No video

Soma Nyiradi Hizi X40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha/Sheikh Walid Alhad

  Рет қаралды 50,944

DARSA TV

DARSA TV

Жыл бұрын

Soma Nyiradi Hizi X40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha / Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Nyiradi Hizi X 40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha / Sheikh Walid Alhad Omar
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZfaq @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Пікірлер: 77
@hassanmrisho
@hassanmrisho Жыл бұрын
Alhamdulillah, nimeongeza kitu kingine kuhusu swala hii! Allah aendelee kukupa afya njema uendelee kutuelimisha Sheikh Walid.
@MuhdharMuhammad-qv3zl
@MuhdharMuhammad-qv3zl 11 ай бұрын
Shukran sana Sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa
@nuruali9608
@nuruali9608 Ай бұрын
JAZAKA ALLAHU KHEIR SHEIKH WETU...ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA NURU KATIKA MAISHA YAKO
@zainabumavura4270
@zainabumavura4270 Жыл бұрын
Shekh walid wallahnakupenda kwan ajil ya Allah ,Allah akuhifadhi
@abdulrazack9577
@abdulrazack9577 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh akujakie kheir
@eshasalim5496
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Allahumma Amiin
@bentybenty2343
@bentybenty2343 Жыл бұрын
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh .Shukran jazakallahu kheir
@husseinsaid8021
@husseinsaid8021 Жыл бұрын
Natamani siku moja nifundishwe na sheikh walid
@leyzworld4024
@leyzworld4024 Жыл бұрын
In shaa Allah kheri
@harunakaberukaharuna6143
@harunakaberukaharuna6143 Жыл бұрын
Baraka llaahu fikum
@fatmasuleiman3885
@fatmasuleiman3885 Жыл бұрын
Allahamdulillah umenipa kitu Allah Atakulipa.Aameen🤲
@udazakikoti3419
@udazakikoti3419 Жыл бұрын
Inshaallah, mwenyezi mungu akupe kheri ya dunia na akhera
@MwanaidiJuma-hw8tb
@MwanaidiJuma-hw8tb 2 ай бұрын
Sheikh walid Allah akupe afya njema na umri mrefu na akulinde na mahasidi amiin ❤❤❤
@maryamiddi4938
@maryamiddi4938 Жыл бұрын
Allah akujalie umri twaweel ameen kwa kutupa elim tunaswali hatujui hizo nyiradi shukran
@feisalfarsy6562
@feisalfarsy6562 Жыл бұрын
Allah Akuzidshie sheh walid uzidi kutupa faida juu ya dini
@omarijuma6692
@omarijuma6692 Жыл бұрын
Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri mrefu
@hshshsshjdjejjejejejej9823
@hshshsshjdjejjejejejej9823 Жыл бұрын
Amiin yarab 🌹
@bintyhassan3060
@bintyhassan3060 Жыл бұрын
Shukran sanaa, Allah akupe umri uzidi kutujuza.
@uledyjuma7814
@uledyjuma7814 Жыл бұрын
Shukraan sana sheikh kwa Ugadi mzuri Allah akubariki sana sheikh wetu nakupenda kwaajiri ya Allah Alhamdulilah rabilalaamina
@user-gr6dm6qi6v
@user-gr6dm6qi6v 5 ай бұрын
MashaAllah Allah azidi kukuhifadadhi sheikh na akuzidishiye ilm na afya njema. Akulipe mazuri apa duniani na kesho akhera Aamiin . Na faidika kila siku nikifata mawaidha yako ❤❤
@mutaladjasmini4815
@mutaladjasmini4815 Жыл бұрын
Shukran sheikh wetu Allah akuzidishie ilmu yenye manufaa Allahouma ameen 🤲
@allykimosa1419
@allykimosa1419 Жыл бұрын
Mashallah allah azidi kumlinda mwalimu wetu
@ramadhanrama7873
@ramadhanrama7873 Жыл бұрын
Shukran jazila
@heyumi2340
@heyumi2340 Жыл бұрын
