baba Padre Titus Amigu Mungu amekuteua kuwa Mwalimu wa kanisa asante kwa busara zako. Mungu akujaalie maisha marefu nasi twapaswa kufuata na kuyaishi mafundisho yake
@mariej69622 жыл бұрын
Nilikuwa namsikiliza sana Padre enzi akiwa na session Radio Maria akijibu maswali. Inafurahisha sana kumwona kwenye video, very talented mtu wa Mungu wetu anayechunga kondoo wa Bwana. Asante Mungu kwa zawadi hii katika kanisa letu. Such a happy face. Safi sana kwa mliokuja na wazo la hii program
@davidmpiluka52245 жыл бұрын
Mimi huwa nakuelewa sana, Fr. Titus Amigu. Mungu akubariki.
@timotheontaholija18472 жыл бұрын
Mungu akujalie maisha marefu hakika wewe ni mwalimu na kiongozi mwema wa kanisa asante
@raphaeldayos91883 жыл бұрын
Mungu akusaidie na kukuongezea busara Mwl wangu wa Imani na wa Darasani
@happynyoni6385 жыл бұрын
wakatoliki tuhakikishe tunamiliki Biblia za kikatoliki ambazo mafundisho yetu yamechotwa humo... Asante Fr kwa elimu hii
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
Kabisa umenena
@editamujuni94 Жыл бұрын
Amina
@woah.africa99 Жыл бұрын
Mnafata wazungu kumsingizia na bee
@felisterligwa6 жыл бұрын
Baba Amigu Mungu akutunze.Asante sana
@ernestmbowe40474 жыл бұрын
Kwa hiyo unawatia moyo walevi wenzako, uwaambie watu hivi konyagi, Serengeti safari na pombe za Tanzania ni divai? au ni mzao wa mzabibu? Waambie pia kwa nn hivyo vitabu vya apokrifa viliondolewa?
@sarafinafranci84814 жыл бұрын
Amina Mungu, mkuu na mwamba wa imani.
@claudianoemanuelkiwone37126 жыл бұрын
I Salute you Jalimu Titus Amigu
@fedsonmagai48676 жыл бұрын
maunda zoro
@isayamlimbila1522 Жыл бұрын
,😭😭😱😱😱😱😱 Roho inakushuhudia ivo au ??
@patrickpermen Жыл бұрын
Nadhani iko mistari Mungu inayohusu pombe ungechambua yote
@trizermaingu44246 жыл бұрын
very well argued
@getrudaadolfu75616 жыл бұрын
ubarikiwe baba AMigu
@paulhando6286 Жыл бұрын
Baba ninakushukuru sana kwa elimu unayotupatia, maana, kusoma biblia peke yangu napata tafsiri nyingi ambazo zinatatiza, laki kwako tunapata tafsiri sahihi na kuondoa shaka. Mungu akulinde na kukuongezea umri ili tuchote uelewa zaidi. Mzee Paul Hando
@bahatmasawe1959 Жыл бұрын
Huu ni upotoshaji kabisa
@naomibenjamini20885 жыл бұрын
Baba Amigu kipindi Cha Jifunze Biblia ulichokuwa unaandika katika gazeti la Kiongozi kwasasa kinapatikana wapi. Ili kitufae katika kutimiza lengo la kuumbwa kwetu.
@hildamyombe55294 жыл бұрын
Amina
@deomuro86144 жыл бұрын
Tena imeandikwa..(bali atakayemkoseasha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio ,yamfaa afungiwe shingoni jiwe kibwa la kusagia na kutoswa ktk kilindi cha bahari...matayo18:6-7 father hapa hakuna cha kidogo ..ulevi ni roho na ina waingia wengi .. Fanya utafiti..
@vicentmigodela1903 жыл бұрын
Tatizo hampendi ukweli,mbona padre kaeleweka sana
@suzantryphon73143 жыл бұрын
Asante sana Fr. Amigu
@fredrickmakoba6285 жыл бұрын
Mafundisho mazuri
@paultumbo41912 жыл бұрын
Ninamba tuko pamoja
@finiasezra70722 жыл бұрын
Walevi wakubwa nyinyi, lakini sikio lenu alisikiii ata Mkiambiwa ukweli amtasikia
@jacksonpriva7664 Жыл бұрын
Soma neno upate kweli, acha miemko
@woah.africa99 Жыл бұрын
@@jacksonpriva7664 kalewe mnamsingizia isa kwa dini ya uongo ndugu ujue yule ni na bee msifate wazungu mnaongeza eti chakula na pombe pombe imekatazwa inapoteza faham chakula utaumwa
@bahatmasawe1959 Жыл бұрын
Pombe ni DHAMBI kwa herufi kubwa
@suzantryphon73143 жыл бұрын
Biblia za koprotestant ni extracts ya biblia ya kikatoliki.
@bahatmasawe1959 Жыл бұрын
Ole wake ampae jirani yake kileo ... Imeandikwa in bible.
@benardsamizi-qo4yp Жыл бұрын
Wana wa MUNGU ALIYE HAI (WATEULE) JIEPUSHE NA POMBE. TAIFA LA MUNGU NI ISLAEL
@deomuro86144 жыл бұрын
Hapana hapana ..father jihadhari na hilo..imeandikwa 1korinto 6:9-10 ..asomaye na afahamu..
@hiphop10353 жыл бұрын
utaelewa tu unatakabaawafuge kuku
@themessage35083 жыл бұрын
Unapotosha watu na vitabu vyenu mlivyo ongeza katika biblia wakristo tusome biblia xn