aly anaelimu kubwa na nimtangazaji wa hapo unapopataja?
@vanemmy6043
@vanemmy6043 Ай бұрын
Acha chuki,tafuta hela....unataka kumzarau bcz unamjuwa kwenye comedy
@hanspop6961
@hanspop6961 Ай бұрын
Huyu mburula bado anaamini Elimu ndio Taaluma
@JayndevuNgare
@JayndevuNgare Ай бұрын
Wez ..........wajinga ndo waliwao hahahhaa
@JninjaH2R
@JninjaH2R Ай бұрын
😂😂😂😂
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Ай бұрын
Wajinga ndio waliwao wacha wadanganywe wavivu kusoma maandiko
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 24 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 26 МЛН
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"
33:56
BBC News Swahili
Рет қаралды 153 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 97 М.
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 51 М.
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 24 МЛН