Рет қаралды 33,623
KARIAKOO DERBY: Nyota wa zamani wa Yanga, mrisho Ngassa ameeleza kisa kizima jinsi alivyoweka ahadi akitaka nyumba zake zichomwe moto endapo hataifunga Simba kwenye #KariakooDerby ya Oktoba 23, 2013 iliyomalizika kwa sare ya mabao 3-3.
Lakini kabla Ngassa hajasimulia, Dody ameanza na mwanahabari Said Morandi ambaye alihusika katika taarifa ile iliyochukua nafasi kubwa kwenye magazeti.
Hii #SokaKijiweni maalum kuelekea Kariakoo Derby ya leo Aprili 20, 2024.