Maua upewe mwanetu like moja basi kwa ajili ya familia ya hihop ❤
@limatikii3 ай бұрын
Stamina noma san
@praymwalu3 ай бұрын
Stamina Noma Sana from drc Congo ila stamina nime mu check sana bila ma jibu
@Killer_wayne2273 ай бұрын
Sharobwenzi ❤
@mokayaayomah52583 ай бұрын
Collabo ya Diamond na Ibraah ,,,hiyo noma.
@user-oq7dz5xi4d3 ай бұрын
Good😂😂😂 Medy Bize koja
@Ufunuo973 ай бұрын
bonge la interview
@sephbuche94593 ай бұрын
❤ anyone watching this deserve to know seph Buche
@donaldkiza24933 ай бұрын
Kama umefatilia vizuri wakati Stamina Ana ongelea kuhusu Konde... Sijui ni mimi tu hapo sababu nahisi kama wame jump hiyo sehemu ya interview hadi kwa Ray
@johanesgeorge19583 ай бұрын
Yaah nimeona hicho k2,, ila anyway acha ipitee tuu
@chidymngoni45163 ай бұрын
👊🏾💯🔥
@innocentmgaya56883 ай бұрын
Sharobwenza on this one 🔥🔥🔥
@innorapper35793 ай бұрын
Media Houses are the Problem. The few media outlets that support Hip-hop here in Bongo, the songs that come out don't get enough airtime, and the ones that do get airtime are usually those selected by the media houses themselves. In short, MEDIA HOUSES control which music dominates the market. A good example is the rise of Singeli music, which fought its way into the mainstream. Hip-hop used to be like that in the past, but times have changed. Many Hip-hop artists invest a lot of intellectual effort (racking their brains) into crafting their lyrics. However, when you want them to perform at your show, you expect them to accept a fee that doesn't match the quality of their lyrics, even if they're not famous. This is where artists clash with event organizers. Hip-hop has quality, but the media houses prioritize quantity. Let's revive the support from MEDIA HOUSES for the game as it used to be back in the days.
@pascalmkawe3 ай бұрын
Namkubali sana chalii wa moro
@alecheconradninje61833 ай бұрын
Ww sholo fungu la kumi liache usiliingize kwenye hizo za kusaidia 😂😂😅 ila kazi zako azijawai kuwa ndogo big up 😮
@user-qw3vx3pl2z3 ай бұрын
Ngoma ambayo iliniuma hamkuifanyia video ni like faza like son na fid mlizinguana ata sielewi coz toka enzi izo ukahama kwa fid
@ChimVice232 ай бұрын
Stamina na mpataje mm pia na rap na Nina kazi kazaa mzee naeza vip mpata huyu mfalme
@johnchabai89913 ай бұрын
story mnazikata kata haziishi haieleweki, MWAZINGUA
@AliAli-zd3rr3 ай бұрын
Moro town mpka modeko mikono juuuu shorwe bwenzi
@AhmadMwema3 ай бұрын
Na wewe nima
@THEbest.officiall3 ай бұрын
King kaongeya kuhusu hilo muni subscribe niwambiye kwenye game haina wa support siyo kusema game imedeadi hapana ilipokufiya nitawambiya kesho❤❤❤
@user-bv2me9vw9l3 ай бұрын
Stamina na mboso 😅
@eduardboss71313 ай бұрын
Pacha wako uyo dogo Mr T rapper
@user-oi7ci2vt8m3 ай бұрын
Muache kondee banaa wewe mumechokaa ila harmonize ndoo anashika soko lakuziki Apa tanzania
@ThekingjamesAzarganje-lm4tb3 ай бұрын
Achana na wabana puwa man fanya bifu nawenzako kond ni mû mja kati ya wakina diamond rayvan nawengine kibao wewe nimaoja katiya fid chic Benz roma nay apana wabana puma masta
@diasalicastro53533 ай бұрын
Huyu jamaaa mbn hawapi nafasi wenzie afu n mbovu kuliko wenzie