waghalaikum salam warahmatullah wabarakatuh
@mwanaidhassan6170
@mwanaidhassan6170 Жыл бұрын
Shukran Shekh wangu Allah akuhifadhi na akupe mwisho mwema Kwa elimu unayo tupa Alhamdulilah
@amanimatokeo9139
@amanimatokeo9139 Жыл бұрын
Mashallh
@afric01
@afric01 Жыл бұрын
Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹 shukran sana sheikh Walid.
@abuuruqayyah3200
@abuuruqayyah3200 Жыл бұрын
Mashaallah darsa nzuri sana
@adijahmdosi5863
@adijahmdosi5863 Жыл бұрын
Jazzaka Allah kheri
@moureenkamau8697
@moureenkamau8697 Жыл бұрын
wallah I sheik mungu akulipe anstee
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
ahsante shekh
@RehemaMohd-ct1mq
@RehemaMohd-ct1mq 3 ай бұрын
Mashaallah jazakallahul kheir
@imamabdulhanaanmahmudramad8992
@imamabdulhanaanmahmudramad8992 Жыл бұрын
شكرا
@safiayussuf9308
@safiayussuf9308 Жыл бұрын
Shukran sn shekhe wetu pendwa. Allah akuhifadhi na akupe umri wenye manufaa Ameen
@user-ju1pl7rr8n
@user-ju1pl7rr8n Жыл бұрын
Aslm alkm ww... Masha Allah!!!!,😀😀😀😀😀kweli kabisaa sheikh Walid alkamalu lillah. Allah atuongoze ❤❤❤
@salumabdullah4562
@salumabdullah4562 Жыл бұрын
Alhamdulillah nimekuelewa vyema sheikh wangu Allah azidi kukupa umri mrefu ili uzidi kutuelimisha
@eshasalim5496
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin. Jazzaka Allahu Kheir Ya Sheikh
@ziadaskitchen5060
@ziadaskitchen5060 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akulinde
@hamidmbizo1383
@hamidmbizo1383 Жыл бұрын
ماشاءالله الله اكبر
@happykusaga6587
@happykusaga6587 11 ай бұрын
Masha Allah.
@Mtawatawa-bh2hr
@Mtawatawa-bh2hr 10 ай бұрын
Allah akuhifadhi
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Жыл бұрын
Mashallah tabaraqah ❤
@nahaj1657
@nahaj1657 Жыл бұрын
Masha Allah
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Shekh Kuna suna sabaaa ya uchovu
@issahassani5003
@issahassani5003 Жыл бұрын
Asalaam alaykum mufty asante
@tigerboy5685
@tigerboy5685 Жыл бұрын
Fantastic 👍👍👍👍
@user-zz7ep5of2m
@user-zz7ep5of2m 7 ай бұрын
Jamani uislam mtamu jamn
@RehemaMohd-ct1mq
@RehemaMohd-ct1mq 3 ай бұрын
9:44
@user-fw6wt4mf3b
@user-fw6wt4mf3b 9 ай бұрын
Asalam.alaykum shekh naomba utupe muongozo wa salat-tasbih inasaliwa vipi wingi wake uchache wake na unasemaje kwa faida ya wengi in shaa Allah
@ShakizyAe
@ShakizyAe Жыл бұрын
Naam shekhe
@nayeemn9275
@nayeemn9275 Жыл бұрын
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh. Amiiyn thumma Amiiyn, Baraka Allahu fiiQ. Je nikisali Rakka mbili za ishraq naruhusiwa kusali tena kabla ya adhana ya dhuhuri? Kwamfano ishraq nisali Rakka inne kisha kabla ya Adhuhuri nisali zingine nane ao mbili ao sita.
@zainabumavura4270
@zainabumavura4270 Жыл бұрын
Asalam alaykum we he dhuha tunaweza kuiswali jaman a ?
@KamariaHamza
@KamariaHamza 3 ай бұрын
Ni rakaa zote za mwisho au ile yamwisho husali tena
@Mtawatawa-bh2hr
@Mtawatawa-bh2hr 10 ай бұрын
Sheikhe naomba unisaidie dua au maneno kusema ktk sijida maana nasikia kwa kiswahili haitakiwi
@irakozerahma7488
@irakozerahma7488 Жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh Ni upi muda wamwisho wakuswali sala ya dhuha ????
@JumaZahoro2000
@JumaZahoro2000 Жыл бұрын
