SUBIRA / IPO NA MAANA KUU MBILI / KUNGOJA / KUVUMILIA / SHEIKH WALID ALHAD USISAHAU KU SUBSCRIBE NA KUACHA MAONI YAKO KWENYE COMMENT KUFANYA HIVYO NDO KUTU SUPPORT SISI THANKS SUBSCRIBE COMMENT LIKE SHARE THANKS
Пікірлер: 32
@Balahau_og Жыл бұрын
Sheikh Walid popote ulipo naomba utambue kua nakupenda kwa ajili ya Allah 🤝
@achanifumos10933 жыл бұрын
MashaAllah...Allah akujaalie IKHLASW na ukupe ilmu zaidi uzidi kutuilimisha haswa kuhusu juu ya Mtume wetu s.a.w...na hilo koti lekundu mashaAlla mashaAllah mashaAllah.... kutoka kenya
@Nailafussy-kg7qz2 ай бұрын
Kaaaa mm sisemi jamani NAMPENDA SHEHE WARUD SANA
@fetysukafetysuka90563 жыл бұрын
Shukran shekhe langu Allah akupe umri mrefu wenye kheri
@jafaliimani69893 жыл бұрын
Maanshallah mwalimu warid nirianza kukuelewa nakukupenda katika albaini ya sheh mgaza rahmaturllah namuomba allah akupe umli mlefu
@MOHAMEDMUHINAIsssamavumbi7 күн бұрын
Shek wald mungu akuweke
@seifchui4246 Жыл бұрын
Nakuelewa sana sheikh Walid, (cape Town)
@fatmafmly4 жыл бұрын
Mashallah mashallah ya sheikh pia mm namini kusubiri n ibada
@kingkijeyba99034 жыл бұрын
Maashallah
@nadiasaidy863 Жыл бұрын
Mashaalah Mola akupe Maisha marefu yenye Afya
@abuusaidy15064 жыл бұрын
Allahu Akbar !! mwenyezi mungu akufanyie wepesi katika majambo yakoo
@Fetty-r4o3 жыл бұрын
Shukraan na maa shaa Allah sheikh, ila kuonjwa kwenye hofu (uwoga) hii sijaipata maana vizuri
@centralzonetvtanzania73134 жыл бұрын
Darasa zuri sana Mashaallah
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Máashaa ALLAH. Sheikh nakuelewa vizuri Allah akulipe kila lakheri.
@fundimuniraa83513 жыл бұрын
Mungu akujaaariee kila la kher
@zuwenahassan90402 жыл бұрын
maa shaa Allah
@hamispeter90434 жыл бұрын
ALLAH AKUHIFADHI SHEKHE WARID
@nuhubashiramubashira72337 ай бұрын
Maashalaah
@yusramwadini24 күн бұрын
😘😘😘😘😘😘😘😘
@abisahdamuyao16473 жыл бұрын
Mungu akupe umli
@user-ju1pl7rr8n10 ай бұрын
Aslm alkm ww.... jazakallah kheir 🙏. Allah akulinde akupe umri furaha na mafanikio.
@nassorntandu45134 жыл бұрын
Well stated! Ningependa kuona darsa la kuwasisitiza waislamu kupenda kufanya kazi na kutafuta riziki za halali!
@DarsaTV.4 жыл бұрын
sawa maalim tumesikia
@hudhaifakatada60164 жыл бұрын
Assalam alykm waramatullah wabarakatuh tulikuwa tunaomba sisi waumie shekhe walid atuelezee kuhusu uwepo wake allah na sifa zake na tuamini vipi aya hii الرحمان على العرش استوا au ان ربكم الذى خلق السماوت والأرض ثم استوا على العرش je allah yupo juu?
@suffysuffy50734 жыл бұрын
doooh
@feisalfaraj442 жыл бұрын
ndio nyumba akauziwa nyumba jamii ya kabika mkabaa ndio mim nikwenda kushui ukambani pia kunajina la Babu yanguu naitwa feswal Salim said faraj hamudd ndio kukaitwa surtan hamudd oky
@hassanjumanne78534 жыл бұрын
Mashaa Allah inspired brother sheikh huwa ananivutia sanaaa claps zake hua sikosi kuzitazamaa
@DarsaTV.4 жыл бұрын
shukraan
@abalqassimqay62974 жыл бұрын
Qweli kabsaa
@barwani8904 жыл бұрын
Mashaallah ustaadh waliid urith WA ustaadh alhad Omar Allahu bariik