Waalaykumu ssalaaamu warahmatullahi wabarakaatuhu. Dakika 15 kabla ya swala ya Adhuhur Yani Baada ya kuchomoza Jua Kaa dakika 15 basi hapo ndio mwanzo wa Sala ya dhuha, inaisha dk 15 kabla ya swala ya Adhuhur. Allah Ni Mjuzi Zaidi
@user-gy9ru7hs7x
@user-gy9ru7hs7x Ай бұрын
Alhamdulillah Allah akuzidishie Ilmu. Tunafaidika Sana. Shukran.
@sirsparks7517
@sirsparks7517 Жыл бұрын
Salaam Alaykum. Huu ukumbusho ni mzuri lakini hayo mafundisho ya kusema yaa Basit kwenye sijda ya mwisho yametoka wapi???? Je, imethibiti kwenye Sunnah? Au ni huu ni utenzi wa Mashekhe??? Nyongeza nyongeza kwenye dini zimekatazwa na Mtume wetu rehma na amani zimfikiye. Hao wanachuoni wakusanywe wooote bado hawatokuwa wabora zaidi ya Mtume .
@makenaOG
@makenaOG Жыл бұрын
Shekhe kasema unaweza fanya naukiona kwa elimu yako haifai basi waachie wanao ona inafaa basi na hakuna mjadala
@mohdhamza8175
@mohdhamza8175 Жыл бұрын
Kuongeza Sio dhambi na Wala hajahalalisha . Kasem ukiw unawez au unatk fahamu lugh yko kk
@rahmahabibu4727
@rahmahabibu4727 5 ай бұрын
Atokee mtu aliandike hilo neno tupate kulishika vizur inshallah
@michiadam4678
@michiadam4678 Ай бұрын
Yaabasit ,yaabasit ×40
@tuahilialisalimo8054
@tuahilialisalimo8054 Жыл бұрын
Assalam shekhe je swala dhuha haiswaliwi raka 6?
@choggysly3541
@choggysly3541 Жыл бұрын
Ukisali mbili Sawa ,nne Sawa ,sita Sawa mpaka 12 ,lakini hauzisali kwa pamoja ,unasali mbili unatoa salamu ,unasali mbili nyingine unatoa salamu kama haujaelewa niambie nikutumie namba yangu ,au tafuta jirani anaejua umuulize Inshaa Allah
@tuahilialisalimo8054
@tuahilialisalimo8054 Жыл бұрын
Jazakallah khair
@ummusalim1991
@ummusalim1991 Жыл бұрын
Wlkm slm wrhmtlh wbrkth sheikh, Niko na swali.... Swalatu dhuhaa na swalatul ishraaq ni sawa??? Au ni swala moja tu???
@shamisahmed1425
@shamisahmed1425 Жыл бұрын
Ni moja tu..ishraaq na dhuha ni iyoiyo..!!
@abubakarsalim6297
@abubakarsalim6297 Жыл бұрын
Hizo ni swala mbili tofauti masheikh zangu
@ummusalim1991
@ummusalim1991 Жыл бұрын
Hata mm najua hivyo @shamisahmed Lkn may b kuna ikhtilaaf ya wanazuoni
@aminaalmazrui9785
@aminaalmazrui9785 Жыл бұрын
@@abubakarsalim6297 Ndio twambie tofauti zao
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Kwanza walimu wengine wanasema ishirak aipo
@harunakaberukaharuna6143
@harunakaberukaharuna6143 Жыл бұрын
Baraka llaahu fikum
@ashaabeid4520
@ashaabeid4520 Жыл бұрын
Assalaam Aleykum, Sheikh Walid, Inshaallah Allah S.W. Ninamuomba akujaaliye umri mrefu wenye Afya njema na akuzidishie Elimu yako mimi binafsi nayaelewa mafundisho yako na ninaelimika sana.
@maryammoumin4942
@maryammoumin4942 Жыл бұрын
Shuqran Allah atupe kheri zake
@abdulshariff4739
@abdulshariff4739 Жыл бұрын
Mashallah shekhe wetu umetumia neno sahihi kabisa LUBRICANT Allah akuzidishie umri na elmu
@ShakizyAe
@ShakizyAe Жыл бұрын
Naam shekhe
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 15 МЛН
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shorts
01:00
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 10 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 12 МЛН
SOMA JINA HILI MARA 94 KUTAJIRIKA/KUPENDWA/ KUHESHIMIKA
39:03
TURIYU TV
Рет қаралды 33 М.
SEMA HIVI UKIONANA NA ADUI
2:39
BANIISA'DI TV KWA AJILI YAKO
Рет қаралды 3,9 М.